Rafiki wa aliyekuwa katibu kanisa la Masanja afunguka mazito, ndoa yake ilikuwa na miezi 3 tu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 193

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před rokem +25

    Ubaya marehemu haongei ila atapata wa kumsemea huyo mama kaliwa waache kujifanya like nothing happened

  • @idinado4524
    @idinado4524 Před rokem +21

    Suluisho siyo kujiuwa,mungu atunusulu na sheteni anee wapa watu mawazo ya kujiuwa Amen 🙏🙏🙏

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 Před rokem +23

    Najiuliza Mengi Kama Siyo Mkono Wa Mtu Basi Kijana Alikua Na Tatzo La Akili

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 Před rokem +15

    Bado hii dunia iko kwenye giza hatujui wanao mtumikiya mungu kweli kweli wote nikama maigizo tu

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Před rokem +11

    Joas katolewa Kafara, sio Bure...hizi kanisa za mchong🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @nyulaseptember5573
    @nyulaseptember5573 Před rokem +2

    Kwa yanayoendelea mpk sasa kwa ufahamu wangu. Hii issue mpk sasa inaonekana uyu joans km alilazimishwa kuandika msg kwa maneno ayo. Na kumuua. Hii itakua kuna siri zao binafsi nyuma pazia... Napata jibu ili... Kutokana yanayosemeka mpk sasa... MUNGU yupo anatosha....

  • @happyhousekeeper
    @happyhousekeeper Před rokem +15

    Joas why mbona ulioa jaman duh😢 mkeo mbona mzuri Tu🤔, Siri nzito Hii😭 Mungu atusaidie kupenda Hadi kukatisha maisha NI ngumu kuamini

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před rokem

      Eti Jamani,ni mpumbavu

    • @dignakanje4508
      @dignakanje4508 Před rokem

      Eeeeee Mungu utuonyeshe yaliyoko mbeleni mwetu.Kweli kma mke wamasanja anajua kinachoendelea lakini anazugia ukovu wao Mungu alipe kwawazi.,

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 Před rokem +15

    Ni ngumu kumeza kwa kweli, ss uliowa mke wa nn, Leo unamuacha mkeo kwenye wakati mgumu bure.

  • @johnalto2619
    @johnalto2619 Před rokem +3

    Joas was almost my brother, na kinachoniumiza ni kuifanya hii story kushika trending every day what i can say joas hajawahi kuwa na nidhamu mbovu kiasi hicho ila siwezi kusema sana maana he stills human being

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 Před rokem +11

    jmn mke wake sijui anajisikiaje kumbe alikuwa anaishi na mtu ambaye hakuwa anampenda

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před rokem +1

      Inauma hadi basi yani AOLEWE FASTA Maana unasikia hata mtoto hakutaka ili wajipange huyu Kijana hakuwa na malengo alioa kivuli tu😢😢

  • @salomeivorant3266
    @salomeivorant3266 Před rokem

    Mungu anajua zaidi kuliko sisi wanadamu maana kipo kitu kimejificha.
    Mungu asaidie ndoa zetu Ameen

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Před rokem +14

    Au ni afya ya akil Jaman

    • @TALLUBOY
      @TALLUBOY Před rokem +2

      hapo tatizo la kiafya
      ya akili ndiyo imemfanya
      afanye ayo yote

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před rokem +4

    Mbona mkewe ni mzuri tuu daaah tamaa hizi

  • @babuafya3446
    @babuafya3446 Před rokem +6

    walaka aliyouandika na ufafanuzi wa police akili yangu inasema hajajinyonga kuna behind ya kifo chake

  • @adamyasin4089
    @adamyasin4089 Před rokem +9

    Kama angekuwa anatembea nae kabisa kweli asingejiua sababu kama wanakutana na wanalalana asingejinyonga ila naona amefanya hivyo kukwepa aibu na ikiwa ameoa tayar naona ni hivyo kama kuna kingine tofaut na hiki basi ni shiriki

