DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI - ABO MASTER
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Master ,👊👊👊🔥🔥🔥
Nomaa sana
Kaua mwamba
ABO
abo mster kaua sana
Respect 🇳🇦 Vibes Stroma shoot
🎉kaua
Abo Master..noma nomaa dadek
Jamaa mbaya sana kwa kizazi hiki ana Flow za kisomi
NOMA SANA.. MAJI YAMELOANAAAAAA
Oii huyu jamaaa noma
Jamaa linajuwa sana hiliii swagger🔥🔥🔥🙌
Hakika mkali anaweza hii ndyo tunapenda kuona
Apewe battle na KADO NONDO. aayeeeehh Ayeeehh wozaaah!
Flow motion❤
Duh mwana umetisha...
Oya huyu mtoto moto sana sema kuna yule brother F More mchunya ni monster
ABO Master, Master kweli 🔥🔥🔥🔥
Anajua sana mwanetu
Black Rasta nimekubali
Kuanzia dakika 8 jamaa kaua sana
Uwezo mkubwaaa
Uyu jamaa anajua sana 🎉🎉🎉🎉
Jamaaa mbaya wa maiki
jamaa 🔥🔥 ila beat za kiduanzi
Hatari hii
Hata ukivaa miwahi hii vesi utaona gere
Abo master to top
Unazaliwa kipofu,na unaambiwa kua uyaone....
Dogo fire
Woooshaaa umuuwa mwambaaaaa😅😅😅😅😅
Mjomba ni mpoto Ila kusah kamteka shangazu😂
safi sana hommie
Oyaaa vina kama Dvinaa
Jamaa noma sanaaa
master Og Noma mz'e
Mtarara hata mkilowanisha godoro
Abo ni mkali sema naskia kama flows za b boy stereo ndani yake ila syo mbaya big up bro oyaaaaaaa mzeeeee
Saw Master!!! Imeisha
Aweee Aweee ABO MASTER 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Nomaaaaa Sana kaka❤❤❤❤
Safi🎉
🎉🎉🎉
Nomaaa
DJ unazingua na hizo beat zako haujazipanga vizuri
kudadek Abo Master umeuwa mpaka noma
hatukudai bob
Jamaa ni hatari👏👏👏👏👏🥮🔥🔥🔥🔥
Hi wadau,
Naomba sapoti yenu please
Abo maSter,🔥🔥🔥😰
Nimekucheki kwa TV nimekuja kukucheki kwa CZcams pia😂😂😂
Usitukane🤪🤪🤪🤣🤣
Manengo na Bando naona wanatingisha vichwa tu bila shaka hili ni zao lao
Manengo na Nacha sio Bando
Nkbl