Kusema kweli wakenya wakipata pesa wanatumia vizuri. My bff alibahatika msee ako Uk so maisha ikabasilika she spends 50k one day not forgetting tulikuwa tuna hustle saudia na yeye. And am happy for her genuinely
the problem with people like you who know so much have very little to show for it too. you say we own very little then also say material possessions are worthless
Jamaa anapenda kujichocha sana let him talk about his music which I think hawezi kuongea ju he is not a musician hajui kuimba sasa kazi ni kushinda akijichocha tu hapa
When you are poor nobody will ask about you but when God lift you up they begin to be curious on your income don't do you you need no explanation to anyone
Sasa mnaexpect watu waitikie they are doing washwash,drugs or illuminati 😂😂😂😂 mnanibambanga sana na hizi maswali zenu...Hushpuppi sikumbuki akiiitikia until he was caught...lakini si kila mtu ako na pesa mingi ako kwa hizo biashara kuna watu wanafanya kazi safi na living big.
So many people buying into this act..sad how people crave riches...'biashara zangu ni nyingi Niko kwa real estate, transport, music...'the guy is too vague to be taken seriously
This is the life he choose to live and indeed he is a very hardworking person wewe bado lala ukifata comments kupinga jihada za wengine learn from him and start something I like this guy sema kujituma Mtu amepanda miti ten years atakuwa na mapato kisha utamwita illuminati that is high level of foolishness wakenya ujitume fanya kazi kwa mikono yako barikiwa God bless you K brother keep up good work
Inatoka wapi? mimi sijawai skia mziki yako,wewe si Nyash ama Sauti sol those are the only artists in Kenya who can genuinely say wameimba Kenya and even go international without qstn,real estate gani?mimi najua cytonn,najua optiven,najua real estate different,wewe uko real estate gani?farming ,maziwa ni ya Uhuru,mayai na Kuku ni ya Ruto,you dont own a factory meaning i dont see anything new manufactured by krg,boss hakuna app umetengeneza,boss wacha kutupima brother,ni poa uko na doo na ni zako lakini hapo pahali zimetoka sema tu hutaki kusema,ju ni ufala unatwambia plz.
Shida yenu inakuanga wapi,mtu akisota mnasema ni mwizi,akipata mnasema bado anafanya vitu zake si mzuri,krg ww ni don na msee asikuambie kitu,pesa ni yako na ww ndio unajua venye ww hukazana ndio upate hii doh broh
Kusema kweli wakenya wakipata pesa wanatumia vizuri. My bff alibahatika msee ako Uk so maisha ikabasilika she spends 50k one day not forgetting tulikuwa tuna hustle saudia na yeye. And am happy for her genuinely
This guy would probably have advised Omosh to invest his 1million wisely, just saying 🤷🏾♀️
I really enjoyed
Thanks for sharing with us
I'm doing travel vlog 💪💪🙏
Krg the don he is always rock with his unique style 🔥 🔥 I love his music 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I need sponsorship from this guy nitoke gulf
Bora pesa. Everyone chooses what he/she deserves. Live life to the fullest
business bila struggles, no ups and down, no losses okay. whatever mehn
Huyu jamaa anafanya mtu afikirie anakwama wap, Kwel ukijinyima Vitu vingi Mafanikio yanaanzia apo
Both poor and rich God gave them 24hrs the problem is how they manage there time is only thing makes them diffrent
Yes,
Tuonyeshe KRA returns
"sasa Mimi sio mkenya wa kawaida... Hiyo ndio hamuelewi".
Respect the Don!
Usipokuwa mkenya kama wengine, jitayarishe kwa Illuminati na wizi allegation
Go for it bro, the sky is the limit. Every hardworking nigga deserves the best life
Pia nyinyi mnajiita nigga sikuizi.???
Hio ni ushamba na ufala wa hali ya juu.
Hauelewi kabisa.!!!! Wacha ushamba.
Exactly nigga
this guy is more intelligent than he looks ...
Ni wash tu ndio alianza nayo then akangia legit business sasa
Mimi si mkenya wa kawaida😂😂😂😂....tofauti hamuelewii😂😂
KRA following 😂😂😂The problem with the young and "rich" brag of how much they spend but own very little and know very little.
the problem with people like you who know so much have very little to show for it too. you say we own very little then also say material possessions are worthless
@@mufasa2079 Material possession is indeed worthless, coz you enjoy it only while breathing. Once you die other people squander it.
