@@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote
Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka
Hii ndo ile professor jay alisema; "Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge] ~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣
"Ana roho ngumu kama Paka" ....sumu ya panya....sumu ya mamba" Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......
Kama umeona mgongwa anavomuoneshea doct dole gumba nipeni like zangu japo leo tu
Mchawi ni Ndugu yako imethibitishwa na Jot Leo 😂😂😂😂
Kuna watu wanaona kama vichekesho lakini hayo mambo yanatia hasira mda mwingine unawaza bora usiowe
Mimi mpaka sasa nipo single naona tabu Mambo ndio kama hivi
🇧🇮💯nakupa Maua yako Joti wewe ni number one kwa comedy,tunakufatilia tukiwa Burundi💯🇧🇮
Kweli kabisa mchawi ndugu nimekuelewa zaidi katika ujumbe huu kupitia igizo hili 👏
Haswaaa 😊
@@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote
@@Tnjosph25PT haswaa nimekubal. Udugu
Haya mambo yapo kweny familia nyingi sana ,kama unaamin gonga like hapa👏
❤❤
😂😂😂 dunia ya sasa imani imekwisha yaani hata kufa bado watu washaanza kugombeya mali kweli mchawi ndugu. Hongera sana joti mambo haya yapo
Nipeni likes zangu first fun wa jotti Toka CONGO mashariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Joty Kama joty once again big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa mchawi ndugu I miguu ya nan kenge ama
😂😂
Vijicho vya mgonjwa mara paah marehemu kafufuka 😂😂😂😂😂
Twende mbele turudi nyuma jot Ni comedian namba one anajua Sana 💥💥💥
Mtoto: Baba naenda wapi
Mzazi: Nenda kajiuze
😂😂😂😂😂😂
Hii imeenda..Dah
Joti wataiga wote lkn kwako wanagonga mwamba🔥🔥🔥
Wale tupo kitandani kabla ya kwenda job tume muangalia babu tuendelee kujuana 😂😂
On behalf of of family, friends, ancestors I approve this video!
Congratulations Joti King 👑 comedian in Tanzania....huna baya kaka Umepoaaaa🇹🇿🤣🤣🤣🤣
Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na upendo mwingi wa mashabiki
Eti huyu cyo kenge the best comedian in East Africa love u bro
Napenda hii character ya Babu ije mara nyingi
Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka
This man is a legendary since 2014
Be for 2014
@@TungoZaMswahiliJk exactly 💯
Km unaamini joti ni chuma kwa Tz like hapa
Nakukubali joti mapini yko sio yakitoto
Chuma kinaondoka tayariiii😂😂😂😂
You never disappoint Mr Joti!!ove from Burundi!!
😅😅😅😅bora rafiki mmoja kuliko ndugu mia
Leo nimewahi eti kimenuka 😂😂😂wapenda mali za watu ndugu wabayaa🤣🤣🤣🤣
Kweli nimeamini mchawi ndugu duuh joti noma sana respect kwa ubunifu🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️
😂😂 shamba la bangi kkkkkkkkkk i send my love from Kinshasa
😂😂
Tufike millioni. Shabiki mkuu kutoka kenya🎉🎉🎉
Hata kuua mtu watu siku hizi wanasema Mkubwa Dunia hii tutafika tumechoka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jot jot umenisababisha nimecheka hadi kamasi limenitoka mbele ya dem wang😁
😅😅😅😅
Hakika kweli mchawi NDUGU😢😂DAH
Nimependa idia Yao,,joti hajawahi kubuni kitu kama icho,,,safi sana joti ,,hongera
Joti anajua sana ....Mpaka anakera....wazee wakyuba wanaelewa...😂😂😂
😂😂😂😂😂😂siku zote mchawi hatoki mbali😂😂😂😂😂😂😂😂hukujua
Good My Favourite Comedian Big Up Mr Joti
Ahaa umetishaa 🎅 Sanaa Nishai
Haya mambo yapo sana tu hongera Kwa ujumbe mzuri Joti na team yako
Mchawi siku zote huwa hatoki mbali ,kazi nzuri Sana joti
😂😂😂😂😂joti eti kafa na yuwapiga jicho moja moja
Mnamkosea sana mkishindanisha na Kicheche wa Makalio Joti ni level nyingine na Anayofundisha Jamiiiiii.
