MUNISHI AJIBIWA VIKALI NA DAKTARI BINGWA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIFO CHA MARCO W ZABRON SINGERS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • MUNISHI AJIBIWA VIKALI NA DAKTARI BINGWA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIFO CHA MARCO W ZABRON SINGERS
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #kifochamracowazabronsingers #daktaribingwataasisiyamoyoyajakaya #munishi marcowazabronsingers #tikitvkiakilizaidi

Komentáře • 155

  • @Vivia-m7g
    @Vivia-m7g Před 12 dny +1

    Poleni sana dr.Mlihitahidi sana kwa mujibu wa maelezo yako,lakini MUNGU mwenye nguvu nyingi alishapanga ya kwake.Poleni sana pia wafiwa.Mapenzi ya MUNGU yatimizwe.🙏🙏Amen.

  • @ocholawayoga5986
    @ocholawayoga5986 Před 18 dny +29

    Kwaa wale ambao hawaijui Muhimbili hospitali ya Taifa. Niwambie tu nchi yetu imewekeza vema kwenye vitengo vingi vya tuba hapo Muhimbili. Mimi ni shuhuda nimekuwa na wagonjwa kadhaa hapo. Wanafanya kwa kiwango cha juu. Wakishindwa ni uhalisia wa ukomo wa maisha ya mwanadamu. Prof. Nyagori amejieleza vema

    • @ndunihasani3232
      @ndunihasani3232 Před 18 dny +3

      Acha Mungu aitwe Mungu mapenzi yake yametimia na kazi yake haina makosa

    • @JosephMzipila
      @JosephMzipila Před 18 dny +1

      Mbona anijitetea sana, mbona haeleweki huyu dk

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 18 dny

      Usijitetee bwana lisemwalo lipo hasa hospital za serkali za Tz Kuna mambo mengi sana yanayo husu wa gonjwa yanafavywa ndivyo sivyo hata mm ninapoona jambo kumwa la hatari nitalifikilia mara mbili tuna sema Hadi ya mungu simtimes Mungu anairuhusu Hadi sio kwakupenda mie SIo Dr lkn mafikilio ya haraka upasuwaji umechukua siku nzima Ingekua sawa TU kuruhusu aende India wangekubali ombi la familia kuchana kifua hiyo ni ishu ingine kiukweli kwa tz tuseme uhalisia tumbo ni sawa lkn kifua kichwa vinahitaji umakini ungalizi na digital yakutosha tunaposema ni isitokee kwa mwingine ubaya zaidi wakati wa magufuli ilikua inaonyesha vipimo original vinawekwa kwenye hospital zingine hapo muhimbili vinawekwa vya kawaida hii ni shida mtu lamda moyo umeziba TU unaambiwa umeoza watu tunajawa hofu

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 18 dny +1

      ​@JosephMzipila wewe ndo hueleweki au shule haimo

    • @taturajabukhalfani7953
      @taturajabukhalfani7953 Před 18 dny

      ​@@JosephMzipilakikubwa shule

  • @freddiemanento6318
    @freddiemanento6318 Před 18 dny +6

    Asante kwa Maelezo na kwa Kazi kubwa. Mimi nazidi kuishukuru Muhimbili naelewa kazi yao na naikubali, BABA yangu alifanyi operation hapo miaka mitatu iliyopita na tunashukur Mungu anaendelea vyema. Pale wanadamu wanapo kwama TUMWACHIE MUNGU AFANYA KULINGANA NA MAPENZI YAKE

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 18 dny +17

    Amefafanua vizuri jamani😢😢doct

  • @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm

    Hii yakumwambia mgonjwa una asilimia 13 yakupona na asilimia 87 inaweza ukafa hii so sawa ,,,mlimuua kwa Kuwaza aisee.

