MTOTO WA KIUME UNAKUA CHOCOLATE || UNACHANWA NA WENZAKO || UNAVAA DERA UDUYUTHY || SHEIKH RUSAGANYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 09. 2022

Komentáře • 220

  • @amepotea
    @amepotea Před rokem +7

    Mimi mkenya mkristo lakini nayapenda mafunzo yako Imam. Allah ukuzidishie afya njema na umri mrefu uzidi kutufunza mengi. Nashukuru zaidi.

  • @pauloflansisco5006
    @pauloflansisco5006 Před rokem +64

    Mimi ni mkristo ila huyu shekh amenibariki sana mungu amjaze miaka mingi

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 Před rokem +6

    Sheikh,Rusaganya Allah akulinde na azidi kukupa umbri mrefu wenye barka telee....!hafichi wala asingizii mtu,anaongea kweli Yale tunayoyaona katika jamii zetu siku hizi,tabia za kikafiri na za kideuyuth...katika vijana wenzetu.!tabia za ki Maghreb tunaigia lakini mwisho wake mbayaa..Allah atulinde na atuhifadh!

  • @yahyasix9025
    @yahyasix9025 Před rokem +7

    Tuchane live sheikh wetu rusaganya hakuna kuficha tumezidi mnoooo.....
    Nakukubali Allah akuongoze hata Kama tutamaind.

  • @allbab1554
    @allbab1554 Před rokem +10

    Mungu ampe umri mrefu huyu shekhe wetu Ana jitahidi kwanguvu zote kukemea maovu Allah akulipe maalim

  • @mrok284
    @mrok284 Před rokem +20

    Innalillahi wainnailaihi Raajiun.
    Shekhe umefikisha. Allah atufanye tuwe wasikivu.

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem +17

    Jazzakallah kheir ukiona inauma polee ndio dawa inakuingia na soon utapoaaa Allah akuweke sheikh wetu🤲

  • @evnctmb1824
    @evnctmb1824 Před rokem +25

    Waliomuelewa sheik wagonge likes apa

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Před rokem +25

    Shukran shekh rusaganya Allah akulinde popote ulipo wallah inauma Allah anusuru vizazi vyetu atujaaliye mwisho ulio mwema

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Před rokem +10

    MashaAllah shekh hua nakupenda sana kwa ajili ya Allah

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 Před rokem +9

    Umeongea ukweli mtupu shekhe hashim rusanya mimi nakupenda sana shekhe mana huwa unanyoosha maneno na unafahamika alhamdulilah allah akuhifadhi akujaliye umri mrefu na afya uzidi kutuelimisha

  • @daretowatch7214
    @daretowatch7214 Před rokem

    Ulevii umekithirii sana kwa vijana
    Allah atuongoze sie vijana wote
    Kongole kwa ujasiri wako Ustadh Allah akuhifadhi

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Před rokem +5

    Dalili ya kiama Mtume Muhammad s a w alitabiri hakitosimama kiama mpk waweko watu sio mjutaja Allah na maasi kuwa mengi ndio sasa Allah atujaliye kheir na kizazi na khatima njema

  • @explorelearnlive
    @explorelearnlive Před rokem +7

    MashaAllah, Mwenyezi Mungu Akulinde Elimu na nasaha zake zipate kuwafikia wote kizazi kwa kizazi (Umati Mohamad SAW)

  • @kanoa645
    @kanoa645 Před rokem +13

    This man is very good

  • @abrahmanhamad8800
    @abrahmanhamad8800 Před rokem +19

    Sheikh wetu Allah atuweke inshallah Allah akulinde kwa kila baya na ukujalie heri Allah Atujalie mwisho mwema Amen🙏🙏🙏

  • @abdubakar5428
    @abdubakar5428 Před rokem +6

    Asante Mufti, Pia Tunaiomba Mamlaka ( Serikali ) itilie mkazo katika kuhifadhi / kutunza/ maisha ya wafungwa kwa kupitia tume ya Rais, kwani huko ni moja ya chanzo cha hali hii ( karibu duniani kote)

