Kinara wa Azimio Raila Odinga akamilisha ziara yake Kisii

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 11. 2023
  • Kiongozi wa Chama cha ODM Raila Odinga hii leo anatamatisha ziara yake ya siku mbili katika eneo la Gusii kwa kuhudhuria hafla ya Shukrani kwa Gavana wa kaunti hiyo Simba Arati. Katika ziara hiyo, Raila anatarajiwa kufanya mikutano kadhaa kabla ya kuhudhuria hafla hiyo

Komentáře • 1