WASHKAJI WANAINGIA KWENYE MATATIZO MAKUBWA BAADA YA KUIBA ALMASI | MAMBA'S DIAMOND
Vložit
- čas přidán 7. 08. 2024
- ⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : PRIME VIDEO
Movie name : MAMBA'S DIAMOND
Genre : Drama,Crime, Comedy
Year : 2024
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka - Zábava
Blood diamond hiyo uwiiiiiii jamani kumekucha kweli kweli@blood diamond gonga like twende pamoja km unamkubali @izkonkaaaaa❤🎉
Konkaaaa ❤❤❤
zinafanana kiasi tu
Mule mule
Yaan dakika 10 tuu comment km zotee sjapentaaa taratibuu jmn tusikanyagane kwny comment😮😢dj🎉
All the way from Zenji#Marashi ya karafuu...🔥🔥🔥❤🙌🙌
Dooh Daimond imeleta balaaa😂😂😂
Laana ilianza kwa mchimbaji aliomba asiuwawe maana yake alikua tayar kumuachia ila tu uhai wake ubake lakini mwamba kaona kuwa ni ishu dhambi ya umauti inawatafuna
Kazi nzur San bro
Aah bonge la movie kaka nmeielewAA
Sijachelewa sanaa 🎉🎉 maua yako mwanetu
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas
😂😂😂😂mzungu njaaa uwiiiii
Aloo hii move ni nzuri kuliko zote nizowai kuangalia katika video zako zote❤
Jama ni fundi,,,naelewa kazi zako❤❤
Hatuachi kuvibe 🎉❤
Dk kumi tu mshajaa🥰🤣
Hii apa number moja kutoka kuwait...💚🇰🇼💚
Konka kama konkaaaa🔥🔥🔥🔥
Unyama KONKAAA 💥💥🔥🔥
2naompend konka 2juan
Sijawai pata like na mimi japo 1 tu
Congratulation E7bits for 100k subscribers kama wa mkubali like my comment good work bro God bless you @IZKONKA 🎉🎉🎉
Asante sana FAMILY🙏
Hiyo background voice naipenda sanaa 💯🎶
Anita ana macho mazur kwel pesakitu kingine jmn 🎉❤
Leo mi wa Kwanzaa ha haaas
Leo nimekuwa wa mwisho. 0yoooo. Mauwa yangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Oyaa hongera kwa kutimiza subscribers 100k
Asante sana🙏
Yan umo ndan mwendo w kuuwana tu😂pesa ni kitu kingine nyieeee🙌😂
Nimekuwa wakwanza Léo na ombeni ata like 5 na ya E 7bits moya tu ndugu zangu❤❤❤❤❤❤
Hongera Kwa 100k 7bits we love you❤
Ngoma inaanzia kwenye shimo la almas😊😊
Kaka LUMBASI
We masta
Oya the brain umetisha kinoma
🎉🎉🎉🎉🎉mauwa yako dj❤❤❤❤
Mzungu wa kariakoo😂😂😂 mzungu njaaa😂😂😂
❤❤❤
Daa huyu mwamba ni noma xana kweny kipande cha u dj🎤🎤🎤
Anajua balaa
Ila hii movie nmeipenda😂😂
Good....
Mzungu wa kariakoo😂😂😂😂 mzungu njaaaa
Unatuacha sana jamn
Oyaaaaa mwamba nimtata balaa
We ni hatari auna mpinzan mwamba
Mwamb ww n moto❤
Naona leo mipinduko ya mauwaj t.🤭🤭🤭
Kaliiiih 🎉
Kwani nyie wananzengo mnaoomba like kila cku huwa mnazipeleka wapi😂😂
hii ni 💥💥
Wakwanza leo😂😂😂❤❤❤
Bro unafanya kazi nzuri sana sana. nashauri tu kama utaona vyema matangazo weka katikati ya story sio mwisho, wengi ni wabahiri wa bando ukiweka mwishi ni kama tuna skip coz tunakuwa tushapata tunachotaka
Kwa mala ya kwanza nimewai kwenye chaneli yako
Ndo maana ya alimas haing'ai mpaka ioshwe😂😂sasa woooote wanakufa watumiaj ata hawajaihangaikia
Oya wanamgu we mimi Apa espi-dolla mnipe moja bana
Asante sana konkaaa❤❤
Nzuri sana
Kakaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤
Tuko pamoja mazee
Wakwanza like
Yani huyu Obina ni Mimi mtupuu..😅😅😅😅
Yan nilikuw nakusubir tuu😊😅😅
Unyama mwanangu unatish sana ❤
Video ni 🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤
Oya weeeeh🎉❤
Uwakika mzee like msiombe mmefanya kaz gan
❤❤❤❤❤❤❤❤ wa kwaza
Bora utangaze mwenyewe
Master
Wakwanza like zangu leo
Hatareee
🔥
Atari sana
Wow 👌 ❤
Oya kumbe 100k subscribe tayari 🥳🥳
Mapema sana🙏
Konkaaaaa
Salute
Asant E 7bite kwa kz nzur mungu akupe afy njema uzid kutupa burudani kam unaenjoy hii channel like tuwe pamoja 🤗🤗🤗🤗
Goood
❤❤❤
Yaani nimekaa CZcams muda wote natoka ndiyo mzigo unaingia
Ciku hutucheleweshei saf sana konkaaaaaaa
Jamani kila nikiomba like sipewi 😅😅 Leo zamu yangu naombeni like 20 tu
Dah broo unajua 🎉🎉🎉🎉
Wakwanza naomba like zang
🔥🔥🔥
Unajua nini nakesha onlin kwa sbb yko ila unchelewa 😢😢😢
❤
❤❤
Mamba😂kafa kama nzi😂😂
Daaah😂
nzuri sans
huyu kamuua yule n yule kauliw na huyu 🙌🙌 nikiwa kama mwn family wa E7 bt na E7 max hamna baya wakuu
Leo wa mwisho😂😂 from🇮🇹 oman
Leo na mm Alchemy namewah in 7min
The love I have for E7bits ❤🎉
Wakwanza leo🎉🎉🎉
Naomben at like 10
siku akiacha kusema walete ntaliia sana😂
Wa kwanza mm
Hongera kwa kazi nzuri n kufikisha 100k subscribers....
ya leo kalii daaaah nimetaman isiiisheeee❤❤❤❤❤
Owaaaa unajuwaaa sànn kaka uko pouwaaa sann
100k 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Hatr sana🙏
Mwamba