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 Před rokem

      Jamaa amejinyonga baada ya kupost iyo video akimtomba mke wa mchungaji zecomedy ndio sababu ya kujiua

    • @adamyasin4089
      @adamyasin4089 Před rokem

      @@swalehemusa4546 hiyo video iko wap

    • @hatari9591
      @hatari9591 Před rokem

      Ninahisi alimtafuna kwa muda mrefu, yaani alilala naye baadaye wakakorofishana katika ile hali ya kukorofishana mke wa Masanja akamkataa, sasa taarifa zikamfikia Masanja na masanja naye akashindwa kujizuia akamtumia ujumbe wa mafumbo kulingana na situations zilivyo kijana akaamua kujiua.

    • @mbembelatv
      @mbembelatv Před rokem

      @@swalehemusa4546 ukimshikia miguu? Umbea tu

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 Před rokem +1

      Adam Yasin, ukitongoza mtu kina aibu gani? Au shida gani? Hadi ujiue

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před rokem +17

    Dr. Mwaka 😂😂😂 sio mtu mzuri

  • @elizabethmhina1506
    @elizabethmhina1506 Před rokem

    Kweli hakuwa mtu wa kukata tamaa kiasi hiko yan mi had sasa siamin yan kama wew kka

  • @elizabethchrissanth100
    @elizabethchrissanth100 Před rokem +9

    Jamani tuwatafute majirani pia watoe ushahidi!!!

  • @godsdaughter2820
    @godsdaughter2820 Před rokem +18

    Mmmhhhh,I think this guy was killed 🤔kuna kitu haieleweki hapa.ukifanya analysi vizuri

  • @macharosandra9467
    @macharosandra9467 Před rokem +9

    Tamaa ndio shida

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Před rokem +17

    Katolewa kafara makanisa ya mchongo ndio shida zao

    • @topranking013
      @topranking013 Před rokem +2

      Wewe pia umeng'amua kitu kikubwa ila watu hawajui tu

  • @iib3215
    @iib3215 Před rokem +3

    Shetani ako kazini kila wakati na anajuwa mda wake ni mchache sana,kwa hiyo tufunguke macho ya Rohoni na tuvae silaha sana za kumpinga..ila anae jua kifo chake zaidi ni Mungu..na inaweza kuwa shetati alimkoroga huyo kaka kujinyonga ili iwe visababu kuwa alikuwa na uhusiano na mke wa Masanja

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 Před rokem +1

    huyu mke wa masanja na rafiki yake walipomfuata marehemu ndio chanzo cha kifo pengine walienda kumùua ndo wakajifanya kajinyonga haka ka mwanamke ka masanja mungu atamuonesha kama kweli amemuua asee damu ya mtu haiendi bure ,na uzinzi wake utajidhihilisha

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Před rokem +1

    Yaani mm bado naona km sielewi vile,sasa je uyo mkewe marehem yupo na hali gani

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Před rokem +6

    Apo kwenye suala la hakuwa na mtoto, apo kwanza nivute pumzi ndefu, sa mbona kababy gal ketu kina kichwa cha panki ka katibu vileee🧐😷

  • @adammpambije9989
    @adammpambije9989 Před rokem +5

    Wamemtoa kafara huyo. 😃

    • @fredma21x
      @fredma21x Před rokem

      Simple and Clear...Na jamaa alikuwa nje ya nchi.

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před rokem +10

    😂😂😂😂nacheka utafikiriii ni mazuri watu wana roho ngumuuu duuh watu ni noma eti marehemu alianza kujinyonga na tai ikakatika tai akaona usinitanie israel nishaiona nakaribia kufika akachukuaaa Na shukaaa kabisa ajimalizeee duuuh moyo kama huuu ata nifanyaje siweziiiii hayo maumivu yake nijitese

    • @nebasonsanga8937
      @nebasonsanga8937 Před rokem

      Mambo mabaya yanamkuza mtu ktk Dunia. Hapo hakuna ukweli yaliyokweli yatajulikana hapo baadae. Hawa wote nimmoja was kupoteza ukwelii

