MADEBE NABII MSWAHILI:TUONYESHE HAYO MAJINI

Sdรญlet
Vloลพit
  • ฤas pล™idรกn 10. 05. 2021
  • ๐•Ž๐”ธ๐•‹โ„‚โ„ ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐•‹๐• ๐Ÿ“บ
    ๐—”๐—ญ๐—”๐— -๐Ÿฐ๐Ÿญ๐Ÿญ | ๐——๐—ฆ๐—ง๐—ฉ ๐Ÿฎ๐Ÿต๐Ÿฒ | ๐—ญ๐—จ๐—ž๐—จ-๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿด
    ๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—ง๐—œ๐— ๐—˜๐—ฆ-๐Ÿฐ๐Ÿฐ๐Ÿฐ & ๐Ÿฏ๐Ÿฏ๐Ÿฏ | ๐—–๐—ข๐—–๐—ข๐—ก๐—จ๐—ง ๐—ง๐—ฉ-๐Ÿฎ๐Ÿฌ |๐——๐—ผ๐—ฑ๐—ผ๐—บ๐—ฎ๐—–๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ-๐Ÿญ๐Ÿญ๐Ÿฏ
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐•ƒ๐•€๐•Š๐•‹๐”ผโ„• ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐”ฝ๐•„ ๐Ÿ“ป
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI ๐Ÿ“ป | 104.1 DODOMA ๐Ÿ“ป | 94.5 ARUSHA ๐Ÿ“ป | 97.3 MBEYA ๐Ÿ“ป | 94.9 MWANZA ๐Ÿ“ป | SHINYANGA 106.3 ๐Ÿ“ป | KIGOMA 101.7 ๐Ÿ“ป
    ๐”ฝ๐•†๐•ƒ๐•ƒ๐•†๐•Ž ๐•Œ๐•Š ๐•†โ„•:
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ
    ๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2020 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zรกbava

Komentรกล™e • 317

  • @dinotv1099
    @dinotv1099 Pล™ed 3 lety +79

    Yani kwakua mm niko mu Burundi mnaninyima like kweli apana ata Madebe naomba anijibu Ili nivimbe kitaa

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 Pล™ed 3 lety +52

    Hivi nikwel mmenima like leo๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

    • @dinotv1099
      @dinotv1099 Pล™ed 3 lety +3

      Ingezeeni dakika za kipindi maana izo nicace saana wanao kubali Ili gonga like

  • @halimahomar9474
    @halimahomar9474 Pล™ed 3 lety +4

    Hakuna siku nine enjoy km Leo ๐Ÿ˜Š kipendi cha madebe natamnii nije nimuone live Allah ampe umri mrefu Amin

  • @yusufmwash6299
    @yusufmwash6299 Pล™ed 3 lety +10

    Duh madebe Lidai mwenyewe, namkubali sana

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Pล™ed 3 lety +5

    Masha Allah nampenda sana madebe

    • @khamisboy8620
      @khamisboy8620 Pล™ed 3 lety

      Madebe nakukubali,misemo na mafumbo yako ni ya kufunza ma sha Allah.big up bro.254

  • @ramazanzibar8264
    @ramazanzibar8264 Pล™ed 3 lety +4

    Wamaa khalaktal jinni wal insi ila liya'abudun

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 Pล™ed 3 lety +14

    ๐Ÿ˜„km umesikia jamaa atatoa mbegu zake anavyo jua yeye gonga like

  • @raynaeafrica9464
    @raynaeafrica9464 Pล™ed 3 lety +8

    Madebe yuko sahihi๐Ÿ˜˜ ila huyo mzee ni ustadh feki๐Ÿ˜

  • @gervaskiria9687
    @gervaskiria9687 Pล™ed 3 lety +11

    Montown sanya mnyama sana kulaleq inabidi BG akupe crown #wcbforlife

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 Pล™ed 3 lety +12

    More love 4rm kenya likes za Madebe Lidai ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 Pล™ed 3 lety +35

