TAZAMA BINTI ALIEOLEWA KWENYE FAMILIA YA KICHAWI MZAZI WAKE ASEMA MAKUBWA
Vložit
- čas přidán 7. 01. 2024
- TAZAMA BINTI ALIEOLEWA KWENYE FAMILIA YA KICHAWI MZAZI WAKE ASEMA MAKUBWA
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Baba kiboko ya wachawi naitwa daniely yakobo nipo chalinze pwani baba natafuta nauli nije na familia yangu kanisani kwako nina shida kubwa sana kifamilia maradhi yanaitesa familia yangu baba naomba maombi yako.
Bwana Yesu asifiwe,naomba uhamisho wa haraka kwenda ofisi itakayorudisha utukufu kwake Mungu.Ameen
Amina baba naomba utabr kuhusu maisha yangu Kuna changamoto
Amém babá mchungaji kiboko ya wachawi nipo msubinji yani mozambique 🇲🇿 natafuta nauli ninje natesek San katk maisha yangu 😢😢😢😢😢
NITAKUJA KIBOKO YAWACHAWI WEWE NDO KIBOKO YAO KWELI 💯MUNGU AKUZIDISHIE🙏🙏
Amina... mtumishi naomba unisaidie. Nna mzaz mwenzangu alikufa mazingira ya kutatanisha nisaidie mtumishi wa mungu. Nipo kilimanjaro
Naomba msaidie mwanangu apate kazi
Amina baba. Tunakukubsli Dana mtumish.
Aminaaaaa mchungaji najiunga na madhabau hii. Mtu anakuchukia pasipotaraji sababu ni Kheri kumeonyesha ubaya huo huo kuliko kujipendekeza🙏
Amen
Nina jiunganisha na madhahu hiyo. Mimi ni mzaliwa wa kigoma lakini ninaishi moshi. Ninataka yesu afungue familia yetu pamoja na mwanangu kwa jina la yesu❤❤❤❤
Nabii wa Mungu mtoto miaka 9 wataka kumfanyia upasuaji kwenye kokwa zake. Anashindwa kutoa mkojo. Nabii naomba unisaidia.
Mtumixhi wa mungu bwanayesu asifiw ninashida biaxharayangu haiendi jinsi ninavotak nikiuza nikipiga mahexab hela sion hela
Nabii shikamoo mm naitwa neema naishi arusha baba usichoke nabii
Najiungamanisha na madhabahu haya kila anaepokea uponyaji na mimi nipokee wa jina la yesu ameeen
Amina baba napokea kwa imani niombee baba nipate kazi nipo arusha
Amina baba naomba udusaidie baba na famillia yangu tunateseka sana tunateswa dusaidie
Ubarkiwe baba na pia niombee nipate mafanikio katka maisha yangu naishi longido nakufuatilia kwenye CZcams
Amina yangu
Baba kiboko ya wachawi,Mungu akulinde.
Mimi ninashida ya kutokupata mtoto mpaka sasa miaka 14 nahangaikia uzazi nabii naomba nisaidie
Aamen baba nabarikiwa mnoo Mungu skulinde🙏🙏🙏
Bwana yesu asifiwe mchungaji wng...
Me naitwa Devotha Michael Mtenga
Baba naomba unisaidie Nijue anaye niroga mchungaji wng
Amen mungu akubariki niombee mungu anifungue nipate kazi sahihi
Mungu ajitukuze mutumjshi kwako kwaviwango vyajuu sana
Barikiwaaa baba mungu akutunze Niko Arusha baba hapo lazima nifike
Baba ww katika watumishi ww nikiboko nikija na jua shidazangu zitaisha Niko Arusha niombee Safari yangu ikawe heri
Amina Mtaji . Wa biashara roho ya kumcha Mungu
Mungu ukutie nguvu
Amen Amen Amen pastor
naomba unitabilie mtumishi wa mungu
Mungu akubaliki sana nabii naomba niombee ninachangamoto kwenye ndoa yangu .naitwa Claudia yohana nipo dodooma
Hapo sawa sawa man of God kamau kutoka kenya❤
Baba bwana yesu asifiwe naomba unisaidie Familia yangu imehangaika Sana matatizo hayaishi
Naomba afunguliwe mtumishi.RICHARD RUTEBEKA
Naish mwanza naitwa Masele Nina shida nabii wanangu watatu wasichana hawajaolewa lkn wametulia,baba kakimbia mji na maradh ya presha yananisumbua nisaidie
Naomba uniombee nipate kazi Nabii asante baba
Amen mungu akulinde namini nami nitapona tu
Amen PST
Ameen 9:51
Baba nitabilie
Amina kuanzia leo namimi kila uchawi uniondokee
Naomba unisaidie Kwa ilo
Baba naomba nisaidie maisha yangu yamehalibika sana baba
Najiungamisha kwenye madhabahu hii je iko wap na mm naishi mbez ya kimara naelekezwe jaman......pombe imenishikilia maisha yangu
Wokovu unapatikana kwa kumfunua Kristo Yesu... Unabii lazima umtukuze Bwana Yesu
Amen mtumish
Amen baba
Bàba nabii naomba unitabirie mmi na famila yangu
Amen Baba🙏🙏🙏
Amen.baba
Amen 👏👏
Hapo sawa man of God...kamau kutoka Kenya.
