PEMBA KUA ULAYA RAHA TUPU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #HabariZaUhakika #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 772 281 879
    +255 773 071 409
    Zinjibartv Journalists
    cc: Zuhura Hussein
    cc: Swaleh Watamaama
    cc: Ramadhan Yussuf
    Camera Department & Editors
    Dr D.sam
    DOP Kahale
    Kifelety
    Is-hak Juma
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    - HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

Komentáře • 21

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx Před 9 měsíci

    CCM wazanzibar kma wanyama tu hawana akili

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Před 10 měsíci

    Zaidi asaa🎉🎉🎉

  • @alijumes3580
    @alijumes3580 Před 8 měsíci

    Acha ushamba hayo c ykujisifia leo

  • @IsmailElmazroui
    @IsmailElmazroui Před 6 měsíci

    Acha ushamba wako

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 8 měsíci

    Wewe wacha uongo maana kutoka Wete mpaka Mzambarauni wafikiria uko katika mkondo wa Nungwi roho Riziki yako

  • @AmranSuleiman-tj5df
    @AmranSuleiman-tj5df Před 7 měsíci

    Ccm tumeichoka miaka kumi barabara ya mkoani chake chake inajengwa kwa mdomotu wanafik2hawa

  • @user-if5ed2jk5s
    @user-if5ed2jk5s Před 7 měsíci

    tudanganyen alafu mkae mtulie c uchaguz unakaribia tena

  • @alijumes3580
    @alijumes3580 Před 8 měsíci

    Acha ujinga

  • @Fauzfakikhamis5281
    @Fauzfakikhamis5281 Před 11 měsíci +1

  • @FakihJuma-ow3gx
    @FakihJuma-ow3gx Před 8 měsíci

    Ana fanya lakin Kwa ubaguzi mbona pemba hatengenezi kama ana vyao tengeneza unguja wewe huoni kama huoni ubaguzi

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim8600 Před 11 měsíci

    Musitudanganye pemba hawezi kua ulaya pemba itaku pemba na ulaya ni ulaya acha kufafanusha wpemb na ulaya ss

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 Před 10 měsíci

    Ama kweli CCM haina Sera yenye kueleweka. Kila awamu mipango tofauti tofauti hufanyika alimradi kiongozi ametamburikiwa
    Uchumi wa znz haujamnufaisha maskini wa chini kabisa aliyekosa ajira wala hana rasimali endelevu ya kumpatia kipato.
    Serikali za awamu zote zilizopita zimekuta huyu lakini zimeshidwsutabua , kumthamini a kumwendeleza kiuchumi, anazidi kudidimia kwenye lindi la umaskini
    Danganya toto tupate kura yake niweze kula na kulaa raha mustarehe na familia yangu
    Hii ndio Sera ya chama tawala,znz,CCM.

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před 11 měsíci

    Hiyo barabara ilipangwa Kabla ya Mwinyi. Hayo ni makombo tu ya awamu zilizopita.

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Před 10 měsíci

      Munaumwa huku bara samiya anajenga kilomita 43 kigamboni 4 way kwa mizi 20 pmb km 23 miezi 30 wsy

  • @MamyRahma
    @MamyRahma Před 11 měsíci

    Ulaya asaa??

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 6 měsíci

    Muongo Mkubwa wewe ni sawa na kutudanganya kwani Wapemba wenyewe wanajua Kama Wamedharauliwa kutoka Enzi na Enzi Mpemba gani utakae mueleza hata akakukubali Kwa uongo na dharau munayowadharau jipakeni mukijieneza hata bado Kwa ubaguzi Huu naona Pemba mumechelewa sana wao wenyewe Wapemba wanajua kuwa halipo la kuwaeleza Ubaguzi mpaka Kiama hapana wa kuondoka isipokuwa Allah lakini Kwa Watawala Hawa hayupo

  • @mbingwaali7791
    @mbingwaali7791 Před 11 měsíci

    Ulaya mbona tunawazid