NYUMBANI KWA MBOWE MACHAME,MTOTO WAKE AWA WAKILI "TUNASHUKURU MUNGU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024

Komentáře • 83

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 Před 7 měsíci +30

    Mbowe amesumbuliwa Sana na serikali akaamua kusomesha mtoto wake awe wakili tena wa mahakama ya juu kabisa salute kwa mbowe

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 Před 7 měsíci

      Kama anasumbuliwa na serikali hio kazi ya mahakama kuu ya serikali kaipataje?

    • @elirehemaringo188
      @elirehemaringo188 Před 7 měsíci

      ​@@letthedeadburythedead2148 kwahyo hajasumbuliwa na serikali sio? vila hadi waishe hii tz tushakufa wote

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před 7 měsíci

      ​@@elirehemaringo188sema alisumbuliwa n magu siyo serikali😅😅😅

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 7 měsíci

      Kuna vitu vingine haina hata haja ya kujibu ni kuwapuuza tu watu wa aina hii, labda serikali ni ya chadema sasa ndio wameshika dola na sio CCM ndio maana ameweza kupata kazi serikalini. Na hata akiwepo mahakama kuu je hakimu ni yeye tu au? Hivi kura za ndio zikiwa 99 hiyo moja itafanya kazi? Tujaribu kuchukulia vitu positive sana kuliko negativity​@@letthedeadburythedead2148

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Před 7 měsíci +13

    Hongereni sana James Mbowe na huyo mdogo wako Mhe kwa kuwa Wakili na kuajiriwa Mahakama Kuu ya Tanzania. Ukoo wa Mbowe nawapenda wote Mbarikiwe sana

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 Před 7 měsíci

      Je wanakupenda na wewe?

    • @zakariasengo8930
      @zakariasengo8930 Před 7 měsíci

      ​@@letthedeadburythedead2148😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nilijua tu lazima udis

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 Před 7 měsíci

      ​@letthedeadburythedead2148 Je, wote wasemao wanampenda fulani au kiongozi fulani huko kwenu CCM, mathalani... msemapo nampenda Samia Majaliwa , Makonda, Chongolo.....au yeyote yule...hawa wote huwa mna uhakika wanawapendeni pia?Huko si ndo kuna uchawa zaidi? Duuuh!
      Swali gani hilo ewe ndugu yangu wa CCM? Hivi, CCM mko kudhibiti hata hisia za watu? "What a country and a shame!"

  • @amaninyekele5002
    @amaninyekele5002 Před 7 měsíci +5

    Hongera James Mbowe kwa kuzungumza vyema sana!

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 Před 7 měsíci +17

    Kama unaamini Halima bado Ni chadema gonga like hapa.

  • @GodsonLaizer-fx8by
    @GodsonLaizer-fx8by Před 7 měsíci +1

    Hongera sana dada na Mdogo wetu nicoel kwa sio tu kuwa wakili Ila Wewe ni mpambanaji

    • @Bulayampuya
      @Bulayampuya Před 6 měsíci

      Umepata tunu hiyo ya kuwa wakili wa serikali Tena mahaka kuu nenda ukatende haki kwa Kila mmoja na c vinginevyo epuka roho ya rushwa Kwan rushes ni adui mkubwa wa haki MUNGU akuongeze katikat kazi Yako hongera sana na kutakia utekelezaji mwema wa majukum Yako barikiwa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 7 měsíci

    Hongera sana Mbowe Lissu na Lema ni wasaliti watz Mimi ninamuamini Mbowe na siyo hao wahuni In God I trust🎉

  • @ip_header
    @ip_header Před 7 měsíci +5

    Kwenye majukwaa wakina Mdee sio wabunge lkn behind the scenes yupo karibu na mwenyekiti, kweli siasa za bongo Nyosso

    • @chrismtitu799
      @chrismtitu799 Před 7 měsíci +3

      Siasa siyo vita.Siasa ni maono,kutofautiana ktk fikra,mtazamo na mawazo kwa lengo moja tu la kujenga Taifa.

