SAMIR AWACHAMBUA MASALAFI MEMBARI WAMEZIGEUZA KUWARADI WENZAO, KUJISIFIA KUWADHARAU MASHEKH WAZAMANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Komentáře • 108

  • @AbdallahKawambwa-qx8tl
    @AbdallahKawambwa-qx8tl Před 2 měsíci

    Asante shekhe wangu umenifundisha alhamdu lilah nimepata Baraka NA radhi za elimu ya sanadi mpaka kwa allah

  • @user-rh7un2mh1q
    @user-rh7un2mh1q Před 6 měsíci +1

    MashaAllah Allah kareem akuhifadh sheikh Sameer

  • @abbyzubeyr5398
    @abbyzubeyr5398 Před 6 měsíci +3

    Hapa wanao comment negative wala msishangae, sheikh amezungumza ukweli mwanzo mpaka mwisho Sahihi... Msg imewaingia wanacomment negativity waliowekewa vichwani mwao. Kazi kuwatukana masheikh na kuona wao wanaelim kuliko hao masheikh, Nani asoyemjua Muhammad bin ayoub kwenye elimu East Africa, si Tanzania si Kenya si Uganda na hata nchi nyenginezo Congo n.k elimu ameipeleka, wao wakija kusema masheikh Tu, wanajizima data kuwa usalafi kikundi kilichoundwa kiwe kinawarad watu na kuwa kinyume na wengine ili Tu wafikie dhamira ya waislam kutokua na maelewano. Fikirini. Sio mnatoa watu akili Tu. Allah NI mjuzi WA kila Jambo.

  • @SadaKassm
    @SadaKassm Před měsícem

    Maneno mazuri mashaallwah

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa4878 Před 6 měsíci

    Sheikh Samiir SadiQ Kwa hakika umebarikiwa sana
    Allah akuhifadhi tuzid kustafd

  • @YahyaShabani-tl2sr
    @YahyaShabani-tl2sr Před 6 měsíci

    ماشاء الله بارك الله لك في الدنيا والآخرة وبعد الخير جناة

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Před 6 měsíci +1

    Ninyi wenyewe mnapigana vijembe katika madhehebu yenu ya kiislamu, patateni kwanza Ninyi wenyewe ndipo muwashawishi wengine kuona uzuri wa dini yenu ya kiislamu.

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s Před 6 měsíci +3

    Inahuzunisha sana watu wajikusanya katika batil

    • @mahershadhil2493
      @mahershadhil2493 Před 6 měsíci

      Na inasikitisha sana kusoma quran kwa mashindano bila ya dalili

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 6 měsíci

      Watu kukusanyika kw ajili ya kuwaelimisha watu kuhusu mawahabi wenyee niambay n uislaam ni batili?

    • @mahershadhil2493
      @mahershadhil2493 Před 6 měsíci

      @@taurehassan7399 wewe ushahukumu hvyo me siengezi langu mm nimekuuliza swali kwan kuna hadith au aya inasema kusanyikeni mshindane mashindano ya Qur ani!?

    • @user-nk4pg5bd5z
      @user-nk4pg5bd5z Před 6 měsíci +1

      Utahuzunika sanaaa kwa ufahamu wko m,bovu

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya9002 Před 6 měsíci +2

    Kutajwa kwa jina katika raddi ni jambo lipo katika sunnah ya mtume, Na wema walio tangulia , wala si bid’aa ewe sufiy soma riyaadhu swaalihiyna sehemu ifaayo kumsengenya mtu alizo zitaja imaamu Al nnawawiy , Na upate kujua, pia tabbat yadaa, imeenda kinyume na sheriyah nayo eti, maana ametahwa mtu hapo kwa jina pamoja na mkewe tena vibaya sana , yaani shubuya zenu ni هازل جدًا nazibu tu hapa nikiwa nime jilaza kwenye tandiko langu bila hata ya kuifanyia bahthi

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 6 měsíci

      Hya ww ulojilaza bila ya bahdhi hya tupe elimu ya hiyo tabbatiyadaa ni wapi wanachuoni wameikhtlafiana km alotajwa hpo c abilahabi,hya tuambie ikhtilafu ya hyo surah

    • @JabirBakar-ys8dw
      @JabirBakar-ys8dw Před 6 měsíci

      Unataka kunambia ww unaijua riyadhu swaalihiina kumshinda sheikh samir ww n mgonjwa

