Wakaazi wa Mombasa watoa maoni yao kuhusu Sonko kuzuiwa kugombea Ugavana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2022
  • Baada ya IEBC kutangaza kauli yake kuhusiana kuondolewa kwa Mike Sonko kama mgombea ugavana Mombasa, tuliwahoji wakaazi wa kaunti hiyo ya pwani kujua hisia zao kuhusu uamuzi huo.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Komentáře • 156

  • @bongasasa3895
    @bongasasa3895 Před 2 lety +47

    Some Kenyans should be trained in critical thinking before they are allowed to vote claiming Sonko atawakomboa is child play

    • @millicentogalo.1937
      @millicentogalo.1937 Před 2 lety +4

      Ni ujinga tu

    • @mzurijora6247
      @mzurijora6247 Před 2 lety +4

      Kusema kweli...sisi wakenya ni kama tumeoza vichwa...ATI SONKO???..

    • @bongasasa3895
      @bongasasa3895 Před 2 lety +1

      @@mzurijora6247 the guy can not manage his emotions and his life 50yrs old man who dresses and behaves like a naughty teen will come and save you? Critical thinking should be in the school Curriculum period so we have adults who can make wise choices after digesting simple facts

    • @catherineikovwa3401
      @catherineikovwa3401 Před 2 lety +1

      Sonko cant help any one nyinyi wakenya ndio mko na njinga and you cry corruption useless watu wabara tu ndio mnataka sonko

    • @chibudangote0126
      @chibudangote0126 Před 2 lety +1

      MUSHAWAI JIULIZA KWANINI JOHO HAJAWAI PIGA VITA MADAWA YA KULEVYA MOMBASA NDANI YA MIAKA KUMI AMEKUWA UONGOZINI????BORA SONKO MARA MILLIONI MOJA

  • @Kenshin254
    @Kenshin254 Před 2 lety +7

    Kenya tuko mbali sana! Listening to these people (especially coz they seem young) saddens one. How can we continue to elect people and not demand for their accountability? My heart breaks for our land;

  • @sirmuraathime7439
    @sirmuraathime7439 Před 2 lety +12

    Kutokana maoni ya hawa wananchi ni dhihirisho ya kwamba watu huchaguana bila kufiikiria.

    • @fredytush8827
      @fredytush8827 Před 2 lety

      And may be they think more than you can plus their interest.heshima kwa maoni yao

    • @sirmuraathime7439
      @sirmuraathime7439 Před 2 lety

      Hah thinking more...I reserve my comment.

    • @cj9817
      @cj9817 Před 2 lety

      We ndo ukona akili

  • @davidwassambo5463
    @davidwassambo5463 Před 2 lety +4

    Same same people will come here next year complaining when sonko will be stealing their public funds ooh poor Kenyans nani alituroga

  • @dominicnyabuto6703
    @dominicnyabuto6703 Před 2 lety +8

    A step in the right direction. Viongozi gushi wabanwe.

  • @na-shownakshi7453
    @na-shownakshi7453 Před 2 lety +4

    Sonko atawakomboa kwani mmezama? Wake up my youth people na hizo nguvu mingi you are talking of tumieni kutafta riziki.

  • @sergddr9663
    @sergddr9663 Před 2 lety +5

    Thus why Kenya is where it's now people don't chose leaders they choose handouts.when will we grow surely if it was my wish I could lock all fools from voting

  • @nganga765
    @nganga765 Před 2 lety +6

    I think us kenyans like inflicting pain on ourselves

  • @mwembad
    @mwembad Před 2 lety +10

    Sad to see how most people will settle for hot air from the politicians!! Seriously how low can we go? Anway, we get what we deserve.

    • @bettyflorence6926
      @bettyflorence6926 Před 2 lety

      @omwemba..I know right?

