MADEBE NABII MSWAHILI:TUONYESHE HAYO MAJINI
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 10. 05. 2021
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
88.9 DAR/ZNZ/PWANI ๐ป | 104.1 DODOMA ๐ป | 94.5 ARUSHA ๐ป | 97.3 MBEYA ๐ป | 94.9 MWANZA ๐ป | SHINYANGA 106.3 ๐ป | KIGOMA 101.7 ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Yani kwakua mm niko mu Burundi mnaninyima like kweli apana ata Madebe naomba anijibu Ili nivimbe kitaa
Utapasuka
X to do they need is to it and I will be there at the time and effort your day been my love I love you re ty I
Hivi nikwel mmenima like leo๐๐
Ingezeeni dakika za kipindi maana izo nicace saana wanao kubali Ili gonga like
Hakuna siku nine enjoy km Leo ๐ kipendi cha madebe natamnii nije nimuone live Allah ampe umri mrefu Amin
Duh madebe Lidai mwenyewe, namkubali sana
Masha Allah nampenda sana madebe
Madebe nakukubali,misemo na mafumbo yako ni ya kufunza ma sha Allah.big up bro.254
Wamaa khalaktal jinni wal insi ila liya'abudun
๐km umesikia jamaa atatoa mbegu zake anavyo jua yeye gonga like
Madebe yuko sahihi๐ ila huyo mzee ni ustadh feki๐
Sure kanzu kubwa afu hajui kitu
Montown sanya mnyama sana kulaleq inabidi BG akupe crown #wcbforlife
More love 4rm kenya likes za Madebe Lidai ๐ฐ๐ช
*Nani amegundua kama Madebe in Genius?*
Madebe nampenda kishenzi
Daaaa mon town yahani fanya nyingine na Madebe lindai mahana hapo tumepata funzo tena
Mdogo wangu madebe wewe ni mwana sanaaa
Madebe Lidai fundiiiii ๐ฏ๐ฏ๐ฏ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐๐๐
Paka ndani ya kipolo๐๐๐จ๐ฉ๐บ๐ฌ
Ebhna...Mo.Town..๐ฅ๐ฅ SANYA.nakubliii..Appriciet Nigga..MADEBE๐ฅ๐ฅ๐ฅ
akupe crown mondi
The Best show..........Madebe
Niko na wasafi ๐บ every time
Eti Mwana mume njo mutu mwana mke nivinadamu๐๐๐จ๐ฉ๐บ๐ฌ
Wanaume wanapenda sana vya kuonekana ndio maana wanawake wanajichubuwa na ku vaa vigodoro๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ wanawake wanapenda sana vya kusikiya ndo maana wanaume wanadanganya sana
Haya maneno sio pouw
@@ummulkheirally1841 ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mzeee muong sanaaaah
Mzee mwenye kanzu na kofia anazingua kweli๐๐
Mzee mtambo huyo hahahahaha
Madebe misemo mingi umeshindwa kumpa mzee ayah inayosema mungu kaumba watu na majini.
Umesikia mwanaume ni mtu na mwanamke ni binadamu
Yote nimmoja hiyo but bin Adam nikiarabu na mtu nikiswahili chetu
@@allysuleiman6022 hapo umetuleta
Bin adabu kiswahili chake ni binadamu yani mwana wa adabu
Mtu kiarabu chake ni insaan
Hana pmzi lakini amefanikiwa anapesa ๐๐๐๐nimecheka sana peke Yangu
Bora ipotee ilizi kuliko kufa mganga
๐คฃ๐๐คฃ๐๐คฃ๐
๐๐
From Congo Brazzaville watching now
Huyu madebe kiboko sio powa kwa uswahili hakuna anaempenda
Mpata
Uyu jamaa atakua ametokea mo-mosh town sanja juu
Wakati Kiswahili kikifahamu Africa,movie watakazo zifuatilia walojifunza Kiswahili Kwa wakati huo zitakua niza madebe lidai,why?..wengi watataka kujifunza zaidi Kiswahili maana filamu zake zina mafunzo mengi sana na lugha sahihi ya Kiswahili..Hongera Madebe
point
Madebe you killing me
Nakubali madebeeeee
Kwa mala ya kwanza na kuwa wakwanza kuangalia #hivinikwel
Irudiweee madebe once again
Location bugurun sokon nilipita pale na daladala nikaona
Asantee kwa taarifa๐๐๐๐
Hapo Ni Gongolambotp Ndugu
Jmn safar hii mond akupe gar ww sanya ๐unatish na pindi lako
๐๐๐ Madebe ni fundi sanaaaaaa๐.
Madebe fundi Sana Bora irizi ipotee kuliko mganga kufa, paka ndani ya kipolo hahaa uongo unaharibu mahusiano Ila ukweli unamfanya umkose kabisa
๐๐ Du bola mganga afe kuliko hirikupotea
Nani aliona mzee wa kanzu anajilengesha lengesha aitwe
hhhhh ni mm yule
๐๐๐Cjui kaagizwa tambi
Mzembe we, neno (bin)neno la Kiarabu hutumika kwa mwanaume na neno (bint)pia la Kiarabu hutumika kwa mwanamke.watu ni sote wanawake na wanaume, Bin'adamu hutumika kwa lugha ya Kiswahili ni kizazi cha Adamu kwahio ina husu pande zote mbili Adamu hakuzaa alio zaa ni Hawa. Na Hawa hakuzaliwa na Adamu ila kaumbwa kutokana na ubavu wa Adamu.
