NABII ALIYEOTA NDOTO YA USHINDI WA ARGENTINA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 12. 2022
  • #worldcup2022 #argentina #messi
    Unabii huu ulitolewa tarehe 17/12/2022 wakati wa kusanyiko la Kambi ya Patmo katika siku ya tano(5) ambapo mtu wa Mungu Nabii BG Malisa alisema anaona bahati ipo kwa Argentina kutwaa Taji hilo pia na Bahati ipo kwa Messi kuchukua taji hilo na Kweli imekuwa hivyo..UNABII UMETIMIA

Komentáře • 10

  • @kadibeboy8211
    @kadibeboy8211 Před rokem

    Amina

  • @wanguiwahomet2716
    @wanguiwahomet2716 Před rokem

    Amen 🙌

  • @EfraimEzekiel
    @EfraimEzekiel Před rokem

    Asante Yesu unabii umetimia

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Před rokem

      Huo unabii unafaida gani kwa Mungu kama sio uzwazwa tu? Eti unalitaja jina la Yesu bure bila kitu cha msingi kweli? Hata hili utalitolea hesabu

  • @marymwangi1782
    @marymwangi1782 Před rokem

    Amen 🙏

  • @sakinamo3109
    @sakinamo3109 Před rokem

    Ameen Baba

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Před rokem +1

    Nimesali hapo miaka mi 4years msidanganywe hakuna Mungu hapo kanisa la wachaga tupu biashara kwanza sadaka za kupangiwa du namshukuru niligundua mapema tokeni hapo hakuna Mungu

  • @oscardodi6376
    @oscardodi6376 Před rokem

    Ameen

  • @abelasilas8302
    @abelasilas8302 Před rokem

    Huduma za kinabii ni mahususi kabisa kwa ajiri ya kuondoa mioyo migumu kuhusu MUNGU