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před 6 měsíci

      Tena mgonjwa sanaa et ndio anatoa dalili tabat iada hii sura specil abuu lahabb ww ndio unaitolea mfano subhana Leah ushabik mwingine bwana! Sasa sh samir ndio wakutolewa mfano huo? Tena sura imehifadhi jina lake Khali's imekuja kwa jina la lakab yn abuu lahabb wakat Ana jina lake lingine ushabik t na hasad zimewjaa

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 6 měsíci +2

    Washikilieni akili hao hao wafuasi wenu wasio hoji elimu yao ya dini wameicha kwa masheikh masufi

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 Před 6 měsíci +2

    Masheikh wa kishia ndio waanzilishi wa maulidi

  • @user-oj8bk5xn8n
    @user-oj8bk5xn8n Před 6 měsíci +1

    Wakati wa mtume muhammad makka alipokua akiwambia makuraishi waachane namila walizozizowea wakamwambia hayamambo tumerisi kwamababu zetu wewe watuletea mapya

  • @user-ku7nf4ml2z
    @user-ku7nf4ml2z Před 2 měsíci

    Mimi naomba tusome vizuri sio tusome sana na tuelewa uelewa ni jambo zito hawapati wote neema hiyo

  • @KhamisiYasini
    @KhamisiYasini Před 6 měsíci +1

    Ila kwa upande wangu naona katika uandishi wa jina la shekh Samir umeandika Samir kwa mimi mtazamo wangu naona si sahihi ivo ulivo Annika kichwa cha habari chako ni hayo yu inshaalla

    • @user-br6er7zf5z
      @user-br6er7zf5z Před 5 měsíci

      Umesema kweli huwezi kumuandika shekhe hivyo nikukosa nizwamu au niwahabi huyo ndio tunao wajua kwao hawana mkubwa wala hishma

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 6 měsíci +1

    Raad zilikua zikitolewa kwa kuandika vitabu wao hawawezi kuandika kwahiyo ndo wameanzisha hiyo bidaa ya raadi ya kuwakusanya watu na kumraadi Shekhe.

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh

    Shukran

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 6 měsíci +3

    HAMNA hoja nyie Matwariqa mbona nyie sehemu za kutoa da'awa na ELIMU mmeigeuza kuwa mijadala ya MAULID Kila SIKU....somesheni Matwariqa msiwapotoshe na MAULID Kilanapokutana

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 6 měsíci +1

      Nyinyi mawahabi kweli akili ndogo Sana kwn hyo sio elimu?lazima watu wapewe elimu ili nyinyi mawahabi mujulikane Ila zenu ktk dini na ili waumini wajue ubaya ulioje mlokuwa nao

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 Před 6 měsíci

      Nyinyi ndo mliaza. Mtu akishika tu mic basi ku haribu ma sufi. Lazima tulipize. Kwahio wee vumiliyatu.

  • @user-kv4gw7gz1w
    @user-kv4gw7gz1w Před 6 měsíci +2

    Yanini yote ayo jamani maulid ni uzisho tu

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 Před 6 měsíci +2

    HUKU NDIO KUJIGONGA
    SASA MBONA NYINYI MUNAWAPARAMIA WATU WA SUNNAH

  • @user-op8cd5tg5p
    @user-op8cd5tg5p Před 6 měsíci +2

    Assalaam alaykum ndugu zangu eeee hivi mudi bachu yupo wapi kakutana na balaa Gani simsikiii ataaaa

    • @abuukauthar525
      @abuukauthar525 Před 6 měsíci +1

      wee mashekh zako ni masufi mashekh wa suna utawajulia wap

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 6 měsíci

      Kakojozwa Mombasa, sasa hivi yupo kimya dadake... ​@@abuukauthar525

  • @user-nv7jg6xc8l
    @user-nv7jg6xc8l Před 6 měsíci

    Yaan walichokiweza masalafi ni kuwashawishi watu wasiosoma dini wende upande wao maana wao hawajui na wanachokilingania hawakijui wanapotea na wanawapoteza watu😢 kazi yao kuraddi

