BASHUNGWA AWAKA, MKANDARASI HUYU MATATANI "ASAKWE, ALIPE, ACHUKULIWE HATUA" CRB KIBARUANI..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) amemuagiza Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) kumtafuta na kumchukulia hatua za kisheria Mkandarasi Mohammed Ally wa Kampuni ya Sure Civil and Building Contractors Company Ltd aliyetekeleza ujenzi wa majengo katika Hospitali ya wilaya Karagwe ‘Nyakanongo’ kwa kushindwa kulipa shilingi Milioni 24.7 ya vifaa vya ujenzi alivypokopa kwa mfayabiashara licha ya ujenzi huo kukamilika miaka miwili iliyopita.
    Bashungwa ametoa agizo hilo mara baada ya kupokea malalamiko hayo kutoka kwa Mfanyabiahara huyo, Abineza Ginivian wakati akikagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Mji wa Kayanga wilayani Karagwe.
    Waziri Bashungwa akiongea kwa njia ya simu na Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), Mhandisi Rhoben Nkori amemuagiza kumtafuta Mkandarasi huyo kuhakikisha analipa deni ambalo alikopa kwa mfanyabiashara huyo wakati ujenzi wa hospital ya wilaya Karagwe ukitekelezwa.

Komentáře • 13

  • @RenzoJofre-my9lz
    @RenzoJofre-my9lz Před 2 měsíci +1

    One Love bashungwa

  • @KatotoEvarest
    @KatotoEvarest Před 3 měsíci +1

    Ukosawa bashungwa chapa kazi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 4 měsíci +1

    Mh Bashungwa upo vizuri kwa maamuzi unayofanya safi sana ,yaani watu wamekua matapel sana na kujiona kua hawataweza kumfanya kitu.

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 Před 3 měsíci

    Bashungwa ni bidhaa adimu sana! Anastahili kulindwa! Huyu hafanyi maigizo kama viongozi wengine walio wengi!
    Hata nafsi yake inaonyesha dhahiri shairi!

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Před 4 měsíci +1

    Barikiwa sana Mtumushi wetu

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 5 měsíci +2

    Namukna Ma Regina

  • @ClementinaHabineza
    @ClementinaHabineza Před 5 měsíci +2

    Rwambezi wariojenga mashuri wameyenda nahera zetu tumezurumiwa

  • @ClementinaHabineza
    @ClementinaHabineza Před 5 měsíci +2

    Mweshimiwa samahani Awa watu wariojenga hospital karagwe nyakanongo bashikwe bameyenda nahera zawana inshi tumezurumiwa Kila hadi wea tunakuriria mweshimiwa

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před 5 měsíci +2

    Yaani hii nchi 😂😂😂😂

  • @ClementinaHabineza
    @ClementinaHabineza Před 5 měsíci +1

    Tunaomba mweshimiwa

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 5 měsíci +2

    Namuona kashata

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před 5 měsíci

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA NYUMBA ZA WATU