Watu wapuuzi Hivi nani asiejua Kua kwenye familia za kitanzania wapo watu wa simba na yanga ajabu nini sasa ajipendekeze kwa lipi , huyo boss wa yanga GSM mdogo wake salaam simba na ndugu zao kibao , huyo alikamwe na baba yake acheni Maneno yakishamba
GB kwanza hongera kwa kujaaliwa kizazi lakini kuzaa jambo 1 na malezi jambo jengine maelezo yako unafata sheria ya DINI jitasmin kivazi cha mwanao . Maisha ni mapito
Mmmmh inamaana hicho kivazi hakina heshima!!!dah kweli kuna watu hapa Duniani kazi yenu kukosoa kila kitu ila yote na yote usimuoneshee mwenzio kidole Mungu atupe mwisho mwema
Gb 64 bangeeeeeeeeee punguza tulipanga tukupeleke mahakamani kwa kumtukana GSM na timu wanatumia Dawa, SASA TUMEKUSAMEHE kwa UKWE punguza maneno😂😂😂😂😂😂😂
Maelezo yanagongana mtoto yupo shule siku ujifungwa unachelewa kurudi nyumbani kipindi hicho hua mtoto hua anakuja nyumbani shule inakua imefingwa najua hutafuti kiki GB na kweli umefanana naye ila maelezo yananipa ukakasi ila sio sana
Kwasababu wewe ni mvutaji bange gwiji basi kila mtu umuonae usoni pako basi wafikiri ni mvuta bange kama wewe uliye landuka na bange , kuwa na heshima na watu
GB 64 m/MUNGU ATUKUZIE INSHAALLAH KWA NATAKA ZAKE AJE KUWA MTOTO MWEMA MUADILIFU MBELE YA JAMII NA USO WA DUNIA MOLA AMUEPUSHE NA HASAD ZA WALIMWENGU AKAMATE ELIMU YA DUNIA NA AKHERA KILA LA HERI KTK MALEZI MEMA
Daah Yani yanga nibora kuliko kizazichako ukifa yanga haikujui mwanao ataandaa mazishi yako atakuombea Dua mpaka sikuyake ya mwisho nakukumbusha jitambue
Simba na Yanga sio maadui, ila ni watani. Hilo inatakiwa tulizingatie. Ukiona mwanaSimba anachukia WanaYanga au mwanaYanga anachukia wanaSimba huyo hajui historia ya hizi team. Credit kwako Gb 64
Hongera g64 mm naamini mashabiki wa simba wanaujua mpira na wako feaaaa sanna yani yanga hawaja wahi kuonesha ishu kama hii ya g64 mungu awabariki nyote😅
Huyu ni mtoto wake wamefanana sana
Huyu Ni Binti yake Kweli Kajizaa kabisa Mashaalah.
Allah Barik
Ni vizuri nimependa kitu kama hicho
I love that interview,hii ni interview ya Mwaka Tanzania 🇨🇩🇺🇸Naipenda sana Kweli.
Safi sana binti. Hongera sana mwanangu big -up sana.
Wow masha Allah honger Gb mungu akukee❤❤🎉🎉🎉
Daah kumbe huyu mwamba ni mrembo Maana mtoto wake ni Pinii😂😂😂
Waouuuu namu eshimu kama baba very smart little Angel
Jamani huyu nimtoto wake wamefanana sana hongera sana shabikibwetu
Sio wake
Huyu kaona inshu ya madawa inataka imkalie vibaya naona ameanza kujipndkza😂😂😂😂😂
Kweli bhana
Kweli 😂😂😂😂
Ajawai kutaja timu yeyote kwahiyo ni mtazamo SEMA wengi wanaamini anaisema Yanga.
Watu wapuuzi Hivi nani asiejua Kua kwenye familia za kitanzania wapo watu wa simba na yanga ajabu nini sasa ajipendekeze kwa lipi , huyo boss wa yanga GSM mdogo wake salaam simba na ndugu zao kibao , huyo alikamwe na baba yake acheni Maneno yakishamba
GB kwanza hongera kwa kujaaliwa kizazi lakini kuzaa jambo 1 na malezi jambo jengine maelezo yako unafata sheria ya DINI jitasmin kivazi cha mwanao . Maisha ni mapito
Acha unafiki si ungeenda kwa waarabu wenzako...huko oman
Mmmmh inamaana hicho kivazi hakina heshima!!!dah kweli kuna watu hapa Duniani kazi yenu kukosoa kila kitu ila yote na yote usimuoneshee mwenzio kidole Mungu atupe mwisho mwema
Kumbee ukivaa jezi ya njano unakuwa umebomoka kiimaadili kumbe huyu mtu jamani
Ukute uliyeandika hivyo uko lodge na mke wa rafiki yako😮😮😂😂😂
Wanafanan na baba ake 😊
GB lkua nakuchukia lkn Walai nmeanza kukubali...nmeanza kukuelewa
Kumbe shule zimefungwa tayari! Ngoja niwapigie simu walimu wa mtoto wangu
GB sio Siri una mtoto mzuri ujitahidi kumutengenezea mazingira mazuri
Gb 64 unajitambua,mpira ni furaha siyo uwadui muache mtu & hisia zake
Kwanzia Leo mimi na GB64, nimarafiki😂.
