MKE WA JIRANI PART { 7 }
Vložit
- čas přidán 9. 07. 2024
- #fry #fyp ytviral #1000subscriber #indiatrendingvideo #india #indianblogger #indianrailways #indiavira #foryourpage #movie #art #africa #usa #nigeriancomedy #1mviews #snakeboy #bollywood #youtube #amapiano #mkojani #kivyere #clamvevo #bestfriend #bigboss #mzimu #kicheche #kichechecomedy #lambalamba #kpnazebuu #bintinyoka #stevemweusi #mwanafunzi #mchawi #bongomovie #bongotrend #newvideo #bongoseries #newseries2023 #newmovie2023 #newfilm #tanzania #zakichawi #zamajini #zamapenzi #zashule #shortvideo #shortmovies #school #directorgozi #directorgozi #dontatv #dadawakazi #kijanatajiri #penzi #sanura #majini #indianblogger #eastafricasocialtv #shadowtv #doko #mwakatobe #chumvinyingi #babajoan
Watusa mm hapa nipeni like zangu na hamjawai nipaga ata sku moja ❤ nipeni zangu izo
Sio watusa ni watisa
Nipeni like sangu
😂😂😂😂😂 kalisiti bwana 😂😂😂😂😂😂
Mambwendeee unakula talakaaa😂😂😂
Kazi nzuri sana💪
Kali nanusu 🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Naikubali Sana iko poa 🎉🎉
Leo wakwanza gozi good work tunajifunza Sana ongera ❤❤❤
Kali sana
Wooow beautiful 🎉🎉❤❤
Hii move Kali sana hongera Sana NGOZI
Mambende😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Gozi kama gozi💪🏻💪🏻🙏🙏
Wah kwanza wapi like
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 from Bujumbura
Mkemia from Tanga Tanzania kaz nzur kaka tuk pamoja
Moto 🔥
Kali
Wakwanza Ku comment from Kenya... Like yangu
Mangekimambi na mambo ya maana 😮😮😮
good movie
Jirani wivu tu unakusumbua acha shobo🎉❤🎉❤🎉❤😂😂😂😂😂😂
Engineer gozi
Força Gozi ❤❤❤
Naona gozi ashaharibu hali ya hewa mpaka kinge kinamtoka leo jaman 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤
❤❤❤❤💖💖💋
❤😍❤😍
❤❤❤❤❤
@@hidayaabdallahnilhaam7235❤❤❤
@@user-cs4vr7vt3y ❤❤❤
O esperado saio, I'm from Mozambique 🇲🇿
😂😂😂😂😂Mambwende pakwenda huna 😂
Wa saba leo
Wewe si mtoto wa kiume
Gozi umekomala kazini baba ongera sana
Gozi bye the way, uko na advance sana, movie zako zuri mafuzo mazuri Asante
Kali mno😅
Gozi nakuelewa sana bro ,nakukubali zaidi ya Sana endelea kupiga kazi
Makin
Kiukweli gozi umetisha sana unyama ni mwingi ila dakika walau zifike30 itapendeza zai
Pole sana Gozzi uyo mke wa jirani Yako nimtihani kwako 😂😂mke kicece yani
Kazi nzuri kaka pambana
Kisabi area
Kaka umezidi kunikosha sana
Mungu azidi kukupa wepesi wakufikiria sana serie kama hizi
Nzuri sana inafunza kwenye nyumba za kupanga
Gozi nakubali maneno mazuri sana brooo Big up
Unajua sana kaka angu goz ❤❤❤❤❤❤❤
Bonge la onyo...usipo toa pesa Kwa wakti tafuta nyumba.... landlord mbya huyo.....😅😅
From kenya nimechelewa kidogo mimi shabiki wa gozi jamani
Iko vizuri hiii❤❤❤❤
Gozi kama gozi mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉nakubar kazi zako kazi nzuri ila unatia huluma kwenye mapenz wacha wakutese kweli vai katumwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mko vizuri sana kwakweli,useme mjitahidi kuiwaisha
Sio kwa utamu huno ,ila munatueka sana director
Mange Kimambi😮😂😂😂
We karist mucezo niwakula wanawake za watu stafute wakwako😂😂😂😂
One hour ago🎉
Wawoo Nice Movie ❤❤❤
Kamtishia mtumzima nyau😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sasa mambwende kazi unayo sasa utakuwa mume bwege😂😂😂😂😂
Kazi safiii❤❤❤gozii🎉naipenda hiii much love from 🇰🇪 🇰🇪 kenya kilifi mombasa
❤❤❤
Wakwanza huku🎉
Oya eeehh😂 like zangu bc hamjai like ata mara moja
Nawa kubali sana kutokea 🇨🇩🔥 Congo
Wakwanza Leo gutoka Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Mambwende bhana 😂😂😂😂😂 kulelewa shida jaman
Kupuyanga na mpuyangizo😂😂😂😂
Kazi nzuri bro gozi Big up sana
❤❤❤❤
Wow so nice congrats guys❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mr ghosi mau yako pokea❤❤❤❤❤❤
😂😂😂kazi nzr
Gozi kazi safi
Tunawapendasa
Ruben juma busumabu nawapata vyema
Wewe ndio bustani ya Eden, I swear to God, I never kukupiga you again 😂😂😂😂😂😂
Kenyan people let's gather here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jidahidini kubalansi mida, ndo maoni yangu. Maana vya jana kama vya juzi. Na vya leo kama vya siku ile.
Nice movi
Leo mimi wa kwanza ku post.
Chezea kufukuzwa mm na ww damu damu😂😂😂😂😂
nakukubali kak
😂😂😂 alikua anatikisa kiberiti 😂😂 yamekukuta mambo
Nzuri sana ❤🇹🇿
Genz hoyee saizi nikusalimia
Kwenye uo mlango mwambie mwenye nyumba ata panga mwenyewe
Good job Goz❤❤
Safari inaendelea
Tunao mkubl bro Gozi kutoka 🇰🇪🇰🇪Nipen like hpa❤
Vai ivi Umetumwa wewe😂😂
Wanaume tutafute pesa 😂😂 mumeona matokeyo ya lelea na wanawake?😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mimi shambiki wako kutoka Kenya
Wanaume wahivi kama wapo mtaolewa na kunyanyaswa mazala yakutafutiwa maisha na mwanamke kazi ipo
Ungekuwa 254 ningekupa mkono bro wallah kaz yko nzur hongera🎉🎉🎉 so ep 8 iwe na dakika kama hizi ama zaid karb kenya
Gozi movie unatupa matamu 😂😂😂🎉 by the way nashindwa huu msemo wako ni mkali mno nani anauweza arudie eti ama zikaya ooo nimeishiwa hapo 😂😂😂😂 jameni watu wa gozi ❤❤❤hongera bro kwa kazi nzuuri 🎉🎉🎉
Gozi kazi nzuri
Apo Kwa make kimambi 😂😂😂😂
Gozi nakukubali sana
Utapakwa mafuta mpuzii mmoja weee
Pamoja Good job
Umasikini huu pole mambwende 😢😢
Ikopowa sana
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Waaw nzuri sana gozi
Yewega shemed nihatari kweri
Wakwazaa reoo
Mnachelewa