Ameeeeeeen baba
Amina baba
Nabii naomba umkumbuke mme wangu Emanuel anaumwa mgongo miez 7 na shemeji yangu amepata ajali juma pili Yuko haisi yuu baba naomba maombi yako baba
Baba mungu akuzidishie miaka mingi maan Mimi nakufatilia kwa yutbu nafunguli pia
Ameen Nabii kiboko wa wachawi
Watu ninaowadai haki zangu na watoto wangu nawatumia salamu warejeshe kila kilicho changu kwa jina la Yesu moto uwawakie wakosa amani mpaka warejeshe ndani ya siku saba
Baba ninamuunganisha na madhabahu inayo jibu. Nina omba mungu wa madhahu hiyo ampe kazi mwanangu jastin kwa jina la yesu.
Hakika ibada ya jana ilikuwa fire,Mungu azidi kukuinua baba
Mungu Azid Sana kukubariki Baba kiboko ya wachaw wanyooshe Baba wanatutesa
Kweli Bb
Ubalikiwe sana
Baba nina tatizo tumbo linaniuma naomba msada uniombe baba naishi Malawi
❤❤❤❤
Baba naomba unisaidie, baba angu amefariki kifo cha ghafra ,nisaidie baba
Nabi mungu wako anisaidiye tangu kuzaliwa kwangu mpaka iyo siku sija wayi kuishi maisha kama wengine nina bahati mubaya sipendewe na watu baba yangu uni saidiye maisha yangu siyo vema unapo bariku watu uko nami uni bariki sina wakunisaidiya nikazaa na mume cherti ani ache ni ko saa njo etumbu nangai
Naomba umuombee binti yangu neema kila anachofanya hafanikiwi hana kazi biashara mchumba wala crochete nisaidie
Na wazazi wangu niwagonjwa
Baba naomba maombi yako uchumi npia watto wangu awakovizur darsani
Amina
Pastro. Dominick,, naitwa. CLARA. FERNANDEZ. NAISHI
MASASI. MTWARA. NNA. TATIZO. KTK. FAMILY. YANGU NAOMBA. MAOMBI. SANA. HASA. WATOTO. WANGU
Amen 🙏
Àmen and amen
Naomba unitibiri bab,,,
Ameen
nabi mm nina tatizo kila nikibeba mimba ikifika miezi 7 au 8 mtoto anafia tumboni
Ameeee
Baba naomba unisaidie nina mama yng aitwa Notibruga valerian ni mgonjwa wa mda mrefu sn miaka minne sasa atembei wa asogei apo alipo mchungaji wng nimeshaangaika mpka nimechoka baba yngu
Bwana yesu asifiwe kanisan lenu liko wap?
Baba natseka napulesha inafika 229 nasindoye mimijoyce sslseme
😊
Nabii wa Mungu naomba nisaidie
Lord help us in Jesus might name
Naomba umuombee dadaangu aitwae ANNA JOSEPH GONZA anauhitaji wa kupata mtoto , NAOMBA UMUOMBEE
Mungu atu saidie waja wake
Ukweli baba mimi naenda mbio nyingi Sana
Nabii mm Jacklin naomba uniombee Sana baba na dada yangu Flora ameolewa tanga anateseka Sana baba nisaidia
Ameeeeeeeeeen
Tumsifu Yesu kristo tunatani kukusikia kwenye radio ni NO ngapi tukupate au tv tuko arusha
Nabii naomba umombee mtoto wa mdogo wangu anaumwa degedege na Mimi ndio ninakaa naye
16:43
Nabii tabiri juu yangu
Wewe ndy nabii wa kweli tutakuja tu
Na sisi tulio mkoani mishuma tunptaj baba
Nisaindiye pulesha napada sana nipone Joyce seme
Baba nizaidi nimepigwa kiuchumi
baba nashida yauchumi
Mchungaji kijiko ni 🔥🔥
Mchungaji najiunganisha na madhabshu hii naomba mfungue mama yangu Kristina mpollo anayeseka na ugonjwa wa presha
Nabii naomba utabir juu yangu
Nabii naomba maombi kwa watt wangu Noeli na Kristna