Sheikh,Rusaganya Allah akulinde na azidi kukupa umbri mrefu wenye barka telee....!hafichi wala asingizii mtu,anaongea kweli Yale tunayoyaona katika jamii zetu siku hizi,tabia za kikafiri na za kideuyuth...katika vijana wenzetu.!tabia za ki Maghreb tunaigia lakini mwisho wake mbayaa..Allah atulinde na atuhifadh!
Umeongea ukweli mtupu shekhe hashim rusanya mimi nakupenda sana shekhe mana huwa unanyoosha maneno na unafahamika alhamdulilah allah akuhifadhi akujaliye umri mrefu na afya uzidi kutuelimisha
Dalili ya kiama Mtume Muhammad s a w alitabiri hakitosimama kiama mpk waweko watu sio mjutaja Allah na maasi kuwa mengi ndio sasa Allah atujaliye kheir na kizazi na khatima njema
Asante Mufti, Pia Tunaiomba Mamlaka ( Serikali ) itilie mkazo katika kuhifadhi / kutunza/ maisha ya wafungwa kwa kupitia tume ya Rais, kwani huko ni moja ya chanzo cha hali hii ( karibu duniani kote)
mashallah shekh, hichi kitu kilikuwa kinaniumiza sana, nikawa najiuliza kwanini haikemewe, nikawanajisemea hivi huko kwa wenzetu hakuna mashekh wanajitia kanga maji na kukata viuno hadharani, akesha munajiita waislamu. lakini leo nimefurahi kweli Allah akubariki shekh wetu. Na huku kwetu Namuomba Rais wetu akumbuke yeye pia nimchunga atakwenda ulizwa kwa alichokichunga, hugo gopi miaka ya nyuma zilipigwa marufuku and. lakini leo watu wanatembea uchi, wanakuja kutoka bara tunawachia angie mbona huko bara kunasehemu kama Hospital ya jeshi Lungalo limeandikwa marufuku kuvaa ndio fupi na Jean's, na kweli haingii. hapa tunashindwa mini jamani.
Sheikh ushoga c ushenzi tu ushenzi sana Allah amrehemu sheikh wetu Almarhum Nyundo ingwa wengi walikuwa hwampendi. Kiukweli mashoga mnajidhalilisha hamjui km mwanamme ni kiongozi kwa mwanamke leo mnataka kuongozwa uo ni udhifu. Hongera sheikh
Shehe nakukubali sana tena sana,endelea na hizi harakati zako songa mbele usikate tamaa,kizazi chetu kinateketea, Wazazi tumeachia ulezi watoto wetu walimu mashuleni,hata mtoto akikosea mzazi akiitwa shuleni haendi yuko busy na kutafuta pesa Mashehe endeleeni na hizi harakati taifa letu lisiangamie jumla
Na hao wanaobaka watoto wadogo mungu awalani kwa sababu wengine Wana akili ya kitoto hawasemi kwao waendelea mpaka wanaku mashoga mungu atustiri na watoto wetu
Wallah vizazi vyetu vinaangamia, Allah atunusuru yaaarab! Allah (sw) akuweke sheikh wetu akulinde na kila baya dunia na kesho kiyama, akujaaliye yaliyo mema
@@saeedabunajash6235 ww wacha kutetea kitu kilicho wazi hapo angali ni watu wangapi wamefungua hio vd na kuna comet ngapi .... Jina kubwa but kulitumia mashauri
جزاك الله خير الجزاء يا الشيخ كله كلامك صحيح والله ya lait wakusikilize wafate na wana wake pia wa kuvaa nguo fupi na kuvaa suruwali kuonyesha chupi nje
Sheikh unajitahid sanaa Allah akuripe kher ila unasahau kitu kimoja to ebu jaribu kutoa mafunzo kuusu kujitawala yaani lingania watu wamchukie kafiri wajue umuhm wa jihad kwani ukishika fardh ya jihad uovu wote huto uona kwa sasahv hunanguvu ya kuameisha kwan hauna kuwwa utabaki kubweka to kila siku
Naomba msaada mume wangu ni mganga wa kienyeji mimi kwangu nachukulia km mshirikina naichukia iyo kazi badala ya hayo kaamua kuowa mwanamke ambaye naye ni mganga pia nifanye je kuwaokoa aw kujiokoa mimi na ushirikina huo na jekudai talaka nitakua nimekosea
Mimi mkenya mkristo lakini nayapenda mafunzo yako Imam. Allah ukuzidishie afya njema na umri mrefu uzidi kutufunza mengi. Nashukuru zaidi.