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 Před 2 lety +1

      U r 100% right! Na yote ni juu wa wakenya wengi kupenda vipesa za bwerere bila jasho na kutokua na elimu ya kufikiria vizuri

  • @nzaikombe4103
    @nzaikombe4103 Před 2 lety +2

    Akwende zake..hatumtaki pia mombasa

  • @betty3272
    @betty3272 Před 2 lety +3

    Sonko can still work in whatever capacity to provide employment to the youth. He doesn't need to be a governor to deliver that

  • @yusufsaid8911
    @yusufsaid8911 Před 2 lety +7

    HAJACHELEWA ANAEZA KWENDA KUGOMBEA MOGADISHU SASA

  • @omarjeylan4113
    @omarjeylan4113 Před 2 lety +6

    EVERY KENYAN CAN HELP WITHIN THEIR OWN CAPACITY, YOU DON'T HAVE TO BE A LEADER TO HELP.

  • @shabbyofficial_
    @shabbyofficial_ Před 2 lety +2

    Kila County hii Kenya wamechagua mtu wa kabila lao mbona sasa imekua issue kwa County ya Mombasa?

  • @veronicaachieng8652
    @veronicaachieng8652 Před 2 lety +5

    We are the problem not the politicians I feel sorry for us as a people

  • @curtismacharia2302
    @curtismacharia2302 Před 2 lety +1

    Sonko supports families who have their deceased ones to transport them from Mombasa to their rural areas something of which the outgoing governor or the Nyali MP or any other MP has ever done for the people from upcountry or bara as many call us. Sonko is also a person who has a humanitarian heart. The Likoni brothers, Nairobi Demolitions, Charitable events.
    Wanamkazia Sonko kwa ajili wanajua atatufaa sisi wanyonge😢😢😢

  • @user-yc4fe3qt4q
    @user-yc4fe3qt4q Před 2 lety +8

    Si muende bara basi hii ni coast

    • @athmanmuhammed7333
      @athmanmuhammed7333 Před 2 lety +3

      Si ndio na shangaa mbona hakuenda kwao ukambani kugombea ugavana .

    • @najmanajma3294
      @najmanajma3294 Před 2 lety +2

      Ni vile watu wa pwani ni wajinga hata hawana fikra za kufahamu Kama Nairobi alifanya alivyo Fanya akaondolewa je Mombasa siataimaliza tu huo ndio ujinga wa Mombasa

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před 2 lety +2

    Waliohojiwa 99% sio wakazi halisi wa Mombasa ispokua Sheikh balala ambae ameongea ukweli kuhusu hilo swala la jambazi kutokubaliwa kuhadaa wakenya na vipesa vya wizi!!!! WaKenya kama hamutobadilikia titaendelea kuteseka kwa kuchagua vinyozi kama kina Sonko badala ya viongozi halisi

  • @millicentogalo.1937
    @millicentogalo.1937 Před 2 lety +6

    Walizoea pesa za ubwete... hebu tujitumeni kuliko kupewa pesa haujui zilipatikana vipi.utalipa hadi damu ya mwisho... ....zoea jasho lako ndugu.

  • @benjamin.4628
    @benjamin.4628 Před 2 lety +5

    While respect to everyone's opinion is key, watching the young men speak, it tells you how our knowledge on many issues is skewed.

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 Před 2 lety +1

    Sheria ifuatwe c mambo na wabara wala mpyani huo ni uchochezi
    Mind ua toungue very well 👌

  • @a.mohamed4505
    @a.mohamed4505 Před 2 lety +3

    Sonko could not answer simple questions when he was grilled by 1 lawyer during his impeachment. The guy is not qualified whatsoever. Alafu mtuu kusema ati Sonko atasaidiya watu wa ngozi nyeusi ni ujinga hali ya juu. Kwani hao waliyo mtowa serikalini walkuwa wazungu na wa arabu?

  • @richardoduke5621
    @richardoduke5621 Před 2 lety +1

    God help us

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před 2 lety +2

    Sheikh Balala is right people like Sokwe should b properly tried and jailed otherwise will pose a serious challenge to the country using their dirty money by taking advantage of poverty of the people and their lack of civic education......Sokwe akwende kabisa !!!!!

  • @Irandabale
    @Irandabale Před 2 lety +1

    Wa Kenya Wana shangaza kweli!!!