    • @samwa9496
      @samwa9496 Před rokem

      alikuwepo eneo la tukio hao ndio wakaulizwe vizuri unaeleza ulikuwepo

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 Před rokem

      Hakika ni kitu kigumu sana uonje maiti alafu bado dakika hizo hizo utafte kitu kingne cha kukufanya ufikie malengo ,sio jambo lahisi ,watu wengi walijatibu kujiua wakanusulika ,walibaki kuwa ushuda

    • @samwa9496
      @samwa9496 Před rokem

      @@ywydhhd7941 kuna mambo makubwa sana roho ya binaadamu ni usiku wa giza, tunaishi nao ila wengine ni mafia,unaraha gani mtu wako wa karibu amekufa hata kama amejinyongo mwenyewe wewe baba huna hata simanzi upo happy kweli unagats gani kurudi upo happy kana kwamba hakuna kifo ktk kondoo wako, unafika na kuongea kwa Amani kabisa hata nafsi haikusuti hakuna kitakacho baki hapa Dunia, wote tunapita haijalishi utaondoka kwa njia gani,simanzi inakuwepo, hapo tafakari kwa sisi wengine tunajiuliza maswali mengi ambayo yanatuacha njia panda.

  • @asnathmwaipopo6877
    @asnathmwaipopo6877 Před rokem

    Jaman tumuachie MUNGU yeye ndiye ajuaye

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Před rokem +1

    Haiwezekani.Huyo aliyethibitisha mwandiko anaprove gani

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před rokem +3

    KWA WANANDOA WOTE NA WENYE MAHUSIANO. ROHO YA MTU KICHAKA AMINI MUNGU NA NAFSI YAKO TU😢😢

  • @mkaapwekekariakoo6417

    When freedom is mistakenly translated without limits... #NoFeelFreeChurch Tumategemea mengi hadi mwaka uishe...

  • @nuruantony5248
    @nuruantony5248 Před rokem +14

    Dunia inaenda kasi sana 😞😞

  • @sarajanuary3516
    @sarajanuary3516 Před rokem +2

    Kunakitu hakiko sawa

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 Před rokem +1

    Mm naamini kabisa huyu marehemu alikuwa naajenda yake binafsi wala sio Monica ila alikuwa ametumwa kumuaribia tu mwenzake nakuchafua kazi ya MUNGU

    • @minjesha
      @minjesha Před rokem

      Usituaminishe ujinga hata ukitetea haisaidii, monica kagawa uroda yakamkuta mambo ya aibu na kijana kajiua..full stop..hayo mengine hatuhitaji kutoka kwako...ukweli usemwe hata kama hutaki kuamini..😏

    • @priscaphedrick5970
      @priscaphedrick5970 Před rokem

      @@minjesha mm nimezungumza na wewe au nimekuita ilinikuaminishe kitu kilamtu anamtazamo wake mm wakwangu nihuo wala dibadilishi nawala sina shida na malumbano mm si marehemu wala si monika wala si masanja upo

  • @tiaraoscarjuma4522
    @tiaraoscarjuma4522 Před rokem +4

    Kilichomkuna kwa mke wa Masanja mpaka ajiuwe ni kitu gani? Halafu ana mke mzuri tu tatizo nini au katolewa kafara? Mana story yenyewe ni ya maajabu mmh 🤷‍♂️

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Před rokem +1

      Halafu masanja wenyewe anajifanya yuko happy kabisa ndo kwanza anaonyesha kutumia nguvu kuaminisha watu km yy na mkewe hawana tatizo ila tatizo lipo kuna kitu kinaendelea apo wanakijua yy na mkewe.

  • @khayraa7374
    @khayraa7374 Před rokem

    This is absolutely heartbreaking i dont even know what to say 🙆🏽‍♀️ taking ur life was not the option but 🙏🏽

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Před rokem +4

    Mental health is real 💔

  • @josephdaniel7341
    @josephdaniel7341 Před rokem +3

    Tunaomba Interview ya Mke wake na Huyo Jamaa aliejinyonga. pengine Kuna Jambo tunaweza tukafahamu Zaidi.

