UNABII WAFICHUA YOTE YATAKAYOJIRI TAIFA LA KENYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • MAELEZO YAKUFIKA KANISANI:
    Fika katika kituo cha Mbezi mwisho, kisha shuka kwenye kituo cha chini hili uweze kuchukua magari au bajaji zinazoelekea malamba mawili, panda gari au bajaji zinazoelekea malamba mawili. Hapo utamwambia konda au dereva akushushe kituo cha Osama. Ukifika kituo cha Osama ,fuata vibao hili uweze kufika kanisani.
    RATIBA ZA IBADA:
    Jumanne: Kumuona Nabii kwa mtu mmoja mmoja .Kwanzia saa nne asubuhi mpaka saa kumi jioni
    Alhamisi: Ibada ya maombii na maombezi kwanzia saa kumi jioni mpaka saa mbili usiku
    Jumapili: Ibada kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa kumi jioni.
    Follow us on social media
    Instagram: / prophetvincent_
    Facebook: / prophetvincen
    #kenya #kenyanews #unabii #matukioonlinetv #kenyadigitalnews #ruto

Komentáře • 1