Dah huyu madam kanikumbasha mbali sana nilishafundishwa na teacher kama huyo anavibe siyo powa ukifanya kosa shule nzima itajua na usiombe kikanuka assemb utajuta kwenda shule😆
😂😂😂😂🙌🏾kwa wale waliosoma school ya tumekuja Zanzibar mnamo mwaka 2000 from 2 ule ukuta unaotokea pwani dahh ni mrefuu mnoo hata saivi ukiniambia niruke aisee 😂🙌🏾
😅😅 Ila hajakosa, aliye juu mfate huko huko, simba mwenda pole anaweza kuwa mzee, haya masomo tumeonewa sana hakuna jibu moja, simba mwenda pole kashiba yote majibu sahihi
@joti unafany kaz nzur sana ila naomb nikushaur kua jarbu jitahid kazi iendeee hata bila uwep wko yaani tafuta mrith wako tengenez team iltakayowez kuendeleza kaz hii, ili mungu akikuchukua uache atakaeshika kiti chako watu wazid kunufaika na channel hii na kukukumbuka
Dada mwalimu ni🔥🔥🔥🔥anajua,anajua na anajua tenaaaaaaaa
Dada uli igiza mwalimu ume vaa uhusika kabisa hongera
Asante
🤣🤣🤣🤣 Wangapi tulimmiss Jotiii weka like yako hapa Jotiii ni Genius 😂😂
likes unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba 😏
@@officialkamduduwaomba like leo baba umewapania😅😅😅
Hana kazi ya kufanya,ufahamu wake anajua like ni za kupeleka sehemu
@@emanuelngonyoka871 aweke makalio yake tu like.
maana cha ku like ni nini au yeye ndiye ka upload content?
@@officialkamdudu 🤣🤣🤣🤣🤣
Uyu dada kama mwalimu kweli😆😆😆🤣🖐
mashabiki wa joti naombeni likes hata 10 familia from kenya🇰🇪🇰🇪
likes unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba 😏
Mm nakupa usijaliiiii 😂😂😂❤❤❤
@@umalqasimalhamhami6707 Asante 😂❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@@officialkamdudu duh🤣
Mie nakupa dislike 👎
From East congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩Jotti never disappoint 🔥✊✅
Huyu Demu anafaa sana kuwa Teacher 😂😂.. au ni Teacher Nini??
Aisee inawezekana ni teacher huyu!!
kweli kbca
Sana amekaa kimwalimu mwalimu
Kwelii kabisa hadi nikawa nhisi ni mwalimu kwelii
Atakuwa ni mwalimu
King 👑 Of Comedy Joti love you my Brother God bless you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️🙌🙌🙌🙏
Dada mwalimu umetisha sanaa 👌
Always here for Lucas ( Joti) ❤️❤️
Mwalimu umenifraisha sana hapo mwisho mwishooo karuka kakuacha uko speed ...😃😁😁😁😁.waliompenda mwalimu nipeni like kama zote
Wameruka wakapitiliza😂😂😂😂😂meeehn talent ni talent for sure,
Eti mi ntaweza kweli mwalimu😂😂😂
Mwalimu:Simba mwenda pole
Andunje:Nimzee huyo😂
Mwalimu ongera sana.Umetisha sana yaan.😁😁😁❤❤👍👍
🔥🔥🔥
1 Mlewa kafanye kazi yangu sitaki kubishana na Memkwa😁
2.Mlewa uko fresh? Uko poa? Daka begi😂😂😂
Hhhhhhhhhh
King of comedian…likes for Joti⚡️❤
Napenda crew ya Joti.Naomba msiachane
From 254 joti is the best comedian in East Africa
This is a best talented man I ever see in east Africa
Kalembo... 🔥 🔥 Fev fem actor
pita na kwangu uone vichekesho vyangu uenjoy maisha
Ata uyo jamaaa ana faa kuigiza kama teacher💪💯
Kwakwer walimu Wana kaz ngum sana asee😢😢
Nice Job Mr Joti With Your Team
Joti... Mr Bean of Tanzania
ni mimi kabisa tulimtesa sana kilua na kachinga mkoma tulitesa sanaaa 🤣🤣🤣😂🙌🙌🙌
From Kenya wapi likes zenu
likes unazipeleka wapi kenge wewe ?
peleka ushamba Kenya huko 😏
Hii imeshawahi tutokea secondary 😂😂😂... joti umenikumbusha mbali
injinia wa comedy jot tumengoja sana video mpya ijumaaa wadau wako ila bro mie nakukubare sana unajua sana broo
Dah huyu madam kanikumbasha mbali sana nilishafundishwa na teacher kama huyo anavibe siyo powa ukifanya kosa shule nzima itajua na usiombe kikanuka assemb utajuta kwenda shule😆
Madam unajua sana, umeitendea haki
Hahaa kawimbo kangu pendwa kadarasa lapil, nikikasikia 😂 najua mida yakwenda hom , boma ilala iyo hahaaa joti ume nikosha 😂
Joti huna akili hata chembe😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪👌
Love from zenji❤❤❤
Fantastic episode 😅😅😅
😂😂😂😂😂 jot never disapoint madam umeweza
Thank you Mr Joti but I didn't see anything from you last Friday!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Benjam mkapa high school kpnd Bakhresa Block haijakamilika tulimtesa sana mwl.Joel aka Magongo🤣🤣🤣🤣
Nimekumbuka mbali sana 😂😂😂
Anafaa huyo madam awe discipline mistress
Joti anajua🔥🔥
N hatr..
