Mambo yanayoweza kusababisha gari kula mafuta mengi licha ya kuwa na cc ndogo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 07. 2021
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our CZcams Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Komentáře • 21

  • @henryjulius213
    @henryjulius213 Před 2 lety +4

    Karibu Tena Kwa mafundisho

  • @NiyonkuruJackson-dq2mr

    Asante sana bro, nimeipenda iyo

  • @sandaymgunyi6268
    @sandaymgunyi6268 Před 3 měsíci

    Kyando Naomba Namba zako

  • @johnmwasakilali6984
    @johnmwasakilali6984 Před 2 lety +2

    fundi jibu swali ndipo ueleze maelezo ni mengi kama mwanasiasa

  • @martinchatila320
    @martinchatila320 Před 2 lety

    Tunashukru Sana kwa Elimu Kama hizi maana tunakosea bila kujua

  • @suleabdullah2247
    @suleabdullah2247 Před 2 lety +1

    Natamani mtangazaji achukue mud mfupi na injinia awe na mud mpana kufafanua mada

  • @pwalter335tv5
    @pwalter335tv5 Před rokem

    Maelezo mengi mkuuu

  • @isaacs3904
    @isaacs3904 Před 2 lety

    Wote wababaishaji tu...jamaa haelezei chochote anaongelea vitu vingi mno na kujichanganya

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Před 2 lety

    Mtangazaji amuulize mtaaiam, maswali mafupi ya uchochezi/uchokonozi, kuchokonoa habari, maneno mengi ambayo ndio utaalam wenyewe amwachie mtaalam,

  • @hamadishaibu8490
    @hamadishaibu8490 Před rokem

    Gar Ina mambo mengi ambayo usababisha kura mafuta kwaiyo inategemea ni kipi kibovu mafundi wAnaerewa ir

  • @lwxgle002
    @lwxgle002 Před 2 lety

    Huyu fundi anajua, natamani ningepata contact zake...

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 2 lety +1

    Fundi kwanini ukiwasha gari mafuta yanapugua kidogo?. Gari yangu ni silinda 6 ni ya petroli.kwanza sipandi gari bila kukagua nje, pili maji,oil ,tatu nikingia ndani ya gari Nasali ,nafunga mkanda ndipo niwashe gari. Asante kwa mafunzo.

  • @Eagle-One.1501
    @Eagle-One.1501 Před rokem

    Mnafanya vizuri sana kutuletea elimu lakini huyu anae andaa hizi video ndio anaharibu yaani hicho kipeperushi cha usafiriwako kila dakika kina onekana mbele ya picha mpaka vitu vingine havionekani tafadhali sana jirekebisheni kwenye hili hii video imekua mbaya kwasababu ya hicho kitu kimoja tuu
    Au kama wanao andaa kipindi hawana weledi fukuzieni mbali yaani mpaka kipindi kina kosa ladha bhana

  • @mkonyitv3391
    @mkonyitv3391 Před 2 lety +1

    Mtangazaji ana kierehere kama yeye ndo fundi

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Před 7 měsíci

    Mtangazaji muachie fundi mbona unaongea sana

  • @pascorseve2308
    @pascorseve2308 Před 2 lety

    Je Kuna uhusiano Kat gearbox kua mbovu na ulaji wa mafuta?

  • @onesmomahenge9025
    @onesmomahenge9025 Před 2 lety

    Plag zikiungua je, hazisababishi mafuta kutumika zaidi?!

    • @onesmomahenge9025
      @onesmomahenge9025 Před 2 lety

      Nimekusoma kwenye plug

    • @iddyjuma2263
      @iddyjuma2263 Před 2 lety

      Kuweka N ndio inaongoza, Darasa zuri naa liwe endelevu,Madereva wengi hawataki kusoma.