Mimi ni mkristo ila huyu shekh amenibariki sana mungu amjaze miaka mingi
Mtiani kwa kweli
Amiiin 🙏🙏🙏🙏
Ingependeza ukaslimu
Hakika ujumbe mzuri
Ingia basi kwenye dini ya tukufu ya Mwenye ezi Mungu na umkubali mtume Muhammad
Sheikh,Rusaganya Allah akulinde na azidi kukupa umbri mrefu wenye barka telee....!hafichi wala asingizii mtu,anaongea kweli Yale tunayoyaona katika jamii zetu siku hizi,tabia za kikafiri na za kideuyuth...katika vijana wenzetu.!tabia za ki Maghreb tunaigia lakini mwisho wake mbayaa..Allah atulinde na atuhifadh!
Tuchane live sheikh wetu rusaganya hakuna kuficha tumezidi mnoooo.....
Nakukubali Allah akuongoze hata Kama tutamaind.
Mungu ampe umri mrefu huyu shekhe wetu Ana jitahidi kwanguvu zote kukemea maovu Allah akulipe maalim
Innalillahi wainnailaihi Raajiun.
Shekhe umefikisha. Allah atufanye tuwe wasikivu.
Jazzakallah kheir ukiona inauma polee ndio dawa inakuingia na soon utapoaaa Allah akuweke sheikh wetu🤲
Waliomuelewa sheik wagonge likes apa
Mungu akupe umeri mrefu
Shukran shekh rusaganya Allah akulinde popote ulipo wallah inauma Allah anusuru vizazi vyetu atujaaliye mwisho ulio mwema
Aamiin
Allahumma amiin
MashaAllah shekh hua nakupenda sana kwa ajili ya Allah
Umeongea ukweli mtupu shekhe hashim rusanya mimi nakupenda sana shekhe mana huwa unanyoosha maneno na unafahamika alhamdulilah allah akuhifadhi akujaliye umri mrefu na afya uzidi kutuelimisha
Amiiin
Ulevii umekithirii sana kwa vijana
Allah atuongoze sie vijana wote
Kongole kwa ujasiri wako Ustadh Allah akuhifadhi
Dalili ya kiama Mtume Muhammad s a w alitabiri hakitosimama kiama mpk waweko watu sio mjutaja Allah na maasi kuwa mengi ndio sasa Allah atujaliye kheir na kizazi na khatima njema
MashaAllah, Mwenyezi Mungu Akulinde Elimu na nasaha zake zipate kuwafikia wote kizazi kwa kizazi (Umati Mohamad SAW)
This man is very good
Sheikh wetu Allah atuweke inshallah Allah akulinde kwa kila baya na ukujalie heri Allah Atujalie mwisho mwema Amen🙏🙏🙏
Asante Mufti, Pia Tunaiomba Mamlaka ( Serikali ) itilie mkazo katika kuhifadhi / kutunza/ maisha ya wafungwa kwa kupitia tume ya Rais, kwani huko ni moja ya chanzo cha hali hii ( karibu duniani kote)
I like this sheikh English to much well done god bless u
Allah akulinde na akupe kheri nyingi duniani na akhera pamoja na familia yako
mashallah shekh, hichi kitu kilikuwa kinaniumiza sana, nikawa najiuliza kwanini haikemewe, nikawanajisemea hivi huko kwa wenzetu hakuna mashekh wanajitia kanga maji na kukata viuno hadharani, akesha munajiita waislamu. lakini leo nimefurahi kweli Allah akubariki shekh wetu. Na huku kwetu Namuomba Rais wetu akumbuke yeye pia nimchunga atakwenda ulizwa kwa alichokichunga, hugo gopi miaka ya nyuma zilipigwa marufuku and. lakini leo watu wanatembea uchi, wanakuja kutoka bara tunawachia angie mbona huko bara kunasehemu kama Hospital ya jeshi Lungalo limeandikwa marufuku kuvaa ndio fupi na Jean's, na kweli haingii. hapa tunashindwa mini jamani.
Ma sha Allah Allah akulinde na akupe afia Sheikh. Sio Tanzânia ata uku Mozambique 🇲🇿.
