Kwa yanayoendelea mpk sasa kwa ufahamu wangu. Hii issue mpk sasa inaonekana uyu joans km alilazimishwa kuandika msg kwa maneno ayo. Na kumuua. Hii itakua kuna siri zao binafsi nyuma pazia... Napata jibu ili... Kutokana yanayosemeka mpk sasa... MUNGU yupo anatosha....
Joas was almost my brother, na kinachoniumiza ni kuifanya hii story kushika trending every day what i can say joas hajawahi kuwa na nidhamu mbovu kiasi hicho ila siwezi kusema sana maana he stills human being
Kama angekuwa anatembea nae kabisa kweli asingejiua sababu kama wanakutana na wanalalana asingejinyonga ila naona amefanya hivyo kukwepa aibu na ikiwa ameoa tayar naona ni hivyo kama kuna kingine tofaut na hiki basi ni shiriki
Ninahisi alimtafuna kwa muda mrefu, yaani alilala naye baadaye wakakorofishana katika ile hali ya kukorofishana mke wa Masanja akamkataa, sasa taarifa zikamfikia Masanja na masanja naye akashindwa kujizuia akamtumia ujumbe wa mafumbo kulingana na situations zilivyo kijana akaamua kujiua.
Shetani ako kazini kila wakati na anajuwa mda wake ni mchache sana,kwa hiyo tufunguke macho ya Rohoni na tuvae silaha sana za kumpinga..ila anae jua kifo chake zaidi ni Mungu..na inaweza kuwa shetati alimkoroga huyo kaka kujinyonga ili iwe visababu kuwa alikuwa na uhusiano na mke wa Masanja
huyu mke wa masanja na rafiki yake walipomfuata marehemu ndio chanzo cha kifo pengine walienda kumùua ndo wakajifanya kajinyonga haka ka mwanamke ka masanja mungu atamuonesha kama kweli amemuua asee damu ya mtu haiendi bure ,na uzinzi wake utajidhihilisha
😂😂😂😂nacheka utafikiriii ni mazuri watu wana roho ngumuuu duuh watu ni noma eti marehemu alianza kujinyonga na tai ikakatika tai akaona usinitanie israel nishaiona nakaribia kufika akachukuaaa Na shukaaa kabisa ajimalizeee duuuh moyo kama huuu ata nifanyaje siweziiiii hayo maumivu yake nijitese
Hakika ni kitu kigumu sana uonje maiti alafu bado dakika hizo hizo utafte kitu kingne cha kukufanya ufikie malengo ,sio jambo lahisi ,watu wengi walijatibu kujiua wakanusulika ,walibaki kuwa ushuda
@@ywydhhd7941 kuna mambo makubwa sana roho ya binaadamu ni usiku wa giza, tunaishi nao ila wengine ni mafia,unaraha gani mtu wako wa karibu amekufa hata kama amejinyongo mwenyewe wewe baba huna hata simanzi upo happy kweli unagats gani kurudi upo happy kana kwamba hakuna kifo ktk kondoo wako, unafika na kuongea kwa Amani kabisa hata nafsi haikusuti hakuna kitakacho baki hapa Dunia, wote tunapita haijalishi utaondoka kwa njia gani,simanzi inakuwepo, hapo tafakari kwa sisi wengine tunajiuliza maswali mengi ambayo yanatuacha njia panda.
Usituaminishe ujinga hata ukitetea haisaidii, monica kagawa uroda yakamkuta mambo ya aibu na kijana kajiua..full stop..hayo mengine hatuhitaji kutoka kwako...ukweli usemwe hata kama hutaki kuamini..😏
@@minjesha mm nimezungumza na wewe au nimekuita ilinikuaminishe kitu kilamtu anamtazamo wake mm wakwangu nihuo wala dibadilishi nawala sina shida na malumbano mm si marehemu wala si monika wala si masanja upo
Kilichomkuna kwa mke wa Masanja mpaka ajiuwe ni kitu gani? Halafu ana mke mzuri tu tatizo nini au katolewa kafara? Mana story yenyewe ni ya maajabu mmh 🤷♂️
Halafu masanja wenyewe anajifanya yuko happy kabisa ndo kwanza anaonyesha kutumia nguvu kuaminisha watu km yy na mkewe hawana tatizo ila tatizo lipo kuna kitu kinaendelea apo wanakijua yy na mkewe.
