This boy is so good. Mungu amwezeshe kukiweka kipawa chake kiwe katika BWANA. Waebrania10:38 it says lakini mwenye haki wangu ataishi kwa Imani naye akisitasita roho yangu Haina furaha. This group should continue singing I also like singing gospels kwa sababu zinamweka mtu kwenye uwepo na kupeleka taarifa kwa watu wazidi kumtegemea MUNGU na kutiwa moyo
Jamani mi Nampenda Sana Gidioni Kwa kweli Ukifanya mchezo Kwa Yesu Wewe Mtu Mzima ,Mungu Anawatumia watoto Kama Huyu Gidioni Na Atafika mbali Sana,Huyu Mtoto Ana Mafuta Ya Ki Mungu Juu Yake
n ancient warfare there was one torch bearer for every 20 or 30 troops. So when the Midianites saw 300 torches, they figured the whole place was seething with 6000 to 9000 (plus) attackers. This was a brilliant strategy. It may even have been the same ratio with the trumpet players. Brilliant strategy. And logically, if you are carrying a trumpet in one hand, and a torch in the other, you could not also hold a sword and shield as well let alone fight with them. You couldn't even hold anything in your mouth, because you would need your mouth to blow the trumpet.
Hivi uimbaji huu ni manjonjo au.kwa nn MTU asiwe natural ila aimbe kisasa naomba kama anapoteza unatural flan yaan uimbe ila still ubaki kwenye sauti yako kama rose muhando
Sauti nzuri kweli. Mungu kawapa kipaji hiki. But i am troubled. Hawa watoto watakua wakijua madhabahu ni ya kupiga densi? Madhabahu ni matakatifu jameni. Is this from the core of our hearts, and with all sincerity to the glory of God or entertainment? Mungu na atufundishe kuabudu.
Tungeni nyimbo zenu acheni kumtania Mungu Kwanzaa huyo dogo hayuko rohon anaimba kwa kuiga na nyimbo za watu mtachomwa moto okoken nyie sijapenda hata kidogo
Gideon is talented ..much love from Kenya
Evrerytime i listen to this guy i shed tears.. God bless this ministry.. Paul Clement God bless you as well.
This boy is so good. Mungu amwezeshe kukiweka kipawa chake kiwe katika BWANA. Waebrania10:38 it says lakini mwenye haki wangu ataishi kwa Imani naye akisitasita roho yangu Haina furaha. This group should continue singing I also like singing gospels kwa sababu zinamweka mtu kwenye uwepo na kupeleka taarifa kwa watu wazidi kumtegemea MUNGU na kutiwa moyo
Wow this kid really blesses my heart..go Gideon
Jamani mi Nampenda Sana Gidioni Kwa kweli Ukifanya mchezo Kwa Yesu Wewe Mtu Mzima ,Mungu Anawatumia watoto Kama Huyu Gidioni Na Atafika mbali Sana,Huyu Mtoto Ana Mafuta Ya Ki Mungu Juu Yake
So talented aisee nakumbuka nilikua mc WA hii event, aliwabariki mno watu WA MUNGU
Huyo mtoto jaman Mungu ambariki!!
Abaki kumtumikia Mungu siku zote asije jikweza na kupotea!
Barikiwa baby 👶
mungu ni mwema
Aida Mwakalinga Safi Sana Amen
Amina..
PLEASE GUYS IF YOU CAN SHARE THIS,LORD LETS DO THAT,THIS IS AMAZING,I WANNA SHARE IT OVER N OVER.
This kid blesses me a lot.... ☺
Jaman aliyezaa hawa watoto na kuwalea na kuthamini kile Mungu alichoweka ndani yao amebarikiwa aiseh,Glory to God
Amazing voice young man! Blessings from the U.S.!✨
Omg yess I love all them ❤️
Much love from Uganda BABY GIDEON
True
Jamani nawapenda bure, Gideon and Angel.
Can't get enough of your voice...😍🙏🙏
Well done Gedion and Angel keep on singing for the glory of God❤️❤️🙏
n ancient warfare there was one torch bearer for every 20 or 30 troops. So when the Midianites saw 300 torches, they figured the whole place was seething with 6000 to 9000 (plus) attackers. This was a brilliant strategy. It may even have been the same ratio with the trumpet players. Brilliant strategy.
And logically, if you are carrying a trumpet in one hand, and a torch in the other, you could not also hold a sword and shield as well let alone fight with them. You couldn't even hold anything in your mouth, because you would need your mouth to blow the trumpet.
i lov this kid jmn auwww😘😘😘yaan ni hatar
Hauna namna tunaweza mchangia akapata vifaa vya kuweka masikion? Am touched
wow Amazing voice keep it up Gedion
Kristo akutunze
Mungu akubariki Umeniguxaaa xan Mtoto Mzur
God bless him
JESUS,THIS BOY IS BLESSED,UENDELEE MORE.
