VIDEO: ZAYLISA atoa MPYA "Sipendi KUZINI/Niliogopa/HAJI MANARA/Naishi NAE/

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

Komentáře • 83

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před 7 měsíci +3

    Huyu mdada ni mpole sana jamani. Na ni mzuri saana Ma sha allah. 😍

  • @RisasiRisasi-uj8fk
    @RisasiRisasi-uj8fk Před 7 měsíci

    Zai upo vizuri sana kwa majibu, maana hawa waandishi maswali yao yanaboa sana,safi sana

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os Před 7 měsíci +4

    Mtu anauliza swali halafu analijibu mwenyewe kwa kirefu na kisha anataka jibu toka kwa mhusika

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 7 měsíci +5

    Wanaume wengi wanafeli kwenye kumtunza mpenzi /mke waambie zai 😂😂😂 tunadanganyikaga kwa vitu vidogo tu ..mjifunze kutunza wanaume wapenzi wenu

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat Před 7 měsíci +1

      Sio wote hata wanaume wapo gubu kwani hujawahi kuona basi wewe wapo dunia nyingine😂😂😂😂

  • @mrsab303
    @mrsab303 Před 7 měsíci +3

    You are lovely ❤❤❤❤

  • @zakiaissa8202
    @zakiaissa8202 Před 7 měsíci +2

    ❤❤❤

  • @catherinemtweve2748
    @catherinemtweve2748 Před 7 měsíci +1

    Kwa kweli mekap aaah hapana

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 Před 6 měsíci

    Kwani maswali gani mnafika mbali

  • @Afsah90
    @Afsah90 Před 7 měsíci

    Waandishii vilazaaaa sanaaaaaa loh....asking an immature question aiseeeee

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 7 měsíci +1

    Ndo maana ya waandishi wahoji vitu vya ndani ili na ss tujue

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx Před 7 měsíci +1

    Shikamoo make up daaaa

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Před 7 měsíci

    Mashekhe mumtizame vizur akiwa maulidni hakuna kama shekh anazalilisha uisilamu

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 7 měsíci +1

    Manara anafeli wanawake wote akiwa nao huwa akiwa matembezi kutoka naona huwa yy anafuraha akiwa na mpenzi wk anajiachia lkn wao hao wapenzi huwa hawana furaha mwisho wa siku wanamuacha hv huyo zeylisa anajitetea lkn kiukweli video nyingi sio hiyo mkono tu wa manara hajauwona ht akishikwa na manara huwa km hapendi hv km Hana furaha huyo sijui km hato muacha subirini atafute tu mwanamke wa kawaida dullah kashindwa ataweza yy na dulla msuzi mwanaume mdogo na alivyo haji amtake anataka pesa na umaarufu tu huyo km alivyo yule dulla tu na kabwagwa

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Před 7 měsíci

    Mm huyu manara

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Před 7 měsíci

    Unavo jishawuwa sasa kama si manara huyu 😅😅😅😅😅😅😅😅 unaeongelea duuh ila hiii dunia

  • @user-bo3nt4ji2c
    @user-bo3nt4ji2c Před 7 měsíci

    Mbona km kakasirika kidogo km anataka kulia😅😅😅

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Před 7 měsíci

    Eti anaomba wasizungumzie hayo mambo🤣

  • @boragilbert
    @boragilbert Před 7 měsíci

    Iyo mek up sasa😭

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 7 měsíci

    Rushaina ni mzuri na alikua haeki cna mecap na ht hajipambi cn

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 Před 7 měsíci +1

    Mbona huyo bugatti tushamla saaana hlf msumbufu kwel kwel kwenye hela na kinga.. we zai muulize analikumbuka chimbo la pale chini ya best bite?? Acha kujishquwa ww

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 Před 7 měsíci

      Ester kweli ?

    • @esterpaul5856
      @esterpaul5856 Před 7 měsíci

      @@fettyrashid9042 Yaan sijui nikuambiaje..huyu kaka anachexea wanawake sana..hata huyu atamuowa atamuacha.