Madebe kaka leo
Nimekukubal stokuw
Na upishi teeeeeeeeeena
Kuanzia leo nakukubali
Nimepata soma la mwenyez
Mungu kuwa aliumba watu
Na majina
Wanaume wooote ni
Watu Wanawake ndiyo
Binaadam ukoo wa wanawake
Ni bin Aadam nandiyo tuliwazaa
Sisi watu! UWEZ kunielewa kama
Aujamskiliza madebe
Nakuelewa sana ingawa najitia nina madigrii ile wewe recturer wangu tena prof.
Yaan tokea kianze hichi kipindi nimeikubali sana MKOJANI na MADEBE LIDAI
Nako congo
Madebe lidai๐ฅ๐ฉ๐ช
Penzi lako
@@user-eg1dr6so4c una maana gn ??
Surah tul Mulk ( Tabaraka) Mungu kataja twabaka 7 za ardhi ayah ya 3 na kuumba majini na binadamu ili kuniabudu sijakumbuka ni surah gani ila aya naijuwa" innah khalaqtul Jinnah wal innsah ila liabudun."
Siyo Inna ni wamaa khalaqtu
@@tabibu.maulidkipuyuyu9655 shukran utadh Allah akubariq
Huyu mzee ni mbishi huko dar ๐๐
madebe ni fireee ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
KWENYE HILO DARAJA LA KUDANGANYA MWANAMKE HATA MIMI NIMEPITIA
๐๐๐๐๐๐WABONGO MNIACHEE GONGA BT DUUU NOMA KUMBEE ๐ฅ๐ฅ๐
Chombo kwa hewa na sanya nembo ya mtaa ๐ถ๐ฆ
Kama umemuona huyo mzee mwenye Kaz weka like
Kweli kabisa kwa Tanzania hajawai kutokea msanii wa movie mwenye uwezo mkubwa kama Madebe lidai
Hahhhh unaangaliaga movie?
@@munguanaishitv
Sana lkn wengine hao umalekani unawapeleka ad wanaboa
Nakuelewa saana nabii kile kipengele cha kuimbaaa
HICHI KIPINDI KIKIWA NA MADA KAMA HZ KITAZIDI KUDAMSHI
Hana pumzi๐๐๐๐๐
Lakini kafanikiwa
๐ ๐คฃ
Straight from 254 madebe anatisha...nasuburia "kufuru 4....
Njoo zanzibar
I love you guys, big up.
Waimbaji wa mo jamani mbavu zangu mie๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐๐๐๐๐๐๐
Ndo ya kwanza mie kupenda sna iyi
Thanks for wasafi media I
Madebe lidai
Can you make it visible to download and watch later plz the show is lit yaani๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Mmh africa is watch du mkaliman wap ypo
Twende Kaz..!!
it's good to be with madebe
Pata piana hii
Exclusively๐ฅ๐ฅ
Nimekuta vyuazi 921
Hivi ni kweli hichi ndo kipindi bora wasafi tv
Mashaallah wcb 4 life
Una ambiwa wanawake wanapend sana pesa kuliko tendo lakin chaajabu nachakuxhnga wanapata San mimba kuliko pesa paka inapelekea wan towa sana mimba kuliko sadaka yan madebe noma
Bora ilizi ipoteee kuliko mganga kufa
Sema wana mnatoaa maboko sanaaa
Ila mzee atakua ana majin๐คฃ๐คฃ
Umeonaeee
Safi san kwa kuiweka mapema hii
Madebe lidai Penzi lako
๐๐๐๐๐
Ha ha ha mo town hii tixha sanaaaaaaa
Daah eti bora irizi ipotee kuliko mganga kufa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Uyu Shekhe itakua anatafta mwaliko wa futari๐๐
๐๐kajilengesha muda mrefu
Mpeni kipindi cha MiSEMO ya pwani
mwenye kanzu na mtasbih amezubaa mpak ameitwa, hhh
Madebe lidai namba 1 wengine msubiri
๐ณ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐๐
THE number ONE hivi ni kweli
Aise mnatufurahisha kweli atareeh
Gonga beat ya leo hatari ๐ ๐ ๐ ๐ jamaa waimba kichina
๐๐๐๐๐๐๐
๐
Mzee mwenye kanzu amezurura...pale napafikaje mwisho kamua
Mkuu
Jamaa wa t shirt ya red ana mzuka ila hajui mashairi,๐๐๐
hao wanaoimba jamani nimecheka hadi machozi๐๐๐ ๐ ๐
Hv hamnaga Voice record guys, Kuna Kiumbe Nimesikia kinasema "Tatizo Ubweche๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Madebe namkubali
Hyo gonga bite hapana kwakwel watu kahawana meno๐๐๐ ๐๐๐
Mo mungu a nakuona ulivyo kausha hucheki๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐
Nakubar madebe kama ange kuwa mwandishi wanafunzi wengepata tabu xanaaaa
Mashallah kitaaa