    • @user-tw4nf6bv8b
      @user-tw4nf6bv8b Před 6 měsíci

      Maskini Masalafi wanahadharisha kundi kubwa ktk Waislam ambao hawajasoma na hawataki kusoma bali wamewachia dini yao masheikh zao ndio wawasomee
      SHEIKH KASOME UTABAINIKIWA NA HAQ MBONA AKUNA SHIDA KTK UISLAM KM UMESOMA

    • @user-nv7jg6xc8l
      @user-nv7jg6xc8l Před 6 měsíci

      @@user-tw4nf6bv8b Me nmesoma sipati tabu kwanza mas'ala yanayogombewa leo sijui madufu Mala maulidi na mengineyo ni Khilafiyya tena haya kauanza kwetu afu nakukumbusha Mtumi S. A. W amesema Al ikhtilafu Ummat Rahma hizi ikhtilaf tulizokua nazo ni Rahma sasa wwe ukiamini hivi kwa dalili ya imamu flani kutoka kwa swahaba fulani ambae mwalimu wake ni Mtumi basi amini hvyo usibishane Afu sisi watu wa TWARIQA elimu zimejaa mpka zinamwagika unaona hta shekhe anavyoongea hatumii nguvu ana re lax. Kamsikiize sasa Abdala humeid sijui Mafuta ya Nazi yani ni mtihani mtupu jazba tupu

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 6 měsíci +2

    Hao Mawahabi achaneni nao watawapotezea muda wenu bureeee.........!!

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 6 měsíci

    Dini isomwe kwani huenda watu wakapata adhabu ya muumba kwa ajili ya kudharau watu mtu hajui chochote halafu anatukana watu hivi hii dini Nani kaileta hapa kwetu ni masalafi au masufi sasa nyinyi mmekuja Jana tu halafu mnatukana watu sasa nyinyi mngeipata hii dini kuweni na insaf mawahabi hebu someni vizur

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe Před 6 měsíci

    Mashaallah

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 6 měsíci +1

    EWE BWANA samir
    Radd ni ktk dini,bila ya radd uislam dini isingelibakia!!
    Ukeleta BID'A zako,utapigwa na radd nzito!

  • @user-ku7nf4ml2z
    @user-ku7nf4ml2z Před 2 měsíci

    Mawahabi angalieni huko mnakotupereka sio

  • @kifakaraomar6598
    @kifakaraomar6598 Před 5 měsíci

    كل محدثة بدعة وكل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار ،والغياذ بالله من هآئلاء شيوخ البدعة

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 Před 6 měsíci +2

    Mbona hamjibu hoja munatafuta Huruma kwa wasikikizaji ??

    • @mohamedimiraji5495
      @mohamedimiraji5495 Před 6 měsíci +1

      nilichogundua zama zetu elimu imekuwa ndogo, busara imepotea kabisa na jazba zimeonekana kuwa ni sehemu ya imani kumbe ni upungufu wa akili. badala ya watu kusoma dini wanasoma itikadi tena kwa kukaririshwa juu juu tu.

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Před 6 měsíci

      Huna akili fatilia kitabu kinachambuliwa kule albarzanji

    • @mohamedimiraji5495
      @mohamedimiraji5495 Před 6 měsíci

      @@abubakarymaulidy5681 We ndio tahira kabisa, acha kukaririshwa. Tenga muda usome. Dini sio ya kupelekwa kishabiki kama mpira. Ndio yalee ya mwenzenu kumwita mtoto punda naye kujiita baba wa punda bila hata kujua maana ya jina husika.

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Před 6 měsíci

    Masha allah, mashekh sio hoja kwani nawao wanapatia nakukosea, hoja ni kuran na sunna kwa ifahamu wa wema waliopita

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 6 měsíci

      Mashekhe hawakosei. Anaekosea ni kama wewe au shehe wa bandia

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Před 6 měsíci

      @@hilalalhabsi2047 hawakosei? Mh! Allah akuongoze ndugu

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 6 měsíci

      @@AllyAhmad-zg2yp anae kosea ni hao WAPUUZI wa kukurupuka. Sheikh hakosei

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Před 6 měsíci

      @@hilalalhabsi2047 mtume anasema kila mwanadam ni mwenye kukosea na wabora ktk wenyekukosea ni wenye kutubia,