  • @stevekahungura5432
    @stevekahungura5432 Před 2 lety +1

    It's very sad seeing people talk like this. Yaani watu wameona mambo ikiharibika nairobi and they talk like this? We want a corruption free government with corrupt leaders 🤷‍♂🙅‍♂

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 Před 2 lety

      Tunataka sonko na sio mambo na chama

    • @stevekahungura5432
      @stevekahungura5432 Před 2 lety

      @@hkmeme5437 The guy ameacha ameharibu huku nrb, and you want him, impeached coz of corruption. Anyway it's up to you to make your mistakes mchukueni sisi hatumtaki.

  • @io1656
    @io1656 Před 2 lety +1

    '... nyeusi kama sisi...' what? Dangerous words.

    • @bongasasa3895
      @bongasasa3895 Před 2 lety

      That’s Aisha Jumwas talk she is cooking something deadly

  • @ronaldsamuel3078
    @ronaldsamuel3078 Před 2 lety +4

    Not fair at all remembering Sonko was impeached by deepstate & system not MCAs or common Wanjiku, But I urge Sonko Rescue Team continue assisting the poor, caring and helping where possible countrywide to shame those opposing the better Kenya, the better MOmbosa.

  • @higahassib6614
    @higahassib6614 Před 2 lety +1

    Hiyo sawa kabisa hakuna kurudi nyuma haki itendeke aende vile alivyo mfanyia cj ndio malipo yake

  • @ahmedalhakim9058
    @ahmedalhakim9058 Před 2 lety +2

    Ndio aje amalize vijana wetu na maulevi zake akwende kabisa wamefanya vizuri kumusimamisha

    • @agneskhakali2069
      @agneskhakali2069 Před 2 lety +3

      Na kuwaanika warembo matiti kwa mtandao, walahi Sonko aanzishe vitimbwi huyu c kiongozi

  • @juniourmasika460
    @juniourmasika460 Před 2 lety

    It is very sad we don't need handouts we need systems in place ,who will educate our poeple on good governance that is why devolution was brought ...to stop this issue of harambee and stop this dependency syndrome ...on politicians
    Sonko used to supply water to slum areas using sonko rescue team, NMS has put up more than 70 boreholes spread all over the slums supplying water to the residents ....
    Nms has constructed another 24 hospitals mainly in the slums ,work that sonko was supposed to do ...but pretended to do with sonko rescue team ....this is where most of our young poeple have lost it they want quick results ,they want handout ,this country is bleeding becouse of unemployment so any quick fix is seen as the best alternative ....

  • @juliasokatch4325
    @juliasokatch4325 Před 2 lety +1

    I thought waiguru was among disqualified. Why only sonko? How about ann waiguru?

    • @raelmatini1473
      @raelmatini1473 Před 2 lety

      There is a difference between Sonko and Waiguru's case and it was made clear
      Sonko was disqualified on grounds he had been impeached while Waiguru wasn't
      Did you come across such?

  • @gloriawawuda3075
    @gloriawawuda3075 Před 2 lety

    sonko alikua azimio heri ange baki azimio ju azimio kuna nafasi wana uda walisema wao wametosha pole sonko umba ombi lako azimio tu na mungu akuwezeshe aaamen

  • @LloydWamai
    @LloydWamai Před 2 lety +1

    What a sad video to watch!

  • @benombongi4287
    @benombongi4287 Před 2 lety +1

    the first kind of old guy made sense, hawa vijana wadogo n issue tu, we can even think on our own, Its so sad! let this old wazeee lead us

  • @edwinoduor2568
    @edwinoduor2568 Před 2 lety +2

    That Chelsea man if useless wewe fanya kazi acha kusema utasaidiwa.ukitaka kusaidi kamfuate babako,na huyu nae was man u hajui anachangia nn,sonko is out unavyio ongea

  • @walternyabaro6602
    @walternyabaro6602 Před 2 lety +2

    Si watu wana akili ndogo ajabu

  • @annickgulenywa6594
    @annickgulenywa6594 Před 2 lety

    Sonko najua amewatch hii video ikamchocha mbaya.... Let's wait for his next move

  • @mwantimazdombo6049
    @mwantimazdombo6049 Před 2 lety

    Upuziii

  • @jjmooo4186
    @jjmooo4186 Před 2 lety +3

    Who bewitched Kenyans?