    • @RebeccaBhoke
      @RebeccaBhoke Před 18 dny +2

      Ukiambiwa ukweli unapata nafasi ya kutengeneza na mungu
      Hata mm kama jambo langu ni gumu niambiwe tu

    • @estherwaliaula9132
      @estherwaliaula9132 Před 18 dny

      Kweli kabisa heri uambiwe ukweli

    • @MrNorthshoremc
      @MrNorthshoremc Před 18 dny

      That's medically un ethical... Unless the patient asks to be told but you cannot say you have 13% chance to survive.. And ask them to choose.. ... This are assumptions. THERE ARE SO MANY FACTORS TO PUT THIS STATEMENTS ACROSS... 😢😢😢😢pole kw familia na marafiki wa Marco.

    • @NishadyHajil
      @NishadyHajil Před 16 dny

      Yaan kama hujawah kukutana na nyagori utajion mzima kabisa ila ukikutana n huyu Dr jiandae kiakil maan Huwa hajui kudanganya mgonjwa yaan kanyooka

  • @mamaeu3147
    @mamaeu3147 Před 17 dny +2

    Mlifanya upande wenu kwa nguvu na maarifa yenu kama wanadamu.Lakini Mungu aliishachagua ua lake lililo bora Mungu awatunze tunazidi kuwaombea madaktari wetu

  • @umbokeenockmwakagenda3966

    Tunawaombea na tunajivunia madaktari wetu,Mungu awape uvumilivu kwa haya mnayosikia,tunajua mmeokoa maisha ya watanzania wengi,Namuomba Mungu awainue ili tujivunie Tanzania yetu,Mungu aliweka Roho ya maarfa kwa Bezaleli akawajaze saa hii Ameni.MUNGU IBARIKI TANZANIA YETU 5:48 5:50 U❤❤ 5:21

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 Před 16 dny

    Hongera sana Madaktari kwa kazi nzito mliyoifanya kuokoa maisha ya kijana wetu. Binadamu anao uwezo wa kuahirisha kifo na sio kuzuia kifo hiyo ni kazi ya Mwenyezi Mungu pekee.

  • @AmAm-xt1og
    @AmAm-xt1og Před 18 dny +7

    Kw kwli Dactari nimemuelewa, kwanzo hapo kw kuchunguza afwa zetu,mungu atufariji sote🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-ek6td4kt4t
    @user-ek6td4kt4t Před 14 dny

    Poleni na hongereni Kwa kazi nzuri wataalam na madaktari bingwa. Ushauri wangu Kwa serikali pamoja na madaktari ningeomba kama waliona angeenda India labda angepona kikwazo kikawa ni hatoweza kufika akiwa hai ingekuwa vyema kuomba madaktar wa India au kuwa na connection nzuri kwamba madaktar wa kule wangesafirishwa waje kuokoa maisha bill zote za safar na operation mgonjwa alipie endapo mgonjwa ataridhia ingesaidia Kwa kias

  • @ednaednamillanzinia2826
    @ednaednamillanzinia2826 Před 18 dny +1

    Madakitari mna kazi subway na Mungu awabariki,hao madakitari uliwataja ndio waliomfanyia dadangu operation ya moyo mwaka 2021 mpaka sasa dadangu ni mzima. Na dadangu kipindi icho umri wake ni 50. Basi tu imetokea Marcos kaondoka na pia maombi ni muhimu sana kipindi cha operation..Madakitari Mungu awabariki kwa kazi kubwa mnayofanya

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Před 18 dny +1

    Doctor Mungu awabariki sana, roho ya maremu ipunzike Kwa amani

  • @user-kr6dc5cc2s
    @user-kr6dc5cc2s Před 18 dny +5

    Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni za kuhesabika nazo zimejaa shida na taabu😭😭Tunashukuru Mungu hata ktk Hili tuna Imani IPO siku tutakutana tena 😭😭😭😭kazi ya Mungu Haina makosa.Rest in peace kaka

  • @AnnaLwanda-oj4jn
    @AnnaLwanda-oj4jn Před 18 dny +7

    Mwanadamu siku zake za kuishi sio nyingi na zimejaa tabu amemaliza mtumishi wa mungu Mungu awafaliji kwa wakat huu mgumi Marko amelala msijiulize sana mshukuruni Mungu kwa kuwa ni mwema kwa mama fadhili zake ni za mile ameen

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před 18 dny +2

    Daah!!! Miili yetu hii, Mungu tu ndiye anayeijua kwakweli. Pumzika kwa amani mtumishi.