    • @ip_header
      @ip_header Před 7 měsíci

      @@chrismtitu799 kwahiyo siasa inaruhusu double standards?

    • @chrismtitu799
      @chrismtitu799 Před 7 měsíci

      No one who is perfect is world.Ar u remember Yuda mkasirioth ambay alikuwa miongon wa wanafunz 12 wa Jesus Christ??

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 Před 7 měsíci

      Wale wabunge wa Chadema viti maalumu waliofukuzwa Uanachama Chadema walipeleka kesi mahakamani na walishinda. Kwa hiyo ni wanachadema halali kabisa

  • @rumanyikachange
    @rumanyikachange Před 7 měsíci +3

    Nimependa unyenyekevu wako 🙏🙏🙏

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 7 měsíci +9

    Huyu kijana kafata Nyayo za Babake kabisaa anaongea kwa kujiamini na yuko makini kwenye kujibu maswali na kuelezea mambo🎉🎉🎉

  • @davidnyaonge2035
    @davidnyaonge2035 Před 7 měsíci +5

    Sauti ya Chairman kabisa

  • @lullebolle808
    @lullebolle808 Před 7 měsíci +3

    Weldone

  • @PierreNangi
    @PierreNangi Před 7 měsíci +1

    Sound is Distorted....What Lavaliers are you using?

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi Před 7 měsíci +1

    Barikiwa sana

  • @cineplus-tv255
    @cineplus-tv255 Před 7 měsíci +4

    sauti ya mzee freeman

  • @fabby1181
    @fabby1181 Před 7 měsíci

    Uko vzr sana ndg.

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Před 7 měsíci +2

    Hapo mbowe,anahamia ccm Niko paleeeeee.

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Před 7 měsíci

    Well dane

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 7 měsíci

    Hiyo inayojengwa ni madhabahu ambayo huyo maskini anatakiwa aingie hapo amwimbe Mungu amwondolee umaskini
    Hivyo huyo anayesema kanisa linachangiwa milioni 800 wakati nje ya ukuta wa kanisa kuna maskini.
    Maskini watakuwepo wala huwezi kuwamaliza. Ila umaskini unaondoka kama ukimlilia Mungu aliyehai

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi Před 7 měsíci +2

    acheni.majungu.kila mtu.apambane na hali.yake

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i Před 7 měsíci +3

    Bonge la nyumba

  • @user-pj4qm5yj6d
    @user-pj4qm5yj6d Před 7 měsíci +2

    Wakili sio Mheshimiwa😢😢

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 7 měsíci +3

    Hi nchi bwana makanisa yana changiwa milion 800 akati nje ya ukuta wa kanisa kuna masikini wana lala njaa wengine skukuu wame shindwa nunua mchele elfb4😢

  • @user-qh2bx5em6j
    @user-qh2bx5em6j Před 6 měsíci

    James akili kubwa

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 7 měsíci +2

    namsikia mboe kabisa

  • @Joshua-oe9pd
    @Joshua-oe9pd Před 7 měsíci

    Kumbukeni watu kibaoo wamekufaa kwajili ya hii chadema kumbe ni kt kimoja na ccm 😂

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 7 měsíci

    Binafsi siwapendi kovid hata kuwaona sas wameiba Kodi ya watanzania miaka yote hiyo eti saa hizi kinajipendekeza kwa mbowe

  • @neemamanga9179
    @neemamanga9179 Před 7 měsíci

    sasa nyie andamaneni mkidai katiba mpya wakati iliyopo imemfikisha Mwenyekiti wenu hapo😂

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Před 7 měsíci +1

    Kwani kuna shida gani! Mbona iliwahi kuhamia Chato?

