Shuhudia shamra shamra za Mwenge mkoani Mwanza
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2018
- Mkuu wa Mkoa Mwanza Mhe. John Mongella akiongoza shamra shamra za mapokezi ya mbio za Mwenge wa Uhuru katika uwanja wa Shule ya Msingi Izizimba A wilayani Kwimba jana Agosti 26, 2018 ukitokea mkoani Shinyanga.
Kazi ya taifa hiyo na himan imefanyika
Nzuri hiyo
napenda sana mwenge wetu was uhuru
Kazi ya taifa hiyo na himan imefanyika
Kabisa