Fundisho nililopata , asiyekupenda hata umfanyie kitu gani kizuri nachakumfurahisha katu hawezi kukupenda na wala sio kosa, hatuombi kupendwa, kupendwa ni hisia. Jambo la pili, usimpende mtu kwa kumuonea huruma, kamwe huruma haizai upendo bali UPendo ndio huzaa huruma 🎉🎉 Thank you Benroyal 🙏
Hongeren sana mukitaka kutowa filamu mtowe filamu ya ngumi mimi huwanga napenda mapambano ya bony kama movie ya sisi hiyo filamu nili ipenda sana naomba mtowe nyingine kama hiyo sisi
Amani mbona tunaidubilia hakuna vipy Kila movie kutuachia njiani Mnazingua sana ebu jitahidi kumakizia movie,,,,,kutuajia njiani tunakuwa nikama nichezo ya paka na panya Fanya kweli wasela pana.
Kaka peter umetisha ila haujaambulia chochot 😢 but kigongo kipo vizur na story pw san paula very talented girl nakubar tokea morogor home boy from ituha ilomba lyoto mapelel makunguru isanga mam john iyunga iwambi
Napenda kazi zangu
The very first to receive this, I ask for my likes
Sema kaka unatuzingua sana mbona Aman aiendelei
Tatizo lenu nyie ni kuchelewa, yaani mkitowa iyo moja basi, Ila sio tatizo nyia ni famillia tu❤❤
Kazi nzuri sana
Like zenu wa pili mimi nawakubali sana wanangu wa Ben royal big up sana tupo pamoja from dodoma
Fundisho nililopata , asiyekupenda hata umfanyie kitu gani kizuri nachakumfurahisha katu hawezi kukupenda na wala sio kosa, hatuombi kupendwa, kupendwa ni hisia.
Jambo la pili, usimpende mtu kwa kumuonea huruma, kamwe huruma haizai upendo bali UPendo ndio huzaa huruma 🎉🎉
Thank you Benroyal 🙏
Asante sana karibu sana
Hongeren sana mukitaka kutowa filamu mtowe filamu ya ngumi mimi huwanga napenda mapambano ya bony kama movie ya sisi hiyo filamu nili ipenda sana naomba mtowe nyingine kama hiyo sisi
Paula umeua sana humu I like it...🙌🙌🙌🙌
Wow congratulations 👏 sana yani mmecheza kama nyinyi yani iyo ni poa❤❤❤❤❤
This needs part 2❤🔥 nilitaka kuona what maxi will do next 😂
Nilikuwa nawamiss sana Wana benroy mbeya nice one Paula ❤
😂😂😂jaman paula amevuta bangi au vip😂😂😂😂
Kazi yenu nzuri sana ila nimechoka na kungoja
Bon naomba niachie mona mahana nampenda sana usposikia nitakutafuta nkuvunje mikono
Paula super actress keep it up,
Kazi nzuri ndugu zangu wa green cty, mnatishaaa 🔥
Movie nzuri sana hongera sana
Kama kuna kipengele kizuri kwenye hii movie ni kipengele cha paula kujisifia😂😂😂😂😂
Nipeni like zangu .ila nataka niwaombe kidogo mtuzidishie kwa filamu nyingine sauti asanteni sana❤❤❤❤
Duuuh kitambo sana . Miss u lot
Ila mumekawia fan mkubwa kutoka Kenya napenda KAZI yenu🇰🇪🇰🇪
This is love From Mozambique 🇲🇿❤💞
Paula uko poa San pia mrembo San ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Waoooo❤❤❤Cinéma Ninzuli sana Mutuleteye Part2
Msichoke jamani kutoa maukali tupo pamoja👏👏👏
Nakupenda ❤
Love therapy
Hahaahaahahahaaanhahaaaa hii movie 😂😂😂😂😂😂 nicheke Tena Paula ngoja nirudie tena kucheka 😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
New cast member ni fire 🔥 huyo Jasmine Nina zawadi yake
Sanaa zao zina hisia na kuendana na wakat alu zina utamadun wakitanzania ,lkn robat mm nmpenda dda paula wala co maigizo nkwel 😂😂😂😂😂😂😂
Kalipiga la akinajaivahaa😅 😅😅😅😅😅😂😂😂huyu paul
Kazi nzuri nawapenda sana mno ❤❤❤
Jamani benroy mmempa nini paula wangu mbona sjamzoea hivi 🌺 🌺 🌺 🌺 robat a.k.a boni 🍖 🍖 mwanangu wa faida leteni mzigo kama jungwa tubebe tuzo 💣 💣 🥂 🥂
