Asante kwa video yako ila naomba utufafanulie kidogo kuhusu Thyme na Zaatari kwa sababu hivi ni vitu viwili tofauti umekusudia unaweza kutumia ama iwe ni Zaatari au Thyme... Shukran
Dada kama cna zatar nina kitunguu saumu tu na mafuta ya zeituni je yaeza kutibika? Please nijibu daa maana kwenye nko c rahisi kutoka nje wallai please dada naomba unijibu
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh zatari ndio rosemary au
Asante sana dadangu kwa tiba yako nina Imani itanisaidia ktka hali hii nlionayo
Asante kwa video yako ila naomba utufafanulie kidogo kuhusu Thyme na Zaatari kwa sababu hivi ni vitu viwili tofauti umekusudia unaweza kutumia ama iwe ni Zaatari au Thyme... Shukran
Madam hongera sana kwa kazi nzuri unayofanya,imenisaidia sana.ila naomba unitumie no yako ya watsApp,ninamaswali kwako.
Mashallah mashallah umetuletea dawa muhimu tulikuwa hatujui huu ugojwa watu wengi wawasumbua mungu akubariki my dear shukran sana ❤
Shukrani sana nimefanya inshaallah mwenyezi Mungu anifanyie taafifu
Ameen inshallah
Shukran sis najla... ALLAH ajaalie iwe tiba yngu inshaalah 😭🤲
Afwan...ameen
❤❤
Majani hayo pls
Dada pls dawa ya kutibu uvimbe ni nn
Zatar inapatikana wapi dada
A.alaikum dada vp mm niko na hicho kinyama lkn sitoki damu lkn hua chaniuma naweza tumia hio
❤🎉🎉🎉
Olive oil
Na maumivu yake je?
Nakukosa period nitatumia nn please
Zatar si kama vijani hivi?
Haya majani yanapatika mara nyingi kwenye maduka ya warabu na yanaitwa zatari
Hayo majani yanaitwaje
Inatib na Bawasir ya ndan
shida ni hayo majani jaman
Dada naomba kuuliza ayo majani kwa kingreza yanaitwaje kwakuwa niliko kunatumiwa ruga ya kingreza
Thyme leaves
Io dawa haina madhara kwa mam mjamzto
Dada mm Nina ttz Hilo bawasil
Zahatari Ndo nini dada
Ayo majani umesema yanaitwaje ? na je yanapatikana wapi ? maelekezo plz
Majani yazaatar kwenye dawa zaasili
Je ikiwa bawasir niyandan
Ujojwaa huyoo unanitesa nishatumia dawa mpanacoka
Nitafute rafiki
Hayo majani unapata wapi
Supermarket
@@najlaskitchen1572 sawa pia nauliza eti dawa kutibu uvimbe mayoma
Dada kama cna zatar nina kitunguu saumu tu na mafuta ya zeituni je yaeza kutibika? Please nijibu daa maana kwenye nko c rahisi kutoka nje wallai please dada naomba unijibu
Naulizi kukosa period nitatumia nini please
Safuna saumu punje mbili asubuhi kabla Kula kitu na punje mbili wakati wa kwenda kulala
Asante
Period siku ya kwanza chafu black anatoka ata haikai damu ni nini
Pia muache kufanya liwatwi*kuingiliana nyuma ya maumbile*
Haya maradhi hayana mke wa mume tena wanaume ndo mmezidi je na nyie muache
@@nouraalharthy5509 n kwl wanaume ndo tunashida sna ila nyie wanawake kataeni gomeni kwa nn mfurahishe mwanaume wakat wamuudh mola ako😊
Mafuta ya zahituni mu Englesh ni nini?
Olive oil 🥰