  • @MahamuduMgongolwa-rw6ep
    @MahamuduMgongolwa-rw6ep Před 18 dny +6

    Dr Bingwa kachambua vzr sana hongereni M Dr kwa kupambana Poleni wafiwa 😢

    • @facef5577
      @facef5577 Před 18 dny

      😂😂 bado darasa linamuhusu

  • @user-rd3hk5qt5p
    @user-rd3hk5qt5p Před 18 dny

    Hongera kwa kazi nimekuelewa vizuri,mikono yenu ibarikiwe na YESU KRISTO ALIE HAI muweze kuwasaidia wengi wahitaji

  • @africangirllifestyle7686
    @africangirllifestyle7686 Před 16 dny +3

    Haisaidii tena nyamazeni tuu

  • @StelaMangalachuma
    @StelaMangalachuma Před 15 dny

    Hongere madaktari kwa kazi nzito, Mungu afariji familia😢

  • @jeikary8767
    @jeikary8767 Před 18 dny +2

    Kama alikua na ushinda ya fingo i think ndio ilishababisha moyo 😢 pole sana kwa familia

  • @marryhancy1632
    @marryhancy1632 Před 18 dny +10

    Sasa kumbe asilimia kumi natatu nibora hata mngemuacha tu pengine mungu angemnusuru

    • @leoniaathuman1038
      @leoniaathuman1038 Před 18 dny +1

      😢 Mungu huyo huyo ndiye aliruhusu kipenzi hebu tumpe utukufu tu hata katika hili japo linaumiza
      Hakuna wa kulaumiwa madaktari wamefanya sehemu yao

    • @EdwardImbwana-e6m
      @EdwardImbwana-e6m Před 18 dny

      Uko sa hihi dada

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 Před 18 dny +1

      Kama wewe ndiye daktari utamuacha mgonjwa mbele yako usimhudumie eti unamuangalia tu una subiria afe, ? Na Mungu sii wakati wote huponya bila vitendo vya kibidamu, Jitihada hufanyika huku maombi yakiendelea,..kwa hiyo acha mawazo ya kebehi kwa madaktari.

    • @vencalson8108
      @vencalson8108 Před 17 dny

      Asikimia 13% wangeacha 2 walimmalizia yani

    • @apolleorevocatus8577
      @apolleorevocatus8577 Před 15 dny

      Ikiwa option ya hata %2 itamuoka ni bora kufanya

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Před 18 dny +2

    No No muhimbili kwa sasa serikali ifike mahali ifanye kuajili wataalamu kutoka nje hawa wa kwetu mimi siwaamini kabisa

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 Před 18 dny +3

    Good job bro juu watu wanaropokwa very careless

  • @cylviapatric7343
    @cylviapatric7343 Před 18 dny +1

    Amen, inaumiza but mmepambana sana tunawashuru madaktar

  • @jacksule7557
    @jacksule7557 Před 17 dny +1

    Nyie wasenge tu mmeua viongoz wangap hapo mpk wanapaita machinjion bora angepoteza maisha gafura sy nifanyiwe nikiwa na probability ya 13%

  • @nicodemusjohn6474
    @nicodemusjohn6474 Před 18 dny +1

    Nawaza, mtu ana shida ya moyo, unampa maelezo kuwa unafanyiwa upasuaji ila unaasilimia 13% za kupona na 87% za kufa. Huo tu mshtuko unaweza mwondoa mtu. Mimi nadhani ndugu wqnastahili kuambiwa hayo ila mgonjwa hakupaswa kuyajua. Alipaswa kupewa confidence kuwa atapona.