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 6 měsíci

      @@AllyAhmad-zg2yp hio ni aya ya Qur-an NA sio kasema MTUME SAW. JEE umeifahamu au UMEKARIRISHWA? . MTUME SAW NAE NI MWANAADAMU (KWAHIO ANAKOSEA). JEE KWA MAANA YAKO MTUME SAW TUSIMFUATE YAANI ANAKOSEA?!. NAREJEA SHEKH HAKOSEI KAMA ALIVYO MTUME SAW. ULAMAA WARITHI WA MITUME. NAKUSUDIA KUWA, KOSA LA MFANO IMAMU SHAFY UKAONA HAKUKOSOLEWA NA WATU WA ZAMA ZAKE ZILIOJAA ELIMU. UNASEMA IMAMU SHAFY HAKUKOSEA ILI KUWANYIMA WAPUMBAVU WA LEO WASIJE KUMSINGIZIA ATI NA WAO WAMEONA KOSA. KILIVHOMLINDA IMAM HUYO TOKEA ENZI ZAKE BASI HANA KOSA, NA KOSA AMBALO UTAONA WEWE NA KASIMU MAFUTA LEO BASI ITAKUWA WEWE NDIO HUJAFAHAMU NA KASIMU NA BACHU WAKO NA FAUZANI WAKO NA UTHAIMIIN WAKO. WANACHUONI WA KARNE BORA WASHAPASISHA UTABAKIA KWETU KUWA HANA KOSA. NA SHEKH NDIO HUWA HIVYO HAKURUPUKI KUTOA FATWA, ANAEKURUPUKA UJUE SIO SHEKH NI MPUUZI ANAEJITAHIDI KULINGANIA UPUUZI WAKE

  • @abuuammar4924
    @abuuammar4924 Před 6 měsíci

    Ni km vile wanafunz wa shamsul maarif wanavyoparamia watu na wanamtaja shekh Kaasim Mafuta...na hata ktk kipindi cha shekh Muhammad Bakari alikuwa akitajwa salim barahiyan na hata ktk Qaswiidah wanataja majina ya watu..kama alivyotajwa kalaso
    Muhammad idd anawataja watu...nk
    Kiufupi hakuna hoja ya kielimu

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 6 měsíci

    Usufi,ukhurafi,BID'A ni ugojwa wa kansa ktk dini ya uislam!!

    • @shariffali7780
      @shariffali7780 Před 6 měsíci

      Ugonjwa ulioshinda kansa tena ya hatari ni ujahili wako! Mtu yeyote mwenye kuwa na shida na ilm ya tasawwuf na kuita wenzake makhurafi ni katika kundi la 'makhawarij alsalafiyatul wahabbiya'!

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 6 měsíci

      Na uhaabi ni Nini ktk uislamu?ni ukimwi au korona?

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 6 měsíci +1

    Sheikh acha uongo Maulid sio masaala khilafiya kwa nn unawabeza wafuasi wako????
    Waeleze sasa masaala khilafiya ni yapi????

    • @user-yb9cl6fr6l
      @user-yb9cl6fr6l Před měsícem

      Kwani inbu taimiya kasemaje kuhusu maulidi kama sio masuala ya khilaafiya kenge mmoja usiejua kitu

    • @user-yb9cl6fr6l
      @user-yb9cl6fr6l Před měsícem

      Kwenye majmuua ti mukhkhallafaati

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 Před 6 měsíci +2

    Samiri sifa za bure lkn hamna kitu,,,kichwa kimejaa bidaa nyingi tu ,,, masufi wamuita al allama.

  • @omytifa6403
    @omytifa6403 Před 6 měsíci

    MashaALLAH sheikh ❤

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 Před 6 měsíci

    Masheikh wa kishia

  • @binaamour318
    @binaamour318 Před 6 měsíci +1

    Kawrekebishini huko makaburin waliko kama nyinyi n wajuzi kweli w dini kama mnaweza raddi zilizokuwepo zlikuwa za kutunga vitabu unaraddiwa kw kitabu sasa nyinyi mnalifanya hili hamufanyi wala hamuwzi

  • @muhammedomaryshembilu8539
    @muhammedomaryshembilu8539 Před 6 měsíci

    Masufy 😂😂 mnahaha Sasa hv watu wanabainishiwa kisawasawa mnaogopa hadi kuzungumza ujingaujinga

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 6 měsíci

    Kutoka ujana mpaka uzee ji Bidaatu. Ebujilekebisheni. Msione haibu kutokakwenye Bidaa. Muogopeni Allah nasiyokutaka sifa za kijinga

