Aish Manula huyo hafai jamaa ni kichomi mpenda sifa na rushwa atoke Simba w nini Manula matamaaa na Hana pakwenda Wala siyo goli mwenye uwezo ni Bora apate majeraha miaka miwili
Kwa ukweli Manula aondoke hapo Simba Manula ana uza timu. Na wako wagine wazawa seio peke Manula. Wamesha nunuliwa hawo na timu moja. Kwa ligi ya ndani. Naomba viongozi wamondowe huyu Manula.
Huyu Manula ni muda mrefu amekuwa anahusishwa na rushwa ila nashangaa wanaendelea naye tu najua kuwa wanafanya kampeni ili kocha Ben aonekane hafai aondoke kwani yy manula hapendi kushindwanishwa na Ayub mm naona bora aache katika dirisha kubwa na siyo yeye tu nawengine pia wapo humohumo
Manula anauza kawapa ubingwa majini. Fc.goli 5 yeye goli 2 point 6 naile moja sijui yeye pia manula asikae Tena golini huyu duka.pia. Anawenzie viongozi muamke
Inashangaza Simba Bado inamkubatia manila,, mwachieni aende akatafute maisha kwingine
Matora anausika na Rushwa na Manura na wako watu 3
Kama ni kweli, pumbavu zake aende zake
Nyie wanahabari angalieni maneno yenu yanaweza kuwaleta matatizo. Hiyo heading yako inasema nini halafu wewe unaongea nini?
Amechoka uyo
Nikweli hata Mimi Kwa sasa Sina mahaba nayeee huyo Manula
Aish Manula huyo hafai jamaa ni kichomi mpenda sifa na rushwa atoke Simba w nini Manula matamaaa na Hana pakwenda Wala siyo goli mwenye uwezo ni Bora apate majeraha miaka miwili
Kwani kila mara simba fc akifungwa wameuuza hivi simba kwa timu hiyo mbovu kwanini isifungwe
Matora na Manura na Dkt hao ndio wausika
Apelekwe simba B,manula. Alibet mechi ya juzi
Kwa ukweli Manula aondoke hapo Simba Manula ana uza timu. Na wako wagine wazawa seio peke Manula. Wamesha nunuliwa hawo na timu moja. Kwa ligi ya ndani. Naomba viongozi wamondowe huyu Manula.
Mshenzi we umetaka kutulia bando kichwa habari tofauti na unachokio gelea koma kabisa
Hahaaaaaaa
we present or umeso.ea kweli hi kazi?baridi unasema balidi NK NK nk
Wapumbavu mnao comment ujinga wenu nutopolo nyie kenge sana nyie
Anakula rushwa akuna kingine
Huyu Manula ni muda mrefu amekuwa anahusishwa na rushwa ila nashangaa wanaendelea naye tu najua kuwa wanafanya kampeni ili kocha Ben aonekane hafai aondoke kwani yy manula hapendi kushindwanishwa na Ayub mm naona bora aache katika dirisha kubwa na siyo yeye tu nawengine pia wapo humohumo
Atupishe atumtaki Ayub na Ally salum wanatosha
Ukiwa unazungumuzia mambo ya upuzi shenzi nn oy tuta acha kufatilia vitu vyako unauongo mwingi chizi ww uwe unaweka vitu vya ukwel itakusaidia
Manula anauza kawapa ubingwa majini. Fc.goli 5 yeye goli 2 point 6 naile moja sijui yeye pia manula asikae Tena golini huyu duka.pia. Anawenzie viongozi muamke
Atumtaki manula sisi atakuja pigwa
Amefungisha golizete
Manila apumzike tu magoli ya yanga alidaka yeye kama sio rushes basi kiwango chake kimeporomoka