🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 101

  • @mwazongawashe5721
    @mwazongawashe5721 Před 2 měsíci

    From mexico, am kenyan but tanzania naipenda kwa kila kitu

  • @jericonzogolo149
    @jericonzogolo149 Před 4 měsíci +4

    Watanzania tunadestur moja ambayo sio njema sana Rais akiwa madarakani akiwa anafanya kaz huwa hutumpi saport hata kwa kumpongeza kwa kaz njema anayotenda ,akifa ndo unakuta watu wanamsifu,mama Samia nakukubar kwa utendaji wako mzur wa kazi hongera sanaaa.

    • @user-cg6iy2et7q
      @user-cg6iy2et7q Před 3 měsíci

      inatakiwa tuwe tunatengeneza sisi wenyewe watanzania. Mbonanikama wakowenyewe hapo?

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Před 3 měsíci

      suport gani ..misifa yote ya kila kitu tunasema rais....au unataka alambwe miguu

    • @herimornchriston6083
      @herimornchriston6083 Před 3 měsíci

      vitu ambavyo tunaweza tengeneza wenyewe yeye anatoa ela huko china na wanawake tu sisis tunakuwa hatuna mtaji wakufanya mambo makubwa !!!! kuna mainjinia kibao wapo mtaani wenye uwezo mkubwa hawajaajiliwa baada awatumie hao yy anatumia wachina

  • @YusriAllyMuhammadahmad
    @YusriAllyMuhammadahmad Před 2 měsíci

    Congratulation ms president of tanzania this is revolution from africa from mozambique

  • @jaypili7837
    @jaypili7837 Před 4 měsíci +4

    This so amazing and great job for Tanzania government we so proud this stages

  • @stephenmukaabya8442
    @stephenmukaabya8442 Před 4 měsíci +2

    Congratulations to Tanzania and the EA with profound regional positively meaningful implications!!

  • @peteg9921
    @peteg9921 Před 3 měsíci +1

    Happy for our Tanzania neighbors,you have such a progressive president.
    Industrialization is the way to go.
    As Kenyans we follow your progressive keenly.
    All the best 🎉

    • @user-um8xn4ge4i
      @user-um8xn4ge4i Před 3 měsíci

      It’s not car manufacturers but car assembly company, Tanzania have not nuclear plant

  • @ezekiajohn4250
    @ezekiajohn4250 Před 4 měsíci +2

    Asante sana mama samia sema utukumbuke na sisi wa magari ya kutemelea magari yetu tunanunua kwa gharama kubwa sana ukilinganisha na nchi zinazotuzunguka kunatatizo lipo sehem ndio maana watu wanaagiza ist,stalet,carina,d4d
    Za zamani,sio magari mengi mazito kama wenzetu tatizo kodi

  • @joelking3692
    @joelking3692 Před 3 měsíci +6

    Ni kiwanda cha kuunganisha material ili itokee gar bado hatujawa na uwezo wa kuunda sisi wenyewe bado tunachukua vifaa vyao na kuviunganisha, ni kweli ni hatua lakini hii inafanywa sana na kampuni nyingi kinachotakiwa sasa ni kwamba hayo materials yaundwe hapa kwetu

  • @user-bj6oj3qc6g
    @user-bj6oj3qc6g Před 3 měsíci +1

    There is a huge different between making and assembling car .Making a car involves taking raw materials and use them to craft parts or components that will be used to build a car while assembling is the the process of taking parts that are already manufactured by factory and put them together to create a car. This is a big step for Tanzania and this will contribute to the development of the country, in terms of creating more jobs. Once again congratulations to Mama Samia Hasan and to all beautiful people of Tanzania 🇹🇿

    • @maxsenciusalexander2213
      @maxsenciusalexander2213 Před 3 měsíci

      Unajua pia kuna tofauti kubwa kati kufanya kilicho kwenye uwezo wako na kuacha kufanya kabisa?

