Joel Joel Joel mala ngapi nimekuita nakupenda sana kwanza uko na jina la mtoto wangu umeongea vizuuli na usimpe mtu yy nafasi kuongea na wewe tena kuhusu muna wewe ni binadamu umefanya haukufanya sio shida yao usikubali mtu yoyote akuangushe chini me l love and god love you more 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
😁😁😁 mtangazaji mpaka kigugumiz Jaman muacheni kaka Joel amtumikie Mungu kwa uhuru Kaka Joel nakupenda sana Mungu akuinue hata Yesu alipata majaribu usijali🙏🙏💪💪
Mungu akuvushe my brother nakupenda Sana, napenda sn nyimbo zako,Mungu akufkishe alpokusudia na mapenzi yake kwako yatmie, pia akupe mke sahihi atokae kwake
Kama Mungu wangu aishivyo siku kama ya leo mwakani utakuwa mhubiri wa kimataifa kupitia nyimbo zako na wengi wataokolewa kupitia wewe Mungu alibariki mtumishi
Joel unajibu vizuri sana hao watangazaji wameshakushindwa kwa maswali .hata zamani walikuwepo enzi za Yesu kulikuwa na Mafalisayo na waandishi kama hao
My brother Joel mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe ,,na Yesu alikuja kutafuta vilivyopotea na akala nao ili tyu awavute kwake,,huwezi mzuilia mwanadam kuongea cha msingi tunza huduma yako sisi tuko nyuma kukusaport go go bro!!!
Joel may the Lord Jesus Christ bless you day by day..... I love you so much...... Your songs heals me a lot...... Hope some day I can do a Corabel with you...
Joel Joel Joel mala ngapi nimekuita nakupenda sana kwanza uko na jina la mtoto wangu umeongea vizuuli na usimpe mtu yy nafasi kuongea na wewe tena kuhusu muna wewe ni binadamu umefanya haukufanya sio shida yao usikubali mtu yoyote akuangushe chini me l love and god love you more 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Honger nyimbo zako znanitia moyo mungu azd kukuinua zaid nazaid amen🙏🙏🙏
😁😁😁 mtangazaji mpaka kigugumiz Jaman muacheni kaka Joel amtumikie Mungu kwa uhuru
Kaka Joel nakupenda sana Mungu akuinue hata Yesu alipata majaribu usijali🙏🙏💪💪
Real nakupenda brother... Hongeraaa kwa kuwa smart kwenye majibu yako.
Mungu akuvushe my brother nakupenda Sana, napenda sn nyimbo zako,Mungu akufkishe alpokusudia na mapenzi yake kwako yatmie, pia akupe mke sahihi atokae kwake
Daaaah.. kwel joel, ulimi ni kiungo kidogo lakini una matokeo makubwa sana .hongera kwa kulitambua hilo.. Lord be with you.
Kama Mungu wangu aishivyo siku kama ya leo mwakani utakuwa mhubiri wa kimataifa kupitia nyimbo zako na wengi wataokolewa kupitia wewe Mungu alibariki mtumishi
Mungu akubaliki mtumishi unaimba vizuri sana nabarikiwa na nyimbo zako
Majaribu ni sehemu ya maisha kaka mungu akubariki zidi kutuinua katika Imani zetu
Joel unajibu vizuri sana hao watangazaji wameshakushindwa kwa maswali .hata zamani walikuwepo enzi za Yesu kulikuwa na Mafalisayo na waandishi kama hao
Mtumishi wa MUNGU songa mbele barikiwa saana
Mungu akubariki kaka tunabarikiwa kupitia ww mungu akulinde
Hongeraa mnooo kaka Joel.....unahekima na busara
Naupenda sana wimbo wake wa baba umejua kunifurahishaa
Very smart songs
Mungu aendelee kukupigania kaka Joel nabarikiwa sana na Nyimbo zako
Joel napenda sana majibu yako....
😭😭😭😭😭😭😭😭muna muna hwo is her live joel he is a child of god pls you people late him be
Jo pole umebanwaa sehemu zako mbaya nyama weeee
Uko vizuri son of God
My brother Joel mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe ,,na Yesu alikuja kutafuta vilivyopotea na akala nao ili tyu awavute kwake,,huwezi mzuilia mwanadam kuongea cha msingi tunza huduma yako sisi tuko nyuma kukusaport go go bro!!!