  • @aishaisha-ph4pi
    @aishaisha-ph4pi Před rokem +6

    I like this sheikh English to much well done god bless u

  • @bilionearedecorationtv6955

    Allah akulinde na akupe kheri nyingi duniani na akhera pamoja na familia yako

  • @rauhiyaomary1118
    @rauhiyaomary1118 Před rokem +3

    mashallah shekh, hichi kitu kilikuwa kinaniumiza sana, nikawa najiuliza kwanini haikemewe, nikawanajisemea hivi huko kwa wenzetu hakuna mashekh wanajitia kanga maji na kukata viuno hadharani, akesha munajiita waislamu. lakini leo nimefurahi kweli Allah akubariki shekh wetu. Na huku kwetu Namuomba Rais wetu akumbuke yeye pia nimchunga atakwenda ulizwa kwa alichokichunga, hugo gopi miaka ya nyuma zilipigwa marufuku and. lakini leo watu wanatembea uchi, wanakuja kutoka bara tunawachia angie mbona huko bara kunasehemu kama Hospital ya jeshi Lungalo limeandikwa marufuku kuvaa ndio fupi na Jean's, na kweli haingii. hapa tunashindwa mini jamani.

  • @alifhmach_mozambique4355

    Ma sha Allah Allah akulinde na akupe afia Sheikh. Sio Tanzânia ata uku Mozambique 🇲🇿.

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 Před rokem +7

    Nampenda huyu Shekh Rusaganya Hakwepeshi Allah amlipe Kheri nyingi

    • @mikidadihussein5152
      @mikidadihussein5152 Před rokem

      Niwachache Sana kama hawa Maana WENGINE mmmh unaweza usiwaelewe mpka wanavuta aya za Allah kama mpira wamanati

    • @saidshukeri4986
      @saidshukeri4986 Před rokem

      Allah akupe umri mlefu

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Před rokem

      ​@@mikidadihussein5152 hahaha inaumaa

  • @habishracha3815
    @habishracha3815 Před rokem +2

    Shukurana Sana jazzaAllahu kheri ✅ 💯 🙏 sheikh Hashim. ukweli kabisa sheikh wetu Allahu Akbar Allahu Akbar 😭😭😭

  • @azisahamaan9278
    @azisahamaan9278 Před rokem +2

    Allah wafiche watoto wetu wa kiume Kwa Hali hiii🤲🤲🤲

  • @ashakhadaathumanimlenga46

    "Al hamdulillah: Jazak'allahu khair Sheikh

  • @sumayyahally866
    @sumayyahally866 Před rokem +5

    Subhannallah innarinllah wainairehi rajiuni Allah atuswamehe na atuepushe na hayo maaswi lnshaallah shukuran jaziran shehe wetu

  • @user-if3ti3hw2j
    @user-if3ti3hw2j Před 3 měsíci

    Allah akuhifadhi sheikh hali ni mbaya ktk jamii yetu

  • @SalimSalim-ec9jo
    @SalimSalim-ec9jo Před rokem +5

    Mungu akueke sheikh wetu.... Maneno Yasio na shaka ndani yake

  • @user-py3eq2st5w
    @user-py3eq2st5w Před 8 měsíci

    Ni mtihan sana allaah atusamehe na atuongoze,na atujalie mwisho mwema

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +3

    Mashallah tabaraka llah Kabisa nawaislam pia wanavuta bangi Subhanallah 😭 ya Allah tujaalie mwisho mwema 🤲🤲 Astaghfiru llah ya Rabala'alamiin 🙏🤲

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 Před rokem +1

    ALLAH_AQBAR
    MUNGU_MKUBWA
    Tujaalie Mwisho ulio Mwema Yarrab🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kanoa645
    @kanoa645 Před rokem +4

    Asante sana Hashim Rusaganya from Tanzania

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 Před rokem +6

    Shukraan sheikh wangu Allah akulipe pepo 🤲

  • @haithamjuma2472
    @haithamjuma2472 Před rokem

    Sheikh ushoga c ushenzi tu ushenzi sana Allah amrehemu sheikh wetu Almarhum Nyundo ingwa wengi walikuwa hwampendi. Kiukweli mashoga mnajidhalilisha hamjui km mwanamme ni kiongozi kwa mwanamke leo mnataka kuongozwa uo ni udhifu. Hongera sheikh

