Mganda.mp4

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 10. 2015
  • Ngoma ya asili ya wanyasa ikichezwa katika wilaya mpya ya nyasa mkoani ruvuma hapa TANZANIA

Komentáře • 29

  • @PaulinaLwena
    @PaulinaLwena Před 7 měsíci

    Msegwili ila milegezo jihalibisi uasili mugulekili🎉

  • @AMOSMHANGO-jm1cv
    @AMOSMHANGO-jm1cv Před rokem

    Remembering 1960s

  • @user-kn1fz5kn2r
    @user-kn1fz5kn2r Před rokem

    Nyumbanikwanza

  • @veronicahaule5032
    @veronicahaule5032 Před 6 lety

    wadada hongereni kwa kucheza vizuri kioda nimekumbuka nyumbani malini wakati nacheza safi sana asili yetu

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Před 7 lety +1

    Ngoma nzuri sana naipenda sana lakini MMEIHARIBU !!! KABSISAA !!! KWA !!! KUVAA!!! MILEGEZO

    • @donatuslupogo1239
      @donatuslupogo1239 Před 7 lety +1

      duh! ngoma nzur,nanakumbuka wakat nko mbinga nlikua napenda sana mganda,ila tatzo wamevaa kata k,

  • @yasintangonyani6304
    @yasintangonyani6304 Před 7 lety +2

    CHABWINA SANA KUYENDELEZA NGÓMA ZITU ZA ASILI

  • @mhinamalungumo7938
    @mhinamalungumo7938 Před 2 lety

    Nzuri

  • @franknoelly4447
    @franknoelly4447 Před 5 lety

    Nmemis sana homa jman

  • @stevenchimera5423
    @stevenchimera5423 Před 8 lety +1

    daaaa nmekumbka mbali sana

  • @gervaskomba9699
    @gervaskomba9699 Před 3 lety

    Duu! Izi nizakwetu navoona ivo nakumbuka mbli sn miaka ya 2008 nilikuwa lundumato uko wly mbinga kata yaukata aisee ongeren sn

  • @felicianmapunda2328
    @felicianmapunda2328 Před 7 lety +1

    kata k imeharibu kabisaaa

    • @marthajoe879
      @marthajoe879 Před 7 lety

      felician mapunda hata mi nimeshangaa ... kata K tena 😣

  • @barakalemu2623
    @barakalemu2623 Před 8 lety +1

    safi sana

  • @jacksonprotas9221
    @jacksonprotas9221 Před 7 lety

    asiye ijua si

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 Před 5 lety +1

    Mwenga kotoka tuu kunyamba jaki

  • @mercyjairos8694
    @mercyjairos8694 Před 4 lety

    Kwetu huko kabisa.

  • @donkabeho2375
    @donkabeho2375 Před 6 lety

    romani kwaya

  • @suzankumwera9190
    @suzankumwera9190 Před 7 lety

    iko pouwa sana ninyumbani kabisa

  • @kahimbaalphonce9564
    @kahimbaalphonce9564 Před 7 lety +1

    Huo sio mganda na wala sio wa mbinga Hiyo ngoma inaitwa Ling'oma inachezwa na wanyakyusa kyela na rungwe mbeya

    • @FDKDaima
      @FDKDaima  Před 7 lety +2

      Kahimba mimi nilieupload ni mnyasa na hiyo ngoma ndo tunayocheza kwetu na hilo jina ndio inavyoitwa hiyo ngoma labda useme mganda unafanana na ling'oma. Hiyo video nilirekodi nikiwa mbambabay wilayani nyasa.

    • @leonardmsumba2227
      @leonardmsumba2227 Před 5 lety

      Hi ngoma siyo ling'oma la Wanakyusa bali ni Mganda na mashindano haya ylifanyika kijiji cha Linda kata ya Chilosa (Mbamba-Bay) yapata miaka mitano iliyopita na waliorekodi ni Davis na Thomas Msumba. Hata hivyo ling'oma halichezwi hivyo usidanganye watazamaji.

    • @francismillinga4591
      @francismillinga4591 Před 4 lety

      Huyu kahimba alphonce nae mshamba ngoma ya mganda inachezwa na watu wote walio kwenye mwambao wa ziwa nyasa hakuna ngoma ya wanyakyusa wala nini hapo

    • @josephkinunda4211
      @josephkinunda4211 Před 4 lety

      Huu ndiyo mganda ninaoujua siyo yale mauchafu mengine.