Alichokisema Manara kuhusu kuondoka Yanga baada ya Wazee wa Yanga kumfukuza Yanga sababu ya Usaliti

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 09. 2021
  • Alichokisema Manara kuhusu kuondoka Yanga baada ya Wazee wa Yanga kumfukuza Yanga sababu ya Usaliti
    "Now naweza kufanya kazi zangu bila Presha yoyote,,kundi hili nnalofanya nalo kazi Kwa sasa wala situmii nguvu kubwa,,,ni kuwakumbusha tu !!
    Angalia siku ya Wananchi,,wala hawakuhitaji kituo kizima cha Redio kifanye Promo ya Mechi wala hawakuhitaji Wasanii hadi waende matawini kuhimiza Washabiki,,,,
    Hawa ni Die hard fans wa Mabingwa mara 27 wa Taifa hili Adhimu,,,,najivunia kuwa sehemu ya wafuasi wa club hii,,,always ntawatumikia Kwa weledi mkubwa
    Press moja na media tour ktk vituo viwili wamejaa kibao..
    Yanga Africa Wallah mnanipa raha na mtaifanya kazi yangu kuwa very Simple,,,kule Kwa Makolo hadi mishipa ya Shingo ilikuwa inataka kukatika...
    Sijui nilichelewa wapi kujiunga na club hii ya Moyo wangu." Maneno ya Manara
    #simbasc
    #hajimanara
    #yangasc
    #usajilisimbasc
    #usajiliyangasc
    #usajili
    #dirishakubwalausajili
    #azamtv
    #fifa
    #cas
    #modewji
    #hajimanara
    #yusuphmanji
    #usajli
    #kikosichasimbaleo
    #simbaleo
    #ligikuutanzania
    #simba
    #usajiliyangasc
    #yanga
    #ligikuu
    #tanzania
    #simba
    #yangaleo
    #usajilisimbaleo
    #ligikuu
    #chama
    #miquissone
    #kisinda
    #mukoko
    #caf
    #tff
    #SIMBASC
    #YANGASC
    #SIMBA
    #LIGIKUUTANZANIA
    #ligiyamabingwaafrica
    #Africa
    #tanzania

Komentáře • 93

  • @laurentbabu153
    @laurentbabu153 Před 2 lety

    Ila manara ipo siku mtaniambia MANARA una maisha marefu na timu ya yanga

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před 2 lety +2

    Afisa habari wa Yanga sio Manara, Huyo ni Msukule tu Yanga Utopolo hawajamfukuza Msemaji wao.

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 Před 2 lety +1

    Nabado mtaona kazi kubwa zaidi ya hayo jmos napo mtaona moto

  • @kinyanyaeliakimu111
    @kinyanyaeliakimu111 Před 2 lety

    Pole

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 Před 2 lety +1

    HIYO HAJI NI ZILIPENDWA KUJIPENDEKEZA USIKOPENDWA, UNARUDIA YALE YALE HUNA JIPYA MASKINI, NAFASI YAKO NI FINYU LABDA UANZISHE BIASHARA NYENGINE LKN USEMAJI WA VILABUNI KWAKO SIO ISSUE WALA SIO MTAJI TENA , KWAKHERI.

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 2 lety

    🤣 🤣 🤣 Jamqn hatar haya Maisha yanahitaji akili na utashi na si nguvu N mdomo mwing utapotea mapema
    Manara mdomo utakuponza bro nilikupenda lkn mdomo wako imenishinda 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @rajabujohn4573
    @rajabujohn4573 Před 2 lety

    Ewemnafiki wavidimbwi washakushitukia hapo njaanjaambaya shida anazopitia huyokibwengo nzitamua tumor huu mwezi wa10 mtanikumbuka

  • @benjaminmsheleja3094
    @benjaminmsheleja3094 Před 2 lety

    Magoma acha mawazo hayo hajji manara afanye kazi nimapema muno kumpondea madongo Kama hayo tuvumiliane chama lawananchi tuwekitukimoja kaziiendelee

