MCHAWI NDUGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Dunia imekwisha jamani,uwazaniao sio kumbe ndio ndugu zako wa damu wanaweza kukumaliza...

Komentáře • 441

  • @ezekielmtega8960
    @ezekielmtega8960 Před rokem +19

    Kama umeona mgongwa anavomuoneshea doct dole gumba nipeni like zangu japo leo tu

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před rokem +61

    Mchawi ni Ndugu yako imethibitishwa na Jot Leo 😂😂😂😂

  • @mosesmaiga7408
    @mosesmaiga7408 Před rokem +19

    Kuna watu wanaona kama vichekesho lakini hayo mambo yanatia hasira mda mwingine unawaza bora usiowe

    • @franknangonga9166
      @franknangonga9166 Před rokem

      Mimi mpaka sasa nipo single naona tabu Mambo ndio kama hivi

  • @user-gt5yd1jj2h
    @user-gt5yd1jj2h Před 5 měsíci +3

    🇧🇮💯nakupa Maua yako Joti wewe ni number one kwa comedy,tunakufatilia tukiwa Burundi💯🇧🇮

  • @Tnjosph25PT
    @Tnjosph25PT Před rokem +16

    Kweli kabisa mchawi ndugu nimekuelewa zaidi katika ujumbe huu kupitia igizo hili 👏

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Před rokem +2

      Haswaaa 😊

    • @Tnjosph25PT
      @Tnjosph25PT Před rokem +1

      @@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Před rokem +2

      @@Tnjosph25PT haswaa nimekubal. Udugu

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz Před rokem +109

    Haya mambo yapo kweny familia nyingi sana ,kama unaamin gonga like hapa👏

  • @azizahmwimbe8548
    @azizahmwimbe8548 Před rokem +42

    😂😂😂 dunia ya sasa imani imekwisha yaani hata kufa bado watu washaanza kugombeya mali kweli mchawi ndugu. Hongera sana joti mambo haya yapo

  • @maxwellkongoman781
    @maxwellkongoman781 Před rokem +41

    Nipeni likes zangu first fun wa jotti Toka CONGO mashariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Před rokem +11

    Joty Kama joty once again big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa mchawi ndugu I miguu ya nan kenge ama

  • @user-uj8ge7zk4p
    @user-uj8ge7zk4p Před 25 dny +3

    Vijicho vya mgonjwa mara paah marehemu kafufuka 😂😂😂😂😂

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 Před rokem +8

    Twende mbele turudi nyuma jot Ni comedian namba one anajua Sana 💥💥💥

  • @tariqhassan1385
    @tariqhassan1385 Před rokem +28

    Mtoto: Baba naenda wapi
    Mzazi: Nenda kajiuze
    😂😂😂😂😂😂

  • @mtakabiruyassin
    @mtakabiruyassin Před rokem +14

    Joti wataiga wote lkn kwako wanagonga mwamba🔥🔥🔥

  • @ignatusmponji3609
    @ignatusmponji3609 Před rokem +20

    Wale tupo kitandani kabla ya kwenda job tume muangalia babu tuendelee kujuana 😂😂

  • @championtop2
    @championtop2 Před rokem +33

    On behalf of of family, friends, ancestors I approve this video!

  • @jassonkagaruki964
    @jassonkagaruki964 Před rokem +10

    Congratulations Joti King 👑 comedian in Tanzania....huna baya kaka Umepoaaaa🇹🇿🤣🤣🤣🤣

  • @totoclass2470
    @totoclass2470 Před rokem +13

    Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na upendo mwingi wa mashabiki

  • @omaryphua191
    @omaryphua191 Před rokem +7

    Eti huyu cyo kenge the best comedian in East Africa love u bro

  • @swalehthefinest
    @swalehthefinest Před rokem +26

    Napenda hii character ya Babu ije mara nyingi

  • @mcbartonkesh3664
    @mcbartonkesh3664 Před rokem +3

    Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka

  • @deakins.z7793t
    @deakins.z7793t Před rokem +44

    This man is a legendary since 2014

  • @salomeblack0
    @salomeblack0 Před rokem +83

    Km unaamini joti ni chuma kwa Tz like hapa

  • @Babuumuvea
    @Babuumuvea Před rokem +2

    Nakukubali joti mapini yko sio yakitoto

  • @user-uj8ge7zk4p
    @user-uj8ge7zk4p Před 25 dny +2

    Chuma kinaondoka tayariiii😂😂😂😂

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Před rokem +14

    You never disappoint Mr Joti!!ove from Burundi!!