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 Před rokem +1

    Unaishi na Mume kumbe yeye anapenda mwengine sizani kama uyu Dada atakuja kupenda ungine mwanahume mbio

  • @hapi6113
    @hapi6113 Před rokem +4

    Shetani anakuwa na wewe tangu mwanzo wa dhambi ila dhambi ikishakuwa aibu shetani anakukataa jamaa alikuwa na shetani mwanzo mwisho ila wakati kajinyonga mwamba akamkataa

  • @jonamoratv2101
    @jonamoratv2101 Před rokem +1

    Je! Kama akujiua je!!!!!!!

  • @mwana4599
    @mwana4599 Před rokem +1

    Pokisi wachunguze.

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 Před rokem +2

    Kwa nn masanja ajaenda msibani au hata kutoa pole tu

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před rokem +6

    Tamaa zake zilimponza tumuombee kwa Mungu bac

  • @neemakilingo8282
    @neemakilingo8282 Před rokem +1

    Hili jambo nyuma ya pazia Kuna kitu bn

  • @hassanomar1041
    @hassanomar1041 Před rokem

    Jamani mapenzi haya hayana shekhe wala bishop ni mambo hutokea tu uzuri mke alikua hataki mapenzi nae period.

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 Před rokem +4

    Hahaha 😂 jmn hii Dunia bwn yn mke wa mtu tena ufe kwajili yake yn unaona km masanja kuwa nae unadhulumiiwa yn hahaha Dunia hii inamambo saana

  • @nekianicholaus1065
    @nekianicholaus1065 Před rokem +4

    Sasa mtu ulikuwa umeshaoa,yanini kumtaka mke WA mwenzio wakati tayari Una mke wako?

  • @saidimafu9524
    @saidimafu9524 Před rokem

    Nimejifunza kuwa mwanamke ataukimpa nini mwisho wake usimsahau kuumtembezea dudu kisawa sawa , ulidhishe umkojoreshe alidhike , manake masanja nauchapakazi wote ule ka kun,gutiwa asee

  • @isayamwapepu54
    @isayamwapepu54 Před rokem

    Daaah

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem +1

    Sio kwamba ame tongoza mke wa Masanja, ame kula mzigo haswa hawezi mtu aka jiua bila kula nyama

  • @mustafamsatimuhenga253

    Kusoma biblia ni jambo moja kuelewa maandiko ni jambo jengine nyumba ya ibada haiwez kuzalisha kes kamahizi wanawake na wanaume wakichanganyika lazma zinaa itawale someni vitabu vya dini mjitambue nduguzangu wapendwa

  • @catherinekiwipa9271
    @catherinekiwipa9271 Před rokem +4

    2013 Kuna Kaka alikunywa sumu kwaajili yangu. Na ajawah kunigusa so nakuelewa Sana Monica massanja pole this too shall pass

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 Před rokem +1

      Malaya mkubwa unajisifia mtu kufa kwà ajili yako umelaaniwa

    • @williamnamende1023
      @williamnamende1023 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣

    • @munirashughuli618
      @munirashughuli618 Před rokem +1

      Chizi😀😀

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem +3

      @@kefajoseph158 umalaya wake nini wakati kasema huyo mtu hajamgusa? Wenye matatizo ya akili mko wengi! Mungu awanusuru

    • @vj8313
      @vj8313 Před rokem

      @@kefajoseph158 😆😃

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho8431 Před rokem

    Ya dunia mengi

  • @lubatikoseme9412
    @lubatikoseme9412 Před rokem

    Makanisa ya michongo hayo

  • @sameraamiry3849
    @sameraamiry3849 Před rokem +2

    Iwe isiwe uyu kamtoa kafala amini kwamba

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před rokem +1

    Kijana mjinga unamke halafu unajiua kisa mke wamtu

    • @fredma21x
      @fredma21x Před rokem

      Mtu anaweza kuuawa na kutundikwa kama amejinyonga.