Nampenda huyu Shekh Rusaganya Hakwepeshi Allah amlipe Kheri nyingi
Niwachache Sana kama hawa Maana WENGINE mmmh unaweza usiwaelewe mpka wanavuta aya za Allah kama mpira wamanati
Allah akupe umri mlefu
@@mikidadihussein5152 hahaha inaumaa
Shukurana Sana jazzaAllahu kheri ✅ 💯 🙏 sheikh Hashim. ukweli kabisa sheikh wetu Allahu Akbar Allahu Akbar 😭😭😭
Allah wafiche watoto wetu wa kiume Kwa Hali hiii🤲🤲🤲
"Al hamdulillah: Jazak'allahu khair Sheikh
Subhannallah innarinllah wainairehi rajiuni Allah atuswamehe na atuepushe na hayo maaswi lnshaallah shukuran jaziran shehe wetu
Ameen yaarabbi alamin
Mashaallah
Allah akuhifadhi sheikh hali ni mbaya ktk jamii yetu
Mungu akueke sheikh wetu.... Maneno Yasio na shaka ndani yake
Ni mtihan sana allaah atusamehe na atuongoze,na atujalie mwisho mwema
Mashallah tabaraka llah Kabisa nawaislam pia wanavuta bangi Subhanallah 😭 ya Allah tujaalie mwisho mwema 🤲🤲 Astaghfiru llah ya Rabala'alamiin 🙏🤲
ALLAH_AQBAR
MUNGU_MKUBWA
Tujaalie Mwisho ulio Mwema Yarrab🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana Hashim Rusaganya from Tanzania
Shukraan sheikh wangu Allah akulipe pepo 🤲
Amiin thuma Amiin 🤲🏻🤲🏻
Sheikh ushoga c ushenzi tu ushenzi sana Allah amrehemu sheikh wetu Almarhum Nyundo ingwa wengi walikuwa hwampendi. Kiukweli mashoga mnajidhalilisha hamjui km mwanamme ni kiongozi kwa mwanamke leo mnataka kuongozwa uo ni udhifu. Hongera sheikh
Shehe nakukubali sana tena sana,endelea na hizi harakati zako songa mbele usikate tamaa,kizazi chetu kinateketea,
Wazazi tumeachia ulezi watoto wetu walimu mashuleni,hata mtoto akikosea mzazi akiitwa shuleni haendi yuko busy na kutafuta pesa
Mashehe endeleeni na hizi harakati taifa letu lisiangamie jumla
Allah akulipe kila la kheri shekh lusaganya
Na hao wanaobaka watoto wadogo mungu awalani kwa sababu wengine Wana akili ya kitoto hawasemi kwao waendelea mpaka wanaku mashoga mungu atustiri na watoto wetu
Kabsa
May Allah bless you sheikh
Allah akulipe kheri kwa darsa zako hizi inshaallah
Mungu atupe mwisho mwema y’a rabi 😢😢😢😢😢
Allahumma amiiin
nmekuerewa sanaaa shehe mungu akubariki kwa ukweri mtupu
Mashakka mwenyezmungu atunusuru na hili ......
Shkh wng ustadh wang hashim rusaganya nakukubal sna mungu akuhifadhi akupe umri mrefu wenye kheir na ww mashekhe kama hawa ndo tunawataka
ALLAH azidi kukuhifadhi shekhe wewe ni mfano wakuoigwa.
Wallah vizazi vyetu vinaangamia, Allah atunusuru yaaarab! Allah (sw) akuweke sheikh wetu akulinde na kila baya dunia na kesho kiyama, akujaaliye yaliyo mema
أللهم آمين
Ameen Ya Rabb Ameen
Maneno ya keli kisha chakushangaza comet hata 20 hazifiki subhana Allah utadhani hatupo waislam
Ingekuwa nyimbo ingeenda vario
Kwani bila comment ujumbe haufiki, huu ujumbe ni mzito kuliko comment
@@saeedabunajash6235 ww wacha kutetea kitu kilicho wazi hapo angali ni watu wangapi wamefungua hio vd na kuna comet ngapi .... Jina kubwa but kulitumia mashauri
Allah akujalie upate nguvu Zaid Shekh uzid kutuelimisha umma
😭😭😭🙏🙏 Kwelii sheikh Najitaid kuacha Kuvuta bangi naic moyo wngu Unaumaa sanaa
Jitahidi na tia Nita allah atakuwezesha utatoka kwenye mashaka hayo
😂😂😂😂😂
Inshaallah kwa uwezo wake utaacha tia Nia utacha,na cc twakuombea
Kumbuka mauti najilazimishe naishtaki rohoyako kwa muumba
Kiukweli Mungu usaidie vizazi vyetu sio wasilam tu din zote Mungu tusaidie
Na sio wewe tu uliyemandi nami nishamaindi sana,twaambie ukweli vijana tunapotea Shekh.