  • @michaelclement8335
    @michaelclement8335 Před rokem +3

    😅😅😅😅bora rafiki mmoja kuliko ndugu mia

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Před rokem +10

    Leo nimewahi eti kimenuka 😂😂😂wapenda mali za watu ndugu wabayaa🤣🤣🤣🤣

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Před rokem +1

    Kweli nimeamini mchawi ndugu duuh joti noma sana respect kwa ubunifu🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @rubsonheritier5940
    @rubsonheritier5940 Před rokem +2

    😂😂 shamba la bangi kkkkkkkkkk i send my love from Kinshasa

  • @abrahamsuppy6041
    @abrahamsuppy6041 Před rokem +7

    Tufike millioni. Shabiki mkuu kutoka kenya🎉🎉🎉

  • @officialmsigwa5069
    @officialmsigwa5069 Před rokem +9

    Hata kuua mtu watu siku hizi wanasema Mkubwa Dunia hii tutafika tumechoka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @iddybakery5209
    @iddybakery5209 Před rokem +4

    Jot jot umenisababisha nimecheka hadi kamasi limenitoka mbele ya dem wang😁

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Před rokem +13

    Hakika kweli mchawi NDUGU😢😂DAH

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před rokem

    Nimependa idia Yao,,joti hajawahi kubuni kitu kama icho,,,safi sana joti ,,hongera

  • @alikaru6916
    @alikaru6916 Před rokem +1

    Joti anajua sana ....Mpaka anakera....wazee wakyuba wanaelewa...😂😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +5

    😂😂😂😂😂😂siku zote mchawi hatoki mbali😂😂😂😂😂😂😂😂hukujua

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Před rokem +5

    Good My Favourite Comedian Big Up Mr Joti

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před rokem +1

    Ahaa umetishaa 🎅 Sanaa Nishai

  • @dennismazanda7226
    @dennismazanda7226 Před rokem

    Haya mambo yapo sana tu hongera Kwa ujumbe mzuri Joti na team yako

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Před rokem +6

    Mchawi siku zote huwa hatoki mbali ,kazi nzuri Sana joti

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq Před 3 měsíci

    😂😂😂😂😂joti eti kafa na yuwapiga jicho moja moja

  • @kassimmubba2736
    @kassimmubba2736 Před rokem

    Mnamkosea sana mkishindanisha na Kicheche wa Makalio Joti ni level nyingine na Anayofundisha Jamiiiiii.

  • @kararaera8161
    @kararaera8161 Před rokem +1

    Joti ishi milele 🇷🇼😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃jamani munisaidie kucheka😃😃😃😃

  • @agustinemsambila2501
    @agustinemsambila2501 Před měsícem +2

    Kazi nzuri

  • @winnawiliamwinnawiliam8859

    ety wanaume si wanajiuza nenda kajiuze🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @alphamwanamtulekenya5390

    Inamafunzo mno love from KENYA 254

  • @ndutu6564
    @ndutu6564 Před rokem

    Kwel kabisa muchwawi ni dam yko.. From 🙏🙏🙏

  • @richlaterjunior384
    @richlaterjunior384 Před rokem

    Daanh sema huyo sheikh miyeyusho kapanda kofia saba kichwani😃😃

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Před rokem +1

    Hii ndo ile professor jay alisema;
    "Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge]
    ~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣

  • @numohd
    @numohd Před rokem +1

    Nani kweli mchawi ndugu joti asema jamaa waona mali ni kama makalio kila mmoja anayo😂😂😂😂😂😂

  • @mauasuleysh1404
    @mauasuleysh1404 Před rokem +5

    A big lesson walah😢 congratulation joti

  • @pauldamian5308
    @pauldamian5308 Před rokem

    Anacho fanya joti hapo Kwenye maisha ya kweli yapo ndugu Wanabadilika sn Mtuu akifariki

  • @Mr_destiny
    @Mr_destiny Před rokem

    Hahhahahahhahaha hhaahhahahaa hahahahahahahahha hii nchi ngumu sana,,,mafundisho mazuri sana

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 Před rokem

    Jot akili nyingi ndo tatizo😅😂😅😂😅

  • @samsonilengteng-oc4hp
    @samsonilengteng-oc4hp Před rokem +5

    Babu joti umetisha sana 👏👏👏👏👏

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner9233 Před rokem +1

    Hongera Sana ubunifu wa Hali ya juu

  • @reiphan9894
    @reiphan9894 Před rokem +2

    jotiii 😂😂😂😂 umeupiga mwingi mpaka umemwagika ,, let us enjoy .

  • @erickmagnus4945
    @erickmagnus4945 Před rokem

    Sema joti falaa sanaa kwahyo mwanetu ukakata roho chap tu😂

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před rokem +6

    Joti anajua sana kuigiza sana akuna kama joti❤❤❤❤❤

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 Před rokem

    "Ana roho ngumu kama Paka"
    ....sumu ya panya....sumu ya mamba"
    Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Před rokem

    Babu ukoo mzima na mashemeji wanakuchukia babu utakuwa mkorofi sana

  • @mwambiretv165
    @mwambiretv165 Před 9 měsíci

    Yani hata wanaongalia mgonjwa tayari washavaa nguo nyeusi za mazishi .....ubunifu mkubwa sana 🤣🤣

  • @lwamseletiyonas5232
    @lwamseletiyonas5232 Před rokem +1

    Eti nina shamba la bangi😂😂😂

  • @abuyassrissacharque-rc2vl

    kweli imenikuta kwenhe familia yangu

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 Před rokem

    Eti shamba la bangi...hahaha.we police katamaki

  • @milungaapeshijerome
    @milungaapeshijerome Před rokem

    Daaah amakweli mchawi pesa

  • @eventstransportationservic9194

    Hahahahhaa piga rungu piga rungu hahaha...Joti hatari sana

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Před rokem +1

    Unafanya masihara na watu bongo kitu kwanza utu baadae mke anageuka

  • @mokiwasaid-sg9gd
    @mokiwasaid-sg9gd Před rokem

    😂😂😂😂 hapa uliposema wee sii ndio msikiti

  • @davidlaizer5876
    @davidlaizer5876 Před 7 dny

    😅😅😅 hiyo drip imewekwa puani.