UrGenius
Well said nigga
Better knowing little and get money then just talk like you
This guy is a special wash wash in kiliimani
U are broke
Jamaa anapenda kujichocha sana let him talk about his music which I think hawezi kuongea ju he is not a musician hajui kuimba sasa kazi ni kushinda akijichocha tu hapa
Hahahaha .....Earth is hard.......kila mtu apambane na hali yake
Alaaaaaaa balaa hii ni wash wash.
Jamaa ametisha Dha! Hata sisi Marekani 100 haikamiliki kwa siku.
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html yoo
@krg 100k will change ma life please🙏
you realy make to stand on your stands
How iwish you could be My auncle in Nairobi
When you are poor nobody will ask about you but when God lift you up they begin to be curious on your income don't do you you need no explanation to anyone
Kuna wengine huletewa pesa usiku wakiwa wamelala, mzazi willy kwa taathima zote angalieni watu wa kuhoji
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html Araon
People have money working for them not the other way around. We shinda tu hapo.
@@catherinemumbua8251 ni maoni yangu tu
@@catherinemumbua8251 just enjoying my freedom of expression
He is so genius.
Like that that man is on top
KRA banaa
The guy is just living his life, no fuss #hapangwingwi
😂😂😂
Bro...alafu pia useme hasara kidogo hehe...unajua unasema tu kuiweka na inatoa mafaida bana...
Huyo jamaa awache chocha aseme ukweli source yake ya pesa ..juu many pple out there are working hard too
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html yoo
Na hasemi hasara...ni faida tu hehe
Working hard is different with working smart, the mkokoteni guy works very hard, but earns 500, so hard work don't pay always
The difference is those people are working for money, KRG has his money working for him.
The difference between him and them is smartness in their work. Hard work stopped paying a long time ago.
Kijana ameji kakamua na kiswahili, hongera... wakenya wa tu ige mfano huu ..
Key thing kwa convo is invest to get passive income
Uyu jamaa ni mtrue💪💪💪
Weee krg weeeeeee
100k mzima 😢😢 me ata 100 bob kwa siku maybe kama nimeekewa juju
🤣🤣🤣🤣boss uko ligy yako KRG THE DON
Napenda huyu jamaa sana
This guy works alot
Truetalk Kila mtu atafute pesa tuwache jelous
Sasa mnaexpect watu waitikie they are doing washwash,drugs or illuminati 😂😂😂😂 mnanibambanga sana na hizi maswali zenu...Hushpuppi sikumbuki akiiitikia until he was caught...lakini si kila mtu ako na pesa mingi ako kwa hizo biashara kuna watu wanafanya kazi safi na living big.
Umechanganikiwa if u think illuminati brings money😂😂
🏂💐🏵️🏵️HUYO JAMAA ANAFAA KUCHUNGIZWA, HIZO PESA ZOTE ANATOA WAPI . NI MWIIZI HUYO KIJANA🏵️🏵️
Alikuibia.. scarcity mentality! 🙄
@@briankeith5499 Thanks you for saying this! Wakenya wengine Tu 😏
@@KingofZamunda. kabisa wivu mingi
Acha wivu
Wacha wivu bro, go work
Anakaa T-Bag😁😁😁
KRA online team watching..
Kra siku hizi wako rada mbaya, afadhali usiseme
How does this help the public, Kenyans don't hv secrets even about their issues,
Itawamotivate, unless uwe na wivu
Yes blood I fell you
Hio miti anaongeoelea ni bhangi
💯💢💥
Uwongo tupu ! 😀😁😂😃😄😅😆
Wah sisemi ki2 mm
Is this guy a Kisii? Listening to his accent plus knowing how my Kisii brothers work hard,sisemi kitu.
He is a kikuyu
He was raised in kisii
So many people buying into this act..sad how people crave riches...'biashara zangu ni nyingi Niko kwa real estate, transport, music...'the guy is too vague to be taken seriously
I worked so hard everyday 4 a whole year i only saved 40k but someone here is spending 100k a day plz God where did i Go wrong🤔
Hapo kwa kila mtu ako na 24 hours, answers everything....
Holla Mimi nataka hunisaidie ishalha .nina tabu. Sana na sijuwi ningie wapi vile wasema hunazo nipe sposa .nimedhulumiwa help 🤲🙏👍🤏🤏
Acheni udaku,,pesa yake haituhusu,,let us 'Kenyans' learn how to mind our own business!!!
