LANGO - Praise Team TAG Forest One ft Ambwene Mwasongwe & Boaz Danken

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #PraiseTeamTAGForestOne #NgommaTz #likolango #ambwenemwasongwe #forestyakwanza #boazdanken
    LIKO LANGO ni wimbo ulio katika Tenzi za Rohoni ambao Praise Team TAG Forest ya kwanza wameimba pamoja na watumishi wa Mungu Ambwene Mwasongwe pamoja na Boaz Danken.
    Yohana 14:6 "Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima...." Yesu ndiye lango la mbinguni, hata sasa bado liko wazi kwa ajili yako.
    Usiache ku-subscribe na ku-share na wengine wabarikiwe pia.
    Video: Vector Film
    Audio: A King records (Marcq)
    Music arrangement: Benjamin Makolobela - BenMacko
    ©2019 Administered by Ngomma VAS Limited.

Komentáře • 225

  • @ElizabethNelson-nb4ri
    @ElizabethNelson-nb4ri Před rokem +7

    Mbarikiwe sana,napenda kusema pia kuhusu Mapambo na nywele za bandia kina dada acheni ni mizigo hiyo mnayoimba,ninyi ni wazuri sana muimbien bwana ktk utakatifu wa kweli mtamuona Mungu akiwatumia zaidi ya hapo Kwa utukufu wake!

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 Před rokem +2

      Hakika mapambo yakipitiliza huondoa utukufu wa Mungu kabisaaaa 🙏🙏🙏

    • @joshuawangao1285
      @joshuawangao1285 Před 13 dny

      Kweli bwana duu wasem hao waelewe😮​@@evertheobald1811

  • @ericmetta7883
    @ericmetta7883 Před 3 lety +6

    Tuko mission kwaajili ya kuvuna nafsi huku Kipunguni daresalaam..
    Liko lango wazi.. kusikiliza wimbo huu.. umetibua uwepo na nguvu na Imani kwamba liko tumaini na Kipunguni Yesu Kristo ni Bwana wao.. Haleluyah

  • @tumainlession411
    @tumainlession411 Před 3 lety +5

    Asee wamenibariki isivyo kawaida

  • @hopemtweve9596
    @hopemtweve9596 Před rokem +2

    Hili ni lango la raha ni lango la rehema

  • @christinacharles6852
    @christinacharles6852 Před 9 měsíci

    Barkiweni Sana hakika ni moja tu

  • @GaneKaambwa-zh5yp
    @GaneKaambwa-zh5yp Před 10 měsíci

    Mko vizuri achen kujipamba mnamkoso Mungu uumbaji wake

  • @kisaipopo1176
    @kisaipopo1176 Před 2 lety +1

    Huu wimbo umenipeleka kwenye maombi moja kwa moja na nilikua mkavu rohoni!! 😭😭
    Uwepo wa MUNGU umetamalaki mahali hapa, ninaurudia na kuurudia na kuurudia!!
    Jesus I bow before you oh Lord. Ninatua mizigo iliyonizonga eeh BWANA 😭😭.

  • @safinamethuselapeter2298
    @safinamethuselapeter2298 Před 3 lety +17

    Wimbo mzuri, waimbishaji wazuri, waimbaji wote wazuri, wapiga vyombo mko vzr sana, Mungu yupo Forest 1.

  • @dayanapastor2322
    @dayanapastor2322 Před 3 lety +2

    Asanteni praise team for good song lkn pia walio muona ambwen weka like twende sawa

  • @josephmathias7021
    @josephmathias7021 Před rokem +5

    Taking me into deep meditation of God's presence in my life and my responsibility towards pleasing him. I pray that i enter Heaven. GOD help me!😭🙌

  • @StacusMkama-kz1ht
    @StacusMkama-kz1ht Před 2 měsíci

    Amen huu wimbo unanibariki sana

  • @EdwardMkandawile-kx7mh
    @EdwardMkandawile-kx7mh Před 11 měsíci

    Jaman nabarikiwa Sana na huuu wimbo

  • @kalumunafaustineofficial
    @kalumunafaustineofficial Před 3 lety +5

    Hakika Yesu ni lango LA mbinguni ,mbarikiwe Forest kwa sound mpya Hii,ongera pia mdogo wangu Victor L mwakijinja kama nakuona hapooooo!!!!!!

  • @directondellu2336
    @directondellu2336 Před 3 lety +2

    Moyo wangu ukajawa na furaha na amani na naimba huku nafurah the best song 🥰🥰🥰🥰

  • @taicchavala7012
    @taicchavala7012 Před 3 lety +6

    Nikiusikiliza huu wimbo hadi mwili wangu unasisimka kabisa ,so powerful song

  • @mcmpomaonlinetv3483
    @mcmpomaonlinetv3483 Před 2 lety

    Nmependa sanaaaaaaaa jamn

  • @ramadhandennis
    @ramadhandennis Před rokem +1

    Amaizing,mungu awabariki wapendwa,hakika mbinguni ni kuimba tu!

