Yaani Mchungaji ni vile ujui chenye tunapitia, na hakuna mtoto ata analala katikati Yetu, kwani Mchungaji hujui Kuna watu wanaitwa mpango wa kando siku hizi, ndoa nyingi zimeharibika juu ya mipango ya kando,,, juu unaachwa, frying zako, mtu aje umpakulie Kwa adabu, na Bado anakuambia ameshiba, na ikue hivo kama mwaka na zaidi, utadoo....ukimguza kitandani nimechoka, utadoo,,, unakaa mpaka unafeel kama uko pekeako duniani, ukosa kupendwa, dry spell inakumaliza, ,itabidi uamishie upendo wako Kwa watoto
Hata Mimi hapo nimekataa....unless mwi ma mukwato.What abt wenye juu YA kazi hawakai pamoja daily, people work,so bodies get tired...not all women see 3day menses wengine ni Zaidi....
@@kiogoraevalyneofficial.3345 hata mkikaa pamoja 27 times hamuezi ,may be 10 times in a month,that is atleast 2 times a week,, Hii yake ni wazimu,,eti daily,daily,daily🤣🤣hata mwenye akona bibi 4 hawezi 27 days Pst.mambo ya relationship counseling hiyo naona siyo line yako
Hongera kwa Apst kioko, A very nice message for us,,,who has ears let him/her hear this message..
Waaah,, that is true
Very good massage,bt if the man is irresponsible, how do you handle the issues.plz reply
I have learnt alot on this message
Muema Apst Alphonse
Very nice
Yaani Mchungaji ni vile ujui chenye tunapitia, na hakuna mtoto ata analala katikati Yetu, kwani Mchungaji hujui Kuna watu wanaitwa mpango wa kando siku hizi, ndoa nyingi zimeharibika juu ya mipango ya kando,,, juu unaachwa, frying zako, mtu aje umpakulie Kwa adabu, na Bado anakuambia ameshiba, na ikue hivo kama mwaka na zaidi, utadoo....ukimguza kitandani nimechoka, utadoo,,, unakaa mpaka unafeel kama uko pekeako duniani, ukosa kupendwa, dry spell inakumaliza, ,itabidi uamishie upendo wako Kwa watoto
This is encouranging ❤
Hapo kwa 27days sikubaliani nawe may 10days in a month
Hata Mimi hapo nimekataa....unless mwi ma mukwato.What abt wenye juu YA kazi hawakai pamoja daily, people work,so bodies get tired...not all women see 3day menses wengine ni Zaidi....
@@kiogoraevalyneofficial.3345 hata mkikaa pamoja 27 times hamuezi ,may be 10 times in a month,that is atleast 2 times a week,,
Hii yake ni wazimu,,eti daily,daily,daily🤣🤣hata mwenye akona bibi 4 hawezi 27 days
Pst.mambo ya relationship counseling hiyo naona siyo line yako