UFM RADIO 107.3

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #ufmradio #ufmhabari #ufmburudani #ufmburudanizaidi

Komentáře • 71

  • @MboyoYusuph-xd1od
    @MboyoYusuph-xd1od Před rokem

    Nawaona msalime salama sana mwambie na mpenda naitwa yusuph nipo makabe

  • @TwalhaJuma-m4m
    @TwalhaJuma-m4m Před 5 dny

    Nimefurai kuwaona uchambuzi wenu nimeupenda naitwA faraji juma kutoka kigoma nipo nawasikiliza

  • @hussenmissembe7584
    @hussenmissembe7584 Před 2 měsíci +1

    Toka mwananyamala kisiwani,kina kawambwa nauliza vipi kuhusu BLUNO GOMEZ taarifa zake katimkia wapi. Kwa yanga pia naomba waongeze mlinzi wa kushoto ni muhimu sanaa

  • @CareenTemba
    @CareenTemba Před 2 měsíci

    Nimeipenda semaji la fountain gate kutwambia ukweli wa Yusuf kagoma

  • @abdillahsufianbarout-ve2ed
    @abdillahsufianbarout-ve2ed Před 2 měsíci

    kutoka manzese hongera sana mwamnyeto na kibabage daima mbele ???

  • @jordantwarindwa5399
    @jordantwarindwa5399 Před 2 měsíci

    MWALIMU; JORDAN GADI TWARINDWA WA DAR ES SALAAM, TABATA KIMANGA NASEMA; HONGERA SANA MHE; RAIS; DKT; MAMA SAMIA SULUHU HASSAN, HAKIKA UTUMISHI WAKO UMETUKUKA

  • @SofiaAbasi
    @SofiaAbasi Před 11 měsíci

    habali kawambwa Leo nimeamuwa kununuwa simati kwaajili yako ndugu yangu nisome kama seneta ikwabe kutoka musoma

  • @user-tw5fw1zi1l
    @user-tw5fw1zi1l Před rokem

    naiyombea timu yangu ya simba ligi ikianza wafanye vzr

  • @VictoriaMwambinga
    @VictoriaMwambinga Před 2 dny

    Mimi naitwa Robert paulo napatikanakeko machungwa kwachamupingo ngengeni azm watafukuzamuno makocha kwajiri yasimba umbayaubwela nipo ngengeni najaribu kuwapimia nyanya

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Před 8 měsíci

    Job well done Kwa Hawa watu,HERSI,GSM na vice pres,keep going guys,Yanga bingwa

  • @SeifAbdallah-nc2ly
    @SeifAbdallah-nc2ly Před 3 měsíci

    Seif Abdallah toka Old Shinyanga nawapata kwa uzuri kabisa ,mie na Ufm kama samaki na maji ,pamoja sana S,Ngale

  • @RinoMajembe
    @RinoMajembe Před 27 dny

    Naitwa majembe pande za kimara napenda kuuliza iv bruno gomes yupo wap

  • @AllenJackson-vw3kg
    @AllenJackson-vw3kg Před 10 měsíci

    Mm mama hinges Sana ihef

  • @ShaibuNammalula
    @ShaibuNammalula Před rokem

    Jamni wao nawaona leive kumbe mnakaa hvyo nilizani mnachambua uku mmesimam

  • @PhillipoMemba
    @PhillipoMemba Před 5 měsíci

    Wa dsm naitakia mashujaa ushindi

  • @MageEnjewile01
    @MageEnjewile01 Před 13 dny

    Omari katanga naomba kuulisa kaka angu katanga eti ukiwa na kiswaswadu ukituma xmx wanga haziwafikii hapo kaka eti ni kweli nisome kama seneta ikwabe nikwa mbagala kipati na musalimiya mdogo wangu frenk akiwa mbande mwambeye anakusalimiya kaka yako seneta ikwabe kihine tarime moja kalibuni tarime katanga kaka kalibu sana