  • @HansCassian
    @HansCassian Před měsícem

    Wamevaa na nguo za msibani kabisa duuh

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před rokem

    Unatafuta hera kwashida familia inataka ufe warithi😭😭😭😭🙏🙏🙏dunia hiii acha tu ila juti unajua

  • @bekamansoor5990
    @bekamansoor5990 Před rokem

    Eti nenda kajiuze si wanaume hivi sasa wanajiuza.............🤣🤣🤣😂🤣

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před rokem

    Eti iziraeli kafika😅😅😅...eti roho inatoka.kweli mchawi ndugu😢

  • @christonchristian7448

    dr angekua kanyinyi angeua😅😅😅😅😅

  • @danielmwakalinga6049
    @danielmwakalinga6049 Před rokem

    🤣🤣🤣😂 Nani kamuona mgonjwa aluvyoy mkonyeza doctor?? Kampa 👍

  • @abdallahmshuza2548
    @abdallahmshuza2548 Před rokem +1

    Joti Joti Joti...nakuita mara tatu!

  • @felixochiengomondi6189
    @felixochiengomondi6189 Před rokem +1

    😅😅😅 joti nomaa sana😅😅. Mchawi ndugu kweli 😅

  • @sebandaki8795
    @sebandaki8795 Před rokem +1

    Bonge ya content big up jot am so proud of you

  • @evanchimbi7121
    @evanchimbi7121 Před rokem +1

    Kweli ndugu wabaya☹️

  • @amanirazalo4338
    @amanirazalo4338 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣 ndugu kama hao bora ubadilishane na mbizi

  • @LuckyProsper-sc4si
    @LuckyProsper-sc4si Před rokem

    Serikali serikaliiii 😂😂😂😂 my ribs😅😅

  • @FarajiKiberiti
    @FarajiKiberiti Před rokem

    Shamba la bange😅😅😅😅😅😅😅

  • @esterantapa452
    @esterantapa452 Před rokem +1

    Serikali 😅😅anaipenda kazi yake😅😅😅

  • @sammushi1512
    @sammushi1512 Před rokem

    😂😂😂atakama n pesa sio kama ivyo dah binadam wa mungu saiv wabaya San

  • @asternjulius890
    @asternjulius890 Před rokem

    Hahaha joti mpuuzi et hey hey hey ndo anakata moto hivoo

  • @francethomas8059
    @francethomas8059 Před rokem

    Joti mimi shabiki kuliko kawaida ila ni mtu nae cheliwa sana leo nipe ata like kidogo mzee wetu kwenye ubola wako

  • @ukhutymamuu7470
    @ukhutymamuu7470 Před rokem

    Joti falaa sana etii we ndio msikiti😅😂😂😂😂😂😂

  • @King_David2.
    @King_David2. Před 5 měsíci

    Nimtoboa kimaisha😂😂

  • @hafidhali
    @hafidhali Před rokem

    shamba la bangi kwa serikali 🤣🤣

  • @rukaiyadickson6234
    @rukaiyadickson6234 Před rokem

    Aliesikia Kujamba cheche nani😀😀😀

  • @PeterUrio-yg3ih
    @PeterUrio-yg3ih Před rokem

    Ww ndiyo comedian wakwel Tz...brother.

  • @2116-n
    @2116-n Před rokem

    Serikaliii eeee, sitaki kuwaona hawa😂😂🙌

  • @eliudmtailuka381
    @eliudmtailuka381 Před rokem

    Nina shamba la bangi😀😀😀

  • @emanuelmiyonjo4484
    @emanuelmiyonjo4484 Před rokem +2

    Nakubari san joti

  • @ikungasyamwakitalu6540
    @ikungasyamwakitalu6540 Před rokem +1

    😅😅 chuma inaondoka hiyo

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 Před rokem

    funzo kubwa kbsa MUNGU angekuwa anawaamusha marehemu wte wakayaona haya kweli binadamu tusingekuwa na chuki

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před rokem +2

    Chuma inaondoka😂😂😂😂😂

  • @jamessamwel9456
    @jamessamwel9456 Před rokem

    Inachekesha, but mooo zaid ni KUFUNDISHA

  • @deodatusmwacha719
    @deodatusmwacha719 Před rokem

    Yaani asitokee hata mmoja wa kumpenda baba ake haiwezekani