NABII ALIYEOTA NDOTO YA USHINDI WA ARGENTINA
Vložit
- čas přidán 18. 12. 2022
- #worldcup2022 #argentina #messi
Unabii huu ulitolewa tarehe 17/12/2022 wakati wa kusanyiko la Kambi ya Patmo katika siku ya tano(5) ambapo mtu wa Mungu Nabii BG Malisa alisema anaona bahati ipo kwa Argentina kutwaa Taji hilo pia na Bahati ipo kwa Messi kuchukua taji hilo na Kweli imekuwa hivyo..UNABII UMETIMIA
Amina
Amen 🙌
Asante Yesu unabii umetimia
Huo unabii unafaida gani kwa Mungu kama sio uzwazwa tu? Eti unalitaja jina la Yesu bure bila kitu cha msingi kweli? Hata hili utalitolea hesabu
Amen 🙏
Ameen Baba
Nimesali hapo miaka mi 4years msidanganywe hakuna Mungu hapo kanisa la wachaga tupu biashara kwanza sadaka za kupangiwa du namshukuru niligundua mapema tokeni hapo hakuna Mungu
Ameen
Aminaaa Papaaaa
Huduma za kinabii ni mahususi kabisa kwa ajiri ya kuondoa mioyo migumu kuhusu MUNGU