Wawoooh MUNGU awabariki sana wote.
Jamaniii uyo mtoto amaizing dah Mungu Ambariki na ampe maisha marefu
Y ou bless me gideon
He is blessed
Tunawamiss saana wanafunzi wetu Angel and Gideon.
Be blessed!!!!!
God bless you
nice voice en vibrations i lov that
SAFI SANAAA!!
TALENTED
One day yes
nakupendaa buree...... Mungu akutunze daima
barikiwa sana jman amazing voice gud utukufu
so talented my yong children
What an amazing talent. God bless!
nv
nc sana dog
Kipaji sana dogooo, komaa ucrud nyuma
axee Gidion barikiwa sana una kipaji Mungu aendelee kukikuza kijaji chako haya no maombi yangu
Esta! Esta! Esta!
Mungu wanguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu nafundisha Mtoto uimbaji unanibariki baby
Mungu akuinue Gideon ufike viwango vya juu Zaidi maana unanibariki mno
Huyu Mtoto Ana Sauti Jamani 🙌Nimesikia Akiimba Live Kwa Ile Cover Ya Namba Moja nilijua Computer Kumbe Sauti Anayooo
nice gidion every evidence in lyfe growth so dont Give up @ trust in god forever
Huyu mtoto alinikuna sanaaa IKA 4
glory and honour to Jesus.. be blessed more young...
DAVID EDWIN
DAVID EDWIN
You seems to be pianist
Am like trying, but somehow unique .. Hope I will see you some days.
DAVID EDWIN
Am also doing it somehow where are you
We love you gugs
Glory to God
Woooow
Mungu azidi kukuibua uwe mfano bora barikiwa sana
Wah thats what we call talent🤭🤭
speechless
nice mung awainue kwa viwango vya juu can
Nampenda huyu mtoto
Paul aman kwako najua hawa vijana ni zao lako# do it better mungu atakulpa2# ubarikiwe
I have never seen this ever before we love you as Kenya , Kenya loves you,i am one of your biggest fans
Hakika
jomoniiiiii uwiiiii I like dis boy
Maisha marefu katika kristo yesu
Nice voice
I see Jotta of Tz
Jotta
Joyce Blessed yaan jotta Agnus kabisa
Joyce Blessed yeeeh me too
Joyce Blessed exactly
Amen
Aisee kijana anaupako ndani yake mung akuzidishie zaid na kufanikiwa
👏👏 👏
Kwako hapana hasara
wow
WAA HUYO MTOTO MUNGU AMLINDE ANAYAFIKIA MATAIFA
Your tallented
JESUS ..!
Jotta A wa bongo
Credit to the pianist
Braza wa keyboard hy voice hapana kbsa umezingua
oh God
Groly 2God
Mchezo kwa kutoa sauti yaweza punguzwa ili tusipendeze wasikilizaji ila, tumpee Mungu sifa.....
Andreuh Henry we!
Yes?
Andreuh Henry umeongea vizuri Sana'a watu wanalemba saut kuwafrahisha watu ila hawampi sifa yani acha tu
sio sawa hata shetani aliimba sana kwa sauti izo ukiweka mipaka hiyo inamaana nyimbo za dunia ztabakia bora na ni kitu kisichotakiwa
We utakuwa msabato tena mshamba mshamba
Natamani nami niimbe kama uyu mtoto kanifanya niwe na furaha jaman
Nice
Are they siblings?
Barikiwasana
Tanzania kwny East Africa Got Talent kuliwa na choice error mnaacha washind wenye vipaj km huyu dogo mnapeleka sinaubi shame on us
yuko vzur sn ....sema asivute sn ataharb ad wimbo ....
Hivi uimbaji huu ni manjonjo au.kwa nn MTU asiwe natural ila aimbe kisasa naomba kama anapoteza unatural flan yaan uimbe ila still ubaki kwenye sauti yako kama rose muhando
Unanimaliza
Sauti nzuri kweli. Mungu kawapa kipaji hiki. But i am troubled. Hawa watoto watakua wakijua madhabahu ni ya kupiga densi? Madhabahu ni matakatifu jameni. Is this from the core of our hearts, and with all sincerity to the glory of God or entertainment? Mungu na atufundishe kuabudu.
Be blassed...
Tungeni nyimbo zenu acheni kumtania Mungu Kwanzaa huyo dogo hayuko rohon anaimba kwa kuiga na nyimbo za watu mtachomwa moto okoken nyie sijapenda hata kidogo
Wanaanzag tu iv ivi bg up G Mungu akutunzee😘😘
Ni wivu tu kwan wengne walianzaje???? Unajuaje hayuko rohoni coz huna mamlaka ya kuhukumu
Amen