Shetani anakuwa na wewe tangu mwanzo wa dhambi ila dhambi ikishakuwa aibu shetani anakukataa jamaa alikuwa na shetani mwanzo mwisho ila wakati kajinyonga mwamba akamkataa
Nimejifunza kuwa mwanamke ataukimpa nini mwisho wake usimsahau kuumtembezea dudu kisawa sawa , ulidhishe umkojoreshe alidhike , manake masanja nauchapakazi wote ule ka kun,gutiwa asee
Kusoma biblia ni jambo moja kuelewa maandiko ni jambo jengine nyumba ya ibada haiwez kuzalisha kes kamahizi wanawake na wanaume wakichanganyika lazma zinaa itawale someni vitabu vya dini mjitambue nduguzangu wapendwa
Joas ni mpumbavu maana alikuwa na MKE sasa MKE wa masanja alikuwa Ana muhusu nini mpaka ajiue?kafa KIFO CHA AIBU NA KAACHIA MKEWE MOYO ULIO PONDEKA NA HATAKAA AAMINI MTU
Wamemtoa sadaka 😢 Mbona msibani hawajaenda 🤔 alafu mchungaji alikuwa inje ya inch ameingia wakati mtu kazikwa 😢 haya makanisa haya achaneni nayo yana siri kubwa sana. Soon mtasikia masanja kawa nabii 😂😂😂 anaponya magonjwa na kuondoa matatizo yasiyo tatulika 😂 jinga kabisaaaa acha nijiombee 😢
Mi nasema ukweli mwenye sikio na asikie masanja asimtanie MUNGU kabisa wagalatia 6:7 inasema MUNGU hadhihakiwi masanja hufai kuwa mchungaji na wanaokufata wanapotea neno la MUNGU linasema mtawatambua kwà matendo
Mi naona abadilishe hata jina la kanisa, feel free ni nini? Yaani jiachie? Hapo shetani hachezi mbali, asali sana na kumuuliza Mungu kuna nini hadi hili limetokea
Khaaa binadam ni hatari Iv unawezaje kusema kwamba masanja hawezi kuwa mchungaji We ni nan kwanza kwenye ufalme wa Mungu Are you God How can you judge men of God???
Hayo ni madhara ya kuoa kabla hujala ujana vizuri dogo anaonekana ni mgeni wa wanawake, mwanaume aliyezoea au aliyewahi kuwa na wanawake wengi ni ngumu kujinyonga kisa demu
Kijana ana makosa .yeye alikuwa ame owa iweje yy aende kutongoza mke wawatu .tena wabishope wake .huzuni sana. Ss kajinyonga ili eweje .uko kwenye anaenda mbona ataenda kwa shetani
@@ilynpayne7491 hajala angekula asingejiua maana hakuna chaajabu ukishakula na huwezi kula alafu ukaogopa aibu huyu kajiua baada ya kukarltaliwa kaona nitaficha wapi uso wangu.
Mzuri kuliko mke WA Masanja. Pepo la mauti lilimkalia kooni, Mungu alipomnusuru Kwa Tai likaona limshauri achukue shuka lazima litimize.......kumtumikia Mungu si mchezo, jamaa hakuwa kiroho
Ubaya marehemu haongei ila atapata wa kumsemea huyo mama kaliwa waache kujifanya like nothing happened
💯
Uko sahihi
Usipotumwa na mungu utatumwa na shetani na mshahara wa dhambi ni mauti
Hakumla ndiyo maana kajinyonga
Sawa ni mambo ya kawaida
Suluisho siyo kujiuwa,mungu atunusulu na sheteni anee wapa watu mawazo ya kujiuwa Amen 🙏🙏🙏
Aamen
Msongo wa mawazo
@@daimavlog Yes Mental health is real.
Mungu/MUNGU sio mungu
Najiuliza Mengi Kama Siyo Mkono Wa Mtu Basi Kijana Alikua Na Tatzo La Akili
Bado hii dunia iko kwenye giza hatujui wanao mtumikiya mungu kweli kweli wote nikama maigizo tu
Ndo apo🤷♂️
Sio wote wasanii watumishi wa Mungu wa kweli wapo
Joas katolewa Kafara, sio Bure...hizi kanisa za mchong🤔🤔🤔🤔🤔🤔
👏👏👏👏
Kwa yanayoendelea mpk sasa kwa ufahamu wangu. Hii issue mpk sasa inaonekana uyu joans km alilazimishwa kuandika msg kwa maneno ayo. Na kumuua. Hii itakua kuna siri zao binafsi nyuma pazia... Napata jibu ili... Kutokana yanayosemeka mpk sasa... MUNGU yupo anatosha....
