Mtoto mchanga wa miezi mitatu aibwa viungani mwa mji wa Kisii

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 07. 2021
  • Maafisa wa DCI mjini Kisii wanamtafuta mwanamke mmoja anayedaiwa kuiba mtoto mchanga wa miezi mitatu eneo la Nyankongo viungani mwa mji wa Kisii. Mshukiwa ambaye anatambulika kwa jina la Ruth Obare anadaiwa kutoroka na mtoto huyo wakati mamake akiwa mtoni. Mzazi wa mtoto aliyeibwa alikuwa amewaacha watoto watatu nyumba alipoenda kuchota maji.

Komentáře • 17