    • @joshuaadauth4150
      @joshuaadauth4150 Před 15 dny

      Ana haki ya kukataa pia asifanyiwe ndio maana ni muhimu kuambiwa ili naye aridhie. Na ukiona mpaka wanasema hivyo ujue ni jambo ambalo ni gumu hivyo linahitaji maamuzi ya wote.

  • @kennedymbogho1999
    @kennedymbogho1999 Před 16 dny +1

    Hapa nimeelewa kwanini Viongozi na matajiri wanaenda kutibiwa Nje ya Nchi hasa India.
    Kwahiyo operation za kujifungua ni za mtaani?

  • @everlynemoraa9423
    @everlynemoraa9423 Před 18 dny +1

    asante kwa kueleza vyema daktari na ufafanuzi uzuri mwenye hataridhika ako na zake zamsumbua

    • @LeonidasNteturuye
      @LeonidasNteturuye Před 17 dny

      Asante docta kwa maerezo mazuli siku yamwanadamu ikifika mwisho akuna wakusimamisha siku hio .

  • @KhadijumaKhadijq
    @KhadijumaKhadijq Před 18 dny +1

    Doctor mungu atakulipa kwa juhud zako enderea kutoa huduma kaka

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw Před 18 dny +1

    Kwa hili ni mungu ndie anajua kwani maelezo ya huyu daktari Mimi sijamuelewa mungu ni mwem

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Před 12 dny

    Mbona anatufokea..na mawani lake

  • @belithakalinga4263
    @belithakalinga4263 Před 18 dny

    Dr kiukweli ameelezea vizuri japo mimi sio mtaalam wa afya . Acha Mungu aitwe Mungu😢

  • @petrahmaggie4768
    @petrahmaggie4768 Před 18 dny +1

    Hii imeniumaa sana

  • @givenmsomba9358
    @givenmsomba9358 Před 16 dny

    Poleni jamani nguvu zote hizi kuwajibu Munishi na yule wa Mbeya hawawezi kuelewa.Maisha yetu yapo mkononi mwa Mungu.

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson Před 18 dny +6

    Kwa ambaye hajafika Muhimbili akiwa na mgonjwa wa moyo anayetakiwa kufanyiwa upasuaji unaweza ropoka kama mnavyoropoka humu. Hawa madaktari wanafanya kazi kubwa sana na wamefaulu kwa wengi tu.

    • @mrsdeborahurio
      @mrsdeborahurio Před 18 dny

      ❤ubarikiwe! Mungu akishaamua huwezi kupinga!

    • @AntonyBruno-om8mr
      @AntonyBruno-om8mr Před 18 dny

      Kweli kbs mpendwa angu yaaan sisi binadamu jmn hatuna jema angepona ungeona ambavyo wangeongea tuna madaktari bingwa hiyo kazi ya kucheza na mwili wa binadamu mwezio Si mchezo

  • @MercyMugalitsa
    @MercyMugalitsa Před 12 dny

    Mlimsimamisha moyo hamna uhakika hapo ndipo aliaga...pia mlimvunja moyo kwa kutaja asilimia chache za kupona

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 16 dny

    Mapenzi ya MUNGU nilimkubali sana na nyimbo zao za hisia kali Zabron nawapa 1st Gospel

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Před 18 dny +4

    Kipindi cha Magufufi hospitali za zilifanya vizuri, siku hizi ni sinema

    • @halimaKaniki-g6i
      @halimaKaniki-g6i Před 18 dny

      Kwan nayeye sialikufa kaasababu hizohizo

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny

      Muache raisi wetu alikolala kapumzika kwa amani usimutumie unapotaka kueneza sera zako za hovyo.