    *Nani amegundua kama Madebe in Genius?*

  • @realremih
    @realremih Pล™ed 3 lety +16

    Madebe nampenda kishenzi

  • @threeboys3333
    @threeboys3333 Pล™ed 3 lety +4

    Daaaa mon town yahani fanya nyingine na Madebe lindai mahana hapo tumepata funzo tena

  • @twilamtumbi5351
    @twilamtumbi5351 Pล™ed 3 lety +4

    Mdogo wangu madebe wewe ni mwana sanaaa

  • @panchovalentino5922
    @panchovalentino5922 Pล™ed 3 lety +8

    Madebe Lidai fundiiiii ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi2187 Pล™ed 3 lety +1

    Paka ndani ya kipolo๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ

  • @justinekakobe7779
    @justinekakobe7779 Pล™ed 3 lety +7

    Ebhna...Mo.Town..๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ SANYA.nakubliii..Appriciet Nigga..MADEBE๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

  • @ndonetz6342
    @ndonetz6342 Pล™ed 3 lety +7

    akupe crown mondi

  • @sakaraboy8951
    @sakaraboy8951 Pล™ed 3 lety +9

    The Best show..........Madebe

  • @kingfilamutv1838
    @kingfilamutv1838 Pล™ed 3 lety +5

    Niko na wasafi ๐Ÿ“บ every time

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi2187 Pล™ed 3 lety +1

    Eti Mwana mume njo mutu mwana mke nivinadamu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Pล™ed 3 lety

    Wanaume wanapenda sana vya kuonekana ndio maana wanawake wanajichubuwa na ku vaa vigodoro๐Ÿฅฑ๐Ÿฅฑ๐Ÿฅฑ wanawake wanapenda sana vya kusikiya ndo maana wanaume wanadanganya sana

  • @seifabraham5836
    @seifabraham5836 Pล™ed 3 lety +6

    Mzeee muong sanaaaah

  • @JUNIPER_650
    @JUNIPER_650 Pล™ed 3 lety +5

    Mzee mwenye kanzu na kofia anazingua kweli๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

    • @mosucc1269
      @mosucc1269 Pล™ed 3 lety +1

      Mzee mtambo huyo hahahahaha

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 Pล™ed 3 lety +2

    Madebe misemo mingi umeshindwa kumpa mzee ayah inayosema mungu kaumba watu na majini.

  • @khalidbalala7753
    @khalidbalala7753 Pล™ed 3 lety +5

    Umesikia mwanaume ni mtu na mwanamke ni binadamu

    • @allysuleiman6022
      @allysuleiman6022 Pล™ed 3 lety

      Yote nimmoja hiyo but bin Adam nikiarabu na mtu nikiswahili chetu

    • @swalehemusakiluwa9405
      @swalehemusakiluwa9405 Pล™ed 3 lety

      @@allysuleiman6022 hapo umetuleta
      Bin adabu kiswahili chake ni binadamu yani mwana wa adabu
      Mtu kiarabu chake ni insaan

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani2983 Pล™ed 3 lety +10

    Hana pmzi lakini amefanikiwa anapesa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nimecheka sana peke Yangu

  • @ngaraboytz3023
    @ngaraboytz3023 Pล™ed 3 lety +14

    Bora ipotee ilizi kuliko kufa mganga
    ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

  • @aguerowakujidai6509
    @aguerowakujidai6509 Pล™ed 3 lety +10

    From Congo Brazzaville watching now

  • @dfinalpatrick8555
    @dfinalpatrick8555 Pล™ed 3 lety +8

    Uyu jamaa atakua ametokea mo-mosh town sanja juu

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale Pล™ed 3 lety +14

    Wakati Kiswahili kikifahamu Africa,movie watakazo zifuatilia walojifunza Kiswahili Kwa wakati huo zitakua niza madebe lidai,why?..wengi watataka kujifunza zaidi Kiswahili maana filamu zake zina mafunzo mengi sana na lugha sahihi ya Kiswahili..Hongera Madebe

