Stivo kwanza mashairi,kiswahili chake na kila kitu ame wakopi watanzania kwa mfano ,neno freshi barida ukifatilia comedy za tanzania kuanzia 2009 hadi 2010 hayo maneno hayakosi kwenye comedy ya watanzania,halafu tanzania kuna wasanii ambao wamemzidi stivo kama vile nash mc,kala jeremiah dogo janja na wengineo,stivo awachane na watanzania na awachie og khaligraph jones a deal nao og atabaki kukuwa og mistari yake ni ya kipekee haja copy popote pale stivo amejifunza sanaa kupitia watanzania.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hii imeeeenda, "this has gone" nimeanguka.huko, aki muniokote huko na likes , if u ❤ stivo simple boy.
😂😂😂mlimtoa na tulikua tumemficha😅😅😅😅 tumepoteza sasa.
Iyo Sow ya Kishumu niliikosajeee🤣
Ati ufalme wa hip-hop ni wetu😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hajui asemacho,huyo, anafikiria hip hop ni kuokota maneno na kuweka,hip ni Akili buana
😂😂😂stivo is the real OG.
😅😅😅😅
😂
Manze,hapo,kimeingia mchangani
😂😂😂😂
Stivo simple boy never disappoint 😅😅💪🏿💪🏿
stivo....i know..ua good...but you could be the weak link kwa hii beef..they could make an example from you ...na hatutakua na come back
Lenga😂😂😂😂😂
Huyu atafanya tudharauliwe kabisa😂😂... Haki si mngemficha hadi hii beef iishe? Mwijaku akiona hii interview sisi kwisha😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni noma sana ni ukweli huyu alifaa kufichwa Jo huyu aki Rap hivi tuwezi shinda hata Burundi 🤣🤣
😂😂😂nyinyi mnaonea stivo,watanzania wawache papara
Na hii mistari yote afichue why?
😂😂😂stivo ndio mfalme wa hip hop,,
Uko yege yege😂😂😂😂Stivo my guy.Chagua kati ya vichuna uweke ndani..
Mboya likes kwangu nyathii nyamera an nmba 1 kawuono
Cudoz Stivo.Mnipitie nifike 1000subscribers tafadhalini.
Stivo Simpal Bwoy mfalme wa HIP HOP hana DATA 🙆🏿🙆🏿🙆🏿
Right npo studio kuwashambulia nyie watanzania
Stivo mi nakupenda kujiaminia😂...big up❤
Our commender keep it up stevo simple boy tembea na upepo hii si wa tz tunAtaka burudani na si unyonge
Wee uko na talent ak stivo😂
Steve ajui chenye anasema,,Mungai na Mboya mmechoma kuita simple boy kwa hii interview 😂😂Kenya kwisha sisi,,😂😂
keep rocking man
Great improvement stivo can now talk freely ❤❤❤
Big up simple stivo bwoy❤❤🎉👊🏻👊🏻
Wow! 👍🏻
Nomareee 🔥🔥🔥
😂😂 weuwee 😂😂 stivo mwenyewe
Last time walisema uyu kenyaani😅
Steve atawabwaga watanzania one man army 😂😂
😅🤣stivooo🎉🎉🎉 your killing 😅 enyewe uki attack Kenya ni kutafuta shida
😀😀😀 kweli soli ya kiatu
I love the confidence in stivo
Hii imeenda ❤️🤣🔥
Huyu na yeye anarap kama bado tuko 90s 😂
Kila mtu ako na style yako boss 90's
I was about to say the same thing. Kenya bado sana😅
Ako yegeyege😂😂 kweli mwanamume ni kujiamini😂😂
😂😂😂uyu akiachaa anaongea tu
The Confidence for me 😅😅😅 Stivo to the world 💪💪
🤣🤣🤣🤣 ii talent ifichwe🤣🤣
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
real OG
Watu waache watoto wao waje kwetu maana ufalme wa mistari ni wetu.!!!! Hiii ilisha enda imeenda
😂😂😂 hamna kitu hapa
Kamili gado huyu ndio ameshikilia Kenya Yetu appreciate you broo❤❤❤
Tuko kamili gado hii ni kipande cha mwimbo wa profesa j
Mwanamuziki hana data kwenye simu very funny muulize harmonize kama hana data kwenye simu
In kenya we even support watu wa mathare
Si poa 😂😂😂😢
Naruka kama chatu😂
😂😂
😂😂😂😂,,, aaa da😢aa stivo hapo umenimada
Muangalie uso kama makalio ya CHIMANO 😂😂😂nyoooooh
😂😂😂Tumekwishaa hii nayo mumechomaa zzz mmetukwamisha kwa keyboard Stevo unaharibu🤒🤒
Mnasumbuana sababu ya lugha ama ni nini?
et huyu nae ni msanii! kenya mnasikitisha mubaki kwa mbio tu!