  • @YusriAllyMuhammadahmad
    @YusriAllyMuhammadahmad Před 2 měsíci

    Hii safi sana kwa china pamoja na afrika

  • @johnlongoy7952
    @johnlongoy7952 Před 3 měsíci +3

    kwenye hiyo nakala inavyoaza dakika ya 53:55 tunaona wameandika FIRST HOWO ASSEMBLY PLAN IN EAST AND CENTRAL AFRICA , kwamba kwa ukanda wa Africa mashariki na kati hii kampuni ya HOWO TRUCK LTD imeweka hapo kigamboni mahali pa kuunganishia kipande A na kipande B vilivotengenezwa CHINA hapa hatuna kiwanda ni mahali pa kuunganisha unganisha. Zungumzeni uhalisia

  • @ChristopherMgoli
    @ChristopherMgoli Před 4 měsíci +4

    Kutengeneza gari sio kitu rahisi Kwa Bongo. Kuunganisha magari hapo sawa

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de Před 3 měsíci

      😂😂😂

    • @UKALONG-iu4lp
      @UKALONG-iu4lp Před 3 měsíci

      Msenge kweli ndugu yangu always underestimating your own capabilities ndo maana no development haya hats kama kinaunganisha what's the problem with that?

    • @herimornchriston6083
      @herimornchriston6083 Před 3 měsíci

      @@UKALONG-iu4lp shida bado wanatumika wachina wakati wabongo wenye uwezo wapo

  • @saadashim6180
    @saadashim6180 Před 4 měsíci +3

    Hongera Rais wetu

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 4 měsíci +3

    Hiki ni kiwanda cha kuunganisha gari na sio kuanza utengenezaji😂😂😂 don't be fooled

  • @binmbarouk7246
    @binmbarouk7246 Před 3 měsíci +2

    media kubwa kama hii niaibu kusema kinachofunguliwa ni kiwanda cha kutengneza magari na sio kiwanda cha kuunganisha garii

  • @NammanaMobile
    @NammanaMobile Před 3 měsíci +2

    Mbona kama hawatengenezi apo vinaunganishwa tu vipuri kutoka nje

  • @jericonzogolo149
    @jericonzogolo149 Před 4 měsíci

    Hongera sana mama samia kwa kazi njema Mungu akulinde uwe na afya njema

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 4 měsíci +2

    Hongera rais wangu . Historia imeandikwa tangu uhuru sasa tunajivunia

    • @AhmedAslam-ip8mu
      @AhmedAslam-ip8mu Před 4 měsíci

      historia gn? hpo hmb tafaut lbd kweny kupt ajira tu lkn hatuwez kujivunia tunatakiwa tuwe na kampuni yetu yenyw inayozalisha magar yetu wenyw

    • @maxsenciusalexander2213
      @maxsenciusalexander2213 Před 3 měsíci

      @@AhmedAslam-ip8mujifunze kuhusudu basi🙂
      Umeona wapi mbuyu ulioanza kama mbuyu😏

    • @twalibmavumba
      @twalibmavumba Před 3 měsíci

      Unaanzaje kuwa na chako mzeee kabla ya kujifunza kwa wengine na kupata sapoti​@@AhmedAslam-ip8mu

  • @WizydadyNibu
    @WizydadyNibu Před 3 měsíci

    Mungu akulinde mama samia

  • @alihoka_001
    @alihoka_001 Před 3 měsíci

    Hongereni, Kenya tulianza kuunda magari since 90's google Mobius car motors, Mobius is an off-road brand jeep invented in Kenya, we have Mobius one, two na three, i think four is on the way, secondly we have ship manufacturing yard at bandari, under the Kenya Navy

  • @hukukanairo047
    @hukukanairo047 Před 3 měsíci

    Wow form Kenya 🇰🇪 ❤🎉

  • @user-jo9eb7iu6t
    @user-jo9eb7iu6t Před 4 měsíci +4

    Mwendazake magufuli alitengeneza njia

    • @MeenaHassan-fd9vv
      @MeenaHassan-fd9vv Před 4 měsíci

      Mwendazake alikua ana maono mpaka alikuwa ana kera mpaka ma member wa ccm waliokuwa hawampendi wakazidi kumchukia r.l.p jpm wetu mzalendo

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb Před 3 měsíci

      Acha upumbavu kila anafanya samia et alianzisha pombe , kwa taarifa yako mama anafanya mambo makubwa kuliko Magu na akimaliza 2030 tunatengua katiba ili aongoze milele

    • @herimornchriston6083
      @herimornchriston6083 Před 3 měsíci

      @@BonnyMwajombe-iu7hb manake tutaondoa democracy sindio??