Joas why mbona ulioa jaman duh😢 mkeo mbona mzuri Tu🤔, Siri nzito Hii😭 Mungu atusaidie kupenda Hadi kukatisha maisha NI ngumu kuamini
Eti Jamani,ni mpumbavu
Eeeeee Mungu utuonyeshe yaliyoko mbeleni mwetu.Kweli kma mke wamasanja anajua kinachoendelea lakini anazugia ukovu wao Mungu alipe kwawazi.,
Ni ngumu kumeza kwa kweli, ss uliowa mke wa nn, Leo unamuacha mkeo kwenye wakati mgumu bure.
Yani dada kaadhirika sana
Joas was almost my brother, na kinachoniumiza ni kuifanya hii story kushika trending every day what i can say joas hajawahi kuwa na nidhamu mbovu kiasi hicho ila siwezi kusema sana maana he stills human being
jmn mke wake sijui anajisikiaje kumbe alikuwa anaishi na mtu ambaye hakuwa anampenda
Inauma hadi basi yani AOLEWE FASTA Maana unasikia hata mtoto hakutaka ili wajipange huyu Kijana hakuwa na malengo alioa kivuli tu😢😢
Mungu anajua zaidi kuliko sisi wanadamu maana kipo kitu kimejificha.
Mungu asaidie ndoa zetu Ameen
Au ni afya ya akil Jaman
hapo tatizo la kiafya
ya akili ndiyo imemfanya
afanye ayo yote
Mbona mkewe ni mzuri tuu daaah tamaa hizi
walaka aliyouandika na ufafanuzi wa police akili yangu inasema hajajinyonga kuna behind ya kifo chake
Na me nawaza hivo sio hii ishu kn kitu nyma ya pazia
Kama angekuwa anatembea nae kabisa kweli asingejiua sababu kama wanakutana na wanalalana asingejinyonga ila naona amefanya hivyo kukwepa aibu na ikiwa ameoa tayar naona ni hivyo kama kuna kingine tofaut na hiki basi ni shiriki
Jamaa amejinyonga baada ya kupost iyo video akimtomba mke wa mchungaji zecomedy ndio sababu ya kujiua
@@swalehemusa4546 hiyo video iko wap
Ninahisi alimtafuna kwa muda mrefu, yaani alilala naye baadaye wakakorofishana katika ile hali ya kukorofishana mke wa Masanja akamkataa, sasa taarifa zikamfikia Masanja na masanja naye akashindwa kujizuia akamtumia ujumbe wa mafumbo kulingana na situations zilivyo kijana akaamua kujiua.
@@swalehemusa4546 ukimshikia miguu? Umbea tu
Adam Yasin, ukitongoza mtu kina aibu gani? Au shida gani? Hadi ujiue
Dr. Mwaka 😂😂😂 sio mtu mzuri
Leo nipo nae mwaka
Yani Dr mwaka akisema wanampopowa
😂😂😂😂😂
Kweli hakuwa mtu wa kukata tamaa kiasi hiko yan mi had sasa siamin yan kama wew kka
Jamani tuwatafute majirani pia watoe ushahidi!!!
Mmmhhhh,I think this guy was killed 🤔kuna kitu haieleweki hapa.ukifanya analysi vizuri
exactly
hata mimi nahisi hivyo
Tamaa ndio shida
Hilo ndilo kubwa hapo angetembea naye asinge jinyonga
Katolewa kafara makanisa ya mchongo ndio shida zao
Wewe pia umeng'amua kitu kikubwa ila watu hawajui tu
Shetani ako kazini kila wakati na anajuwa mda wake ni mchache sana,kwa hiyo tufunguke macho ya Rohoni na tuvae silaha sana za kumpinga..ila anae jua kifo chake zaidi ni Mungu..na inaweza kuwa shetati alimkoroga huyo kaka kujinyonga ili iwe visababu kuwa alikuwa na uhusiano na mke wa Masanja
huyu mke wa masanja na rafiki yake walipomfuata marehemu ndio chanzo cha kifo pengine walienda kumùua ndo wakajifanya kajinyonga haka ka mwanamke ka masanja mungu atamuonesha kama kweli amemuua asee damu ya mtu haiendi bure ,na uzinzi wake utajidhihilisha
Yaani mm bado naona km sielewi vile,sasa je uyo mkewe marehem yupo na hali gani
Apo kwenye suala la hakuwa na mtoto, apo kwanza nivute pumzi ndefu, sa mbona kababy gal ketu kina kichwa cha panki ka katibu vileee🧐😷
😅😹😹😂
nimecheka kweli
nimecheka kweli
😂😂😂
Wamemtoa kafara huyo. 😃
Simple and Clear...Na jamaa alikuwa nje ya nchi.