  • @samwelisrael1557
    @samwelisrael1557 Před 2 lety

    Nabarikiwa sana na huduma yenu bora

  • @christinacharles6852
    @christinacharles6852 Před 9 měsíci

    Barkiweni Sana❤ mpo kiriho hatariiii

  • @EliaMigongo
    @EliaMigongo Před 3 lety +7

    Bonge la wimbo, nice creativity kwenye kuibadili melody, inajazaaa utukufuu.... Pongezi nyingi kwenu Forest , nime LOOP huu wimbo kwa zaidi ya dakika 120 sasa... acha jina la BWANA litukuzwe dunia na ijae utukufu wake...

  • @user-px1vx9zh4w
    @user-px1vx9zh4w Před rokem

    Jaman nimebarikiwa 🥰🥰🥰🥰

  • @MwikiAltar
    @MwikiAltar Před 3 lety +3

    Very awesome 🙏 Lango la Bingu liwazi.. Lango ndiye YESU

  • @lazaromichael-uv7sw
    @lazaromichael-uv7sw Před rokem +1

    Naipenda Tanzania hakika mungu yupo na ni lang🇹🇿🇹🇿

  • @daxmedia9
    @daxmedia9 Před 2 lety

    wow god bless you ..miaka 13 ya moto wa uamsho na uwake

  • @gaudensiapeter9546
    @gaudensiapeter9546 Před 2 lety +2

    Nimebarikiwa sana! Mungu awainue viwango zaid👍👍

  • @evelyn9389
    @evelyn9389 Před 3 lety +3

    Kila sku nilikua nikitamani kuusikiliza huu wimbo ila nasahau... Sikujua Mungu ameuandaa uwe faraja yangu wakati huu... Asante Mungu tupitishe salama tuingie kwako. 🙏🙏🙏💔💔

  • @lilianjoseph6696
    @lilianjoseph6696 Před 2 lety

    Mungu Wa mbinguni awabariki sana

  • @lightnessdaniel2820
    @lightnessdaniel2820 Před 2 lety

    Lango la mbinguni li wazi🙏🙏

  • @samsonsindano2082
    @samsonsindano2082 Před 3 lety +3

    Amina sanaa watumishi wimbo unabarki; Mungu azidi kuwainua zaidi

  • @drronvanny
    @drronvanny Před rokem

    MUNGU NA azidi kuwatumia Siku Hadi siku

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 Před 3 lety +2

    Niliwahi kutamani Boaz na Ambwene Waimbe pamoja na imekuwa

  • @davidjackson448
    @davidjackson448 Před 3 lety +1

    Ameeeeeeeeeeeeeeen nimebarikiwa saaaaaaaaaaaaaaaaana

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw Před 3 lety +1

    Yaani kumsifu Yesu Raha Jamani Mmeimba vizuri nilikua na Mzigo kichwani yaani woote umeisha. Mungu awatunze.

  • @upendoobedi5222
    @upendoobedi5222 Před rokem

    Dear God help me to stand in your presence I wish to enter in heaven plz help me

  • @meshackmawala8629
    @meshackmawala8629 Před 2 lety

    Halleluya nimebarikiwa sana

  • @leahmwakasege1395
    @leahmwakasege1395 Před rokem

    Nimefurahia wimb

  • @edwardnaanita
    @edwardnaanita Před 3 lety +2

    Lango ndie Yesu Bwana ,wote waingie kwake........... God bless you guys n more grace .
    #Langolambinguniliwaziwotetuingie

  • @agnethamwilenga5810
    @agnethamwilenga5810 Před 3 lety +1

    amen mungu ni mwema

  • @OfficialGraceM
    @OfficialGraceM Před 3 lety +1

    Wimbo mzuri

  • @prosperogola4506
    @prosperogola4506 Před 3 lety +2

    Hilo lango ni kuzaliwa mara ya pili kwa Maji na kwa Roho, Hili lango ni kuunganika na Kristo na kuwa Mtoto wa Mungu, hili lango ni kupita mauti na kuingia uzimani. Hili lango ni la uzima wa milele. Hili lango ni la Haki Kweli na Utakatifu. Lango hili ni la amani na furaha katika Kristo

  • @carolinejohn347
    @carolinejohn347 Před 3 lety +2

    Jaman kila ninapowasikiliza huwa ninajihisi kubarikiwa na kujazwa upya...
    Haki m'barikiwe sana kwa huduma ilokuwa njema

  • @joyceskawa3119
    @joyceskawa3119 Před 3 lety +2

    Nasikiliza huku natabasam mwanzo mwisho Mungu wa mbinguni awainue kwa viwango visivyo vywa kawaidaa

  • @tumainnyangunda1903
    @tumainnyangunda1903 Před rokem

    Nampenda sana Boaz aise

  • @gloryminja4144
    @gloryminja4144 Před 3 lety +1

    MUNGU azidi kuwainua zaidi na zaidi

  • @ken-ul2jg
    @ken-ul2jg Před 2 lety

    Watumishi walioimba beti 3 za mwisho wamejaa upako sana, I just didn't expect the precision.

