Asante Yesu Kristo kunitia nguvu na kuhuisha nafsi yangu na kuniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lako. Nimeongezewa nguvu asanteni kwa ujumbe watu wa Mungu. Neema daima.
Watu kama wewe mmebaki wachache sana. Wengine wote ni wachumia matumbo yao. Kaza mwendo mtumishi, Mungu akuzidishie neema na nguvu na hasa kipindi hiki ambacho manabii wa uongo ni wengi.
Mtu ni roho sio mavazi wala vichwa unaweza tu ukafundisha wewe Roho hajasema naye hayo yako so sikiliza anachosema hapo kikae kichwani kabla hujajifunza kufunika kichwa każą Roho Imani.Amen wacha kuangalia watu njee bado unahitaji somo
Asante Baba,nabarikiwa sana na mafundisho yako Toka mwaka 2000 mpaka Sasa naona Baraka kubwa kwenye maisha yangu🙏
Nami pia mtu wa Mungu.
Na barikiwa na kutiwa nguvu na mafundisho hay kila napo hisi shaka bc mafundisho yako yan nitia nguvu Mungu azid kukutunza Baba 🙏
Amen mwalimu, nimebsrikiwa sana mtumishi. Mungu azidi kukupaka mafuta kwa kusudi alilokuwekea hapa duniani.
Mungu akupe maisha marefu
Asante Yesu Kristo kunitia nguvu na kuhuisha nafsi yangu na kuniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lako. Nimeongezewa nguvu asanteni kwa ujumbe watu wa Mungu. Neema daima.
Bwana Yesu akutiye nguvu usiku na mchana hata milele. Amen.
Nashukuru kwa neno zuri, ubarikiwe sana.
Watu kama wewe mmebaki wachache sana. Wengine wote ni wachumia matumbo yao. Kaza mwendo mtumishi, Mungu akuzidishie neema na nguvu na hasa kipindi hiki ambacho manabii wa uongo ni wengi.
Kwali mwalimu uwa mafundisho yako inanigusaa mungu akubariki san baba
Ubarikiwe baba mungu haendelee kuku tumia
Mungu akutunze baba
Bwana Yesu akulinde pamoja na uzao wako. Amen.
Asante Yesu kwa ujumbe wako mkuu juu ya kuijenga Imani yangu kwako, Amen
Amen neno la baraka babangu
Mungu akubariki na kukutunza mtumishi na Mwalimu ulifanyike kuwa Mkuyu duniani
Iyo suti Mwalim nimeielwa sana
Amen Asante Yesu,Mungu akuongeze miaka mingi Baba ya kutufundisha neno lake 🙏
Mungu atutie nguvu sana
Powerful. God bless you Mwalimu. This is mine.
Amen kubwa Mtumishi wa Mungu Aliye Hai 🙌 🙏
AMEN
🙏🙏🙏 naamini
Amen Amen
Ameni
Ameeeen kubwa ila fundisha wanawake waliokoka wafunike vichwa na waache mapambo
Mtu ni roho sio mavazi wala vichwa unaweza tu ukafundisha wewe Roho hajasema naye hayo yako so sikiliza anachosema hapo kikae kichwani kabla hujajifunza kufunika kichwa każą Roho Imani.Amen wacha kuangalia watu njee bado unahitaji somo
Amen amen amen amen amenamen amen
Sipotezagi mda nikikusikiliza lazima nitoke na kitu changu hapo
Amina Mwalimu ❤
Aminaa
Amen. Ahsante Yesu
Amen Utukufu Kwa YESU
Amen 🙏🙏
Amina saana
Amen
Amen Baba
Amen....
Yes yes emen
alleluya
Amen
Amen