  • @georgemburu4177
    @georgemburu4177 Před 2 lety +1

    I think the average IQ in Kenya is in the 80s. Watching this is painful

  • @dennisny6439
    @dennisny6439 Před 2 lety

    The journalist should be investigated on his relationship with sonko. There's no way everybody would support sonko on all the streets he interviewed people. It's either he edited removing the critics or had his own people whom he had coached what to say.

  • @theesheezyvlogs1755
    @theesheezyvlogs1755 Před 2 lety

    Bombolulu, mtambo Bamburi, daa waenda 😂😂

  • @bensonbenson1073
    @bensonbenson1073 Před 2 lety +1

    Bro usitegee mtu kusaidia jisaidie usaidike....

  • @daianammbone6922
    @daianammbone6922 Před 2 lety +1

    Atawatangaza mpaka mjute

  • @swalehjuma3077
    @swalehjuma3077 Před 2 lety

    Ukimwuulza alisaidia nn Nairobi hajui

  • @bahatisuleiman3466
    @bahatisuleiman3466 Před 2 lety

    Sonko kama amependa Mombasa still yeye ni mtu mzima ajakatwa pahali si afanya biashara zake mombasa kama mwananchi,hiyo rescue Team ajitolee moyo wake,kwani mpaka awe governor?

  • @mwanamisimatini5908
    @mwanamisimatini5908 Před 2 lety +1

    Munapendea sonko sababu ya pesa na vurunguu ndio kazi yake

  • @saidshehe5411
    @saidshehe5411 Před 2 lety

    Wakenya tujifunze ....hii pesa ya bure itatuchelewesha maendeleo....heri yule atoi kitu bt nimuadilifu na pesa yauma..asnteni

  • @phoenixhub4454
    @phoenixhub4454 Před 2 lety

    Unauliza maswali wakaazi wa msa ama waliokuja msa kutafuta nafasi za kazi uliza wakaazi wa msa people who know msa very well huyu ata mkimwambia mkanyageni iko wapi anaeza sema iko mexico

  • @katanalugo9912
    @katanalugo9912 Před 2 lety +1

    He was just not cool, calm and collected guy.. He is a drama King and he deserved it..

  • @bijumaathman2968
    @bijumaathman2968 Před 2 lety

    Shida atuna viongozi wahadilifu wingi wao wanajali matumbo yao na familia yao na ndio maana wananchi wakiona kiokozi anawasaidia hata kama anamakosa wana prefer huyo.shida viongozi wingi ni wao kwa wao and they are very selfish.

  • @alumanjr.4747
    @alumanjr.4747 Před 2 lety

    Sheria ni ifuatiliwe bila ubaguzi wala mapendeleo Sisi tunafuatilia ...

  • @Ayakoviolet0
    @Ayakoviolet0 Před 2 lety

    Tumia akili

  • @khadijabintmohammadbintmoh8026

    Huyo sonko sio mtu mzuri

    • @user-yc4fe3qt4q
      @user-yc4fe3qt4q Před 2 lety +4

      Kabisa lkn watu wameonyeshwa pesa tamaa tayari ati sonko aende kabisa

    • @kenya-id9gt
      @kenya-id9gt Před 2 lety

      Sonko is the best

    • @khadijabintmohammadbintmoh8026
      @khadijabintmohammadbintmoh8026 Před 2 lety +2

      @@kenya-id9gt wamefanya vizuri kumsimamisha lakini tungekuja kulia baadae.manake jitu lenyewe ni hilo,

    • @kenya-id9gt
      @kenya-id9gt Před 2 lety

      @@khadijabintmohammadbintmoh8026 ni hao maproject wa Joho wanamuogopa ..ingekua sonko hapendwi ni wananchi hangeondolewa .....he is pples choice

    • @najmanajma3294
      @najmanajma3294 Před 2 lety +2

      @@kenya-id9gt nani yuapenda fisadi aende kabisa maana angekua adui wa Mombasa na mbona akuenda ukambani napo yuapendwa

  • @suthnr3igns992
    @suthnr3igns992 Před 2 lety

    🤣🤣I like sonko lkn hakuna kitu atakomboa

  • @gloriawawuda3075
    @gloriawawuda3075 Před 2 lety

    kumbe ruto ana mmezea mate jamani hata hivi atafanya ju chini amurudishe kwake tena

  • @mr..t3707
    @mr..t3707 Před 2 lety +3

    Mombasa is for mijikenda...like all the other counties...akwende...

