Hichi nikipindi cha 10 Bora kinachoruka kupitia Zanzibar Cable Tv na leo wamekuletea Faida 10 za Tunda aina ya Nanasi kiafya na imetafsiriwa na Mtangazaji wako Abdul Malick Anania Sangura ( Anania Junior )
Mwenzio mi napenda nanasi naweza kula nanasi nzima peke yangu na nikimenya nanasi Yale maganda nayachemsha then nachuja alafu nakunywa Sasa sijui inasaidia Nini maana naipenda bill kujua faida yake
Maelezo mazuri. Ya kina na maarifa.
Pia.
Kiswahili fasaha. Kinyume na watangazaji wengine wanaoharibu lugha yetu. Hongera
Kwa elimu hii utakuw umesaidia watu wengi sana kufahamu umuhimu wa nanasi.Mungu akubarik san
Kuna jamaa hapo atauma kitole
thanks sana kwa elimu
asante sana kwa elimu bora
Je wavidonda vya tumbo haina madhara anaruhusiwa kula?
Asande kwa kutujuza ubarikiwe sana
Asante kwa somo hili
asante kwa kutufahamisha faida
Thnkx.
Ahsante Sana mkuu kwa elimu hii
Hahaahaaa.
Ahsante kaka
asanteni kwakutu juza
Shukran
mungu akubariki kk
Asante
thanks
Thanks
Asante kwa Elimu hii kuhusu Nanasi
Duh! Mtazamaji sihitaji maelezo ya kitaalam ya kilimo cha nanasi, nahitaji kusikia faida za kulitafuna loh
Asante sana Mwalimu WA afya
Asnt san kbs
Well
Vileja vya tambi
mapishi
unaeleweka saana
Anna Christopher and poa
Thx
Hee lina pikwa tena
Mwenzio mi napenda nanasi naweza kula nanasi nzima peke yangu na nikimenya nanasi Yale maganda nayachemsha then nachuja alafu nakunywa Sasa sijui inasaidia Nini maana naipenda bill kujua faida yake
thanx
Safi sana broo
miss Agatha asante kwa kutupatia elimu bora
No thank u!
Vileja vya tambi
Vileja vya tambi