😂😂😂😂nacheka utafikiriii ni mazuri watu wana roho ngumuuu duuh watu ni noma eti marehemu alianza kujinyonga na tai ikakatika tai akaona usinitanie israel nishaiona nakaribia kufika akachukuaaa Na shukaaa kabisa ajimalizeee duuuh moyo kama huuu ata nifanyaje siweziiiii hayo maumivu yake nijitese
Mambo mabaya yanamkuza mtu ktk Dunia. Hapo hakuna ukweli yaliyokweli yatajulikana hapo baadae. Hawa wote nimmoja was kupoteza ukwelii
alikuwepo eneo la tukio hao ndio wakaulizwe vizuri unaeleza ulikuwepo
Hakika ni kitu kigumu sana uonje maiti alafu bado dakika hizo hizo utafte kitu kingne cha kukufanya ufikie malengo ,sio jambo lahisi ,watu wengi walijatibu kujiua wakanusulika ,walibaki kuwa ushuda
@@ywydhhd7941 kuna mambo makubwa sana roho ya binaadamu ni usiku wa giza, tunaishi nao ila wengine ni mafia,unaraha gani mtu wako wa karibu amekufa hata kama amejinyongo mwenyewe wewe baba huna hata simanzi upo happy kweli unagats gani kurudi upo happy kana kwamba hakuna kifo ktk kondoo wako, unafika na kuongea kwa Amani kabisa hata nafsi haikusuti hakuna kitakacho baki hapa Dunia, wote tunapita haijalishi utaondoka kwa njia gani,simanzi inakuwepo, hapo tafakari kwa sisi wengine tunajiuliza maswali mengi ambayo yanatuacha njia panda.
Jaman tumuachie MUNGU yeye ndiye ajuaye
Haiwezekani.Huyo aliyethibitisha mwandiko anaprove gani
KWA WANANDOA WOTE NA WENYE MAHUSIANO. ROHO YA MTU KICHAKA AMINI MUNGU NA NAFSI YAKO TU😢😢
Haswa
When freedom is mistakenly translated without limits... #NoFeelFreeChurch Tumategemea mengi hadi mwaka uishe...
Dunia inaenda kasi sana 😞😞
Kunakitu hakiko sawa
Mm naamini kabisa huyu marehemu alikuwa naajenda yake binafsi wala sio Monica ila alikuwa ametumwa kumuaribia tu mwenzake nakuchafua kazi ya MUNGU
Usituaminishe ujinga hata ukitetea haisaidii, monica kagawa uroda yakamkuta mambo ya aibu na kijana kajiua..full stop..hayo mengine hatuhitaji kutoka kwako...ukweli usemwe hata kama hutaki kuamini..😏
@@minjesha mm nimezungumza na wewe au nimekuita ilinikuaminishe kitu kilamtu anamtazamo wake mm wakwangu nihuo wala dibadilishi nawala sina shida na malumbano mm si marehemu wala si monika wala si masanja upo
Kilichomkuna kwa mke wa Masanja mpaka ajiuwe ni kitu gani? Halafu ana mke mzuri tu tatizo nini au katolewa kafara? Mana story yenyewe ni ya maajabu mmh 🤷♂️
Halafu masanja wenyewe anajifanya yuko happy kabisa ndo kwanza anaonyesha kutumia nguvu kuaminisha watu km yy na mkewe hawana tatizo ila tatizo lipo kuna kitu kinaendelea apo wanakijua yy na mkewe.
This is absolutely heartbreaking i dont even know what to say 🙆🏽♀️ taking ur life was not the option but 🙏🏽
Mental health is real 💔
Tunaomba Interview ya Mke wake na Huyo Jamaa aliejinyonga. pengine Kuna Jambo tunaweza tukafahamu Zaidi.
Unaishi na Mume kumbe yeye anapenda mwengine sizani kama uyu Dada atakuja kupenda ungine mwanahume mbio
Shetani anakuwa na wewe tangu mwanzo wa dhambi ila dhambi ikishakuwa aibu shetani anakukataa jamaa alikuwa na shetani mwanzo mwisho ila wakati kajinyonga mwamba akamkataa
Je! Kama akujiua je!!!!!!!