  • @tofautinamalengo5035
    @tofautinamalengo5035 Před 2 lety

    da Nakuonea huruma Sana ndugu yangu

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před 2 lety +1

    Wenye yanga yao hawakutaki anaekutaka uyo mpigaji wako

  • @jumannepango1775
    @jumannepango1775 Před 2 lety +1

    Kweli huyu

  • @nassorojuma2649
    @nassorojuma2649 Před 2 lety

    Nami naungana na mzee magoma sina imani na manara kabisaa

  • @jumakichegeula3296
    @jumakichegeula3296 Před 2 lety

    Atumtaki tena uyoooo ana mpya

  • @sarllemmtunze405
    @sarllemmtunze405 Před 2 lety

    Magoma ndio Yanga wenyewe hao yeye huakilishwa tu na wenye timu yao na Manara asipoondoka Yanga basi Yanga itapasuka.

  • @richardmakene7780
    @richardmakene7780 Před 2 lety

    Duuuuuuu visit Kilimanjaro ndo imesainiwa juz tyuuuu mkataba umeixhia hpo

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 Před 2 lety

    Yanga kumrejesha Kaze,ni uchuro. Subirini kipigo kutoka Simba .

  • @emmanuelsangijacosmas1737

    Hiii kaliii San atakonda zeruzeru huyu akitoka utoporo

  • @ramadhanimwalile4221
    @ramadhanimwalile4221 Před 2 lety +1

    Wew magoma yanga sio ya baba ako Kama ukiona utendewi aki ondoka ww

  • @abdurahmaniiddi6575
    @abdurahmaniiddi6575 Před 2 lety

    Yupo sahihi huyo mzee

  • @mwanaidbaraka8475
    @mwanaidbaraka8475 Před 2 lety

    Haaa!tangu umeondoka simba umekondeana kamanini,simba ulikuwa unakula hakizao bure tu.

  • @kipagomedia6857
    @kipagomedia6857 Před 2 lety +1

    Hahahhahahahah hahahhahhahhahha hhahahahaahhhahhaa ahhahaahhahahhahah hahahahhaahhah🤣😃😃🤣😃🤣🤣🤣😃🤣😃🤣🤣🤣😃🤣😃😃🤣😃🤣😃🤣😃🤣😃🤣😃

  • @vascokasambala2159
    @vascokasambala2159 Před 2 lety

    SELAALIYOBAKI NAYO NIKUSEMA MABINGWA MALA 27KINGINE HANA MSUKULE OYEEEEEEEEE

  • @chussehussain5573
    @chussehussain5573 Před 2 lety +1

    Simba wanataka kutuchanganya tumeshituka siku zote mlikaa kimya mnaona siku zimewadia mnaanza kelele mmekua chura hatudanganyiki manara piga KAZI yanga

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 Před 2 lety

      MZE MAGOMA SIMBA??? MADHAHABU TEMEKE SIMBA??? BALAA ZENU PELEKENI MBELE

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Před 2 lety

      Wew mwendawazim kwani mzee magoma amekua simba siku hizi ???

  • @jordanjuma6709
    @jordanjuma6709 Před 2 lety

    Manara usihofu fanya kazi

  • @zachavicpeter0411
    @zachavicpeter0411 Před 2 lety

    Njoo nyumban kaka

  • @aliabass9392
    @aliabass9392 Před 2 lety

    Anajizimua tu lkn wazee wa yanga hawamtaki hivyo asitegemee mashirikiano yoyote kutoka kwa wazee na hivyo timu haipata mafanikio ,migogoro haitoisha mwishowe atatimuliwa tu.