Kaka unacheka sana 😀😀😀😀💯💯💯
Joti you should know kuna hizi socks na kuna shirt ya collar tu. But hiyo collar unavaa kama uko na sweater.
Umenikumbusha mbali😂😂😂🙌🏽🙌🏽
Simba mwenda pole "mzee"🤣🤣🤣
Wiki ile niliumia sana baada ya kukosa kumuona jot
Alikuwa bungeni
😹😹 shule itakuwa Ina mauza uza 😹😹😹
Joti nataman usizeeke kabisaaa
These are the real comedians😂😂😂
from Burundi joti number one
Joti😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥❣️❤️
Last week umetuangusha joti nini tatizo? Ila Leo nimeleta cheka kifala sana😂😂😂😂😂.
Leo wakwanza nipen like ata10
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣nimecheka kwa nguvu
Wangapi tumeona tight ya mwalimu 😅
😂😂
Najiona , Anna, nsimbo, John mapumda , lwegasira, msafiri😂😂 na wengineooooo
Joti fala sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mantule apa
Hahahahahaha ety daka begiiii😅😅🖐️
Joti unaweza Dhani kweli katoto😂😂
Huyu ni mwalimu.angalia vizur alvokimbia
Noma sana...et hatujui tumefikaje huku hii shule itakuw na mauz uza 🤣🤣🤣
Walimu nawapenda mpo serious sanaa
Eti imeenda iyo 😂😂😂😂
sema uyu dada mwalimu
nae yupo vizuri
Daka begi🤣😂😂😂
Kama wewe ni yanga gonga like hapa tujuane
Ungesema tu kma we n CCM
likes unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba 😏
😂😂😂😂ila joti😂😂😂
Humo humo andunje
Socks nusu na collar ya shati kwa wale wavivu😂😂no kufua😂😂😂ila hilo joto sasa,sweta siku nzima
Ilikuwaje kwaniiii😅😅🖐️
Good job
From USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲
Huyu dada anajua sana kuact ualimu huko vizuri sana
Never disappoint jotiiii
Shule inamauza uza hii 😂😂😂😂
Et shule inamauza uza hi🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🙌🏾kwa wale waliosoma school ya tumekuja Zanzibar mnamo mwaka 2000 from 2 ule ukuta unaotokea pwani dahh ni mrefuu mnoo hata saivi ukiniambia niruke aisee 😂🙌🏾
😅😅 Ila hajakosa, aliye juu mfate huko huko, simba mwenda pole anaweza kuwa mzee, haya masomo tumeonewa sana hakuna jibu moja, simba mwenda pole kashiba yote majibu sahihi
@joti unafany kaz nzur sana ila naomb nikushaur kua jarbu jitahid kazi iendeee hata bila uwep wko yaani tafuta mrith wako tengenez team iltakayowez kuendeleza kaz hii, ili mungu akikuchukua uache atakaeshika kiti chako watu wazid kunufaika na channel hii na kukukumbuka
Kwamba Mungu akimchukua😂😂
Wamenkumbusha mbl kwel kpnd nikiwa secondary nilrka dirishan nimefka chn t mwalimu mkuu mbele yangu bahat nzr akuniona sura yangu nlkimbia atar
ukweli ni kwmba joti hjapata mpizani wke yni Badoo mkongwe wa comedy hyo genius
😂😂😂❤❤ nawakubali sana 😅😊
Asante
Good
Saa nane inamvuruga jmn 😂😂😂
Hii Kali wallah😂😂
Bro unapotea sana katika kutoa kazi zako
kkkkk andunje mtukutu😂😂😂😂😂😂😂😂
Pandisha socks 😁😂😂
This is beautifully acted
Nakubali kazi yako kaka
Joti nafulai sana kazi yako
Anduje ihi style yake ni kali
Hatar sanaa andunje
Hapa ni wapi mwalimu😂😂😂😂😂😂😂 imeenda hiyo😂😂😂
Mwalimu Suzi umetisha
Thanks, from Kenya
Mkama una mkubali joti naomben like zenu japo 50
🤣🤣🤣 nimecheka kwa kweli 🙌
1 million followers soon, keep it going bro 🎉
Mpo vizuri sana
Week Jana tumeteseka Sana 😂😂😂
Tanzania 🇹🇿🔥🔥🔥
🎉🎉