  • @hadijasaidi331
    @hadijasaidi331 Před rokem

    Shehe nakukubali sana tena sana,endelea na hizi harakati zako songa mbele usikate tamaa,kizazi chetu kinateketea,
    Wazazi tumeachia ulezi watoto wetu walimu mashuleni,hata mtoto akikosea mzazi akiitwa shuleni haendi yuko busy na kutafuta pesa
    Mashehe endeleeni na hizi harakati taifa letu lisiangamie jumla

  • @shaniabdul-reheman9793

    Allah akulipe kila la kheri shekh lusaganya

  • @zuhuraomar8849
    @zuhuraomar8849 Před rokem +2

    Na hao wanaobaka watoto wadogo mungu awalani kwa sababu wengine Wana akili ya kitoto hawasemi kwao waendelea mpaka wanaku mashoga mungu atustiri na watoto wetu

  • @SULTANkizito002
    @SULTANkizito002 Před rokem +4

    May Allah bless you sheikh

  • @user-jj2en2to3d
    @user-jj2en2to3d Před 4 měsíci

    Allah akulipe kheri kwa darsa zako hizi inshaallah

  • @queenmalikia3827
    @queenmalikia3827 Před rokem +4

    Mungu atupe mwisho mwema y’a rabi 😢😢😢😢😢

  • @mwigafarajakawageme2155
    @mwigafarajakawageme2155 Před rokem +1

    nmekuerewa sanaaa shehe mungu akubariki kwa ukweri mtupu

  • @Dr.Nanjase-it1li
    @Dr.Nanjase-it1li Před rokem

    Mashakka mwenyezmungu atunusuru na hili ......

  • @edgamjena-xr5xb
    @edgamjena-xr5xb Před rokem

    Shkh wng ustadh wang hashim rusaganya nakukubal sna mungu akuhifadhi akupe umri mrefu wenye kheir na ww mashekhe kama hawa ndo tunawataka

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před rokem +1

    ALLAH azidi kukuhifadhi shekhe wewe ni mfano wakuoigwa.

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 Před rokem +12

    Wallah vizazi vyetu vinaangamia, Allah atunusuru yaaarab! Allah (sw) akuweke sheikh wetu akulinde na kila baya dunia na kesho kiyama, akujaaliye yaliyo mema

  • @abdulaisha4145
    @abdulaisha4145 Před rokem +6

    Maneno ya keli kisha chakushangaza comet hata 20 hazifiki subhana Allah utadhani hatupo waislam

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 Před rokem

      Ingekuwa nyimbo ingeenda vario

    • @saeedabunajash6235
      @saeedabunajash6235 Před rokem

      Kwani bila comment ujumbe haufiki, huu ujumbe ni mzito kuliko comment

    • @abdulaisha4145
      @abdulaisha4145 Před rokem

      @@saeedabunajash6235 ww wacha kutetea kitu kilicho wazi hapo angali ni watu wangapi wamefungua hio vd na kuna comet ngapi .... Jina kubwa but kulitumia mashauri

  • @bimkubwad2063
    @bimkubwad2063 Před rokem +1

    Allah akujalie upate nguvu Zaid Shekh uzid kutuelimisha umma

  • @ismailkushinda8830
    @ismailkushinda8830 Před rokem +4

    😭😭😭🙏🙏 Kwelii sheikh Najitaid kuacha Kuvuta bangi naic moyo wngu Unaumaa sanaa

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 Před rokem

      Jitahidi na tia Nita allah atakuwezesha utatoka kwenye mashaka hayo

    • @fahmiidrissa5537
      @fahmiidrissa5537 Před rokem

      😂😂😂😂😂

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 Před rokem

      Inshaallah kwa uwezo wake utaacha tia Nia utacha,na cc twakuombea

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Před rokem

      Kumbuka mauti najilazimishe naishtaki rohoyako kwa muumba

  • @mecktildatushabe7898
    @mecktildatushabe7898 Před rokem +1

    Kiukweli Mungu usaidie vizazi vyetu sio wasilam tu din zote Mungu tusaidie

  • @hangaabdulrahman1255
    @hangaabdulrahman1255 Před 9 měsíci

    Na sio wewe tu uliyemandi nami nishamaindi sana,twaambie ukweli vijana tunapotea Shekh.