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule Před rokem +5

    Tatizo lilianza kwa kupiga goti hapo,ni sain ya weakness kwa Mwanaume

    • @sakinaomary7207
      @sakinaomary7207 Před rokem +1

      mmmh si kweli ni alama ya heshima na kumthamini mke wake mtarajiwa anapo muomba kuwa katika maisha yake

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 Před rokem

      Unamatatizo wewe mfumo dume umekuathiri

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před rokem +1

    Angeomba tu msamaha Masanja na mke wake wañgemsamehe kulingana na biblia samehe saba mara sabini

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před rokem +1

    Ajinyonge na Tai ikatike then atafte shuka??!!!!???

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před rokem

    Joas ni mpumbavu maana alikuwa na MKE sasa MKE wa masanja alikuwa Ana muhusu nini mpaka ajiue?kafa KIFO CHA AIBU NA KAACHIA MKEWE MOYO ULIO PONDEKA NA HATAKAA AAMINI MTU

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 Před rokem

    Huko aliko anakesi mbili kumpenda mke wa mtuna kujinyonga

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 Před rokem +8

    Mchungaji yuko busy kula sadaka za waumini😥😥😥waumini wako busy kula mke wa mchunjagi🤣🤣🤣🤣hiI ndio maana halisi ya TRAB na TRAT🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 Před rokem +9

    Huyu rafiki yke anaweza kuisadia police

  • @evdsam7286
    @evdsam7286 Před rokem +3

    Kijana wa hovyo amefariki, mtu una mke then unajiua sababu ya penzi la mke wa mtu.

  • @mourinebey_kenya7027
    @mourinebey_kenya7027 Před rokem +6

    Wamemtoa sadaka 😢 Mbona msibani hawajaenda 🤔 alafu mchungaji alikuwa inje ya inch ameingia wakati mtu kazikwa 😢 haya makanisa haya achaneni nayo yana siri kubwa sana. Soon mtasikia masanja kawa nabii 😂😂😂 anaponya magonjwa na kuondoa matatizo yasiyo tatulika 😂 jinga kabisaaaa acha nijiombee 😢

    • @hamadikassim3091
      @hamadikassim3091 Před rokem +1

      Fact💪🏿

    • @capteinchuimchafu7894
      @capteinchuimchafu7894 Před rokem

      Mbona kama Kuna ukwel HV ngoja tusubilie mwaka mmoja tuone

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 Před rokem

      Asante jirani

    • @asifiwekitunga4655
      @asifiwekitunga4655 Před rokem

      Familia Ina taratibu zake za mazishi wakae kumsubiri mtu anayelisaka tonge la familia yake

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem +2

      Jina la kanisa halileti maana ya kiungu. Feel free? Seriously 😒! Jiachieni au?

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před rokem

    Inamaana masanja jogoo hawiki au

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Před rokem +1

    Mi nasema ukweli mwenye sikio na asikie masanja asimtanie MUNGU kabisa wagalatia 6:7 inasema MUNGU hadhihakiwi masanja hufai kuwa mchungaji na wanaokufata wanapotea neno la MUNGU linasema mtawatambua kwà matendo

    • @fibesolomon926
      @fibesolomon926 Před rokem

      Wewe sio Mungu, mpaka utoe hukumu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem

      Mi naona abadilishe hata jina la kanisa, feel free ni nini? Yaani jiachie? Hapo shetani hachezi mbali, asali sana na kumuuliza Mungu kuna nini hadi hili limetokea

    • @veeJesus
      @veeJesus Před rokem

      Khaaa binadam ni hatari
      Iv unawezaje kusema kwamba masanja hawezi kuwa mchungaji
      We ni nan kwanza kwenye ufalme wa Mungu
      Are you God
      How can you judge men of God???

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim6909 Před rokem +1

    Sns umehanza kuboronga unahoji mtu anaye ishi mikohani atuhambiye Nini Sasa ? Kama siyo story zamatako???