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 3 měsíci

    Hongereni watz kazi iendele

  • @thomasmnally8793
    @thomasmnally8793 Před 3 měsíci

    Kwa heshima na taadhima, mheshimiwa Raisi Dr. Samia Hasan, nakuomba sana sana tena sana, mheshimiwa ndugu Makonda mhamishie pia mkoa wa Lindi, chooonde mama mpeleke mheshimiwa Christian Makonda mkoani Lindi majibu ya ombi hili utayapata endapo Makonda ukimpeleka mkoa Lindi,tupe Makonda Lindi,mama nipo chini ya miguu yako,Lindi kuna shida za kila kitu

  • @user-sx9hz2xq8o
    @user-sx9hz2xq8o Před 3 měsíci

    Mambo km hayo viwanda kwa wingi tuweze nasi maskini tuajiriwe tuendeshe maisha viwanda vya nguo mikoba viatu na kadhalik shukran sminiunge kwanilicho omb kwraisi wetu mma samia

  • @festusmburu337
    @festusmburu337 Před 3 měsíci

    Hongera mama. Show them how to govern.

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Před 4 měsíci +1

    Safi sana mama yetu raisi kwa kuzindua kiwanda cha magari nina uhakika itakua ni fursa kwa watanzani bigup mama

  • @herialbayt7259
    @herialbayt7259 Před 3 měsíci

    Hongera mama Samia

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před 3 měsíci

    Watu mmejaa wivu na roho mbaya mnakosoa kila kitu mnajifanya mnajua kila kitu we unaye kosoa hapo tuonyeshe ulishafanya kipi cha maana kikaonekana

  • @user-lr6kj8hn5k
    @user-lr6kj8hn5k Před 4 měsíci

    Asante sana Kampuni ya Saturn Corporation Ltd kutupa nafasi hii ya heshima kwa nchi yetu kutengeneza/kuunganisha malori nchini

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před měsícem

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 i 👍👍👍👍👍👍

  • @roziezron9782
    @roziezron9782 Před 3 měsíci

    Mama yetu shikamoo

  • @kun8963
    @kun8963 Před 3 měsíci

    👍💪

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i Před 3 měsíci

    Ila mwafrika bado sana eti kiwanda hivyo vifaa vimeyeyushwa wapi na mitambo ya kuyeyusha na kuunda hivyo vyuma iko wapi semeni gereji ya kuunganisha vyuma vya magari
    tunajisifu kuunganisha vyuma

  • @rebmanwillbard7464
    @rebmanwillbard7464 Před 4 měsíci

    Raisi wetu anafanya kazi nzuri kufungua kiwanda Cha magari, Je vijana wetu Wana technolojia kutngeneza magari?Ili wasiwe watazamaji tu, waajiriwe ya sifa zao za hiyo technolojia.Hatujachelewa, tuwafundishe vijana wetu technolojia ya kutengeneza magari na ndege tusiwaze tu kuajiza nje.

  • @suleim505
    @suleim505 Před 3 měsíci

    ASANTE SANA MAMA KWA MAENDELEO YA NCHI YETU🇹🇿

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Před 3 měsíci

    Tunawataka Toyota jaman hawa ndio mwisho WA matatzo wakija hao tutakuwa na soko kubwa kwa nchi jirani watu wanatak Gari mpya sasa

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q Před 3 měsíci +1

    Jaman ilitakiwa tuwetunatengeneza wenyewe wa Tanzania. yaan sisi bado tunasoma panzi anamiguu mingap. Da!

    • @StephenMuta
      @StephenMuta Před 3 měsíci

      Apo ndokweli tunafeli aki😂😂

  • @gladyssembojas5308
    @gladyssembojas5308 Před 3 měsíci

    Nyumbani kumenogaaaaaaaaah🎉🎉🎉🎉

  • @TiganaaJ
    @TiganaaJ Před 3 měsíci

    Nchi jilani tutakua tutanunua gari pafupi na kwa beyi chini..sawa kbsa

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony Před 3 měsíci

    mbn Amna machine mpya mnajuwa maana yaktengeneza kwel ama mtoa taarfa akuelewa

  • @PhilipoMussa-kd6nw
    @PhilipoMussa-kd6nw Před 3 měsíci

    Rais tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI!

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud Před 3 měsíci +1

    Assemblingg

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Před 4 měsíci +1

    Mofumo ya zamani sana ya kujenga magari. Magari yanajegwa na maroboti now days. Hicho Sio kiwanda ni garage 😂😂😂

  • @SimonLukumay-cw4bd
    @SimonLukumay-cw4bd Před 4 měsíci

    Hongereni

  • @twalibmavumba
    @twalibmavumba Před 3 měsíci

    Good start. Thank you for MAMA SAMIA

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před 3 měsíci

    Safii

  • @ibrahimcollow1789
    @ibrahimcollow1789 Před 4 měsíci

    Huyu mtangazaji hafai anaitisha watu WOTE Kwa kupiga picha na kuhatarisha MAISHA ya Rais