Shekhe na kamali skuizi zimekuwa ni kama jambo lakawaida sana kila gazeti, tv, radio, social media nk. Watu wamebadilishiwa majina tu 😭😭😭😭
Amina wanawake wanakaa uchi sana
جزاك الله خير الجزاء يا الشيخ كله كلامك صحيح والله ya lait wakusikilize wafate na wana wake pia wa kuvaa nguo fupi na kuvaa suruwali kuonyesha chupi nje
Dah shekh wa nakukubali unachana live kama marehemu nyundo allah amubariki masheikh wangu
Allah akupe umri mrefu n akuhifadh n masheitwan w kijinni n wakibinadamu uzid kutuelimixha
Mashaaallah ❤️❤️❤️
Mashallah, hakika ya ukumbusho utamfaa alie amin , ,
Subhana Allah, Allah (s.w.t) atuongoze ktk njia y her,sisi na vizazi vyetu,amiin
Subhanallah Allah atuepushe nahili ss pamoja na vizazi vyetu
Subhana Allah Allah atunusurie vizazi vyetu
Allha akukhifazi shekhe wetu
Allah akufanye kauli yako iwe na nguvu na ifanyiwe kz in Shaa Allah
Shukran
Shukran Yaarabi tupe mwisho mwema
Shukrn sh hashim rusaganya, Allah akuhifadhi n kila shari
جزاك الله خير الله يحفظك صح كلامك
Hali mbaya sana tusubiri maangamizi,wasanii munazidi kupoteza umma acheni maovu jamii inaangamia
Asante xana mzee wangu kemea hili❤❤❤❤❤❤
Allah akuhifadhi shekh hashim nakusikiliza nikiwa mombasa kenya
ALLA akubaaaaarik shekh wetu mpendwa
😁😁😁😁mi shee nimemulewa wallahi htakma unajifanya humuelewi wewe peke yako,wanaume acheni utom boy😁😁sheikh wachaanee,pepo umepewa wallahi aamiin
MShallah dah ni hatar Allah akupe umli mrefu sheikh utupe dawaa
Sheikh Mungu akulinde uendelee kufundisha zaidi
Mungu akupe maisha marefu
Mashaa Allah
Unasema kweli Baba,,hata mtaani kwetu kijiwe Cha kahawa kila mwisilam anakuwa anavuta sigara
Mashaa
Sheikh unajitahid sanaa Allah akuripe kher ila unasahau kitu kimoja to ebu jaribu kutoa mafunzo kuusu kujitawala yaani lingania watu wamchukie kafiri wajue umuhm wa jihad kwani ukishika fardh ya jihad uovu wote huto uona kwa sasahv hunanguvu ya kuameisha kwan hauna kuwwa utabaki kubweka to kila siku
Ishallh shekhe mwenyezi mungu akulipe kheri
Subhanllah
Mashaa Allah huo ndio ukweli kabisaa wanatuaibisha kabisa
Naomba msaada mume wangu ni mganga wa kienyeji mimi kwangu nachukulia km mshirikina naichukia iyo kazi badala ya hayo kaamua kuowa mwanamke ambaye naye ni mganga pia nifanye je kuwaokoa aw kujiokoa mimi na ushirikina huo na jekudai talaka nitakua nimekosea
Shukran kwa ushauri wako inshaallah utasaidia
Mwenyezi mungu akulipe kheri
الله يسدد خطاك وينير طريقك
Jaazakhanllah kheli أشكركم الله أكبر سبحان الله والحمد لله ولا اله الا الله والله أكبر Anllah akulipe kheli 🤲🤲😢
Shehe asante kwa kupeleka ujumbe kama ulivyo 😄tom boy
.May Allah bless you. Yaani sina maneno ya ya kujieleza...
Alhmdullillah Mashaallah ukweli
Bonyeza 👇 bonyeza
czcams.com/video/TIue5Q_2Ie0/video.html
Mungu akubariki Sana jamani vijana wanaangamia. Eee Mungu tusaidie.
safi sana sheikh Mola akujaalie, Mola anapenda watu km nyie
Allah atunusuru atuhidi vijana wakislam
Mashallaah
بارك الله فيك يا غالي
Asante shehe
❤mashallah Allah SWT akuzidishie
mashallah Allah akulipe
Ongera shekhe tulikuwa hatujui ndiyo wanatushauli tuslimu washindwe😁😁😁😁🤭🤜🤛
Mashaallah shekhe wangu nakukubali sana wallah allah akupe moyo wa kuwachana live wajinga wasio jielewa
Hakika Allah atuepushe ni vilivyoharam APA duniani
Allah awafanyie wepex amen
Shukran shekhe😰😰 kwakwel umma umeoza
Subhanallah.