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 Před 18 dny

      ​narudia tena, kipindi cha JPM hospitali za umma ziliwatendea wagonjwa kwa haki kabisa, sasa hivi ni sinema

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 Před 18 dny

      ​@@bitumwatemu2731waliokuwa na vyeti FAKE hawataki kumsikia

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 17 dny

      @@justardzelphine6526 bado hujasema na utasema.. ww mpaka useme.

  • @furahanyamba3636
    @furahanyamba3636 Před 18 dny

    Pole doctar tunajua Jinsi gani mlivyoumiya😭😭😭😭😭

  • @lilianomoke8759
    @lilianomoke8759 Před 18 dny +3

    Life is short...wakuropokwa wacha

  • @MrNorthshoremc
    @MrNorthshoremc Před 18 dny +3

    You were not ready for an open heart surgery.. Stop talking too much.. Msingefanya thts guess work.. There was enough time to bring him to kenya.. Tjat was a young person who coud sustain until he get the right doctors.. How do you transfuse 30 units of wholeblood.. Do platelet apheresis (Extract pltes from the donors) .. To avoid thrombocytopaenia..especially because of prolonged surgery and highly invasive procedure. 7:17

  • @kinyanjuicarlos8899
    @kinyanjuicarlos8899 Před 18 dny +1

    I really dont understand why he was not treated here in kenya' they chose to travel all the way to Tanzania instead of rushing him to KNH or even Nairobi hospital' madaktari pale wangeokoa maisha yake' poleni kwa familia may his soul rest in peace...

    • @PAULMKOMBOZI
      @PAULMKOMBOZI Před 16 dny +1

      kenya hakuna wabobezi wa magonjwa ya moyo

    • @kinyanjuicarlos8899
      @kinyanjuicarlos8899 Před 15 dny +1

      @@PAULMKOMBOZI aga khan hospital' mater hospital' KNH' this are just but a few who could do a better job than the overrated "Jakaya kikwete"!

    • @joshuaadauth4150
      @joshuaadauth4150 Před 15 dny

      Ukute Kenya walishajua kuwa hili jambo ni gumu na kupona ni asilimia ndogo sana. Na hata angepoteza maisha huko wangesema bora angerudishwa Tz wangefanya kwa umakin zaidi. Kumbe ni ugumu tu wa kazi yenyewe.

    • @suzomhongo2052
      @suzomhongo2052 Před 12 dny

      ​@@PAULMKOMBOZIhuko Kenya watu hawafi

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 Před 12 dny

    Achacheni n mjinga MUNISHI

  • @SosipitarStaford
    @SosipitarStaford Před 16 dny

    Wakristo wanatkiwa kuuriza majibu Yao ndani ya biblia kwa sababu Elia mtishbi alipokutana na wajumbe WA mfarme ahabu aliwauriza kuhusu ugonjwa wake aliwaridisha waulize mbere za Mungu hivyo mkiwafuata matabibu mjue mmemuamini Mungu kupitia wao hivyo tumtafakari Mungu vyema tuache rawama .mbarikiwe Sana na poreni

  • @LevinaLeonidas-l1p
    @LevinaLeonidas-l1p Před 18 dny +1

    Jaman jaman dkt na yeye ni binadamu alilolipanga mung binadamu awez kulipangua msimseme dkt kiasi icho ivi mnajua blidi ya damu inavyotoka na kuangaika kumwekea damu kila mara sote tutaondoka kwa njia yoyote

  • @spesiozabisansaba6424
    @spesiozabisansaba6424 Před 18 dny

    Wacha alale mtumishi wa Mungu,, ninachofurahi ni kwamba aliambiwa ana aslimia 13 za kupona,, kwahiyo ninaimani ndugu yetu, amelala mikononi mwa Bwana.

  • @moiseszacariasmoisesmoises

    naomba tumuamini mwenyezi Mungu,kuwa siku ikifika akuna jins.mimi pekee nimemuelewa dactar😢

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa4563 Před 18 dny

    Many people don't know what's going in the spirit, I would like to advise people to trust God in every situation.... this world and its systems are corrupt. It takes God's power to save our lives.