  • @user-kd9dc4li7f
    @user-kd9dc4li7f Před 4 měsíci

    Sasa muheshimiwa Rais izo gari za kichina zitapita Barbara gani kwa kuwa izo Uzito wake ni mkubwa na nchi yetu tunataka gari zenye Uzito mdogo sasa

  • @ZainulKiondo
    @ZainulKiondo Před 3 měsíci

    je vipuli tunatengeneza wenyewr au

  • @sharifhamad9931
    @sharifhamad9931 Před 3 měsíci

    Iv nauliza bei itaweza kupunguza au ndio ileile

  • @user-oi8nj5ld3f
    @user-oi8nj5ld3f Před 3 měsíci

    Hakika tunatakiwa tuishi katika fikra kama hizi,tusiishie hapo tu bali ndege inawezekana

  • @staritsolutioncenter7100
    @staritsolutioncenter7100 Před 3 měsíci

    Du magari yatakua lak tano tu sasa

  • @rebmanwillbard7464
    @rebmanwillbard7464 Před 4 měsíci

    Je, wazawa wamefungua kitu Gani kikubwa ? Tusiwaachie wawekezaji, tuwe pamoja Kwa usalama wa kiuchumi wa nchi yetu.

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q Před 3 měsíci

    Safisan Raisiwetu. ila nasisi tuanze kusomea hivyo.

  • @jorvinstudiodotcom
    @jorvinstudiodotcom Před 3 měsíci

    Huyu mama apewe mingine 5

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Před 4 měsíci

    UMEME NDIO MUHIMU KWWNZA UMEME WA UHAKIKA WA NUCLEAR HALAFU MAMBO MENGINE YOTE YATAFUATILIA ENERGY NDIO MUHIMU

  • @rosemgeni2221
    @rosemgeni2221 Před 3 měsíci

    Kiwanda cha ist toyota

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před 3 měsíci

    Wakosoaji na wajuaji hawakoekani

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 Před 4 měsíci +1

    Mngetengeneza magari madogo ya abiria wananchi tueze kujikwamua kiuchumi

    • @AhmedAslam-ip8mu
      @AhmedAslam-ip8mu Před 4 měsíci +1

      hi ni assembling tu cio kiwandn cha kutentengz kabis wanaunga2 na hio kampuni cio ya tz mjue tu

    • @hakunamatata9919
      @hakunamatata9919 Před 4 měsíci

      @@AhmedAslam-ip8mu kampuni iwe ya Tz isiwe ya Tz tunafurahia imezinduliwa hapa

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it Před 3 měsíci

    Dukuduku langu ni kuwa sijasikia wala kiona kiongozi wa imani yangu japo napongeza kazi inayoendelea kufanywa na serikali yangu

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Před 3 měsíci

    Kiwanda chá magari au chá kufungia mgari

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před 3 měsíci

    ❤❤🇹🇿🇹🇿

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Před 3 měsíci

    Mama ataleta maroboti yafanyekazi

  • @thabitiseapower4499
    @thabitiseapower4499 Před 4 měsíci

    Kiwanda chamagari? Au chavipuri

  • @alimuse6980
    @alimuse6980 Před 4 měsíci

    Bom hayo hayo magari kishina ni mabovu

  • @wilfredngarabali6603
    @wilfredngarabali6603 Před 3 měsíci

    MI

  • @pendael02
    @pendael02 Před 3 měsíci

    Siyo kiwanda cha kutengeneza magari . Vinaletwa vipuri au parts na kuunganishwa hapa.
    Sisi tutafaidi nini kama nchi?

    • @twalibmavumba
      @twalibmavumba Před 3 měsíci

      Tatizo lenu wabongo huwa mna waza hapa tu na si kule. Hamna future manina. Huwezi Anza kuwa boss bila ya kuwa mtumwa

  • @mohamedymngongo5829
    @mohamedymngongo5829 Před 2 měsíci

    Kuunganisha

  • @WizydadyNibu
    @WizydadyNibu Před 3 měsíci

    Mi natk kaz

  • @franksam8581
    @franksam8581 Před 4 měsíci

    Haya yawe na viwango

  • @sule17942
    @sule17942 Před 4 měsíci

    kiwanda cha magari umeme shida kupatikana🤣

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Před 3 měsíci

    Bei ya umeme ishuke

  • @WizydadyNibu
    @WizydadyNibu Před 3 měsíci

    Mungu akulinde mama samia