Wuuueh hi story imenikumbusha apo gathesh after kemrif nikama unalekea baba kuna ploti inaitwa makamu..ka corona ndio imeanza carfew was 7 i think ama 8 pm ..Wueh vijana walisafisha ploti mzima mm ndio door 1 kwa entrance ....my husband had a brand new voxy apo nje maboy walikua wanarusha gas from 3rd flour kwa gari..alafu walikuja saa sita na dakika tano za usiku ...masanse tuliwapigia iyo tym coz tukona manumber za makarao katha..wueh ndio ujue hawa wezi hudeal na masanse walikuja saa saba na nusu ka washaenda alafu wanakuja wengi wa ruaraka wanatoka left wa lucky right ni ka ni waoga ati walikua wanangoja wa ruaraka ...
That's what I know, 42 brothers where mainly from Jericho but also some guys from dandora and other Eastland areas like kaloleni, shaurimoyo....etc. most where older than me and I'm way older than this brother here so he is not from the original 42 brothers but just the younger thugs that came up and took the name for fear fact.
Huyu ni mtoto sana kusema alikuwa mbogi ya 42 brothers
True
hii mbogi kuna siku nilkutana nayo kama nimetoka wera usiku walai mama yangu usitake jua
Tuna taka kujua wooiye... Ukona na video 📹 tuone 😅
Udaku haitaki uzembe hebu tuambie😂😂😂
🤣🤣🤣mimi nataka kujua what happened
😂😂😂😂
Kipchoge mode activated 😂
i cant wait to wach part 2 thank you edmac
Was young and this Gang was fire,they used even to Drop letters on your Door that they will be coming.
Ati nakaa 'zuzu' 😂😂😂 at least ako honest coz wote hudai walikua ma choppie
Wuuueh hi story imenikumbusha apo gathesh after kemrif nikama unalekea baba kuna ploti inaitwa makamu..ka corona ndio imeanza carfew was 7 i think ama 8 pm ..Wueh vijana walisafisha ploti mzima mm ndio door 1 kwa entrance ....my husband had a brand new voxy apo nje maboy walikua wanarusha gas from 3rd flour kwa gari..alafu walikuja saa sita na dakika tano za usiku ...masanse tuliwapigia iyo tym coz tukona manumber za makarao katha..wueh ndio ujue hawa wezi hudeal na masanse walikuja saa saba na nusu ka washaenda alafu wanakuja wengi wa ruaraka wanatoka left wa lucky right ni ka ni waoga ati walikua wanangoja wa ruaraka ...
Pia utuleteee gadafi wa koch plzzzz
Chenye nakumbuka na ngunyush ni githeri ya yellow, best i ever had😅
😂😂😂
🤣ata doggy ilikua ime-reform ndio iliwapiga escort bila kubweka
Alikua Criminal, but calling him a member of 42 brothers, ni kumOver-rate,
Nice life story
He was
Hizi ni uongooo
Mbona waizi wengi ni koch
Wacheni kutu letea watu waongo 1992 42 brothers ili kua ime isha alafu 42 ni jericho dream team
42 ilikua kubwa si Jericho pekee
Do you know what you are saying...olisika wapi
That's what I know, 42 brothers where mainly from Jericho but also some guys from dandora and other Eastland areas like kaloleni, shaurimoyo....etc. most where older than me and I'm way older than this brother here so he is not from the original 42 brothers but just the younger thugs that came up and took the name for fear fact.
Mʙᴏɴɢɪ ʏᴀ ᴍᴛᴜ 40😅😅😅😅
Alafu anacheka as if ni kitu mzuri alikuwa anafanyiwa watu nkts
Hii siwezi taka ata kusikia
Mbogi ya watu 40!! Hii ni Militia bana
Hii 42 brothers kna fundi viatu pia anasemanga alikwa mmoja wao na yeye ndo alibaki pekee yke inakwaje uyu tena ako 😮😮😮
🤣🤣🤣🤣🤣
Uᴇᴢ ᴇʟᴇᴡᴀ😂😂😂
Hii group ilikua kubwa karibu estate zote zilikua na hawa watu huku Eastlands
😂😂hujuangi msee auukuchapia story mpaka ajifanya star
Because kila mtu alienda kivyake akuna yule ANAJUA mwingine yuko hai 🤣
But still 1992?????na ulikuwa kwa 42 brathas?Uongo.
42 bros kwani walikua wa lini?
@@nyasimigeoffrey7737 90's,they used to be baaaad,wueeh but huyu has lied....
😂😂😂😂 hamuna huruma jamani