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596

    Hamna lolote uongo

  • @petermalema5702
    @petermalema5702 Před 18 dny +1

    UKO VIZURI DOCTOR

  • @SammyGuto-yb1vs
    @SammyGuto-yb1vs Před 17 dny +1

    Rudi shule bwana usomehe moyo aja story mingi

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před 18 dny

    13% tu ya kuishi daaaaahhhhh!!!!!!!! Mungu atusaidie sana sisi ni maua

  • @leoniaathuman1038
    @leoniaathuman1038 Před 18 dny

    Binafsi nimemuelewa sana daktari polen sana madaktari

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 18 dny +2

    Aitatusaidie kujibu haya yote , MAANA HAITAMRUDISHA KAKA YETU MICHAEL, KAENI madactari muwaze na kuangalia mlipoanguka au kufanya vyema , maana maisha ya mtu KUPOTEA SI jambo dogo 😢😢😢

    • @jothammalale8702
      @jothammalale8702 Před 18 dny

      Bora sana huyu ambaye mungu alimpa taarifa ya kujiandaa kiroho (maombi) ili aingie mbinguni kila aliyezaliwa na mwanamke duniani kufa ni lazima .bwana ametwaa Amina

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny

      Embu tutolee ujinga kaka yako umemuumba ww..!! Au ulitaka aishi milele? Mngempeleka kanisani aombewe apone.. mliona kanisani haviwezi mkawaamn madactar afu sahv unajikuta professor wao kwamba unajua walipokosea.

  • @Omar-n4q3i
    @Omar-n4q3i Před 18 dny +5

    Daktr haezi zuia kifo , pia hao n binadamu ,

  • @gabrielgwawu4026
    @gabrielgwawu4026 Před 18 dny

    Huyo Dr. Wa Kachina tunaweza kumuamini,?

  • @mwarikimwariki2653
    @mwarikimwariki2653 Před 18 dny

    In God we trust,pumzika kwa amani mwamba

  • @barakaamos3538
    @barakaamos3538 Před 18 dny

    Je million 17 zitarudi

  • @FrankDamiano-ll2xy
    @FrankDamiano-ll2xy Před 18 dny +1

    Bora wangemuacha tu

  • @user-ch7ii5fm8y
    @user-ch7ii5fm8y Před 18 dny

    Siku zikifika hakula la doctor hakufanya kazi,,mm naamini ni mungu tu,ndiye anajua ni kwanini,hatuwezi pata jibu

  • @7675kio
    @7675kio Před 18 dny +3

    Kichwa Kinasema daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya, Je ni kweli huyoo daktari anafanya kazi Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete?

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson Před 18 dny +1

      Huyu ni ndugu wa marehemu na ni Daktari Bingwa pia.

    • @ocholawayoga5986
      @ocholawayoga5986 Před 18 dny +1

      Huyo ni prof. Wa tiba ya Moyo prof. Dr Nyagori

    • @witnessezron4607
      @witnessezron4607 Před 18 dny +1

      Anafanya kazi huko ndiyo ila ni ndugu piaa wa hii familia

    • @255tz8
      @255tz8 Před 18 dny

      Sasa ataenda hapo kuongea mbele kuongea tu bila kuwa daktari

  • @emanuelelias2082
    @emanuelelias2082 Před 18 dny +2

    Kwahiyo madaktari walipumzka kuhudumia wagonjwa wengine bila kujali wako serious kiasi gani? Jamani jamani madaktari fanyeni kazi zenu bila kujali cheo wala wadhifa wa mgonjwa

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson Před 18 dny

      Wewe zero brain kakojoe ulale. Yaani kwa akili zako za mende ndio uwafundieshe cha kufanya. Fyuuu.