haoo watashidwaa kwa jina LA YESU baba Amejua kunifulahisha
Mungu akubariki sana nyimbo zako zinanibariki sana nakuwa karibu sana na mungu wangu
Jamani kama kulala wanalala sasa shida ni gani jamani mbona hivi kila siku yaani hawa ndiyo watu wa kwaza kulalana au
nyimbo zako hizo zinakusudi
Nikweli kaka mitandao uchonganishi tuu muda wote muna muna kwan yeye nani
Kwa wana gospel wa kiume Tanzania wewe unaongoza Mungu akuinue zaid love u
Bahatimmependeza Mwanginda ucshindanishe watumishi hii co bongoflavor
ongera napenda wimbo wako wa sitabaki kama nilivyo
Nakupenda sana kaka nabalikiwa na nyimbo zako
Usiogope brother in Christ
Kaka Joel Mungu azd kukutia nguvu majaribu ni mtaj uckate tamaa
Joel wewe ni mtumishi achana nao hao mwanangu
Naupenda wimbo wako sitabaki Kama nilivyo
Muombe mungu hil in jaribu mshirikishe mungu ndio atakupa majibu ya matatizo hy na huyo muna achana nae
Joel umetoka wap tena na muna jaman, mdada atakuchafua uyo uharibu ushuhuda
Napenda anavo jieleza
Joel hao wasikuvunje moyo, wewe songa mbele anayekujua wewe vizuri ni Mungu pekee, wengine ni ma urgent wako na kazi maalum
joel ww ni kichwa sana napenda unavyowajibu haina maana kabisa kuzungumzia vitu ambavyo vilishapita mungu akupiganie
Amen
Yes unatumia hekima kujibu Joel Mungu akuongoze zaid...keep it up
Asante Joel Mungu azidi kukuinua
Du huyo mtangazaji alikubana sema umejitahidi kujibu hongera broo yalo pita siii ndwele tugange yajayo
Mnamuwekea hiyo krip ili mumumize au mtu lla kwa sisi tulio okoka tunaumizwa Sana ila ata Yesu alisingiziwa Joel usijari hayo yamepita
Nzuri mtumishi
hiloo Jamaa Hamna Kitu inavyoonekana ni limalaya tu lilikuwa linamgonga Muna alafu linajifanya lilokoooolee
Ernest Wiliam mama muna ameweka wazi kila kitu na Joel aheshimu hekima za huyo mama
Joel omba mungu
Mkisi mbaya
But joel mbona unaruka story za muna inamaana mlikua kwa uhusiano hutaki kujulikana
Ndio kaka umemjibu kitumishi yaliyopita si ndwele tugang ya jayo
muna ni shetani atakuaribia upako achana nae2
Mama muna sauti yake Kama muna ila Joel mwacheni msimchanganye
😂😂😂😂😂😂😂hawa ni wapenzi wanajificha tu lakini lisemwalo lipo
Don't worry Joel songa mbele ayo yameishaisha yasikuusumbue
wameshaachana muda tulio karibu mbona tunajua
wameshaachana muda tulio karibu mbona tunajua
Acha uzushiiii weweee Joel. Mama wa mwenzako uyo ACHA UONGOOOO WEWEEE. AIBU
Usimhukumu ukweli yy ndo anaujua mbona mnalazimisha aongee vitu mnavyovitaka nyie. Ukweli yy ndo anaujua
Bertha Makortha angalia maneno yako na unaongea na nani kamwe usinyooshee watumishi vidole
Weweee mama yako waongea nae je ROSE MONA JE AMUONI UJINGA SANA MNAOUFANYA?? ETI MUNGU UTAGEUKA BUBU. ACHA kusingizia MUNGU. WAZUSHI TUU NYIE
Bertha Makortha huo inaosema ujinga uliwaona mwenyewe?inamaana yeye hawezi kuwa rafiki yake tu mpaka awe nae?
Joel. Hauna nyimbo MUONGO MKUBWAAA A IBU
Yaani kuna watu wengine mnamakwazo sana hadi
Mnaboa
Napenda Sana sitabaki Kama nilivyo, ila kakangu kaa mbali na Rozi anachafua cv
nmejifunza kitu kutoka kwa joel
Pls tunangoja huyo mchumba na ni kama muna Joel mimi nitakuchukia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜😜😘😘😘😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇
Kaka amepanic
uyu anaruka walikua na mahusiano ila ndo sababu tu hawjafunga ndoa . yalikua yakuficha
Hahahaaa Joel leo umepatikana kkkkkkkk, umebanwa ki noma noma hadi oudio wanaplay kkkkkk aibu kwako 😂😂😂😂 from Kenya working in Saudi
Priscilar Kahindi hiyo krip hii niya uongo kabisa wanamchafua kaka wawatu
@@rg6826 Poa
Joel may the Lord Jesus Christ bless you day by day..... I love you so much...... Your songs heals me a lot...... Hope some day I can do a Corabel with you...
Yeye sio malaika....au ya kwako yote mema???
Priscilar Kahindi usipende kuamini vitu vya kuskia wewe,uko huko mbali unaaminije vitu vya kuviskia tu?
Tizama domo lako hilooo acha ujingaa weweee
Unamwambia hivo nani???