PEMBA KUA ULAYA RAHA TUPU
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 772 281 879
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Zuhura Hussein
cc: Swaleh Watamaama
cc: Ramadhan Yussuf
Camera Department & Editors
Dr D.sam
DOP Kahale
Kifelety
Is-hak Juma
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
CCM wazanzibar kma wanyama tu hawana akili
Zaidi asaa🎉🎉🎉
Acha ushamba hayo c ykujisifia leo
Acha ushamba wako
Wewe wacha uongo maana kutoka Wete mpaka Mzambarauni wafikiria uko katika mkondo wa Nungwi roho Riziki yako
Ccm tumeichoka miaka kumi barabara ya mkoani chake chake inajengwa kwa mdomotu wanafik2hawa
tudanganyen alafu mkae mtulie c uchaguz unakaribia tena
Acha ujinga
❤
Ana fanya lakin Kwa ubaguzi mbona pemba hatengenezi kama ana vyao tengeneza unguja wewe huoni kama huoni ubaguzi
Wapemba mupo Unguja.
Musitudanganye pemba hawezi kua ulaya pemba itaku pemba na ulaya ni ulaya acha kufafanusha wpemb na ulaya ss
Ama kweli CCM haina Sera yenye kueleweka. Kila awamu mipango tofauti tofauti hufanyika alimradi kiongozi ametamburikiwa
Uchumi wa znz haujamnufaisha maskini wa chini kabisa aliyekosa ajira wala hana rasimali endelevu ya kumpatia kipato.
Serikali za awamu zote zilizopita zimekuta huyu lakini zimeshidwsutabua , kumthamini a kumwendeleza kiuchumi, anazidi kudidimia kwenye lindi la umaskini
Danganya toto tupate kura yake niweze kula na kulaa raha mustarehe na familia yangu
Hii ndio Sera ya chama tawala,znz,CCM.
Hiyo barabara ilipangwa Kabla ya Mwinyi. Hayo ni makombo tu ya awamu zilizopita.
Munaumwa huku bara samiya anajenga kilomita 43 kigamboni 4 way kwa mizi 20 pmb km 23 miezi 30 wsy
Ulaya asaa??
Muongo Mkubwa wewe ni sawa na kutudanganya kwani Wapemba wenyewe wanajua Kama Wamedharauliwa kutoka Enzi na Enzi Mpemba gani utakae mueleza hata akakukubali Kwa uongo na dharau munayowadharau jipakeni mukijieneza hata bado Kwa ubaguzi Huu naona Pemba mumechelewa sana wao wenyewe Wapemba wanajua kuwa halipo la kuwaeleza Ubaguzi mpaka Kiama hapana wa kuondoka isipokuwa Allah lakini Kwa Watawala Hawa hayupo
Ulaya mbona tunawazid
😂😂😂