  • @ulfatis-haq6009
    @ulfatis-haq6009 Pล™ed 3 lety +7

    Madebe you killing me

  • @acraymsigwa5945
    @acraymsigwa5945 Pล™ed 3 lety +6

    Nakubali madebeeeee

  • @joelbusinnerstvchannel9675
    @joelbusinnerstvchannel9675 Pล™ed 3 lety +30

    Kwa mala ya kwanza na kuwa wakwanza kuangalia #hivinikwel

  • @tonymufasa3324
    @tonymufasa3324 Pล™ed 3 lety +7

    Irudiweee madebe once again

  • @abuumasuudmuhammad5771
    @abuumasuudmuhammad5771 Pล™ed 3 lety +11

    Location bugurun sokon nilipita pale na daladala nikaona

  • @ahmedmustapha977
    @ahmedmustapha977 Pล™ed 3 lety +2

    Jmn safar hii mond akupe gar ww sanya ๐Ÿ˜unatish na pindi lako

  • @johnsonkuli7975
    @johnsonkuli7975 Pล™ed 3 lety +4

    ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Madebe ni fundi sanaaaaaa๐Ÿ‘Š.

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 Pล™ed 3 lety +13

    Madebe fundi Sana Bora irizi ipotee kuliko mganga kufa, paka ndani ya kipolo hahaa uongo unaharibu mahusiano Ila ukweli unamfanya umkose kabisa

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 Pล™ed 3 lety +9

    ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Du bola mganga afe kuliko hirikupotea

  • @ramadhanikasim7485
    @ramadhanikasim7485 Pล™ed 3 lety +13

    Nani aliona mzee wa kanzu anajilengesha lengesha aitwe

  • @abuibra
    @abuibra Pล™ed 3 lety +4

    Mzembe we, neno (bin)neno la Kiarabu hutumika kwa mwanaume na neno (bint)pia la Kiarabu hutumika kwa mwanamke.watu ni sote wanawake na wanaume, Bin'adamu hutumika kwa lugha ya Kiswahili ni kizazi cha Adamu kwahio ina husu pande zote mbili Adamu hakuzaa alio zaa ni Hawa. Na Hawa hakuzaliwa na Adamu ila kaumbwa kutokana na ubavu wa Adamu.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Pล™ed 3 lety +4

    Madebe kaka leo
    Nimekukubal stokuw
    Na upishi teeeeeeeeeena
    Kuanzia leo nakukubali
    Nimepata soma la mwenyez
    Mungu kuwa aliumba watu
    Na majina
    Wanaume wooote ni
    Watu Wanawake ndiyo
    Binaadam ukoo wa wanawake
    Ni bin Aadam nandiyo tuliwazaa
    Sisi watu! UWEZ kunielewa kama
    Aujamskiliza madebe

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Pล™ed rokem

    Nakuelewa sana ingawa najitia nina madigrii ile wewe recturer wangu tena prof.

  • @yasiralkindi5332
    @yasiralkindi5332 Pล™ed 3 lety +7

    Yaan tokea kianze hichi kipindi nimeikubali sana MKOJANI na MADEBE LIDAI

  • @billionnairm-pesa2314
    @billionnairm-pesa2314 Pล™ed 3 lety +4

    Nako congo

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 Pล™ed 3 lety +6

    Madebe lidai๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช

  • @khalidbalala7753
    @khalidbalala7753 Pล™ed 3 lety +3

    Surah tul Mulk ( Tabaraka) Mungu kataja twabaka 7 za ardhi ayah ya 3 na kuumba majini na binadamu ili kuniabudu sijakumbuka ni surah gani ila aya naijuwa" innah khalaqtul Jinnah wal innsah ila liabudun."

