Alichokisema Manara kuhusu kuondoka Yanga baada ya Wazee wa Yanga kumfukuza Yanga sababu ya Usaliti
Vložit
- čas přidán 21. 09. 2021
- Alichokisema Manara kuhusu kuondoka Yanga baada ya Wazee wa Yanga kumfukuza Yanga sababu ya Usaliti
"Now naweza kufanya kazi zangu bila Presha yoyote,,kundi hili nnalofanya nalo kazi Kwa sasa wala situmii nguvu kubwa,,,ni kuwakumbusha tu !!
Angalia siku ya Wananchi,,wala hawakuhitaji kituo kizima cha Redio kifanye Promo ya Mechi wala hawakuhitaji Wasanii hadi waende matawini kuhimiza Washabiki,,,,
Hawa ni Die hard fans wa Mabingwa mara 27 wa Taifa hili Adhimu,,,,najivunia kuwa sehemu ya wafuasi wa club hii,,,always ntawatumikia Kwa weledi mkubwa
Press moja na media tour ktk vituo viwili wamejaa kibao..
Yanga Africa Wallah mnanipa raha na mtaifanya kazi yangu kuwa very Simple,,,kule Kwa Makolo hadi mishipa ya Shingo ilikuwa inataka kukatika...
Sijui nilichelewa wapi kujiunga na club hii ya Moyo wangu." Maneno ya Manara
#simbasc
#hajimanara
#yangasc
#usajilisimbasc
#usajiliyangasc
#usajili
#dirishakubwalausajili
#azamtv
#fifa
#cas
#modewji
#hajimanara
#yusuphmanji
#usajli
#kikosichasimbaleo
#simbaleo
#ligikuutanzania
#simba
#usajiliyangasc
#yanga
#ligikuu
#tanzania
#simba
#yangaleo
#usajilisimbaleo
#ligikuu
#chama
#miquissone
#kisinda
#mukoko
#caf
#tff
#SIMBASC
#YANGASC
#SIMBA
#LIGIKUUTANZANIA
#ligiyamabingwaafrica
#Africa
#tanzania
Ila manara ipo siku mtaniambia MANARA una maisha marefu na timu ya yanga
Afisa habari wa Yanga sio Manara, Huyo ni Msukule tu Yanga Utopolo hawajamfukuza Msemaji wao.
Unamimba ww
Nabado mtaona kazi kubwa zaidi ya hayo jmos napo mtaona moto
Pole
HIYO HAJI NI ZILIPENDWA KUJIPENDEKEZA USIKOPENDWA, UNARUDIA YALE YALE HUNA JIPYA MASKINI, NAFASI YAKO NI FINYU LABDA UANZISHE BIASHARA NYENGINE LKN USEMAJI WA VILABUNI KWAKO SIO ISSUE WALA SIO MTAJI TENA , KWAKHERI.
🤣 🤣 🤣 Jamqn hatar haya Maisha yanahitaji akili na utashi na si nguvu N mdomo mwing utapotea mapema
Manara mdomo utakuponza bro nilikupenda lkn mdomo wako imenishinda 🙌🙌🙌🙌🙌
Ewemnafiki wavidimbwi washakushitukia hapo njaanjaambaya shida anazopitia huyokibwengo nzitamua tumor huu mwezi wa10 mtanikumbuka
Magoma acha mawazo hayo hajji manara afanye kazi nimapema muno kumpondea madongo Kama hayo tuvumiliane chama lawananchi tuwekitukimoja kaziiendelee
da Nakuonea huruma Sana ndugu yangu
Wenye yanga yao hawakutaki anaekutaka uyo mpigaji wako
Kweli huyu
Nami naungana na mzee magoma sina imani na manara kabisaa
Atumtaki tena uyoooo ana mpya
Magoma ndio Yanga wenyewe hao yeye huakilishwa tu na wenye timu yao na Manara asipoondoka Yanga basi Yanga itapasuka.
Duuuuuuu visit Kilimanjaro ndo imesainiwa juz tyuuuu mkataba umeixhia hpo
Yanga kumrejesha Kaze,ni uchuro. Subirini kipigo kutoka Simba .
Hiii kaliii San atakonda zeruzeru huyu akitoka utoporo
Wew magoma yanga sio ya baba ako Kama ukiona utendewi aki ondoka ww
Yupo sahihi huyo mzee
Haaa!tangu umeondoka simba umekondeana kamanini,simba ulikuwa unakula hakizao bure tu.
Hahahhahahahah hahahhahhahhahha hhahahahaahhhahhaa ahhahaahhahahhahah hahahahhaahhah🤣😃😃🤣😃🤣🤣🤣😃🤣😃🤣🤣🤣😃🤣😃😃🤣😃🤣😃🤣😃🤣😃🤣😃
SELAALIYOBAKI NAYO NIKUSEMA MABINGWA MALA 27KINGINE HANA MSUKULE OYEEEEEEEEE
Simba wanataka kutuchanganya tumeshituka siku zote mlikaa kimya mnaona siku zimewadia mnaanza kelele mmekua chura hatudanganyiki manara piga KAZI yanga
MZE MAGOMA SIMBA??? MADHAHABU TEMEKE SIMBA??? BALAA ZENU PELEKENI MBELE
Wew mwendawazim kwani mzee magoma amekua simba siku hizi ???
