OGOPA WABABAISHAJI KANGA ANAFUGIKA KAMA UTAFUATA TARATIBU ZA KITAALAMU HAPA JOSASA FARMS.
Vložit
- čas přidán 29. 02. 2024
- kuuliza si ujinga uliza mtaalamu wa kanga tukufundiahe jinsi ya kumfuga Tangu akiwa kifaranga mbaka anakua mkubwaa
karibu saana hapa Josasa farms
tupigie simu 0654484175.
tunauza mayai ya kanga ,vifaranga na kanga wakubwa Kwa bei pouwa na tunatuma mikoani Kwa uaminifu mkubwa.
0654484175.
. #agriculture #kilimo #music #ng #farming
.@DodomaTv @kilimobiashara9361 @kilimotv1730 @kilimopesa27 @kangetakilimo6268 @shambadarasaTV
.
Meditative by MaxKoMusic | maxkomusic.com/
Music promoted by www.chosic.com/free-music/all/
Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 Unported (CC BY-SA 3.0)
creativecommons.org/licenses/...
Unauza sh ngap yai Moja au trei
Dodoma mkuu
Broo asante kwa elimu ya ufugaji bora
Karibu saana my brother
Barikiwa sana.
Unapatilana wapi kaka
Dodoma mkuu
Mayai unauza je
WEUPE -40000/= TREY
MADOA -30000/= TREY
WEUSI-5000/= YAI MOJA.
na vifarang weupe unauza je mimi niko arusha
@@elijahmakuku6555 0654484175 mkuu