  • @user-cq1wc9df3y
    @user-cq1wc9df3y Před 8 měsíci

    Kaka unajua nikwanini wananiita kichomi cha moyo nikikubana hutembei yanga tunashusha kifaa cha ........... Mtakuja kuniambia

  • @MustyKinoge
    @MustyKinoge Před 4 měsíci

    Jack umeme nimmoja tu toka gorani kimala,nawatakia watani ushindi kwa leo

  • @user-cq1wc9df3y
    @user-cq1wc9df3y Před 8 měsíci

    Kaka unajua nikwanini wananiita kichomi cha moyo nikikubana hutembei yanga tunashusha kifaa cha ........... Mtakuja kuniambia nimekaa pale nagojea majibu......

  • @RashidNamkungu-uo4yu
    @RashidNamkungu-uo4yu Před měsícem

    Hivi misri na Tanzania wapi kwenye hospital Bora Kwa wachezaji kupima afya ?

  • @user-dc9zl2ky4j
    @user-dc9zl2ky4j Před 11 měsíci

    Nikisikia sauti ya mwanyanya najisikia furaha msr Rama usi

  • @lukandaomary6439
    @lukandaomary6439 Před 4 měsíci

    Nawapata mubashara nikiwa Kibaha kwamfipa. Naitwa lukanda omary lukanda Rais wa Kibaha

  • @VicentMgawe
    @VicentMgawe Před 4 měsíci

    Hamidu AHamadi Kutokea Kigoma: Mashujaa Iwe Mvua I we jua kesho point3 Nimuhimu Kwetu mbele Ya KMC

  • @KehadBaitan-r8v
    @KehadBaitan-r8v Před měsícem

    Kwa mara yakwanza nawaona mbashara.

  • @user-gn6el8jf6l
    @user-gn6el8jf6l Před 2 měsíci

    MnatarJia kusajili wachezaji wangapi WA kigeni?

  • @CharlesLechipya
    @CharlesLechipya Před 3 měsíci

    Pamoja mpaka mwisho

  • @KehadBaitan-r8v
    @KehadBaitan-r8v Před měsícem

    Naitwa kehadi baitani natokea mwandege nipo hapa nawasikiliza kwa mara yakwanza namuona msa kawabwa kwavizur sana fm mnaturahisha sana ikifika muda kama huu mi ni mshabiki wa simba kindakiki tukutane tarehe8 nd watajua kama sisi simba tuna timu mbovu wajiandae vizur wasije kufa na plesha.

  • @martinemmanuel4931
    @martinemmanuel4931 Před 4 měsíci

    Huyo mchezAji ni salum telela

  • @JamalJamal-gw7rb
    @JamalJamal-gw7rb Před 4 měsíci

    Singano alikuwa na kesi na mazembe mara mwisho alipelekwa nkane ya zambia

  • @komboiddi7530
    @komboiddi7530 Před 8 měsíci

    Kwani huyu chama kila ikifika wakati wa usajili anakuwa msumbufu au anatumwa na Alliy Kamwe 😮😮

  • @godfreygodwin7510
    @godfreygodwin7510 Před 23 dny

    VALENTINO MASHAKA NA YUSUPH KAGOMA WALIJUMUISHWA KWENYE MCHEZO WA MSHINDI WA TATU NGAO YA JAMII.HIVYO BASI SUALA LAO LIMEKUA SOLVED

  • @SayydManyunyu-no1iu
    @SayydManyunyu-no1iu Před 10 měsíci

    kutoka buza kanisani. nikiwa na ngosha boy tukiwa buza apa tunatafakar gor 5 tulizopigwa na yanga

  • @user-pd7zo4hi4c
    @user-pd7zo4hi4c Před 9 měsíci

    jaman naomba mnisaidie kitu hapa nipo moshi mengwe lakin nahitaji kuwasikiliza kwene ledio jaman channel ni ngapi huku?????