  • @harunimwanawima7851
    @harunimwanawima7851 Před 2 lety

    Kimeumana

  • @staliamwakalinga3926
    @staliamwakalinga3926 Před 2 lety

    Magoma yupo sahihi kadi ya Simba anayo

  • @abddasabtoni7728
    @abddasabtoni7728 Před 2 lety

    Asubiri ngao ya jamii watampoteza

  • @estershebilah817
    @estershebilah817 Před 2 lety

    Mimi Fabiano sank kutoka babati manyara yuko Mzee Wa yang manar nuksi kawa yag yko saw kabc

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 Před 2 lety

      USIMSOGELEE ATA KUAMBUKIZA NUKSI 🤣🤣🤣🤣

  • @jumaiddi2446
    @jumaiddi2446 Před 2 lety

    Lisemwalo lipo Kama halipo liko njiani jiandae mzee ingawa unaweza kuishi kwa misaada ya rangi yako

  • @jamesmohamedy7743
    @jamesmohamedy7743 Před 2 lety

    Da msukule

  • @neemamunishi3516
    @neemamunishi3516 Před 2 lety

    Duh

  • @karimcharles3753
    @karimcharles3753 Před 2 lety

    Kwani magoma anacheza namba ngapi?

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 Před 2 lety

      KWANI MANARA NA MZEE MPILI WANACHEZA NAMBA NGAPI???

  • @HassanAli-jc3ps
    @HassanAli-jc3ps Před 2 lety

    Mwanzo mgumu mwisho mzuri ujio wa manara yanga songa mbele mafanikio yanakuja

  • @mangibrasta9112
    @mangibrasta9112 Před 2 lety

    Aondoke

  • @athumaniyuba935
    @athumaniyuba935 Před 2 lety

    LAZIMA AJIPENDEKEZE HAPOGAPO UTOPOLO. HANA KWA KWENDA HUYO HAJI. YAANI HUYO HAPO HATA AKIITISHWA MPALANGE ATAKUBALI KUGONGWA TU. HANA KWA KWENDA HUYO NDOYO BAC TENA.

    • @kevinaly127
      @kevinaly127 Před 2 lety

      Magoma wewe ndio kiongizi msaliti ndomaana yanga haiendelei

  • @maikomaikomeshakimdabulo8018

    Marana uy atumtak simb tena

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před 2 lety

    Alikuja senzo hamna shindi amekuja manara hamna ushindi hao wote hawachezi ushindi unaletwa na wachezaji ila mashabiki wa yanga kama alivyowasema Manara mwenye mzee kikwete na baba ake wengine mh ni shida

    • @tamilaally5991
      @tamilaally5991 Před 2 lety

      mdogoangu manara unaweza onakilakitu kinawezekana chiniyajua kumbesiokweli ukiwayanga utapatatabusana kuliko tulipokuanawewe saizi umesha dhalilika broo tafutatu kazinyingine kwenyesoka tukusahaukwanza ukujua wakatipicha linaanza linapoisha ndiounaona ualisiawa ulichokitengeneza kamakinalipa au umeingia king

  • @kiondobotto672
    @kiondobotto672 Před 2 lety

    Nyie Simba mnaumia Sana manara kuja yanga na hao washabiki wa Simba wanao comment hapo wakijidai eti wao ni yanga bas imekula kwao washabiki wanyanga wengi wanajielewa atuyumbishi na makolo fc

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 Před 2 lety

      KWELI M'MEZOWEA KICHAPO HAMUWEZI KUYUMBISHWA.

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Před 2 lety

      We umerogwa kwani uyo Manara anatembea na ushindi kama ni hivyo mbona tangu amekuja mwafungwa ???wew kumbe mwehu

  • @hamidriday2352
    @hamidriday2352 Před 2 lety

    MANARA anacheza number ipi?? Au MANARA ni Coach?? Rome was not built in aday,
    Tafakari hilo

  • @abdallasaidi6395
    @abdallasaidi6395 Před 2 lety

    Mbona muna mkera mgeni wenu

  • @HassanAli-jc3ps
    @HassanAli-jc3ps Před 2 lety

    Sisi yanga manara tunamuelewa na tumepokea mikono miwili manara oyeee

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 Před 2 lety

      Kweli ila hatumuamini 100%

    • @HassanAli-jc3ps
      @HassanAli-jc3ps Před 2 lety

      @@depaolo3461 hahahaa ila ndo kashakua yanga

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 Před 2 lety

      @@HassanAli-jc3ps 😂😂😂 achunguzwe vzr acje akamwaga mboga na ugali

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Před 2 lety

    wewe mzee magoma umetumwa au shobo dundo tuu wewe ujui kesho kutwa tuna derby sasa unakiongea nini au ndio wale wale unataka wachezaji watoke mchezoni kama Nigeria sio?