  • @hellenpascal9605
    @hellenpascal9605 Před 3 lety +3

    Nausikia mpaka mwili wangu unatetemeka na kusisimka duuh

  • @bebyciaramuel7025
    @bebyciaramuel7025 Před 3 lety +4

    Powerful song🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @Winniemac_
    @Winniemac_ Před 3 lety +8

    Thanks for doing justice to this song .
    With love from Australia

  • @gladyelisante6002
    @gladyelisante6002 Před 3 lety

    Mungu awabariki sana nabarikiwa sana na utumishi wenu forest1

  • @fatumahery2679
    @fatumahery2679 Před 3 lety +2

    Mumgu awe pamoja nanyi amina nabarikiwa na nyimbo zenu

  • @elibarikimushi3264
    @elibarikimushi3264 Před 3 lety +3

    Ninyi watu nawapenda sanaaaa. Nabarikiwa na kila wimbo mnaouimba. Napenda mlivyo wanyenyekevu na kumaanisha mnachokifanya. Keep maintaining holiness and a heart of worship, kwa mmoja mmoja na kama team [Waebrania 3:12-15]; bado mna safari ndefu ya kuendelea kutubariki na kuachilia nyimbo zinazoamsha roho ya maombi na ibada. Nawapenda.

  • @neemaboniface9361
    @neemaboniface9361 Před 2 lety

    Mungu awabariki sana

  • @norzerjs1211
    @norzerjs1211 Před 3 lety +2

    Mungu anaketi kati ya Sifa Tukiimba na kumsifu katika Roho na Kweli anashuka.

  • @evelinegeorgemlay4014
    @evelinegeorgemlay4014 Před 3 lety +3

    Wimbo mzuri mnooo...🙌🙌🙌🙌la mbiguni li wazi....

  • @bupemwakamela1091
    @bupemwakamela1091 Před rokem

    Hallelujah amen hallelujah😭🙌🚪🚪🔑

  • @agnessernest9620
    @agnessernest9620 Před rokem

    Ambwene bwana ......u nailed it bro

  • @ernestmbwana6282
    @ernestmbwana6282 Před 3 lety +2

    And they look classical modern grade one material Christian..
    Munaimba vizuri ,Mumependeza Natumaini lango liwazi kujoin hii Gospel music group..Mbarikiwe sana wote pamoja na music engineer ...

  • @mbogatisa6152
    @mbogatisa6152 Před 3 lety +3

    Good video, keep it up Team, I'm neno Elimu TV CZcams welcom

  • @bethuelkonyuniofficial7930

    Nabarikiwa Sana na wimbo huuu mzuri

  • @samrecordvwawa9133
    @samrecordvwawa9133 Před 3 lety +3

    Lango li wazi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏻🙏🏻

  • @zawadimwampashe7835
    @zawadimwampashe7835 Před 3 lety +5

    Kwa Yesu Kuna raha jamaan, unatembea ukiwa unajiamini kabisa.Mungu awabariki Sana muwe wa viwango vya juu zaidi. Hakika lango li wazi kwasasa.

  • @officialmagreth479
    @officialmagreth479 Před 3 lety +3

    🙌🙌 LIKO LANGO

  • @hediachristopher5492
    @hediachristopher5492 Před 3 lety +2

    God bless you 🙏💞

  • @hellenrichard187
    @hellenrichard187 Před 3 lety +2

    Nimeusubiri huu wimbo kweli Mungu azidi kuwabariki Siku zote

  • @user-wc4cw4qn7k
    @user-wc4cw4qn7k Před rokem

    Blessing ❤❤❤❤❤❤ love them

  • @marywali4067
    @marywali4067 Před 2 lety +3

    My favourite song😍♥️...
    Indeed you blessed Boaz together with you team...

