MURO: UNTOUCHABLE! REKODI ZA YANGA CAF ZAMBEBA PACOME/ CHAMA KUMBE KASAINI YANGA? SA ITAKUAJE!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi

Komentáře • 13

  • @user-hs3pm1ne2h
    @user-hs3pm1ne2h Před měsícem

    Asanteee muro

  • @WilliamJoel-kz2jv
    @WilliamJoel-kz2jv Před 2 měsíci +3

    Kama unaikubari data sports gonga 👍

  • @ernestjohnbosco2053
    @ernestjohnbosco2053 Před 2 měsíci +1

    Mm naondoka na pacome mana ni mtu asiekata Tamaa na pia hana hasira mchezoni

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Před 2 měsíci +1

    Kwangu mm pacome yuko juu chama atakaa benchi

  • @jumaalimohd6967
    @jumaalimohd6967 Před 2 měsíci +1

    Naondoka na Pacome

  • @user-uu2us6ch1k
    @user-uu2us6ch1k Před 2 měsíci +1

    Mimi kama mimi naondoka na pacome

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 Před 2 měsíci +2

    Wacha data za msimu uliopita ziongee. Wote walikuwa champions league. Chama amecheza hadi robo fainali, wakati Pacome aliishia makundi, bado data zinampa pacome nafasi bora kuliko chama. Wote ni wachezaji walio na uwezo wakuamua matokeo ktk mechi ngumu, kama ilivyokuwa kwa chama mechi dhidi ya power dynamo ,chama aliweza kuamua matokeo kwa kurudisha mabao ma2 waliokuw wamefungwa hafu ya kwanza. Pacome naye aliamua matokeo mechi ya Al ahly kwa goli bora na akilu kubwa dakika za jioooni, pia dhidi ya Mediama mechi zote home & away alifunga. Ikiwa tulichokiona inadvisable ni 30% ya uwezo wa pacome tarajia makubwa zaidi kutoka kwa pacome.

    • @jimmybrownkabingabinga9008
      @jimmybrownkabingabinga9008 Před 2 měsíci

      Eti chama aliishia makundi....ulikuwa hujazaliwa bado? Simba walivuka makundi na Asec Mimosas (Wydad na Galaxy walitoka) waliishia robo fainali kwa kutolewa na Al Ahly ya Misri. Jifunzeni kuwa wanamichezo wazuri.

    • @ernestjohnbosco2053
      @ernestjohnbosco2053 Před 2 měsíci

      Nakubali kabisa Pacome jembe

  • @user-ym4pf9ib6o
    @user-ym4pf9ib6o Před 2 měsíci

    Bloo congratulations we hujawahi kuukosea mpira

  • @user-bi1pw9hp8x
    @user-bi1pw9hp8x Před 2 měsíci

    Oyaaa naondoka na profesa zuzwa

  • @chochotekitu-hf6of
    @chochotekitu-hf6of Před 2 měsíci

    Mi ntaenda na saidoo ntibayokiza