DUUH!! WAZIRI MASAUNI AKUTANA NA TIMBWILI HILI ZITO/ASKARI MAGEREZA WAZUIA BARABARA/ATOA TAMKO KALI
Vložit
- čas přidán 5. 07. 2024
- Wakazi wa Kijiji cha Dondwe kilichopo wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani wameeleza masikitiko yao ya kuzuiwa kutumia Barabara ambayo wamekua wakiitumia muda mrefu kupita baada ya Barabara hiyo kupitiwa na Kambi ya Mvuti inayomilikiwa na Jeshi la Magereza ambalo liliwakuta wananchi hao wakitumia njia hiyo………
Wametoa malalamiko hayo wakati wa Mkutano wa Hadhara uliohudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni uliofanyika katika Kiwanja cha Mpira cha Dondwe huku Mbunge wa Jimbo hilo la Mkuranga,Abdalah Ulega,Diwani wa Kata ya Tengeleni na Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Alhaji Abubakar Kunenge wakipata nafasi ya kuzungumzia sakata hilo……
Jamani mlikuja kutupa furaha jamani😂😂
Asante Kwa Kutufuatilia
Mkuranga sehemu gani hiyo
Asante Kwa Kutufuatilia
Viongozi wajenge barabara ni mbovu