Na huyuu stivoo ni kichwa ngumuu,wewanti vayorens of wacha usoft bana😅😅🤣
❤❤kujihamini n poa simple boy
Yaani mmeishiwa hivi 😂😂
Simple boy freshi Barida
Simple Boy😂😂😂 mwenyewe
our one and only stevo☀☀
yege yege
Sijafungulia File🤣🤣🤣
jamaa anahitaji kukohoa kwenye beat na hio ni hit song 😂😂🔥
Duh huyu huyu pia ni msaniii 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💯💯💯💯🤣🤣🤣🥂🥂🥂🥂🥂🔐🥂🥂🎊🎊🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hii imeeeenda, aki imeeeeenda kapissaaaa.
😂😂😂😂😂Acha nicheke Kwanza
We umeskia hio 😂😂😅
When it comes to music, Kenya iko chini.., period!!
Elewa ni hip hop.
Nikama wamemroga Stivo Simple Boy, amebaki na akili tatu, nikuchoma ana choma, 😂
Put Respek on $tivo Boy the OG
😂😂😂Ati nani amesema mfiche simple boy kwa sababu ya hii vita??
Steve ni rapa au ni RnB,anatuconfuse
😂😂😂😂😂😂😂 am on the floor please help my ribs
Nani amepea stivo fobe😂😂😂
I like mistari Bana
Yege Yege
😂😂 Stivo anajidiss ati ako na akili tatu kama sol ya kiatu😂
😅😅😅
Kumbe pia wwe umeona hiyo kitu😂😂
😂😂😂akili na brain ni kitu same??
@@thejirmas3104akili ni mind, ubongo ni brain 😂😂😂
Hiyo akili tatu na soli ya viatu, Stivo ni mkali, 😅😂
hatari sanaaaa
Wasanii Tanzania hoyeeeee. Mimikenya. Kenya mambo bado, twajaribu.Hushindani na Ndovu kunya.
Stivo walae unagraduate lini
😂tunakuchocha walae
Stivo anachoma Ako chini kama hiyo kiatu
Steevo wanakutaftia matusi,,watz apo kwa matusi watakujengaa😢
😂😂ww n noma sana
Yow my boi😅😅
❤❤❤stevo Ako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
mambo ni mbombombo😂
Can. Mboya pronounce hip pop tena
he lit😅
Huyo boy n mjinga sana hajui kuongea ako na kigugumizi huyo anaeza shindana na tz kwl 😂😂😂 anatuonea wivu
ee hadi wehu ni msanii ke
😂😂😂This is the part we declare Tanzania as the victors
Hamuwezi vita ya hiphop na tz ninyi acheni akili zenu chafu kama amin dada!! Mbona mnatia haibu! Kuweni na akili timamu basi wakenya! Mnanitia haibu!
Ako na akili kwani uyoo jmaa naona hajielw htaa kuongea hawez
Hii ndio gani rap ya class2 bro
Stivo amesema msubscribe kwa Mkenya mpole tafathalini🤣
Lets go Stivo🔥🔥🔥🔥🔥
But si diss zikuwe mp3 aki💔💀
Bro utachapwa radi😂😂
Simple boy amesema
maze mnakuaga na upuzi wa kenya nyinyi😀😀😀😀😀
Na nlikuwa najua stivo alone will ebd this beef😂😂😂
Guda Guda tu
Uko fty bro
OG😂😂😂
Kumbe stevo anakuanga na vibe
😭😭😭 si hukua tumechocha huyu msee mbaya
Hatujamchocha walai😂ile confidence anakuanga nayo,hata mimi sina.He is a celebrity
Lakini mungu anisamehee...ananikalianga ka squirrel
Stivo kwanza mashairi,kiswahili chake na kila kitu ame wakopi watanzania kwa mfano ,neno freshi barida ukifatilia comedy za tanzania kuanzia 2009 hadi 2010 hayo maneno hayakosi kwenye comedy ya watanzania,halafu tanzania kuna wasanii ambao wamemzidi stivo kama vile nash mc,kala jeremiah dogo janja na wengineo,stivo awachane na watanzania na awachie og khaligraph jones a deal nao og atabaki kukuwa og mistari yake ni ya kipekee haja copy popote pale stivo amejifunza sanaa kupitia watanzania.
😂😂😂😂 hahahaha this guy ..hajaamua 😅
Mbuta na omena😂😂😂😂 Mr 200%