Manara usihofu fanya kazi
Njoo nyumban kaka
Anajizimua tu lkn wazee wa yanga hawamtaki hivyo asitegemee mashirikiano yoyote kutoka kwa wazee na hivyo timu haipata mafanikio ,migogoro haitoisha mwishowe atatimuliwa tu.
Kimeumana
Magoma yupo sahihi kadi ya Simba anayo
Asubiri ngao ya jamii watampoteza
Mimi Fabiano sank kutoka babati manyara yuko Mzee Wa yang manar nuksi kawa yag yko saw kabc
USIMSOGELEE ATA KUAMBUKIZA NUKSI 🤣🤣🤣🤣
Lisemwalo lipo Kama halipo liko njiani jiandae mzee ingawa unaweza kuishi kwa misaada ya rangi yako
Da msukule
Duh
Kwani magoma anacheza namba ngapi?
KWANI MANARA NA MZEE MPILI WANACHEZA NAMBA NGAPI???
Mwanzo mgumu mwisho mzuri ujio wa manara yanga songa mbele mafanikio yanakuja
NDOTO ZA MCHANA HIZO
Ndio ndoto nzr kuliko za usiku hua za kichawi
Aondoke
LAZIMA AJIPENDEKEZE HAPOGAPO UTOPOLO. HANA KWA KWENDA HUYO HAJI. YAANI HUYO HAPO HATA AKIITISHWA MPALANGE ATAKUBALI KUGONGWA TU. HANA KWA KWENDA HUYO NDOYO BAC TENA.
Magoma wewe ndio kiongizi msaliti ndomaana yanga haiendelei
Marana uy atumtak simb tena
Alikuja senzo hamna shindi amekuja manara hamna ushindi hao wote hawachezi ushindi unaletwa na wachezaji ila mashabiki wa yanga kama alivyowasema Manara mwenye mzee kikwete na baba ake wengine mh ni shida
mdogoangu manara unaweza onakilakitu kinawezekana chiniyajua kumbesiokweli ukiwayanga utapatatabusana kuliko tulipokuanawewe saizi umesha dhalilika broo tafutatu kazinyingine kwenyesoka tukusahaukwanza ukujua wakatipicha linaanza linapoisha ndiounaona ualisiawa ulichokitengeneza kamakinalipa au umeingia king
Nyie Simba mnaumia Sana manara kuja yanga na hao washabiki wa Simba wanao comment hapo wakijidai eti wao ni yanga bas imekula kwao washabiki wanyanga wengi wanajielewa atuyumbishi na makolo fc
KWELI M'MEZOWEA KICHAPO HAMUWEZI KUYUMBISHWA.
We umerogwa kwani uyo Manara anatembea na ushindi kama ni hivyo mbona tangu amekuja mwafungwa ???wew kumbe mwehu
MANARA anacheza number ipi?? Au MANARA ni Coach?? Rome was not built in aday,
Tafakari hilo
Falauyoooo msukule
Mbona muna mkera mgeni wenu
Sisi yanga manara tunamuelewa na tumepokea mikono miwili manara oyeee
Kweli ila hatumuamini 100%
@@depaolo3461 hahahaa ila ndo kashakua yanga
@@HassanAli-jc3ps 😂😂😂 achunguzwe vzr acje akamwaga mboga na ugali
wewe mzee magoma umetumwa au shobo dundo tuu wewe ujui kesho kutwa tuna derby sasa unakiongea nini au ndio wale wale unataka wachezaji watoke mchezoni kama Nigeria sio?
haondoke tyu ananuksi uyooooooi
wewe mutagazaji hauna akilikabisa musege wewe unakuza mambo kwanini
M naona anapoteza muda tu hana lolote huyo
Utopolo bhanaaaa🤣
KWANI MANARA NI MCHEZEJI. ?
KAMA MZEE MPILI 2
Hayo kasema wewe au yeye achen uongo
😀😀😀😀
Pool
MFATENI MZEE MAGOMA MUMUULIZE KISTARABU HALAFU TUTOWA MAONI MWINGINE MADHAHABU YUKO TEMEKE AMEHOJIWA NA MBENGO TV.
Uongo hamnalakuandika
Wasenge was Simba haji hatumuachi wasenge wa smba huyo magom mpumbavu
Akuowe bac
@@hussenjaffar6162 🤣🤣🤣🤣 NA MDHAHABU TEMEKE SIMBA??? BASI AKAE NA MKEWE ASIMWACHE🤣🤣🤣
Mm naona mzee magoma yupo saw uyo GSM amekosea kumpa kaz manara
Hizi ni Propaganda za Simba kuelekea derby, MAGOMA ANATUMIKA
KWANI MAGOMA MCHEZAJI AU KOCHA.
Msukule uondoke au ubaki?
Haji piga KAZI ww ni mti wenye matunda kwaiyo mawe yatakuwa mengi muombe sana m.mungu ndiokilakitu atakutangulia
MATUNDA PORI HAYALIKI 🤣🤣🤣🤣
msukule umepeleka gundu huko
Smb makoro lot makop majezi
Mwandishi muongo kabisa
Yanga.tuamke
Kweli muamke maana mmelala yoo
manara stole 2 yang awe msemaj wa mwaduii make ss Simba katuambia makoro
aondoke
Jumamos wakifungwa patanuka hapo utopoloni shenz!!!
Matako ww
Hivi hamjuwi kama picha isiyo kuwa video haiaminiki?
Dhambi na taamaa zinamponza malipo hapa duniani
Hawakutaki msukule wewe
Nabado mtaona kazi kubwa zaidi ya hayo jmos napo mtaona moto