Kahimba mimi nilieupload ni mnyasa na hiyo ngoma ndo tunayocheza kwetu na hilo jina ndio inavyoitwa hiyo ngoma labda useme mganda unafanana na ling'oma. Hiyo video nilirekodi nikiwa mbambabay wilayani nyasa.
Hi ngoma siyo ling'oma la Wanakyusa bali ni Mganda na mashindano haya ylifanyika kijiji cha Linda kata ya Chilosa (Mbamba-Bay) yapata miaka mitano iliyopita na waliorekodi ni Davis na Thomas Msumba. Hata hivyo ling'oma halichezwi hivyo usidanganye watazamaji.
Msegwili ila milegezo jihalibisi uasili mugulekili🎉
Remembering 1960s
Nyumbanikwanza
wadada hongereni kwa kucheza vizuri kioda nimekumbuka nyumbani malini wakati nacheza safi sana asili yetu
Ngoma nzuri sana naipenda sana lakini MMEIHARIBU !!! KABSISAA !!! KWA !!! KUVAA!!! MILEGEZO
duh! ngoma nzur,nanakumbuka wakat nko mbinga nlikua napenda sana mganda,ila tatzo wamevaa kata k,
CHABWINA SANA KUYENDELEZA NGÓMA ZITU ZA ASILI
Nzuri
Nmemis sana homa jman
daaaa nmekumbka mbali sana
Duu! Izi nizakwetu navoona ivo nakumbuka mbli sn miaka ya 2008 nilikuwa lundumato uko wly mbinga kata yaukata aisee ongeren sn
kata k imeharibu kabisaaa
felician mapunda hata mi nimeshangaa ... kata K tena 😣
safi sana
asiye ijua si
Mwenga kotoka tuu kunyamba jaki
Kwetu huko kabisa.
romani kwaya
iko pouwa sana ninyumbani kabisa
Huo sio mganda na wala sio wa mbinga Hiyo ngoma inaitwa Ling'oma inachezwa na wanyakyusa kyela na rungwe mbeya
Kahimba mimi nilieupload ni mnyasa na hiyo ngoma ndo tunayocheza kwetu na hilo jina ndio inavyoitwa hiyo ngoma labda useme mganda unafanana na ling'oma. Hiyo video nilirekodi nikiwa mbambabay wilayani nyasa.
Hi ngoma siyo ling'oma la Wanakyusa bali ni Mganda na mashindano haya ylifanyika kijiji cha Linda kata ya Chilosa (Mbamba-Bay) yapata miaka mitano iliyopita na waliorekodi ni Davis na Thomas Msumba. Hata hivyo ling'oma halichezwi hivyo usidanganye watazamaji.
Huyu kahimba alphonce nae mshamba ngoma ya mganda inachezwa na watu wote walio kwenye mwambao wa ziwa nyasa hakuna ngoma ya wanyakyusa wala nini hapo
Huu ndiyo mganda ninaoujua siyo yale mauchafu mengine.