    • @antonylwanga2978
      @antonylwanga2978 Před 18 dny +1

      Kuna madakitari tofauti wenye ujuzi au utaalamu za aina mbali mbali

    • @christinarussambi2161
      @christinarussambi2161 Před 18 dny

      Kweli kabisa ​@@antonylwanga2978

    • @joshuaadauth4150
      @joshuaadauth4150 Před 15 dny

      Ushawahi fanya kazi ukiwa umechoka, kifuatacho kuharibu tu, alafu ndio unaenda kucheza na roho za watu, wao ni binadamu siyo maroboti et hawachoki.. pia Muhimbili ni kubwa sana na madaktar wa vitengo vingine pia waliendelea na kazi kama kawaida.

  • @ii-bt3yj
    @ii-bt3yj Před 18 dny

    Hata wangeachana na upasuaji jameni😢😢 was though

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Před 18 dny

    Waacheni madaktari wamejitahidi na wameeleza ukweli wasukuma wachawi sana siwaamini kbsaa mmemloga mwenzenu aisee

  • @ruthn9381
    @ruthn9381 Před 15 dny

    That's why politicians and the high ranking citizens do not even trust our hospitals. The incompetence and lack of facilities and equipments is astonishing😢. Tutaelekea wapi jameni?

    • @suzomhongo2052
      @suzomhongo2052 Před 12 dny

      Utakapoumwa na kuokolewa na madaktari hao ndipo utakojua thamani yao

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596

    China na sayansi wapi na wapi

  • @AliceKangwa-f4g
    @AliceKangwa-f4g Před 17 dny

    Hii ni kwa faida ya mwimbaji Munishi na wasiojua ila waropokaji wenzake wote.

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 Před 17 dny

    Kwanini akupelekwa nairobi,mzunguko mwingi

    • @PAULMKOMBOZI
      @PAULMKOMBOZI Před 16 dny

      nairobi hakuna hospitali yenye uwezo wa kutibu magonjwa ya moyo wagonjwa kutoka kenya wanakuja kutibiwa hapo

  • @anordlema3326
    @anordlema3326 Před 16 dny

    Ni vyema kumweleza mgonjwa na ndg uhalisia ili aamue kufanyiwa au la Kwa kuwa ni laizima usaini file kabla hujafanyiwa op ni tafiti za kitaalam hizo

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u Před 16 dny

    Ila binaadam kuna mda mnashangaza eti angeachwa angepona hamna anaekaa milele kila mtu ataondoka kwenye dunia hii kubwa tufanye mema

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596

    Mwingine alisema 50%
    Huyu anasema 15%

  • @salomekense525
    @salomekense525 Před 18 dny

    Tunawashukru ila msinge mwambia hizo asilimia alikufa kwa hofu jamani

  • @charlesseba2000
    @charlesseba2000 Před 18 dny

    Kama mlikuwa hamna uhakika wa kufanya operation, inaonyesha wazi mlifanyia majaribio kuona kama mnaweza

  • @MwanahamisMaganga
    @MwanahamisMaganga Před 16 dny

    Mtu anapresha anaumwa moyo af anaambiwa Jambo la kushitua kwamba akiingzwa kwenye oplereshen niasilimia chache za kupona cndo mawazo yakazd kumshitua

  • @gabrielgwawu4026
    @gabrielgwawu4026 Před 18 dny

    Hadithi nyingi za nini???

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596

    Na kavaa miwani mieusi apate ujasiri wa kuongopa vyema

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe1958 Před 18 dny +1

    Jamaa tapeli huyu hamna jipya anatumia nguvu nyingi kufanya watu wasahau uchunguzi

    • @mgayan1222
      @mgayan1222 Před 18 dny

      Wewe ambaye sio tapeli, kamfufue bhasi. Hizi fee free education zinatengeneza kizazi cha ajabu sana

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny

      We umesomea nn jamaa nawaswas na elimu yako?