Joti ishi milele 🇷🇼😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃jamani munisaidie kucheka😃😃😃😃
Kazi nzuri
ety wanaume si wanajiuza nenda kajiuze🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Inamafunzo mno love from KENYA 254
Kwel kabisa muchwawi ni dam yko.. From 🙏🙏🙏
Daanh sema huyo sheikh miyeyusho kapanda kofia saba kichwani😃😃
Hii ndo ile professor jay alisema;
"Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge]
~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣
Nani kweli mchawi ndugu joti asema jamaa waona mali ni kama makalio kila mmoja anayo😂😂😂😂😂😂
A big lesson walah😢 congratulation joti
Anacho fanya joti hapo Kwenye maisha ya kweli yapo ndugu Wanabadilika sn Mtuu akifariki
Hahhahahahhahaha hhaahhahahaa hahahahahahahahha hii nchi ngumu sana,,,mafundisho mazuri sana
Jot akili nyingi ndo tatizo😅😂😅😂😅
Babu joti umetisha sana 👏👏👏👏👏
Hongera Sana ubunifu wa Hali ya juu
jotiii 😂😂😂😂 umeupiga mwingi mpaka umemwagika ,, let us enjoy .
Sema joti falaa sanaa kwahyo mwanetu ukakata roho chap tu😂
Joti anajua sana kuigiza sana akuna kama joti❤❤❤❤❤
"Ana roho ngumu kama Paka"
....sumu ya panya....sumu ya mamba"
Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......
Babu ukoo mzima na mashemeji wanakuchukia babu utakuwa mkorofi sana
Yani hata wanaongalia mgonjwa tayari washavaa nguo nyeusi za mazishi .....ubunifu mkubwa sana 🤣🤣
Eti nina shamba la bangi😂😂😂
kweli imenikuta kwenhe familia yangu
Eti shamba la bangi...hahaha.we police katamaki
Daaah amakweli mchawi pesa
Hahahahhaa piga rungu piga rungu hahaha...Joti hatari sana
Unafanya masihara na watu bongo kitu kwanza utu baadae mke anageuka
😂😂😂😂 hapa uliposema wee sii ndio msikiti
😅😅😅 hiyo drip imewekwa puani.
Wamevaa na nguo za msibani kabisa duuh
Unatafuta hera kwashida familia inataka ufe warithi😭😭😭😭🙏🙏🙏dunia hiii acha tu ila juti unajua
Eti nenda kajiuze si wanaume hivi sasa wanajiuza.............🤣🤣🤣😂🤣
Eti iziraeli kafika😅😅😅...eti roho inatoka.kweli mchawi ndugu😢
dr angekua kanyinyi angeua😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣😂 Nani kamuona mgonjwa aluvyoy mkonyeza doctor?? Kampa 👍
Joti Joti Joti...nakuita mara tatu!
😅😅😅 joti nomaa sana😅😅. Mchawi ndugu kweli 😅
Bonge ya content big up jot am so proud of you
Kweli ndugu wabaya☹️
Walau si wote
🤣🤣🤣🤣 ndugu kama hao bora ubadilishane na mbizi
Serikali serikaliiii 😂😂😂😂 my ribs😅😅
Shamba la bange😅😅😅😅😅😅😅
Serikali 😅😅anaipenda kazi yake😅😅😅
😂😂😂atakama n pesa sio kama ivyo dah binadam wa mungu saiv wabaya San
Hahaha joti mpuuzi et hey hey hey ndo anakata moto hivoo
Joti mimi shabiki kuliko kawaida ila ni mtu nae cheliwa sana leo nipe ata like kidogo mzee wetu kwenye ubola wako
Joti falaa sana etii we ndio msikiti😅😂😂😂😂😂😂
Nimtoboa kimaisha😂😂
shamba la bangi kwa serikali 🤣🤣
Aliesikia Kujamba cheche nani😀😀😀
Ww ndiyo comedian wakwel Tz...brother.
Serikaliii eeee, sitaki kuwaona hawa😂😂🙌
Nina shamba la bangi😀😀😀
Nakubari san joti
😅😅 chuma inaondoka hiyo
funzo kubwa kbsa MUNGU angekuwa anawaamusha marehemu wte wakayaona haya kweli binadamu tusingekuwa na chuki
Chuma inaondoka😂😂😂😂😂
Inachekesha, but mooo zaid ni KUFUNDISHA
Yaani asitokee hata mmoja wa kumpenda baba ake haiwezekani