  • @fundimsati4026
    @fundimsati4026 Před rokem +15

    Shekhe na kamali skuizi zimekuwa ni kama jambo lakawaida sana kila gazeti, tv, radio, social media nk. Watu wamebadilishiwa majina tu 😭😭😭😭

  • @NasmaShomari-hd5if
    @NasmaShomari-hd5if Před rokem

    Amina wanawake wanakaa uchi sana

  • @zoab2699
    @zoab2699 Před rokem +1

    جزاك الله خير الجزاء يا الشيخ كله كلامك صحيح والله ya lait wakusikilize wafate na wana wake pia wa kuvaa nguo fupi na kuvaa suruwali kuonyesha chupi nje

  • @fadhilarashd8263
    @fadhilarashd8263 Před rokem

    Dah shekh wa nakukubali unachana live kama marehemu nyundo allah amubariki masheikh wangu

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Před rokem

    Allah akupe umri mrefu n akuhifadh n masheitwan w kijinni n wakibinadamu uzid kutuelimixha

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi Před rokem +3

    Mashaaallah ❤️❤️❤️

  • @libnashaban7604
    @libnashaban7604 Před rokem +1

    Mashallah, hakika ya ukumbusho utamfaa alie amin , ,

  • @ashajoj5786
    @ashajoj5786 Před rokem +1

    Subhana Allah, Allah (s.w.t) atuongoze ktk njia y her,sisi na vizazi vyetu,amiin

    • @Kondoa805
      @Kondoa805 Před rokem

      Subhanallah Allah atuepushe nahili ss pamoja na vizazi vyetu

  • @tatu5133
    @tatu5133 Před rokem +1

    Subhana Allah Allah atunusurie vizazi vyetu

  • @husseinmaula5914
    @husseinmaula5914 Před rokem +3

    Allha akukhifazi shekhe wetu

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před rokem +1

    Allah akufanye kauli yako iwe na nguvu na ifanyiwe kz in Shaa Allah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před rokem +1

    Shukran
    Shukran Yaarabi tupe mwisho mwema

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 Před rokem

    Shukrn sh hashim rusaganya, Allah akuhifadhi n kila shari

  • @radhiaali8043
    @radhiaali8043 Před rokem

    جزاك الله خير الله يحفظك صح كلامك

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Před rokem

    Hali mbaya sana tusubiri maangamizi,wasanii munazidi kupoteza umma acheni maovu jamii inaangamia

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Před rokem +1

    Asante xana mzee wangu kemea hili❤❤❤❤❤❤

  • @bakariadam3833
    @bakariadam3833 Před rokem

    Allah akuhifadhi shekh hashim nakusikiliza nikiwa mombasa kenya

  • @BabyJ-td5zc
    @BabyJ-td5zc Před rokem

    ALLA akubaaaaarik shekh wetu mpendwa

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 Před rokem +1

    😁😁😁😁mi shee nimemulewa wallahi htakma unajifanya humuelewi wewe peke yako,wanaume acheni utom boy😁😁sheikh wachaanee,pepo umepewa wallahi aamiin

  • @yasinhussein5112
    @yasinhussein5112 Před rokem

    MShallah dah ni hatar Allah akupe umli mrefu sheikh utupe dawaa

  • @buzikumsanga7058
    @buzikumsanga7058 Před rokem

    Sheikh Mungu akulinde uendelee kufundisha zaidi

  • @halimakiti-wl2qx
    @halimakiti-wl2qx Před rokem

    Mungu akupe maisha marefu

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Před rokem

    Mashaa Allah

  • @Nashondaniel
    @Nashondaniel Před rokem

    Unasema kweli Baba,,hata mtaani kwetu kijiwe Cha kahawa kila mwisilam anakuwa anavuta sigara