  • @TeddyTita-gl4fr
    @TeddyTita-gl4fr Před 5 měsíci

    Naomba mnisaidie tiketi za simba mauzo yake yamefika asilimia ngapi?

  • @RamadhanHassan-zx4pm
    @RamadhanHassan-zx4pm Před 6 měsíci

    Nisome kama Ramadhan / Kutoka kimara temboni Kaka kawabwa kiukweli wewe ni kolo mtupu😂😂

  • @SofiaAbasi
    @SofiaAbasi Před 11 měsíci

    lakini kawambwa mbona mm natumaga sms lakini cckii zikisomwa ndugu yangu nisome kama seneta ikwabe nipo kipati kalibu na sheli

  • @GeraldJonansi
    @GeraldJonansi Před 6 měsíci

    Yani naomba yanga tupewe mamelodi ili tuwa zibue

  • @IbrahimIsmailyMachela
    @IbrahimIsmailyMachela Před 7 měsíci

    Naitakia stars leo ushindi pia nafunga kutwa mzima kwaajir ya timu yangu ya stars nisome kama juma ngaponga nipo mwalusembe

  • @clintonpatrick1153
    @clintonpatrick1153 Před 5 měsíci

    Simba- 10%
    Yanga- 20% kufuzu hatua inayofuata. Na hizo asilimia ni za Uzalendo tu lakini sioni nafasi.UNDONGA BOY NIPO FERRY KIGAMBONI

  • @PetroCharles-kc8ih
    @PetroCharles-kc8ih Před 8 měsíci

    Nikiwa Dodoma salama ngale anajua kitu kuhusu chama atwambieeeee

  • @Captain_drawing3D
    @Captain_drawing3D Před 10 dny

    Simba ubaya ubwela

  • @SofiaAbasi
    @SofiaAbasi Před 11 měsíci

    kawambwa nisome kama seneta ikwabe kutoka musoma talime namusalimia ndogo wanga munyasa ikiwa kongowe Kwa Simba hii inatuumiza San

  • @RamadhanHassan-zx4pm
    @RamadhanHassan-zx4pm Před 6 měsíci

    Kaka kawabwa vipi kuhusu Dube Gadafi naskia karudisha kila kitu alichopewa na timu ya Azam hadi picha alizovaa na jens ya Azam Kazifuta kwenye mitandao yake ya kijamii hivi nikweli?

  • @JoanBoyce-e9b
    @JoanBoyce-e9b Před dnem

    Deontae Courts

  • @ElifasiLukasi
    @ElifasiLukasi Před měsícem

    Vpi dili la kibu denisi limefikia wap?

  • @gigylove4409
    @gigylove4409 Před rokem

    Ommy Leo asubuhi Simba sctz imemkanda Ngome fc 6:0

  • @TeddyTita-gl4fr
    @TeddyTita-gl4fr Před 5 měsíci

    Tiketi za simba zimeshaisha zote?

