Jamani mtangaeaji Christine 🤔, hebu punguzeni ustar kwenye mambo ambayo yako surelly tena yakusikitisha😭😭, msibani sio sehemu yamaigizo pia msiba sio darasa lakijifunzia utangazaji my Christine 😭😭. Khaaa, unashindwa kutupa khabali ya chanzo cha kifo cha marehem pia tumjue marehem alikuwa ninani jamani! Punguzeni umaarufu misibani, sijapenda my dea❤️
Jamani mtangaeaji Christine 🤔, hebu punguzeni ustar kwenye mambo ambayo yako surelly tena yakusikitisha😭😭, msibani sio sehemu yamaigizo pia msiba sio darasa lakijifunzia utangazaji my
Christine 😭😭.
Khaaa, unashindwa kutupa khabali ya chanzo cha kifo cha marehem pia tumjue marehem alikuwa ninani jamani!
Punguzeni umaarufu misibani, sijapenda my dea❤️
C ndo hapo sasa.😏
Uyo dada ananishangaza kiswaili ajuwi English ajuwi pole sana ndugu😂😂😂😂😂😂😂😂
Wabembe kuongea kwenye mike sauti ipo chini ila kutukana na kuimba kwenye mtandaoni
Pole sana jikanze kiswahili bando kingumu kwako
KEEP IT UP MY AUNTY ❤
Mzazi nampa pole sana kwamsiba hao watangazaji wanavamia tu
Poleni sana 🎉🎉 by cha music 🎶
Mtafsiri 😢😢😢 yani munikaze sana naiyo kazi siyo kitu rahisi kuwa mtu wa media
Tunashukuru sana kwa ushirikiano wenu kwakutowa pole 🎉🎉🎉
Hongera mwaya ❤❤
Kazi zuri Regina
Let goo team
Pole sana kwa msiba
Life is good😊
Badlands uwape pole etirnashukuru kukutananawe kwa kipi kilichokufurahisha
Mtangazaji mkongolist Jambo poleni sana wajameni
Regjna umetisha kumbe unaweza kupresenti kipindi🎉
Jitaidi utajuwa ❤
🙏❤️
Nakuhona wangu umejitaidi sana da Christian
Tafuta maiki ingine avae unaemuhoji btw umejaribu keep it up✌️
Huyo dada aache kuuliza maswali watu munabowa sana munavamia fani zawatu
🔥
Muko munarogana sana munaupendo wakinafiki sana.
😢😢😢😢😢😢
Poleni wana jamii wt na ndugu poleni
Hana fana ya uyangazajiii
Yani christin umearibu kila kitu dada yang kuwa serious nakazi iyo dada yangu
Umejitaidi sister yangu
Mtangazaji.ndondocha.sana
Poleni kwamsiba lakini munge ongeatu kiswahili ya congo ili tuwaelew vizuri mtangazaji usifosi kuongea swahili safi inakua kama vile unafanya théâtre
😭😭😭😭😊
R.I.P mapendo
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
R.l.P
Rigina ukiwa una kwenye kazi ya utangazaji usiwe una pekenya big g . Na kucheka sn dada tabasamu likukose 🎉
Huyu ajitambu hajui kwanza kuoji anae pembeni
@@LoyceKenas una wivu ww pima
Kiswahili shida kweli munye kuoji anashindwa na wenye kuojiwa, unashindwa na Kiswahili kiingereza cha yeah yeah ndo munaikalia tu.🤔🤔🤣🤣😭😭
Christina mic 🎙️aishikwagi ivo una tuaibisha❤ss watu wa Kentucky bg wtf
Uyo dada nimuandishi wawapi labda tuko nauzuni anataka kutuongezeya tuuu
Huyo mtangazaji arudi shule hajuwi kuuliza maswali kama mtangazaji. Huo nimsiba. Wengine kama wanafurahia munainga kwa wanigeria
Kiswahili sasa😭😂😂
Komaza Kiswahili dah 😅
Hanza angalia watu unao waoji 😂😂
Mtangazaji mmmm😅😅😅
Mbona kama vile wana rafudhi za kikongo?
😢poleni sana kwa msiba wa dada yetu kipenzi mapendo 😢😢
Ongea basi kibembe ueleweke
Kiswahili sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mlebinge 😂😂😂
Amn mtangazaj hapo kuchosha tu watu
Kwani uyo mwandishi mbona kama anajifuza kazi ataajui kuoji watu maswali
SEMA TUNAKWENDA KUONGEA KUHUSU MSIBA SIO KUULZA MASUALI.
Poleni sana mungu amulaze Mahali pema peponi