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Před rokem

    Mashaa

  • @aboubakarmtanje9851
    @aboubakarmtanje9851 Před rokem

    Sheikh unajitahid sanaa Allah akuripe kher ila unasahau kitu kimoja to ebu jaribu kutoa mafunzo kuusu kujitawala yaani lingania watu wamchukie kafiri wajue umuhm wa jihad kwani ukishika fardh ya jihad uovu wote huto uona kwa sasahv hunanguvu ya kuameisha kwan hauna kuwwa utabaki kubweka to kila siku

  • @jafarabubakar2451
    @jafarabubakar2451 Před rokem

    Ishallh shekhe mwenyezi mungu akulipe kheri

  • @khamissalim8708
    @khamissalim8708 Před rokem +3

    Subhanllah

  • @abdulaisha4145
    @abdulaisha4145 Před rokem +3

    Mashaa Allah huo ndio ukweli kabisaa wanatuaibisha kabisa

    • @muhammadabdallaali7743
      @muhammadabdallaali7743 Před rokem

      Naomba msaada mume wangu ni mganga wa kienyeji mimi kwangu nachukulia km mshirikina naichukia iyo kazi badala ya hayo kaamua kuowa mwanamke ambaye naye ni mganga pia nifanye je kuwaokoa aw kujiokoa mimi na ushirikina huo na jekudai talaka nitakua nimekosea

  • @millicentmwambaji2632
    @millicentmwambaji2632 Před rokem +3

    Shukran kwa ushauri wako inshaallah utasaidia

  • @sanurahimid1833
    @sanurahimid1833 Před rokem

    Mwenyezi mungu akulipe kheri

  • @suleimanjuma9831
    @suleimanjuma9831 Před rokem +1

    الله يسدد خطاك وينير طريقك

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o Před rokem

    Jaazakhanllah kheli أشكركم الله أكبر سبحان الله والحمد لله ولا اله الا الله والله أكبر Anllah akulipe kheli 🤲🤲😢

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Před rokem +1

    Shehe asante kwa kupeleka ujumbe kama ulivyo 😄tom boy

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Před rokem

    .May Allah bless you. Yaani sina maneno ya ya kujieleza...

  • @faridahkavochi8079
    @faridahkavochi8079 Před rokem +4

    Alhmdullillah Mashaallah ukweli

  • @hildegardchafwila5076

    Mungu akubariki Sana jamani vijana wanaangamia. Eee Mungu tusaidie.

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Před rokem

    safi sana sheikh Mola akujaalie, Mola anapenda watu km nyie

  • @hakizimanaomar8992
    @hakizimanaomar8992 Před rokem +1

    Allah atunusuru atuhidi vijana wakislam

  • @aziziwailu7531
    @aziziwailu7531 Před rokem +2

    Mashallaah

  • @abdanshakuranrajab6575

    بارك الله فيك يا غالي

  • @showejikinjekitile5942

    Asante shehe

  • @leylasalim9380
    @leylasalim9380 Před rokem

    ❤mashallah Allah SWT akuzidishie

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 Před rokem +2

    mashallah Allah akulipe

  • @crisantisindani3830
    @crisantisindani3830 Před rokem

    Ongera shekhe tulikuwa hatujui ndiyo wanatushauli tuslimu washindwe😁😁😁😁🤭🤜🤛

  • @rashidimrang3463
    @rashidimrang3463 Před rokem +1

    Mashaallah shekhe wangu nakukubali sana wallah allah akupe moyo wa kuwachana live wajinga wasio jielewa

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 Před rokem

    Hakika Allah atuepushe ni vilivyoharam APA duniani

  • @gozberthsalon4657
    @gozberthsalon4657 Před rokem

    Allah awafanyie wepex amen

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 Před rokem

    Shukran shekhe😰😰 kwakwel umma umeoza

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před rokem

    Subhanallah.