Pokisi wachunguze.
Kwa nn masanja ajaenda msibani au hata kutoa pole tu
Ulikuwepo?
Tamaa zake zilimponza tumuombee kwa Mungu bac
Hili jambo nyuma ya pazia Kuna kitu bn
Jamani mapenzi haya hayana shekhe wala bishop ni mambo hutokea tu uzuri mke alikua hataki mapenzi nae period.
Hahaha 😂 jmn hii Dunia bwn yn mke wa mtu tena ufe kwajili yake yn unaona km masanja kuwa nae unadhulumiiwa yn hahaha Dunia hii inamambo saana
Yani ni mjinga wa kupitiliza
Sasa mtu ulikuwa umeshaoa,yanini kumtaka mke WA mwenzio wakati tayari Una mke wako?
Huenda mke wa mtu ni mtamu
Nimejifunza kuwa mwanamke ataukimpa nini mwisho wake usimsahau kuumtembezea dudu kisawa sawa , ulidhishe umkojoreshe alidhike , manake masanja nauchapakazi wote ule ka kun,gutiwa asee
Daaah
Sio kwamba ame tongoza mke wa Masanja, ame kula mzigo haswa hawezi mtu aka jiua bila kula nyama
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka eti nyama
Kusoma biblia ni jambo moja kuelewa maandiko ni jambo jengine nyumba ya ibada haiwez kuzalisha kes kamahizi wanawake na wanaume wakichanganyika lazma zinaa itawale someni vitabu vya dini mjitambue nduguzangu wapendwa
2013 Kuna Kaka alikunywa sumu kwaajili yangu. Na ajawah kunigusa so nakuelewa Sana Monica massanja pole this too shall pass
Malaya mkubwa unajisifia mtu kufa kwà ajili yako umelaaniwa
🤣🤣🤣🤣
Chizi😀😀
@@kefajoseph158 umalaya wake nini wakati kasema huyo mtu hajamgusa? Wenye matatizo ya akili mko wengi! Mungu awanusuru
@@kefajoseph158 😆😃
Ya dunia mengi
Makanisa ya michongo hayo
Iwe isiwe uyu kamtoa kafala amini kwamba
Kijana mjinga unamke halafu unajiua kisa mke wamtu
Mtu anaweza kuuawa na kutundikwa kama amejinyonga.
Tatizo lilianza kwa kupiga goti hapo,ni sain ya weakness kwa Mwanaume
mmmh si kweli ni alama ya heshima na kumthamini mke wake mtarajiwa anapo muomba kuwa katika maisha yake
Unamatatizo wewe mfumo dume umekuathiri
Angeomba tu msamaha Masanja na mke wake wañgemsamehe kulingana na biblia samehe saba mara sabini
Ajinyonge na Tai ikatike then atafte shuka??!!!!???
Joas ni mpumbavu maana alikuwa na MKE sasa MKE wa masanja alikuwa Ana muhusu nini mpaka ajiue?kafa KIFO CHA AIBU NA KAACHIA MKEWE MOYO ULIO PONDEKA NA HATAKAA AAMINI MTU
Huko aliko anakesi mbili kumpenda mke wa mtuna kujinyonga
Mchungaji yuko busy kula sadaka za waumini😥😥😥waumini wako busy kula mke wa mchunjagi🤣🤣🤣🤣hiI ndio maana halisi ya TRAB na TRAT🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
😂😂😂
😁😁😁😁
Msemo wa MWIGULU Chemba 😂😂
Huyu rafiki yke anaweza kuisadia police
Asaidie kwenye nn fafanua kidogo
Umeanza uchawi lini kijana
Wewe unafaa kuwa polisi
🤣🤣
Umeanza uchawi sasa kijana
Kijana wa hovyo amefariki, mtu una mke then unajiua sababu ya penzi la mke wa mtu.
Rb5 y555555
Wamemtoa sadaka 😢 Mbona msibani hawajaenda 🤔 alafu mchungaji alikuwa inje ya inch ameingia wakati mtu kazikwa 😢 haya makanisa haya achaneni nayo yana siri kubwa sana. Soon mtasikia masanja kawa nabii 😂😂😂 anaponya magonjwa na kuondoa matatizo yasiyo tatulika 😂 jinga kabisaaaa acha nijiombee 😢
Fact💪🏿
Mbona kama Kuna ukwel HV ngoja tusubilie mwaka mmoja tuone
Asante jirani
Familia Ina taratibu zake za mazishi wakae kumsubiri mtu anayelisaka tonge la familia yake
Jina la kanisa halileti maana ya kiungu. Feel free? Seriously 😒! Jiachieni au?