  • @jemadanieli7153
    @jemadanieli7153 Před 3 lety +4

    Amin Tuingie kwenye lango lile

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 Před 3 lety +2

    Aimeeen

  • @ireneobote257
    @ireneobote257 Před 3 lety

    Mungu awabariki mnoooo

  • @geraldlutamigwa7556
    @geraldlutamigwa7556 Před 3 lety +2

    Mbarikiwe sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @joshuawangao1285
    @joshuawangao1285 Před 13 dny

    Duuuuuuuuuuuuuuuuuuu% nice

  • @keeptimenimrod3770
    @keeptimenimrod3770 Před 3 lety +2

    Amen. Liko lango naye ni YESU. Good song

  • @fallymusa6361
    @fallymusa6361 Před 3 lety +2

    Hakika Yesu ndiye njia kweli nauzima. Ukimtafta lango liko wazi

  • @daktarikiganjani4031
    @daktarikiganjani4031 Před 2 lety +3

    2022 Here again to rewatch my favorite song from my favorite home team...... still blessing to date....

  • @meshackleonard
    @meshackleonard Před 8 měsíci

    Hawa wanaume wawili Mungu aendelee kuwatunza na awafundishe nn cha kufanya ili wakiandae kizazi kingine baada yao jamani 🙆‍♂️🙆‍♂️😭

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 Před rokem

    Mnaimba vizuri lkn hiyo mitindo ya nywele mmmm inaondoa utukufu wa Mungu kama hamjui!

  • @arthurmwakasege2022
    @arthurmwakasege2022 Před 2 lety

    Yesu ndiye lango

  • @NDISA1
    @NDISA1 Před 3 lety +2

    huu wimbo nimerudia kuusikiliza zaidi ya mara kumi na hauchoshi

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 Před 3 lety +4

    I see u my young sister be blessed 🙏🏽

  • @onesmuskioko3321
    @onesmuskioko3321 Před 3 lety +7

    The best redition of this old tenzi. So powerful, God bless this team as they serve Him

  • @dicksoneliakim2830
    @dicksoneliakim2830 Před 3 lety

    Hakika hii ni njema Sana. Naomba namba ya huyo anayepiga keyboard siku kweli tumepotezana tangia dodoma kwa mchungaji ole ICC T.A.G

  • @jescapatrick4790
    @jescapatrick4790 Před 3 lety +2

    Oooh
    God bless you 🙏

  • @leocadiabaranyikwa4047
    @leocadiabaranyikwa4047 Před 3 lety +1

    Lango liwazi ........ Let's go in there..... Let's go it.....

  • @colethamkamate6617
    @colethamkamate6617 Před 2 lety +2

    Touching song

  • @dr.ayoubmsalilwa2738
    @dr.ayoubmsalilwa2738 Před 3 lety +1

    home home ...... Nafurahia sana sana kwa yanayoendelea... Mungu azidi kutuinua

  • @ambeledavid6107
    @ambeledavid6107 Před 3 lety +1

    Hongereni sana. Nabarikiwa sana na huu wimbo

  • @beatricenziku6788
    @beatricenziku6788 Před 3 lety +2

    Mungu awabariki!am blessed

  • @prosperogola4506
    @prosperogola4506 Před 3 lety +1

    Amina

  • @happinesslatonga783
    @happinesslatonga783 Před 2 lety +2

    When the mans of God meets.....
    There is nothing to intervene!!!

  • @florencelawrence6667
    @florencelawrence6667 Před 2 lety +3

    An amazing song . The two men of God are a blessing to the body of Christ . Blessing to the Praise team

  • @naomilukas3260
    @naomilukas3260 Před rokem

    Hallerujah!!!,😭😭😭🙏🙏🙏

  • @musyimifelix1221
    @musyimifelix1221 Před 3 lety +2

    Much blessed can't stop listening en remembering that there is a big open door in heaven waiting to open for me after my journey here on earth is over... Pokea upenda wangu kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @janethmsogoti8677
    @janethmsogoti8677 Před 2 lety +1

    Nabarikiwa na huduma yenu

  • @anthonymwathi3116
    @anthonymwathi3116 Před 2 lety

    Safi sana

  • @mwalimuwakiingereza241
    @mwalimuwakiingereza241 Před 2 lety +2

    Full of anointing...bless u servants of God👏👏👏

  • @augustinekisapi288
    @augustinekisapi288 Před 3 lety +2

    Nabarikiwa sanaa

  • @israelnziku5506
    @israelnziku5506 Před 3 lety +2

    I'm so blessed muchly,,,, mko viwango vya juu sanaaaa

  • @sarahshibonje1201
    @sarahshibonje1201 Před 3 lety +3

    Hallelujah!!! Be blessed what a nice,touching worship wow!!!

  • @Furaha-Dokela
    @Furaha-Dokela Před rokem

    Hallelujah...

  • @ruthnzuka9431
    @ruthnzuka9431 Před 2 lety +3

    Hallelujah. What blessings