  • @user-fm3nu5xl3u
    @user-fm3nu5xl3u Před 7 měsíci +4

    Ilo dada linaringa sana anajibu kwakujishaua yaan

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Před 7 měsíci

      Ndio!! Analala na Bugatti hapo sasa

    • @sofiajumaa4538
      @sofiajumaa4538 Před 7 měsíci

      Hamna huyuu nimpole tuu na hapendi hayo maswali aulizwe ila Ndio kisha kua maarufu na kayataka yy a jitahidi tu ajibu

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Před 7 měsíci

      ​@@sofiajumaa4538eti mpole angekua mpole wanaume wasingemtwangwa

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 Před 7 měsíci

    Mbona mdamkubwa halafu hakuna maswali ya mana

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 7 měsíci

    Unaona hajibu km atakaa nae au atadumu nae hajui hayo majibu tu yanamaswali yk haji analiwa tu

  • @lucianagodson437
    @lucianagodson437 Před 7 měsíci +2

    USO umekongorikaaa

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před 7 měsíci +1

    Eti hakuona akipewa mkono 😂😂 mjini shule

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před 7 měsíci

    Waandishi acheni kumsumbua huyu mdada. Ni mpole saana. Anaonekana amechoshwa na maswali yenu.

  • @hassanabdullah2191
    @hassanabdullah2191 Před 7 měsíci +2

    Zey wachana na hawo wanahabari ni wajinga sana usikubali wanahabari kama Hawa wenye wanaingilia private life ya watu Kaa mbali nawo watakuyia husda

  • @user-jd9jv7di5n
    @user-jd9jv7di5n Před 7 měsíci

    Make up shikamo

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 Před 7 měsíci +5

    Mbon anazidi kuzeeka au mimi sioni vizir😂😂😂

  • @tatungwele2728
    @tatungwele2728 Před 7 měsíci

    Unavyolinga sasa utasema kwa manara utaushi milele 😂😂😂 safari bado

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Před 7 měsíci

    Sijui kama atakaa nae huyo bwana

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před 7 měsíci

      Tumuachie mungu ,ww nibinadamu 😂😂

  • @user-jj9br3ve1n
    @user-jj9br3ve1n Před 7 měsíci

    Mekap kha nyau mbaya

  • @chany9950
    @chany9950 Před 7 měsíci +7

    Make pe siyo zuri jmn mimi siwezi kujiweka make pe non non👎👎👎

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk Před 7 měsíci

      Amezeheka

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Před 7 měsíci +1

      Sasa ule USO ni wako? Tuliza mshono bibi

    • @esterpaul5856
      @esterpaul5856 Před 7 měsíci

      Hlf ww ni zai sio bure..Nikweli una sura ya uzee na unaonekana unashida ya afya​@@BarbaraPatience-qt9cc

    • @user-vz4xv7lg3x
      @user-vz4xv7lg3x Před 7 měsíci

      @Chany9950 hongera sana, I wish nikuone bila make up maana mmebaki wachache

    • @faridasaleh4982
      @faridasaleh4982 Před 7 měsíci +1

      Acha wivu

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Před 7 měsíci

    Mmekosa kazi munauliza mambo ya haramu sio ya halali kunafaida gani

  • @sitimwarakwe1830
    @sitimwarakwe1830 Před 7 měsíci +1

    Acha kupoteza mda copy yko n Dula makabila

  • @user-ic2xb5en9b
    @user-ic2xb5en9b Před 7 měsíci

    KwKwel maswali Yao yanachosha

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 7 měsíci +4

    Zay pia nimpole!!!! Hawa wanahabari ni wajinga sana maswali ya utoto kweli

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 Před 7 měsíci +2

    huyu si mke wa dulla makabila au nimekosea

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 7 měsíci +2

    Make up imemzeesha mashav yametumbukia mbon

  • @sabitinaeastafrica5822
    @sabitinaeastafrica5822 Před 7 měsíci

    Zaylisa you’re making bigger mistakes by the way you’re young woman 😂

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 7 měsíci

    Zarau za nini dada? Wenzio walizechezea hizo hela wakaziacha so tulia dada

  • @user-ik4ki3zo8c
    @user-ik4ki3zo8c Před 7 měsíci

    Mnafiki huyu

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před 7 měsíci

    Mwanamke unaolewa kila wakati nini kinakushinda kwenye ndoa wewe

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 7 měsíci +3

    Rushaina ni mzuri kuliko wewe
    Bila make up hutizamiki

  • @AdmiringRedRose-wm5be
    @AdmiringRedRose-wm5be Před 7 měsíci

    ❤❤❤