Inamaana masanja jogoo hawiki au
Mi nasema ukweli mwenye sikio na asikie masanja asimtanie MUNGU kabisa wagalatia 6:7 inasema MUNGU hadhihakiwi masanja hufai kuwa mchungaji na wanaokufata wanapotea neno la MUNGU linasema mtawatambua kwà matendo
Wewe sio Mungu, mpaka utoe hukumu
Mi naona abadilishe hata jina la kanisa, feel free ni nini? Yaani jiachie? Hapo shetani hachezi mbali, asali sana na kumuuliza Mungu kuna nini hadi hili limetokea
Khaaa binadam ni hatari
Iv unawezaje kusema kwamba masanja hawezi kuwa mchungaji
We ni nan kwanza kwenye ufalme wa Mungu
Are you God
How can you judge men of God???
Sns umehanza kuboronga unahoji mtu anaye ishi mikohani atuhambiye Nini Sasa ? Kama siyo story zamatako???
We mwenyewe matako ndo maana hauijui hata kuandika
Joas🤦
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️
Kakosea sana kujiua. Unajinyonga sababu ya mwanamke, cha kushangaza una mkeo.
Hayo ni madhara ya kuoa kabla hujala ujana vizuri dogo anaonekana ni mgeni wa wanawake, mwanaume aliyezoea au aliyewahi kuwa na wanawake wengi ni ngumu kujinyonga kisa demu
MALAYA WA DINI ACHENI KUWAHADAA WATANZANIA WASIOJITAMBUA KIIMANI.
Kijana ana makosa .yeye alikuwa ame owa iweje yy aende kutongoza mke wawatu .tena wabishope wake .huzuni sana. Ss kajinyonga ili eweje .uko kwenye anaenda mbona ataenda kwa shetani
Niwazacho kajinyonga kukwepa aibu kwasb kakataliwa
@@m.mmarckus6298 niukosefu wa hakili
Kuna kitu kipo nyuma ya panzia hapa utashangaa masanja baada ya mwaka mmoja nabii
Sio kwamba ame tongoza ame kula mzigo haswa hawezi mtu aka jiua bila kula nyama
@@ilynpayne7491 hajala angekula asingejiua maana hakuna chaajabu ukishakula na huwezi kula alafu ukaogopa aibu huyu kajiua baada ya kukarltaliwa kaona nitaficha wapi uso wangu.
Namuhurumia mke wake na wazazi..,mke kutiwa gubu tu.
Ukigusa mke wa Mtumishi wewe ni Yuda lazima ujinyonge
😄😄😄😄
Loooh
Mpaka Sasa Mke wa Katibu hajaongea je ataongea lini?
Mke wa katibu ndio mwenye ukweli wote
Wanaume wapumbavu wanaojiua kisa mapenzi yafaa wapungue duniani
Mke wake asa itakuwaje
🤣🤣🤣ndio Ivo kawa mjane Mungu atampatia mwingine kwa kuwa bado mdogo tumuombee sana maana atakuwa anawaza mengi
Hii dini inawaigizaji wengi na Insha Allah tutaona mengi kweny hii dini
Huyu mke si mrembo jamani 😰 unakuwa marufu baada ya kufa dah😰
Feel free church sasa nini tena tunataka.
Skyweezy!!!!
Bibi ya mtu sumu, kuna kupona na uwe na majeraha ama ukufe kabisa.
Ila ni mtamu
@@happynjukiz6495 😄😄😄hutafika mbinguni
Kumbe alimvalisha mtu pete jmn
Na ndoa kbs walifunga 😭😭
@@ruqaiamohammed345 duuuh jaman eeh mungu tusaidie
@@marialemi2177 ameen 🙏😢
Na afe kabsa na Huko aendako akafe pia
Naomba nimrithiiii mke wake nasubiri Mirathi
😂
🤣🤣🤣🤣🤣😂
Halafu mbona mke wake mzuri tuu
Mzuri kuliko mke WA Masanja. Pepo la mauti lilimkalia kooni, Mungu alipomnusuru Kwa Tai likaona limshauri achukue shuka lazima litimize.......kumtumikia Mungu si mchezo, jamaa hakuwa kiroho
Angeomba tu msamaha Masanja na mke wake wañgemsamehe kulingana na biblia samehe saba mara sabini