  • @OfficialmurraTv
    @OfficialmurraTv Pล™ed 3 lety +7

    Huyu mzee ni mbishi huko dar ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @malumejunior3674
    @malumejunior3674 Pล™ed 3 lety +3

    madebe ni fireee ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

  • @wanyooshetv9987
    @wanyooshetv9987 Pล™ed 3 lety +6

    KWENYE HILO DARAJA LA KUDANGANYA MWANAMKE HATA MIMI NIMEPITIA

  • @fatumamfaumeilawatafulia834
    @fatumamfaumeilawatafulia834 Pล™ed 3 lety +10

    ๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚WABONGO MNIACHEE GONGA BT DUUU NOMA KUMBEE ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Pล™ed 3 lety +7

    Chombo kwa hewa na sanya nembo ya mtaa ๐Ÿ‡ถ๐Ÿ‡ฆ

  • @hamishalidy9090
    @hamishalidy9090 Pล™ed 3 lety +3

    Kama umemuona huyo mzee mwenye Kaz weka like

  • @johnsaimon2352
    @johnsaimon2352 Pล™ed 3 lety +3

    Kweli kabisa kwa Tanzania hajawai kutokea msanii wa movie mwenye uwezo mkubwa kama Madebe lidai

    • @munguanaishitv
      @munguanaishitv Pล™ed 3 lety

      Hahhhh unaangaliaga movie?

    • @johnsaimon2352
      @johnsaimon2352 Pล™ed 3 lety

      @@munguanaishitv
      Sana lkn wengine hao umalekani unawapeleka ad wanaboa

  • @harunimfaume8692
    @harunimfaume8692 Pล™ed 3 lety +1

    Nakuelewa saana nabii kile kipengele cha kuimbaaa

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 Pล™ed 3 lety +7

    HICHI KIPINDI KIKIWA NA MADA KAMA HZ KITAZIDI KUDAMSHI

  • @johnngeche
    @johnngeche Pล™ed 3 lety +12

    Hana pumzi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
    Lakini kafanikiwa

  • @sakwamark5340
    @sakwamark5340 Pล™ed 3 lety

    Straight from 254 madebe anatisha...nasuburia "kufuru 4....

  • @jumaali9732
    @jumaali9732 Pล™ed 3 lety +5

    Njoo zanzibar

  • @hurrypatrice510
    @hurrypatrice510 Pล™ed rokem +1

    I love you guys, big up.

  • @stephanierona6592
    @stephanierona6592 Pล™ed 3 lety +2

    Waimbaji wa mo jamani mbavu zangu mie๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @billionnairm-pesa2314
    @billionnairm-pesa2314 Pล™ed 3 lety +2

    Ndo ya kwanza mie kupenda sna iyi

  • @nyagameshuki219
    @nyagameshuki219 Pล™ed 3 lety

    Thanks for wasafi media I

  • @ayubusanga2325
    @ayubusanga2325 Pล™ed 3 lety +4

    Madebe lidai

  • @smartbee001
    @smartbee001 Pล™ed 3 lety +2

    Can you make it visible to download and watch later plz the show is lit yaani๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

  • @japehtkakamba1726
    @japehtkakamba1726 Pล™ed 3 lety +1

    Mmh africa is watch du mkaliman wap ypo

  • @allyndingo1812
    @allyndingo1812 Pล™ed 3 lety +3

    Twende Kaz..!!

  • @siamejerry9239
    @siamejerry9239 Pล™ed 3 lety +2

    it's good to be with madebe

  • @alphaxardjubeckwa-ndahibha8725

    Pata piana hii

  • @hechaaclassic
    @hechaaclassic Pล™ed 3 lety +7

    Exclusively๐Ÿ’ฅ๐Ÿ”ฅ

  • @manchestercitybettartv5922
    @manchestercitybettartv5922 Pล™ed 3 lety +4

    Nimekuta vyuazi 921

  • @iamprincefelix
    @iamprincefelix Pล™ed 3 lety +1

    Hivi ni kweli hichi ndo kipindi bora wasafi tv

  • @user-xh7vw4kk7o
    @user-xh7vw4kk7o Pล™ed 3 lety +1

    Mashaallah wcb 4 life

  • @theluck9598
    @theluck9598 Pล™ed 3 lety

    Una ambiwa wanawake wanapend sana pesa kuliko tendo lakin chaajabu nachakuxhnga wanapata San mimba kuliko pesa paka inapelekea wan towa sana mimba kuliko sadaka yan madebe noma