Ungejali mambo yake hungeclick hii link.
Little Minds reason like you
I thank God
Yote tisa ya kumi na survive na fuliza
😅😅😅😍😍
This is the life he choose to live and indeed he is a very hardworking person wewe bado lala ukifata comments kupinga jihada za wengine learn from him and start something I like this guy sema kujituma
Mtu amepanda miti ten years atakuwa na mapato kisha utamwita illuminati that is high level of foolishness wakenya ujitume fanya kazi kwa mikono yako barikiwa God bless you K brother keep up good work
So true 👏👏👏
U have a shallow mind ....it seems u have no idea of what happens in Kenya....
kununua ma lambogini ma helcopter RR ....
Wanaume mtafute pesa muache wivu otherwise hakuna mahali itawapeleka 🔒🔒
Bado maskini tajiri roho
Inatoka wapi? mimi sijawai skia mziki yako,wewe si Nyash ama Sauti sol those are the only artists in Kenya who can genuinely say wameimba Kenya and even go international without qstn,real estate gani?mimi najua cytonn,najua optiven,najua real estate different,wewe uko real estate gani?farming ,maziwa ni ya Uhuru,mayai na Kuku ni ya Ruto,you dont own a factory meaning i dont see anything new manufactured by krg,boss hakuna app umetengeneza,boss wacha kutupima brother,ni poa uko na doo na ni zako lakini hapo pahali zimetoka sema tu hutaki kusema,ju ni ufala unatwambia plz.
Shida yenu inakuanga wapi,mtu akisota mnasema ni mwizi,akipata mnasema bado anafanya vitu zake si mzuri,krg ww ni don na msee asikuambie kitu,pesa ni yako na ww ndio unajua venye ww hukazana ndio upate hii doh broh
Una machungu bro,nani amekukosea
He owns alot of clubs country wide
#krg Uwongo bana 😆😆😆 if u spend 100,000 per day wat is ua income per day?
Si uyu beshte aache tu siku moja kula lunch anipee hio fifty k nifanye mambo kibao
We sianisaidie
Uwezi ua gengeton coz si ww ulianzisha tena wakenya wapenda gengeton kwani mejja nadio mzito anaimba
KRA is following
Kweli ngengetone yy ndo amezima
MzukA full
Wash wash
Big up Krg
Baradhuli huyo.
Unajichomea bro
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html 🎶
When people don't understand you, they make up shit. Look at how they crucified me, DO YO' THANG K.R.G. 🤟🏾🤟🏾🔥
Niandike kuosha choo basi
Ausio
Ii jamaa anafaa kuwa politician anajibu maswali vipoa sna
Anigawie hiyo pesa😂😂
Hio pesa yote na hunoni🤦♀️
6:15 umeulizwa vizuri , unatoa wapi pesa, that's not enough explanation.. KRA follow up this nigga aache ufala🤣
The Rich are not taxed🤣
I really need a horrible by krg I do music to
Eeeh mzae 100k per day alafu mnasema kenya hakuna doo
And he should help us poor lol
KRA kujeni huku.🤣🤣
Please feed hungry
Nothing is impossible before God. 🙏
kumbuka ata birdman alifilisika wacha pride
KRA are watching 😂😂
Wah, mungu do not pass me by
Watu wanakuliwa na wivu apa 🤣🤣🤣🤣 even insulting KRG.men wasted their money on Women that's what kuna wenye hawaendelei 🤣
Eeeeeh buda 100k a day...😁😁😁
Sisi kama KRA tunakucheki
KRG pays taxes
KRA kitu gani acha hizo dadangu furahia mafanikio ya ndugu yko
Sense🔥🔥👊👊
Mpaka Tuva ameshindwa kuongea
Tag KRA
Aki pesa wewe😂😂😂nisikushike
Has someone tagged KRA to hear this? 🤔 🤔
I think KRA should be involved. Hahahaha
He pays his taxes just fine we shinda tu hapo
Kamati ya Roho chafu
Wah nilikosea wapi jamani
@@catherinemumbua8251 guess what don't engage in ass-licking thinking he will drop some unpaid taxes to you.
Huyu simkenya wa kawaida 🤣🤣🤣 Tuva huelewi
🤣🤣🤣🤣🤣