S01E14 | JIFUNZE JINSI YA KUUNGANISHA SAUTI NA MUDA | KIPINDI CHA MUZIKI | Mwl. Alex Manyama
Vložit
- čas přidán 7. 07. 2021
- Ili kuifikisha huduma ya neno la Mungu mbali zaidi Tafadhari Subscribe kisha Like, Comment na Share
Tufuate Kwenye Mitandao ya Kijamii:-
Facebook: / theservantmedia
Mawasiliano:-
THE SERVANT MEDIA,
Parokia ya Chuo kikuu,
P. O. BOX 35027,
Dar es Salaam.
For Bookings
Phone Number +255758949904
+255788865025
Mungu akubarik kwa kazi hii nzuri. Nlikuwa cjui muziki hata kidogo Asa ivi nimeanza kujua sifa za muziki
Mwl nakukubali sana,umenifanya nitamani kujifunza muziki
Shukrani ndugu nimetafuta sana mafunzo ya muziki youtube... uko vizuri kaka
You gained a subscriber
Awesome! Thank you buddy. Be blessed abundantly!
nimependa mavunzo yako......unakipaji cha ualimu hongera
Kazi nzuri kaka napenda unavyofunza natokea Kenya Nairobi
Unaelekeza vzr sana na ninakuelewa mno. Nitazidi kukufuatilia
uko vzuri sanateacher
Shukrani ,Mungu awabariki kwa kukuza vipaji kwa mafuzo haya
Asante Mwl. tazama bar ya mwisho uongeze Minim moja ndiyo ziwe Nne.
Boss asante kwa ufundishaji wako ni mzuri, japo najaribu kukufuatilia kupata mafunzo mapya ya mwendelezo lakin sikupati. Hivyo naomba masomo mengine ya mziki !
Asante kumbe Uliongeza...safiii
Hakika up nafundisha vzr mnoo. Be blessed sir
Uko vizuri Manyama. Asante
Mwalimu uko vizuri asante kwa mafunzo mazuri
Hongera xaan Mungu akubarikiii mwalimu
Mwalimu nashukuru sana unafundisha vizuri sana nikupongeze na nimefurahi sana kwa sababu unafurahisha pia (GRAZIE MILLE.
Kaka uko vzr nimekukubali
somo lako nimelipenda sana
Kweli anapenda msos
Good
The lesson is very nice and clear
Napend
Thanks
BARIKIWAAA MNO
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 nakupa vyema
Mambo Mimi nataka nijifunza kuimba naomba muongozo
Hello Mwalimu,nice one
Nimelipenda darasa
YAAANI WEWE JAMAAA NI MWALIMUUUUU HEAVY
Mimi nilikuwa natafuta kujifunza mziki nakushukuru ndugu alex kwa kipindi iki naomba kujua chuo chako kiwapi niweze kufika.
Mwalimi Sasa mimeanza kukuelewa
Mm nataka kujua nota zaid
Mimi nimeanza kujifunza music sio muda
Nami natamani kujifunza music
Hapa ndipo tunatakiwa kuanza kuumiza kichwa sio pow
Mafunzo POA,uzindi kutuelimisha kaka.
Good session
Aise kaka nimechelewa saaana kuangalia tutorial nakupataje
Nimetazama hii video ila kwenye kuipata c hapo ndio nimechemka
Sambona C tunaipata hapo ukihesabu strings kutokea co itakua D
Mimi siwezi kabisa kutolea sauti tumboni nifanye mazoezi yapi ili na mm niweze kuimba vizuri
Mwalimu nashukuru sana maana nakuelewe sasa .sasa kama sinasauuti ndefu nifanyeje yaan pumzi ndogo,
Mwalimu what if nikiwa nataka kujifunza kama course unanisaidia vip hapo
Kipindi cha 12 na 13 sioni ,nisaidieni
i like you
Awesome..nipee nambari yako ya simu
Mwalimu naomba nijifuze sauti iliniwemwalimu namba yawasapu
Ila wewe ni mwalim
Teacher naomba namba yako ya whatsapp
Good