MAZISHI YA NYOTA SHABANI NYARUGUSU CAMP K1 VILLAGE PART 01

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • #nyarugusucamp #msibakambini #beyondvisiontv

Komentáře • 18

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Před 2 lety

    Baba tunamuke mtumishi wako uyu mikononi mwako umupokee kamavile ulivyo mpokea mwana wako wakati alipo Kata roho yake akasema Baba mikononi mwako naiweka roho yangu pia tunakuomba mikononi mwako umupokee mtumishi wako uyu apumuzike Kwa amani amina

  • @stellakins3770
    @stellakins3770 Před 3 lety +2

    Nimependa mnavyo imba ,,, poleni from Tanzania

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 Před 3 lety +1

    Dini zinakuwa nyingi kweli kama Mtariti inchi kwa nini Tufe sasa Jameni Nyota Mwenyezi Mungu akupokeye Mahali pema Amen

  • @mzalendomtokambali6551

    Poleni sana wajomba zangu

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Před 2 lety

    Poleni sana ndugu zangu kwa msiba iyi mliopata Mungu ailaze roho ya muhumini marehemu mahali pema peponi ipumuzike kwa amani amina

  • @malkiawafizi2394
    @malkiawafizi2394 Před 3 lety +2

    😭😭😭😭😭Nyota Mungu akupoke.

  • @mlendaebengo2547
    @mlendaebengo2547 Před 3 lety +2

    Poleni sana

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 Před 3 lety

    Hizi dini ni mtihani

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 Před 3 lety +1

    Polen sana ila nashindwa kuelewa hapa naona wamevaa kanzu kisha nasika haleluya

    • @beyondvisiontv999
      @beyondvisiontv999  Před 3 lety

      Yeah ni kanisa la ELSHADAY

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      labda ndio maneno.ya sh Adi 😂😂😂 hawa ni dhehebu la walokole km hivi wale wanaoimba nyimbo za i njili wamevaa kanzu na wanawake manvaa baibui na hijabu .

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      hao wamevaa vazi la Yesu na hizo kofia km ganda la chungwa nawezekana ndio Yrsu alikuwa anavaa maana waizrail ndio vazi lao hizo kanzu na kofia km hizo .

  • @machozinaecha6033
    @machozinaecha6033 Před 3 lety +1

    Pole pole san 😭😭😢

  • @elenamlasi6815
    @elenamlasi6815 Před 3 lety +1

    Poleni san na msiba 😭😭😭

  • @angelanikalenga4757
    @angelanikalenga4757 Před 3 lety +1

    Polenisana

  • @gabrielbyaese631
    @gabrielbyaese631 Před 3 lety +1

    sorry

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Před 3 lety

    Photo yake hakuna

  • @annabashale5674
    @annabashale5674 Před 3 lety

    Wa musilman ?