    • @munenex
      @munenex Před 2 lety

      Na mbona mnawapa kura waarabu

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před 2 lety +1

      ​@@munenex warabu kwani sinjwa Mombasa kwani hujui bado niwacoast sio wbara nahatujakosana na wamijikenda Sisi kmaa njgavanor kwaagawnaywa naaibu ni mijji kenda wabunge na MCA niwao wenyewe

    • @dembaba6925
      @dembaba6925 Před 2 lety

      ​@@munenex waarabu ni wacoast na mchanganyiko wa mijikenda na waarabu ndo unaitwa waswahili, mshamba ngombe wewe

  • @b.truthful
    @b.truthful Před 2 lety

    Ya Sonko Yameisha Gangeni yajayo

  • @musamsangi774
    @musamsangi774 Před 2 lety

    Mlaumuni Raila Odinga diyo mchawi

  • @mwamrajunior7631
    @mwamrajunior7631 Před 2 lety +1

    Hakya mungu tunapea mbogo ...we are not turning back to caterinaz ata kuweje

  • @kamalkadode7277
    @kamalkadode7277 Před 2 lety +2

    Àtawasaidia wabara kumanisha wenyeji Ni Kama takataka mpumbaaffff saana useless opinion ☹️

    • @ahmedalhakim9058
      @ahmedalhakim9058 Před 2 lety +1

      Washenzi sana wanatuona wajinga

    • @kamalkadode7277
      @kamalkadode7277 Před 2 lety

      @@ahmedalhakim9058 imeniuma saana bro wallahi pia alhamdulillah Kama serekali yetu Mombasa kwa kumtoa huyo mshenzi wao hatumtaki arudi kwaoooo kudadadeki

    • @kamalkadode7277
      @kamalkadode7277 Před 2 lety +1

      Tena yuwaongea freeesh kabisa ati atasaidia wabara pekeyake na'ala ummak!! Kelbu

  • @Sir._Kip
    @Sir._Kip Před 2 lety +1

    Huyu journalist amevaa nini 🤣🤣🤣

  • @wangaramedia8792
    @wangaramedia8792 Před 2 lety +2

    Ni jambo la kuhuzunisha Sana kum bania sonko katika kinyang'anyiro cha kuwania kiti cha ugavana County ya Mombasa, iwapo sonko ana mashtaka ya kujibu hatuwa hizi zingekuwa zimechukuliwa na akifeli kesi awekwe korokoroni, hii ni dhulma isiyokubalika Kenya hii, huu ndio u dictator wa Hali ya juu.

  • @kennedysituma7546
    @kennedysituma7546 Před 2 lety

    Songo alisaidiå wengi sana but God is with Him

  • @marynjoki912
    @marynjoki912 Před 2 lety +1

    They knew sonko was getting that seat.They had to act fast.sad

    • @b.truthful
      @b.truthful Před 2 lety +1

      How will it help Chebukati if he win or not win 🤔🤔

    • @khadijatamimi2495
      @khadijatamimi2495 Před 2 lety

      Tunahitaji sonko mombasa ainuwe vijana wetu wengi hawana kazi na madawa ya kulevya yaondolewe vijana wetu wengi washaangamia na madawa

    • @marynjoki912
      @marynjoki912 Před 2 lety

      @@b.truthful not chebukati but embarrassment for 001 and his group.but Sonko is a people's person for sure.

