VIDEO: ZAYLISA atoa MPYA "Sipendi KUZINI/Niliogopa/HAJI MANARA/Naishi NAE/
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Huyu mdada ni mpole sana jamani. Na ni mzuri saana Ma sha allah. 😍
Zai upo vizuri sana kwa majibu, maana hawa waandishi maswali yao yanaboa sana,safi sana
Mtu anauliza swali halafu analijibu mwenyewe kwa kirefu na kisha anataka jibu toka kwa mhusika
Wanaume wengi wanafeli kwenye kumtunza mpenzi /mke waambie zai 😂😂😂 tunadanganyikaga kwa vitu vidogo tu ..mjifunze kutunza wanaume wapenzi wenu
Sio wote hata wanaume wapo gubu kwani hujawahi kuona basi wewe wapo dunia nyingine😂😂😂😂
You are lovely ❤❤❤❤
❤❤❤
Kwa kweli mekap aaah hapana
Kwani maswali gani mnafika mbali
Waandishii vilazaaaa sanaaaaaa loh....asking an immature question aiseeeee
Ndo maana ya waandishi wahoji vitu vya ndani ili na ss tujue
Shikamoo make up daaaa
Mashekhe mumtizame vizur akiwa maulidni hakuna kama shekh anazalilisha uisilamu
Manara anafeli wanawake wote akiwa nao huwa akiwa matembezi kutoka naona huwa yy anafuraha akiwa na mpenzi wk anajiachia lkn wao hao wapenzi huwa hawana furaha mwisho wa siku wanamuacha hv huyo zeylisa anajitetea lkn kiukweli video nyingi sio hiyo mkono tu wa manara hajauwona ht akishikwa na manara huwa km hapendi hv km Hana furaha huyo sijui km hato muacha subirini atafute tu mwanamke wa kawaida dullah kashindwa ataweza yy na dulla msuzi mwanaume mdogo na alivyo haji amtake anataka pesa na umaarufu tu huyo km alivyo yule dulla tu na kabwagwa
Mm huyu manara
Unavo jishawuwa sasa kama si manara huyu 😅😅😅😅😅😅😅😅 unaeongelea duuh ila hiii dunia
Mbona km kakasirika kidogo km anataka kulia😅😅😅
Eti anaomba wasizungumzie hayo mambo🤣
Iyo mek up sasa😭
Rushaina ni mzuri na alikua haeki cna mecap na ht hajipambi cn
Mbona huyo bugatti tushamla saaana hlf msumbufu kwel kwel kwenye hela na kinga.. we zai muulize analikumbuka chimbo la pale chini ya best bite?? Acha kujishquwa ww
Ester kweli ?
@@fettyrashid9042 Yaan sijui nikuambiaje..huyu kaka anachexea wanawake sana..hata huyu atamuowa atamuacha.
Ilo dada linaringa sana anajibu kwakujishaua yaan
Ndio!! Analala na Bugatti hapo sasa
Hamna huyuu nimpole tuu na hapendi hayo maswali aulizwe ila Ndio kisha kua maarufu na kayataka yy a jitahidi tu ajibu
@@sofiajumaa4538eti mpole angekua mpole wanaume wasingemtwangwa
Mbona mdamkubwa halafu hakuna maswali ya mana
Unaona hajibu km atakaa nae au atadumu nae hajui hayo majibu tu yanamaswali yk haji analiwa tu
USO umekongorikaaa
kama wako
Eti hakuona akipewa mkono 😂😂 mjini shule
Waandishi acheni kumsumbua huyu mdada. Ni mpole saana. Anaonekana amechoshwa na maswali yenu.
Zey wachana na hawo wanahabari ni wajinga sana usikubali wanahabari kama Hawa wenye wanaingilia private life ya watu Kaa mbali nawo watakuyia husda
Make up shikamo
Mbon anazidi kuzeeka au mimi sioni vizir😂😂😂
Huoni vizuri
Wivu wanawake tupunguzeni
Make u haimpendez@@mapishiyetumazuri2312
Kapigwa mangumi huko maporini.. amewekwa mjelele
Hapana bwana mrembo. Labda walivorekodi
Unavyolinga sasa utasema kwa manara utaushi milele 😂😂😂 safari bado
Wewe Dada umenivunja mbavu 😂😂
😂 😂😂mlango huwooo mwz 9 tu
Sijui kama atakaa nae huyo bwana
Tumuachie mungu ,ww nibinadamu 😂😂
Mekap kha nyau mbaya
Sawa umbwa
Make pe siyo zuri jmn mimi siwezi kujiweka make pe non non👎👎👎
Amezeheka
Sasa ule USO ni wako? Tuliza mshono bibi
Hlf ww ni zai sio bure..Nikweli una sura ya uzee na unaonekana unashida ya afya@@BarbaraPatience-qt9cc
@Chany9950 hongera sana, I wish nikuone bila make up maana mmebaki wachache
Acha wivu
Mmekosa kazi munauliza mambo ya haramu sio ya halali kunafaida gani
Acha kupoteza mda copy yko n Dula makabila
Copy ya nini Fala wewe
😂😂
@@BarbaraPatience-qt9cc Fala n ww uko
KwKwel maswali Yao yanachosha
Zay pia nimpole!!!! Hawa wanahabari ni wajinga sana maswali ya utoto kweli
huyu si mke wa dulla makabila au nimekosea
Ndiye
Siye
@@pcmchealthcare9339 mwaka juzi si walifungwa ndoa jaman na kudai wanapendana sana ,acha nichek yale mahojiano yao,
@@mariajemutai2968 wameachana tayari au ,maana sielewi
Sikaachwa kias khah
Make up imemzeesha mashav yametumbukia mbon
Zaylisa you’re making bigger mistakes by the way you’re young woman 😂
Zarau za nini dada? Wenzio walizechezea hizo hela wakaziacha so tulia dada
Wacha atumie ni wakati wake....isikutie dhambi
Mnafiki huyu
Mwanamke unaolewa kila wakati nini kinakushinda kwenye ndoa wewe
Tamaa hivi haji asingekua na ela angemkubali
Rushaina ni mzuri kuliko wewe
Bila make up hutizamiki
Wivu tu
Kabisa
😂😂😂ni kwl hatizamik nlion clip tik tok😂😂😂
❤❤❤