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio4857 Před rokem +1

    Joas🤦

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Před rokem +1

    Kakosea sana kujiua. Unajinyonga sababu ya mwanamke, cha kushangaza una mkeo.

    • @krizofrancisco5310
      @krizofrancisco5310 Před rokem

      Hayo ni madhara ya kuoa kabla hujala ujana vizuri dogo anaonekana ni mgeni wa wanawake, mwanaume aliyezoea au aliyewahi kuwa na wanawake wengi ni ngumu kujinyonga kisa demu

  • @bettymassanja881
    @bettymassanja881 Před rokem

    MALAYA WA DINI ACHENI KUWAHADAA WATANZANIA WASIOJITAMBUA KIIMANI.

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před rokem +3

    Kijana ana makosa .yeye alikuwa ame owa iweje yy aende kutongoza mke wawatu .tena wabishope wake .huzuni sana. Ss kajinyonga ili eweje .uko kwenye anaenda mbona ataenda kwa shetani

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před rokem +1

      Niwazacho kajinyonga kukwepa aibu kwasb kakataliwa

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel Před rokem

      @@m.mmarckus6298 niukosefu wa hakili

    • @capteinchuimchafu7894
      @capteinchuimchafu7894 Před rokem

      Kuna kitu kipo nyuma ya panzia hapa utashangaa masanja baada ya mwaka mmoja nabii

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Před rokem +1

      Sio kwamba ame tongoza ame kula mzigo haswa hawezi mtu aka jiua bila kula nyama

    • @gladsonkitua145
      @gladsonkitua145 Před rokem +2

      @@ilynpayne7491 hajala angekula asingejiua maana hakuna chaajabu ukishakula na huwezi kula alafu ukaogopa aibu huyu kajiua baada ya kukarltaliwa kaona nitaficha wapi uso wangu.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +2

    Namuhurumia mke wake na wazazi..,mke kutiwa gubu tu.

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 Před rokem +1

    Ukigusa mke wa Mtumishi wewe ni Yuda lazima ujinyonge

  • @mwanajumaomahundumla6504

    Loooh

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před rokem

    Mpaka Sasa Mke wa Katibu hajaongea je ataongea lini?

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Wanaume wapumbavu wanaojiua kisa mapenzi yafaa wapungue duniani

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Před rokem +3

    Mke wake asa itakuwaje

    • @samwa9496
      @samwa9496 Před rokem

      🤣🤣🤣ndio Ivo kawa mjane Mungu atampatia mwingine kwa kuwa bado mdogo tumuombee sana maana atakuwa anawaza mengi

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Před rokem

    Hii dini inawaigizaji wengi na Insha Allah tutaona mengi kweny hii dini

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před rokem

    Huyu mke si mrembo jamani 😰 unakuwa marufu baada ya kufa dah😰

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 Před rokem

    Feel free church sasa nini tena tunataka.

  • @henrykigugwe5112
    @henrykigugwe5112 Před rokem

    Skyweezy!!!!

  • @daprince7545
    @daprince7545 Před rokem

    Bibi ya mtu sumu, kuna kupona na uwe na majeraha ama ukufe kabisa.

  • @marialemi2177
    @marialemi2177 Před rokem

    Kumbe alimvalisha mtu pete jmn

  • @phyillicenyambura5543

    Na afe kabsa na Huko aendako akafe pia

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před rokem

    Naomba nimrithiiii mke wake nasubiri Mirathi

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem

    Halafu mbona mke wake mzuri tuu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem

      Mzuri kuliko mke WA Masanja. Pepo la mauti lilimkalia kooni, Mungu alipomnusuru Kwa Tai likaona limshauri achukue shuka lazima litimize.......kumtumikia Mungu si mchezo, jamaa hakuwa kiroho

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před rokem

    Angeomba tu msamaha Masanja na mke wake wañgemsamehe kulingana na biblia samehe saba mara sabini