  • @StephenBlair-n7k
    @StephenBlair-n7k Před 3 dny

    Robinson Jennifer Hernandez Laura Lopez Patricia

  • @JeffreyWilson-k8m
    @JeffreyWilson-k8m Před 2 dny

    Corwin Crest

  • @user-cq1wc9df3y
    @user-cq1wc9df3y Před 8 měsíci

    Kaka 5G naziona tena tabora

  • @FirstBloodMerch
    @FirstBloodMerch Před dnem

    Jones Barbara Gonzalez Jennifer Williams Brenda

  • @PaschalLucasShija
    @PaschalLucasShija Před 7 měsíci

    Nisome kama Paschal nipo bunonga shy,,tz nawatakia Nigeria ushindi

  • @user-wz1hi7zo3d
    @user-wz1hi7zo3d Před 9 měsíci

    Simba ni simba tu atatukifungwa mogol meng il tusikate tamaa kishabikia simba

  • @GreySam-z2p
    @GreySam-z2p Před dnem

    Jovan Fork

  • @PaulHernandez-d8i
    @PaulHernandez-d8i Před 5 dny

    Hernandez Brenda Hernandez Shirley Miller Nancy

  • @SaidMohd-mf5iq
    @SaidMohd-mf5iq Před rokem

    Mechi yaleo nna hamu tumpate mayele

  • @OrlandoDana
    @OrlandoDana Před dnem

    1348 Onie Cove

  • @namykary4068
    @namykary4068 Před 7 měsíci

    Sauti ipo juu sana

  • @sijalishomary-xf6yo
    @sijalishomary-xf6yo Před 8 měsíci

    W

  • @JamalJamal-gw7rb
    @JamalJamal-gw7rb Před 4 měsíci

    Jamal

  • @CareenTemba
    @CareenTemba Před 3 měsíci

    Mechi ya Simba queen haitangazwi

  • @sijalishomary-xf6yo
    @sijalishomary-xf6yo Před 8 měsíci

    T

  • @JeffreyGarcia-l3w
    @JeffreyGarcia-l3w Před dnem

    Clark Paul Young David Williams Susan

  • @GeddySonenga
    @GeddySonenga Před 10 měsíci

    Kwani mwaka 1975 Simba amecheza nusu fainali na timu ya misri. Mwaka 1985 Simba amewafunga hao warabu pale CCM kirumba mwanza. Kumbe wanafungika. Sasa Kwa mini kuweka malengo ya robo fainali? Wakati ni ya Saba Kwa Afrika ubora wake? Watanzania Wana Tania ya kusifia za nje na kuzipamba Sana kuliko za kwao. Simba siyo Dodoma jiji. Lakini kwakuwa kocha , bahadhi ya mashahabiki nao wanachawa pengine viongozi nao uhofu. Je kuna ushindi hapo? Wasemaji husema kufurahisha mashahabiki na si mtazamo sahihi wa mchezo utakavyokuwa. Na ndo maana haraka wananywea na kukiri Ahaly ni kubwa. Hata hivyo hawamini kilichotokea misri. Ndo maana tokana na hofu kocha wa Simba alipoona amepata bao akapagawa na kuba risha wachezaji Kwa hofu akijua watarudisha. Na kweli likarudi. Hapo kocha wa Simba amefeli.hawa wanaomsifia badala ya kumkosoa ataendelea kufanya hayo hayo. Kama mazoezini haboreshi na kwenye mechi itakuwa unafunga wanarudisha. Kupanga safu ya ulinzi toka namba moja hadi Sita ameshindwa.wanashirikianaje?

  • @RashidiTwahiru
    @RashidiTwahiru Před 3 měsíci

    Yupo live

  • @user-cq1wc9df3y
    @user-cq1wc9df3y Před 8 měsíci

    Kaka unajua nikwanini wananiita kichomi cha moyo nikikubana hutembei yanga tunashusha kifaa cha ........... Mtakuja kuniambia nimekaa pale nagojea majibu......

  • @JamalJamal-gw7rb
    @JamalJamal-gw7rb Před 4 měsíci

    Singano alikuwa na kesi na mazembe mara mwisho alipelekwa nkane ya zambia

  • @user-cq1wc9df3y
    @user-cq1wc9df3y Před 8 měsíci

    Kaka unajua nikwanini wananiita kichomi cha moyo nikikubana hutembei yanga tunashusha kifaa cha ........... Mtakuja kuniambia nimekaa pale nagojea majibu......

  • @user-cq1wc9df3y
    @user-cq1wc9df3y Před 8 měsíci

    Kaka unajua nikwanini wananiita kichomi cha moyo nikikubana hutembei yanga tunashusha kifaa cha ........... Mtakuja kuniambia nimekaa pale nagojea majibu......

  • @user-cq1wc9df3y
    @user-cq1wc9df3y Před 8 měsíci

    Kaka unajua nikwanini wananiita kichomi cha moyo nikikubana hutembei yanga tunashusha kifaa cha ........... Mtakuja kuniambia nimekaa pale nagojea majibu......