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 Před 6 měsíci

    VIPI KUHUSU ABDULLAAHI BN MUBAARAK ALIVYOKUWA AKIWATAJA WATU WA BID'AH KWA MAJINA BORA USEME HUJUI KULIKO USEME HAMNA

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před 6 měsíci +2

    Aisee hamna kitu bonge la shekh 0

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 Před 6 měsíci +1

    Sasa umepinda alaf usirekebishwe

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s Před 6 měsíci

    Mbona hata hiyo hatimy wa lamu..muhama iddy.na masufy wanataja watu..kama nakshibendi alietumbuliwa usheikh wa mkoa..

  • @musawaziri5088
    @musawaziri5088 Před 6 měsíci

    KAMA ALIVYO SEMA IMAMU SHAFI UKIINGIA KATIKA USUFI MWANZO MWAMCHANA HAIFIKI JIONI UMEKUA MPUMBAVU

    • @nassifsuleiman9860
      @nassifsuleiman9860 Před 6 měsíci

      Hahaha Sahihi kbsa Akhy, hawa Masufi nisba yao ni hyo wala hawawez kuikwepa, yaan huyu ndio Sheikh wao mkubwa hali yake ni hiyo akwambia kwenye sheria hakuna kutaja majina ktk ruduud sasa hao wengine sjui itakuaje hali zao

    • @joramnunu1449
      @joramnunu1449 Před 6 měsíci

      😮

    • @yussufmlekwa7892
      @yussufmlekwa7892 Před 4 měsíci

      Kasome vizuri maneno umonukuu hayajakamilika

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 Před 6 měsíci +2

    Ujasikia kwa sababu hutaki kusoma

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 Před 6 měsíci +1

    Mawahabi ni mayahudi

    • @nassifsuleiman9860
      @nassifsuleiman9860 Před 6 měsíci +2

      Basi mayahudi hawa wazur maana waamrisha watu tawhiid na kukataza watu shirki na bidaa

    • @user-tw4nf6bv8b
      @user-tw4nf6bv8b Před 6 měsíci

      Maskini km hujui kasome PALESTINA IMEINGIZWA MIKONONI MWA WAYAHUDI NA MASUFI KM HUJUI KASOME WAHABI NDO WAKAJA KUPAMBANA NA MYAHUDI JUA EWE SUFI KM SIO WAHABI HIJAZ YOTE INGECHUKULIWA NA MAYAHUDI SIJUI LEO UNGETEKELEZA IBADA YA HIJJA WAPI
      NAJUA HUJUI SOMA SOMA SOMA SOMA SOMA UTAJUA

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 6 měsíci

      Masufi nao ni mashia. Sababu ndiyo wameanzisha bidaa ya maulidi

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya9002 Před 6 měsíci

    Maulidi haya kuanzishwa Na masheykh, bali Na mashia acha uongo weye, tena mashia ambao wewe mlikua mkishambuliana k ipindi cha nyuma, Na ni mashekh wapi walio anzisha wataje ikiwa wewe ni mkweli kadhaaab

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 6 měsíci

      Nikuuliz kwni kuanzishwa Jambo htakama ni kafiri Jambo Hilo km ni zuri ktk dini alifai kufuatwa?Kuna mpaka fadhila za Qur'an amezielekeza ibilisi Tena kumuelekeza swahaba na Hali ya kuwa mtume ypo ktk zama hzi na mtume akaswadikisha elimu hyo, Leo ww unashangaa shia kuanzisha maulid!!acha ushamba twalii vzr na soma vzr

    • @yussufmlekwa7892
      @yussufmlekwa7892 Před 4 měsíci

      Si kweli sh alietunga barzanji aliwahi kuwa mufti wa madina na hakuwahi kuwa Shia kasome vizuri

  • @saadallah6287
    @saadallah6287 Před 6 měsíci +1

    Masufi mnashida sana

  • @nassifsuleiman9860
    @nassifsuleiman9860 Před 6 měsíci

    Acha uongo weye sufi kutaja majina watu ktk Ruduud kukiwa kuna budi hili ni ktk Sheria yetu tukufu ya kiislam, weye Angalia kina Abuu lahab, kina Firaun, Qaaruun, Haaman wote walikuwa watu wapotofu na Allah kawataja kawataja ktk kitabu chake kwa ubaya, haya majina hamuyaoni au mnasoma Qur'an kinyumenyume, hebu muogopen Allah km hamna Elmu nyamazeni acheni kuwadanganya watu