    • @b.truthful
      @b.truthful Před 2 lety

      @@khadijatamimi2495 hakuna mtu anaeweza kuinua mtu maana mtu ni kujituma kuwe na sonko au la tusidanganyane

  • @genuinehuman554
    @genuinehuman554 Před 2 lety +1

    Mombasa as always has the highest illiteracy.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 2 lety +1

    Sonko hawezi komboa mombasa stop lying to yourselves...

  • @jimmypenda4545
    @jimmypenda4545 Před 2 lety

    Sonko Rescue Team iendelee na kazi..

  • @riazjuma84
    @riazjuma84 Před 2 lety

    They have ganged up to get rid of Sonko...hio ni game ya Pojo

  • @kenya-id9gt
    @kenya-id9gt Před 2 lety

    sonko is the best ...viongozi wa Mombasa wanakuaga na ubaguzi sana

    • @athmanmuhammed7333
      @athmanmuhammed7333 Před 2 lety +4

      Ubaguzi gani si angeenda ukambani kutafuta ugavana

    • @kenya-id9gt
      @kenya-id9gt Před 2 lety

      @@athmanmuhammed7333 he is for cities mambo ya ukambani hajuh ....alafu any tribe inaeza simama Mombasa

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ Před 2 lety +1

      Kenya yote ina ubaguzi mzee au waishi Kenya gani wewe 😅 maraisi wenyewe wanabaguana

    • @kenya-id9gt
      @kenya-id9gt Před 2 lety

      @@shabbyofficial_ Mombasa ni too much ....Niko Mombasa na ukienda kwa ofisi za county weny wako employed uko n waswahili na waarabu ...na pia hakuna mkristo ameajiriwa uko so kuna ubaguzi wa kabila na dini

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ Před 2 lety

      @@kenya-id9gt ok niambie which ukabila ndo worse.. Kuuana ju ya viongozi au kubaguana kwa kazi because last time i checked Mombasa hawakuuwana izo elections zote zimepita kama uko bara... Ukabila ni Kenya nzima bro lol tuombeni tu tubadilikeni

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 Před 2 lety +1

    WANATAKA KUIFANYA MOMBASA NI BIASHARA YA FAMILY NA MUNGU ATAWSHINDA

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 Před 2 lety

    Daaaaah SONKO ndo alikuwa tishio kwa familia ya joho now they are happy....ABDULSWAMAD SAI ANAJUWA ASHASHINDA NA ABDULSWAMAD NA JOHO NI KAMA BEKA NA BAKARI HAKUNA TOFAUTI

    • @mohamedmagongoabdalla3797
      @mohamedmagongoabdalla3797 Před 2 lety

      Hapo hakuna tishio broo

    • @chibudangote0126
      @chibudangote0126 Před 2 lety

      @@mohamedmagongoabdalla3797 Aaaaaah BRO TRUST ME JOHO ARE BEHIND ALL THIS NA WALIJUWA SONKO ATACHUKUWA MOMBASA ABDULSWAMAD HAJULIKANI MOMBASA NA WALIFANYA HIVO ILI ODM IENDELEE KUTAWALA MOMBASA NA WAIFANYE MOMBASA BIASHARA YA FAMILY....WANATAKA VIJANA TUVUTE UNGA, UHALIFU UENDELEE , VIJANA WASIWE NA AJIRA HYO NDO RAHA YAO BUT WANAJUWA SONKO AKIJA VIJANA WATAAJIRIWA(SONKO RESCUE TEAM) SASA BEKA NA BAKARI HAWATAKI HIVO WANATAKA WAKIPITA BARABARA YA KISAUNI WAONE VIJANA WAMEKAA MASKANI WANAKULA MONGOKAA

    • @mohamedmagongoabdalla3797
      @mohamedmagongoabdalla3797 Před 2 lety

      @@chibudangote0126 kijana tafuta pesa usingoje kiongozi akupe ajira huyo unae mpigia debe nairobi kwani hakuna madawa tembea ujionee.

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ Před 2 lety

      😂 😂 😂 Eti kama beka na bakari

  • @khadijatamimi2495
    @khadijatamimi2495 Před 2 lety

    Sonko ndio hitaji letu mombasa