Situmii tigo tena na laini na vunja mana imefanya mpaka nigombane na mwanamke wangu, yani unatuma SMS saizi inamfikia mtu kesho au baada yaka dk kadhaa ndo SMS inafika, mtu anaona una mdharau kumbe tatizo ni mtandao wenyewe nahama tigo kuanzia leo/ hafu mnaimba imba tu hapo, hamujui hata kuimba
Safiiii. Hakuna kama nyinyi linapokuja swala la kutengeneza matangazo na promo. Big Up Tigo
Tigo Tanzania🙏☺😊
Situmii tigo tena na laini na vunja mana imefanya mpaka nigombane na mwanamke wangu, yani unatuma SMS saizi inamfikia mtu kesho au baada yaka dk kadhaa ndo SMS inafika, mtu anaona una mdharau kumbe tatizo ni mtandao wenyewe nahama tigo kuanzia leo/ hafu mnaimba imba tu hapo, hamujui hata kuimba
Nice....keep it up saint Gregorio choir
🙌🙌🙌🙌🙌
Habari
Halotel ndi kiboko hawana wizi wa ovyo na spidi ya internet ni ya kasi kama voda.....
Mmmh
hatar sana
4g ipo kwenye mageto yenu tu vijijini mamvi inaferi Sana upande wa intanent wazee huu mda kuangalia hii video yenu natumia data ya halotel