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 6 měsíci

      Nikkuulize hv kunamwachuoni yyte aliyeleta ikhtlaafu kw fir'aun au abi lahab!kuwa muelewa na mada inayozungumza uclete mada ambyao ni muttafaqu acha ujinga,sheikh Sameer aelezea ikhtilafu za wanazuoni na c ijimai za wanawazuoni

    • @nassifsuleiman9860
      @nassifsuleiman9860 Před 6 měsíci

      @@taurehassan7399 sio hvyo tu pia hakuna mwanachuon yeyote anaesema kuwa kutaja majina ktk ruduud si jambo la kisheria na huo ni mfano nimeleta na km wanachuon wameafikiana kuwa hilo jambo lafaa yeye ni nani aje kudanganya watu kuwa hilo jambo si la kisheriah au sheria aizungumzia yeye ni ya kisufi

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya9002 Před 6 měsíci

    Halafu tuchukulie kua haifai kumtaja mtu jina katika raddiy , je nyie masufiy hamuataji waislamu katika mimbari zenu kwa ubaya ? Bali hata muwakufurisha kabisaa , لا تنهى عن خلق وتأتي مثله عار عليك إذا فعلت عظيم Au kwenu kuwataja majina wengine ni sunnah ila kwetu masalafiy kukutajeni ni bad’aa , تلك إذًا قسمة ضيزى shida yenu mpo katika baatwil hamuafikishwi kuongea yalio sawa

  • @shmohd11
    @shmohd11 Před 6 měsíci

    لا ينكر المجمع عليه و ينكر المختلف فيه. طيب، Je ni hivyo tu?

  • @abuuammar4924
    @abuuammar4924 Před 6 měsíci

    Alafu hapohapo na yy anawapiga raddi watu

  • @user-xb5jm6of7n
    @user-xb5jm6of7n Před 6 měsíci

    Ingieni katika darsa zake ndo mtajua ni nani

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 Před 6 měsíci

    Hata kama ni khilafia ndo ufuate khitilafu

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 6 měsíci

    Yaani ukiwa sufi tu tayari huwezi tena kuyangaza mambo ktk uhalisia wake
    Dunia ya leo unajiringishia kusoma kwa Shekh Muhammad Bin Ayoub nyinyi mmefanya nn ktk dini hii zaidi ya kuwapotosha nakuwajaza waislam ujinga

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 Před 6 měsíci +1

    Amna wa kukujibu wewe mtu matamanio

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 Před 6 měsíci

    Uyu nani alimpa uo mudiri wa shamsia anielewi aongea mambo ya kijinga kabisa tuna subiria ujibu oja zile za Sheikh Abuwl Fadhil

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 Před 6 měsíci

    Yani umeanza kuongea mpaka saiv sioni hoja uliotoa

    • @JafariMisanya
      @JafariMisanya Před 6 měsíci

      Kwasabu2 hujui

    • @saidimtoni1148
      @saidimtoni1148 Před 6 měsíci

      Huwez kuona wakati hutaki kuona ,

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 6 měsíci

      Ssa hv unaweza kumfundisha kichaa akaona au akazingatia ulichomfundisha?ssa utamuelewa hpo sheikh kasema Nini wakt akili ya imeganda sehemu moja haifnyi kz km kichaa?kuelewa ni rizq baba na ni fat'hi kutoka kw mwnyewe

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 6 měsíci

    Hao Akina sheikh bin Sumeit Mohammed Ayoub na wengine Mungu awarehemu ni binadamu sifa ya kukosea ipo na wakirekebishwa je ndo Ushekhe wao unakwisha?????
    Sheikh Samir masheikh ni binadamu wanakosea na wanatakiwa kurekebishwa na sema kweli

  • @yusufhote
    @yusufhote Před 6 měsíci

    Hakuna msomi hapa

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před 6 měsíci

    Hahaaa jahili murakab

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před 6 měsíci

    Huyu anakiili kweli kwahyo kama sufi anajua mambo yoote hovyoo

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 6 měsíci

    Hata nyinyi masufi na watu wa Twarka acheni uzushiii na upotevu