Hahaha baba mkwe huyoooo
Gb 64 bangeeeeeeeeee punguza tulipanga tukupeleke mahakamani kwa kumtukana GSM na timu wanatumia Dawa, SASA TUMEKUSAMEHE kwa UKWE punguza maneno😂😂😂😂😂😂😂
Maelezo yanagongana mtoto yupo shule siku ujifungwa unachelewa kurudi nyumbani kipindi hicho hua mtoto hua anakuja nyumbani shule inakua imefingwa najua hutafuti kiki GB na kweli umefanana naye ila maelezo yananipa ukakasi ila sio sana
Yawezekana mtoto wa nyumbani mgongano wa maelezo kuna comedy hapo
mwanaweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,
Safi sana hongereni baba na mwana mpira siyo uadui.
❤❤❤❤❤❤❤mtoto mzuri 😂
Safii mtoto kamua kwenda kwenye vyura sawa sisi tunapenda simba
Kweli unafanana sana na binti yako. Hongera sana GB64
ukiwa mzuri kama huyo dada inabidi apewe vitu vizuri kutoka YANGAAAAA...!
Una mtt mkubwa kama huyo halafu unaleta Mambo ya kipumbavu kwell...! Acha ujinga baba mkwe jitambue tafadhali wakwezo tupo baba....!
Na uwo upumbavu ndoo unamfanya apate vidilidili
Upumbavu ndo unaomfanya atunze familia yake, vip wew ambaye si mpumbavu u hali gani huko
Hapa ndo kusema mwanamke akikupenda anakuzaa mara ya pili🎉🎉🎉🎉
Wamefafan saan mpk vitushimoshimo mashavuni😂😂
Asante mwanangu kuwa na msimamo wako huohuo
Kumbe kuna watu wana watoto wazur sana na hamsemi 😂😂😂
Baba mkwe bangi ila una katoto kazuri sana nataka nimpeleke ukinga Makete. 😂😅
Kwasababu wewe ni mvutaji bange gwiji basi kila mtu umuonae usoni pako basi wafikiri ni mvuta bange kama wewe uliye landuka na bange , kuwa na heshima na watu
Kasema anatafuta bastola 😂
@@jaffjeff6912 atafute tuu sisi tunamtaka binti yake
@@hagaisanga7286 🤣🤣🤣
GB 64 m/MUNGU ATUKUZIE INSHAALLAH KWA NATAKA ZAKE AJE KUWA MTOTO MWEMA MUADILIFU MBELE YA JAMII NA USO WA DUNIA MOLA AMUEPUSHE NA HASAD ZA WALIMWENGU AKAMATE ELIMU YA DUNIA NA AKHERA
KILA LA HERI KTK MALEZI MEMA
Nahuyo tutaowa wenyewe yanga sisi ndiyo wakwezwo yanga oyeeeeeeeee
Hongera sana GB 64 na bint yako
Mtoto akiwekwa make up huyu ni mzuri kuliko poshy lakini mbona Mwarabu au gb alipigwa changa la macho
Duuuh Diara anajitafuta kwa Camara 🙄 GB acha bangi na visungura
Mimi mtoto ana machaguo mawili
Kuwa shabiki wa Yanga au kuondoka kwangu 😂😂😂
Daah Yani yanga nibora kuliko kizazichako ukifa yanga haikujui mwanao ataandaa mazishi yako atakuombea Dua mpaka sikuyake ya mwisho nakukumbusha jitambue
Mjinga huyu mtoto na timu unachagua timu una akili wew
Yaani mtoto ana akili kuliko baba ake....soma mdogo angu yasije yakakukuta ya vyeti feki
Mtoto mtoto kweli daaa 🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤
🎉bundi anaweza kuzaa njiwa kumbe😆😆😆😆😆😆😆😆
😂😂😂😂😂 duh
Aanze baba kuja Yanga kama anaweza😅😅😅😅😅
Kwel eeh
Sisi yanga tukifungwa huwa hata maji hatunywi tunaumia😢
😂😂😂 mtoto wako mzuri gb 64 nazani hpo ulikuwa umerudi kutoka Durban Natali kwa Zulu una futa la kaburu ndio hilo limejibu saibonani
Mtoto ana Akili nyingi kuliko Baba😂😂😂
Bado munaishi mtaa wa Tabora,niulete mimahariii????😂😂😂😂😂
Mahari shilingi ngapi?