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi Před 7 měsíci

    Jambo la maana hlo kabisa ushind uko
    Palepale

  • @user-ue5vf9cy7o
    @user-ue5vf9cy7o Před 7 měsíci

    Najivunia chadema yangu

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 7 měsíci +1

    Mtasubili sana

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Před 7 měsíci

    Wachaga hawamuachag mtu salama

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 Před 7 měsíci

    Ili iweje?

  • @maase2023
    @maase2023 Před 7 měsíci +2

    Mbowe mwanao kuwa wakili sisi tufanyeje? Au ana umuhimu upi kwa media kututangazia? Oooopppsssss

  • @jacqueli18
    @jacqueli18 Před 7 měsíci

    Wakili tayari bado vurugu

  • @binseif2216
    @binseif2216 Před 7 měsíci

    Ma chadema ya napigwa yanateseka siku yauchaguzi hao wanaowatetea wanaenda ughaibuni,angalieni kwanza hilo jengo balaa

  • @rckkajuna2144
    @rckkajuna2144 Před 7 měsíci +2

    Watu wanapesa jmn

    • @neemamanga9179
      @neemamanga9179 Před 7 měsíci

      tafuta mdogo wangu zipo utazipata kikubwa weka Mungu mbele nyenyekea utakwezwa

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 Před 7 měsíci

    Huyu ndiyo mrisi wa mwenyekiti akuna ubishi kama utaki hama chadema

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 Před 7 měsíci

    Nyinyi wanacjama wa chadema hangalieni kiongozi went hanavyoishi vizuri make mkujua mnapoteza wakati went chadema ni ya wachaga😢

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před 7 měsíci +3

      Ulitaka aisha kama wewe unavyoishi? Acha makasiriko kale mihogo yako ulale

    • @salomeshongola1697
      @salomeshongola1697 Před 7 měsíci +2

      Hivi we mbulula unasemaje,eti tuangalie mjengo wa mbowe.utajiri wa mbowe ulimkuta kabla hajazaliwa.wee kaa unawaza mjengo .

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 Před 7 měsíci +1

      Kwani amejenga kwa fedha za chama, acha wivu nenda kafanye kazi ujenge ya kwako.

    • @MaaneML
      @MaaneML Před 7 měsíci +3

      Shame on you. Familia ya Mbowe ni bilionea toka awali. Wana majumba mpaka Uingereza wanakula Kodi za paundi. Ni vile wanajishusha Sana. Hao ndiyo wachagga mkiambiwa ni mabilionea basi mkae kimya. Magu mwenyewe pale alileta fitina kwa wachagga mpaka anaozea kaburini lakini wachagga hawakutetereka. Taifa la Mungu hilo kama Israel ukiligusa umekwisha. Sema jingine.

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 Před 7 měsíci

    Wakili kashapatikana kilichobaki ni chama pinzanj kishinde kiti Cha uraisi Ikulu ihamishiwe Moshi au Arusha

    • @simasima8084
      @simasima8084 Před 7 měsíci

      Kumekuchaaaa😂😂

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Před 7 měsíci

      @@simasima8084 Hio haipingiki ngoja siku wajichanganye Chama pinzanj kishinde kiti Cha Uraisi ndio utaamin

    • @binseif2216
      @binseif2216 Před 7 měsíci +1

      Kaeni mpige domo wakat kina mboe wapo kimaslahi kwanza hilo jumba tu balaa wakat ww unahangaikia mlo wa siku

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Před 7 měsíci +1

      @@binseif2216 Makasiriko ya nini Ndugu anayehangaika na mlo wa siku ni wewe na familia yako huko Kaskazini watu tunakula faida Lol tafta pesa usikurupukie comment isiyokuhusu jombaa

    • @binseif2216
      @binseif2216 Před 7 měsíci

      @@jrsaid4270 Nyie mkishika nchi mtajiweka makabila yenu ya uchagani kila sekta wasukuma,na makabila mengnie watabaguliwa sana nyie wabaguzi