❤❤😂 wow hapa sasa mmeniweza vitu viangu sending hugs and love from 254
Ninawakubali sanaa❤
atleast leo munetukumbuka❤❤
Jmn mbon ngumi mmetuonjesha tu kipande kdgo,aisee kwenye ngum zenu mim nme be adicted
Paula bwana Eti tayari ashajua amependwa 😂😂 mapema tu
Jamani mm ni mengi naomba like zenu
Show love from Kenya 🇰🇪
Kazi nzuri sana💪💪💪
T-shirt...ndio inayonimaliza ..fun wangu wa Liverpool...nafurahia...nikiwa Kenya... Nairobi
Hongereni sana Kwa movie nzuri yenye kuelimisha jamii
Nawapenda sana Kazi nzuri sana
Mi kwanzia leo ni royofamily atakama awanitaki nitajipendekeza
Maana akun uby kujipndekeza kwa tajili😢😢😢
Benroyal nawaombea mufike mbali sana❤nawapenda nawapenda nawapenda sana❤
Hongereni sana ila paula😅😅nkupenda bure
Mm niwamia 387 naomba liki
dah! nilikuwa nimemiss kweli movie zenu 😢
Paula ametisha mno
Kazi nzuri nimeipenda
Ila paula hahahahahahaha ni balaa tupu
Tunataka muvie 🎬 ya action sasaaa
Nakubali sana vitu makali kama haya
Hongera sanaaaaaaa
Asante sana
This needs part 2 ❤🔥 nilitaka kuona what maxi will do next😂
Mnachelewa sana kutowa sinema
Nawakubal sana❤❤❤
Aisee huyo mzee mwenye sharti jeupe kacheza vizuri kwenye nafasi yake natami kumuoma tena kwenye muvi nyingine mtakayo towa
Oya majita mmeua ase
Kaka Peter tunataka za action buwana😂
kaka kwenye ii muvi umetisha lakini paula anazingua sana mpe makavu yake mimi nimemaindi kweli😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Paula ongera zako umetisha
Nakubl sn
Paula umetisha
❤❤ NaangalIa Nitalud kucoment
Msomi ananunua nyumba
Sign anaweka kwenye daftar😂😂😂😂😂
Amani mbona tunaidubilia hakuna vipy Kila movie kutuachia njiani Mnazingua sana ebu jitahidi kumakizia movie,,,,,kutuajia njiani tunakuwa nikama nichezo ya paka na panya Fanya kweli wasela pana.
🎉 maua yenu brother bon ft paul
Mr Boom was here
Watching at 11:18am nipewe like yangu jamani❤
Wa nne...nipeni mauwa yangu🎉
Fantastic....!! Nice performance,good story well ended
Thank you bro
Nzuri sana naomba like zenu
Kaka peter umetisha ila haujaambulia chochot 😢 but kigongo kipo vizur na story pw san paula very talented girl nakubar tokea morogor home boy from ituha ilomba lyoto mapelel makunguru isanga mam john iyunga iwambi
I want film in English because I don't know lugh ya kiswahili!!
😄😄😄
Good guys
Robat kachoka kukutana na king'ang'a😅😅😅
Aka kamax kajinga
Sema jamaa unapenda kuigiza na huyu bint n wapenzi nn??? Ahahahaaaa sema mmetisha kinoma 🎉🎉
Napenda kazi zenu siku sote🇰🇪
Peter mwasomola hajawahi kuniangusha
Naezaje kuwa mmoja wenu?
Mnajua
🎉🎉🎉🎉
Imesimama Sana
Ujawa ni angusha blodd
HII SCEENE YA PAULA ANAMUULIZA BBAAEKE YEYE ANAUBAYA GAN MPKA MAX HAJAMPENDA KIMENILIZA KABSA NA UANAUME WANGU WOTE😢😢😢😢😢😢
brother ben unawaza sana heshima kwako
Ben, Tuletee Action Movie tuishi naLo....
Next project ni mangumi tu
Movie nzuri sana hamujawai kutuangusha,lakini kuna kitu hakiko Sawa,hapo kwa sijui NI mixing na sauti ndio kidogo turekebishieni tafadhali
Robert amerisha Sanaa kaka unaiweza
Paula buana 😂😂😂😂😂
Kwani paula mmelisha/ kumvutisha nini kwenye hii filamu🤣🤣🤣
Mkovizuli zinazofata zipandisheni sauti kidogo
Thank you guys nawapenda sana
Mumbe paul anajua kucharuka 😂😂😂 ametisha sanaa
Nakupenda ❤
Ngoja nimalze kwnz ili nijue ni nn knaendelea
Dah naikubali