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu227 Před 2 lety

    haondoke tyu ananuksi uyooooooi

  • @dugaman7764
    @dugaman7764 Před 2 lety

    wewe mutagazaji hauna akilikabisa musege wewe unakuza mambo kwanini

  • @iddykimwaga6503
    @iddykimwaga6503 Před 2 lety

    M naona anapoteza muda tu hana lolote huyo

  • @gulamomar6394
    @gulamomar6394 Před 2 lety +1

    Utopolo bhanaaaa🤣

  • @mirajikisuda4341
    @mirajikisuda4341 Před 2 lety

    KWANI MANARA NI MCHEZEJI. ?

  • @mussapaulo4671
    @mussapaulo4671 Před 2 lety

    Hayo kasema wewe au yeye achen uongo

  • @josephsweke3060
    @josephsweke3060 Před 2 lety

    😀😀😀😀

  • @mkamiwalioba6175
    @mkamiwalioba6175 Před 2 lety

    Pool

  • @salimsaid7200
    @salimsaid7200 Před 2 lety

    MFATENI MZEE MAGOMA MUMUULIZE KISTARABU HALAFU TUTOWA MAONI MWINGINE MADHAHABU YUKO TEMEKE AMEHOJIWA NA MBENGO TV.

  • @nachuvocha5735
    @nachuvocha5735 Před 2 lety

    Uongo hamnalakuandika

  • @amirimohamedi392
    @amirimohamedi392 Před 2 lety

    Wasenge was Simba haji hatumuachi wasenge wa smba huyo magom mpumbavu

    • @hussenjaffar6162
      @hussenjaffar6162 Před 2 lety

      Akuowe bac

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 Před 2 lety

      @@hussenjaffar6162 🤣🤣🤣🤣 NA MDHAHABU TEMEKE SIMBA??? BASI AKAE NA MKEWE ASIMWACHE🤣🤣🤣

  • @rashidrashd9273
    @rashidrashd9273 Před 2 lety

    Mm naona mzee magoma yupo saw uyo GSM amekosea kumpa kaz manara

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 Před 2 lety +1

    Hizi ni Propaganda za Simba kuelekea derby, MAGOMA ANATUMIKA

  • @mathayocharles5449
    @mathayocharles5449 Před 2 lety

    Msukule uondoke au ubaki?

  • @chussehussain5573
    @chussehussain5573 Před 2 lety

    Haji piga KAZI ww ni mti wenye matunda kwaiyo mawe yatakuwa mengi muombe sana m.mungu ndiokilakitu atakutangulia

  • @maammudmohammad4306
    @maammudmohammad4306 Před 2 lety

    msukule umepeleka gundu huko

  • @amirimohamedi392
    @amirimohamedi392 Před 2 lety

    Smb makoro lot makop majezi

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před 2 lety

    Mwandishi muongo kabisa

  • @emanueljinai7613
    @emanueljinai7613 Před 2 lety

    Yanga.tuamke

  • @careenpatrick2759
    @careenpatrick2759 Před 2 lety

    Matako ww

  • @nyangefaiz1856
    @nyangefaiz1856 Před 2 lety

    Hivi hamjuwi kama picha isiyo kuwa video haiaminiki?

  • @azizimtamba511
    @azizimtamba511 Před 2 lety

    Hawakutaki msukule wewe

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 Před 2 lety

    Nabado mtaona kazi kubwa zaidi ya hayo jmos napo mtaona moto