  • @faharikhamis1042
    @faharikhamis1042 Pล™ed 3 lety +6

    Bora ilizi ipoteee kuliko mganga kufa

  • @farajatarimo998
    @farajatarimo998 Pล™ed 3 lety +4

    Sema wana mnatoaa maboko sanaaa

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Pล™ed 3 lety +4

    Ila mzee atakua ana majin๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius1036 Pล™ed 3 lety +2

    Safi san kwa kuiweka mapema hii

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c Pล™ed 3 lety +2

    Madebe lidai Penzi lako
    ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

  • @ticogeniux6133
    @ticogeniux6133 Pล™ed 3 lety +1

    Ha ha ha mo town hii tixha sanaaaaaaa

  • @miumanchannel197
    @miumanchannel197 Pล™ed 3 lety +3

    Daah eti bora irizi ipotee kuliko mganga kufa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

  • @Junilito
    @Junilito Pล™ed 3 lety +4

    Uyu Shekhe itakua anatafta mwaliko wa futari๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @wilsonjaphet5547
    @wilsonjaphet5547 Pล™ed 3 lety +6

    Mpeni kipindi cha MiSEMO ya pwani

  • @rozeypwizzy6472
    @rozeypwizzy6472 Pล™ed 3 lety +5

    mwenye kanzu na mtasbih amezubaa mpak ameitwa, hhh

  • @rogersmasamalodavid8289
    @rogersmasamalodavid8289 Pล™ed 3 lety

    Madebe lidai namba 1 wengine msubiri

  • @abdulabdallah947
    @abdulabdallah947 Pล™ed 3 lety +1

    ๐™ณ๐šž๐š‘ ๐š๐š˜๐š—๐š๐šŠ ๐š‹๐šŽ๐šŠ๐š ๐šœ๐š’๐š˜ ๐š™๐š˜๐šŠ ๐š’๐šŸ ๐šŠ๐š ๐š˜ ๐šž๐š—๐šŠ๐š ๐šŠ๐š๐š˜๐šŠ ๐š ๐šŠ๐š™๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

  • @mr.chaula4943
    @mr.chaula4943 Pล™ed 3 lety

    THE number ONE hivi ni kweli

  • @hekimakuciga7512
    @hekimakuciga7512 Pล™ed 3 lety

    Aise mnatufurahisha kweli atareeh

  • @abdallazakaria6953
    @abdallazakaria6953 Pล™ed 3 lety +17

    Gonga beat ya leo hatari ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… jamaa waimba kichina

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 Pล™ed 3 lety +1

    Mzee mwenye kanzu amezurura...pale napafikaje mwisho kamua

  • @lewiswanyama2596
    @lewiswanyama2596 Pล™ed 3 lety +2

    Mkuu

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Pล™ed 3 lety +6

    Jamaa wa t shirt ya red ana mzuka ila hajui mashairi,๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ

  • @hawamongwa6725
    @hawamongwa6725 Pล™ed 3 lety +2

    hao wanaoimba jamani nimecheka hadi machozi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

  • @barakachaula7050
    @barakachaula7050 Pล™ed 3 lety +4

    Hv hamnaga Voice record guys, Kuna Kiumbe Nimesikia kinasema "Tatizo Ubweche๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

  • @yasrkhan
    @yasrkhan Pล™ed 3 lety +3

    Madebe namkubali

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 Pล™ed 3 lety +9

    Hyo gonga bite hapana kwakwel watu kahawana meno๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 Pล™ed 3 lety +3

    Mo mungu a nakuona ulivyo kausha hucheki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

  • @skofficial8549
    @skofficial8549 Pล™ed 3 lety

    Nakubar madebe kama ange kuwa mwandishi wanafunzi wengepata tabu xanaaaa

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 Pล™ed 3 lety

    Mashallah kitaaa