MTOTO MZURI AENDE School huyo
Jb kunaki2 natk kujifunzs naomba unitumie ni yako. Natk unifundishe k2
Sio yeye tuu mimi yanga lakini dogo anapenda simba siwezi kumzuia
Dahh dogo mashaallah
Naona Gb leo ana uso wa furaha sio kawaida. Ni mtoto wako kweli. Naona raha kati ya mzazi na binti yake halisi.
Ongera kaka kwakutimiza majukumu,vema
Simba na Yanga sio maadui, ila ni watani. Hilo inatakiwa tulizingatie. Ukiona mwanaSimba anachukia WanaYanga au mwanaYanga anachukia wanaSimba huyo hajui historia ya hizi team. Credit kwako Gb 64
Sasa ww GB64 unajifanya unaropoka ropoka sana sasa ngoja tumwambia semaji letu Ali kamwe aje atie mimba apo🫄
Oya GB naomba nije huko kwako Mzee.
Umeongelea point ktka dini safi ba mkwe ila muelimishe kuhusu kivazi
Nikm mm 2 nababaangu..Babaangu yanga damu...namm Simba damu..raha sana
Gb 64 nikupe sh ngap nichukue kifaa hicho maana mmmmh umejitahid kujipinda
Msenge wee umetuweza tungekutia ndani
Lenywwe bayaa afu binti yake mreeeeembo kweli kweli jamni doh
Kwanzia sasaivi Gb64 namuita baba mkwe😂
Ali kamwe ni mtu na nusu kwanza anastar na hekima anaongea kwa uuledi sio Ahmed Ally comedian
GB 64. AKA BAMKWE(BM) ...... HUYU JAMAA ANAPENDEZA KUITWA BM. yaani bamkwe
😂😂
Gb huyo mtoto wako. Ila punguza maneno machafu kwa yanga.
Mzee uwe mpole. Mtt anakuheshimisha.kuwa mpole.mfuate mtoto bado ana akili inachaji. Tunakuomba umfuate mtot
Duh kweli ujabambikiwa GB
Paula kidogo
Vipuwa vyao Vizur km Visheti
Kafanana na paula kajala
Usimnunulie jesi ya simulation huu after iyo iyo
Gb huyo mtt umesingiziwa sio wako hio shombeshombe huyo mtt kaitoa wapi acha ubwege ndomana akili huna
Huyo mtt rangi tu ndo katofautiana na babake , ila usimalize maneno hujamuona mamake wala bibi, babu , it's all about genetic
Ni wababa ako
Gb64 ahmed ally kazindua kispika na ally kamwe kaiga kispika
GB 64 kama hutojali nipe namba yako nikishauri kitu juu ya elimu ya buntu yetu , mimi ni Kaka yako kwa mbali sana
Hongera g64 mm naamini mashabiki wa simba wanaujua mpira na wako feaaaa sanna yani yanga hawaja wahi kuonesha ishu kama hii ya g64 mungu awabariki nyote😅
Kila mtu aonyeshe watoto wake 😂😂😂😂 ndo ujue ni shabiki
Kwa kujisifu basi mpo vizuri😂😂
😂😂😂kwahy unatak tuwaonyeshe watoto wetu ndo ujue sis ni mashabik
Kuma wewe uoni uyo binti anafanana na GB64
Wauni tutapiga tu mtoto Mzuri sula ya baba
Arry kamwe amegundua supu
😂😂
GB 64 unaenda kua mkwe wangu.
JB uwo ndio ushabiki nimependa uwotani
Kola kitu kina nafasi yake
Weee...utakua huolewi unapenda pendaa team za wazee amiaa Simba sports uko mshenzi weee
Kumbe gb64 unakili nyngi hvi
Sasa sio mtoto wake wewe wewe ndio mama hake
Mchome umeona?
Wamefanana maskio
We mpuuz kumbse unapis yakwenda kuanzia leo naanza kukuheshim mpuuz wewe maan sun unakua babamkwe
Mbona wanafanana lfu ngaliyq diampaoaaza
Hakuna namba ya simu.hapa ondoa mic yako hapa...😂😂😂
😅😅😅😅
Ali kamwe amegundua supu ya kibudu
GB 64 mmetixhaa kaka
Gb ni mkwe wangu kuanzia leo.
Football is love
Madimpozi kama ya baba
❤❤❤❤
Baba hamnazo kutwa kuropoka mitandaoni
Binti tumia akili yako
🙇♂️😋
Mzee Magoma na mwanae waige mfano huu.Mpira si ugomvi bali ni burudani.Kila mmoja aheshimiwe kwa starehe zake
Gb 64 uko vzuri
Simba yanga raha