    • @josephinemtei186
      @josephinemtei186 Před 17 dny

      Tulia na ushike adabu yako

  • @winsyombua5821
    @winsyombua5821 Před 17 dny

    Makosa waliofanya nikumueleza mgonjwa anaeza pona ama kufa walimuongezea mshituko wangeambia familia peke yake

  • @OMARIMLAPONI
    @OMARIMLAPONI Před 18 dny

    Apo ndo mlimpa pressure

  • @alfredbyangwamu9821
    @alfredbyangwamu9821 Před 18 dny

    TUNAWAPA POLE HATA MADACTARI KWA JUHUDI ZAO!!!

  • @JanethMokili
    @JanethMokili Před 18 dny

    RIP bro🙏

  • @christinelihavi4068
    @christinelihavi4068 Před 18 dny +1

    Lakin mbona alikuja na ndege akitoka Kenya?

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 18 dny

      alipanda bus had mwanza

    • @christinelihavi4068
      @christinelihavi4068 Před 18 dny

      @@masalakulwa7601 Kwenda Dar alipanda ndege my dear

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny

      Kwan hali yake anatoka kenya kuja mwanza kwenda dar ilikuwa ni sawa na alivyokuwa ndani ya taasisi ya moyo au ww hujui maswala ya moyo kadri mda unavyozd kwenda ndo ukubwa wa tatizo unaongezeka na mda wakuishi unapungua.

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny

      M nngeshauri kwa ndugu, marafiki na wapenzi wa marehemu embu punguzeni hisia na imani ya kwamba mlijua marco ataishi milele, au mlikuwa mnacho kitabu cha siri za Mungu kujua marco angefariki vp!! Kifo n mpango ya mwenyezi Mungu na hakuna ajuaye siku wala saa zidi kuomba na kutubu maana hujui chako ni lini.

    • @joshuaadauth4150
      @joshuaadauth4150 Před 14 dny

      Kwanini wakenya wasingemtibia huko huko? Wakaona wampandishe ndege tu aje Tz, au India moja kwa moja? haikua kazi rahis na tabia ya madaktar wakati mwingine utaambiwa mchukue mgonjwa wako ukamuuguzie nyumbani kumbe washajua huyu sio wa kupona.

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596

    Huo ni kujitetea tu uongo

  • @DianahRobbie
    @DianahRobbie Před 18 dny

    Mungu fariji familia

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596

    Mara50%huyu13%ndo nn

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 18 dny +1

    Dunia tu wapitaji

  • @MussaKitaluta
    @MussaKitaluta Před 18 dny

    Uongo huo

  • @amiduabdallah-l9z
    @amiduabdallah-l9z Před 18 dny

    Bas yote yshatokea tunaomba hzo pesa zimsaudie mjane

  • @songeza
    @songeza Před 18 dny +2

    Madakitari wa muhimbili hako series yaani shida tupu yaani bado sana moyo kupasua hawawezi hata hata mngekua miambili hamna lolote

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson Před 18 dny

      Upo tu mtaani unazulula baada ya kushiba makande hujui hata kidogo Ubora wa Muhimbili na wamefanya makubwa sana.

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 18 dny

      ​@NtamamiloGi😂😂bson

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny

      Unaweza ukawa unaongea hvyo na shule ulikuwa unafeli tyu huoni haya unayemtukana n bingwa mbobezi ngazi ya juu kabisa kwenye elimu ya udactari? Embu heshimu taaluma za watu..!! Ukiambiwa ww ufanye operation ya moyo unaweza? Au kuropoka.

    • @AliceKangwa-f4g
      @AliceKangwa-f4g Před 17 dny

      Wewe na Munishi ni waropokaji tu!! Thibitisha uliyoyasema, utaweza!!

    • @user-wh9zj7kf7h
      @user-wh9zj7kf7h Před 16 dny

      Acha uongo wewe siku zikifika zimefika ,mbona wengine wanaponeaMuhimbil?