Ugonjwa ni ugonjwa tumia akili ww km ndugu mkubwa aja kutenganisha familia yenu shida kama iko tatua nyinyi kwa nyinyi ama muite watu wa familia ety ndugu mkubwa bure kabisa
SELFCONTROL is needed here cool down hata mm nilikataa shamba ya home sababu jamaa wanaiuza nikiuliza naambiwa niheshimu wakubwa basi kwa hekma nilinyamaza coz mm sipendi stress but niliamua ni nunue kando nijenge niwaachie wauze chakushangaza zaidi wao ndio wako na watoto tena wanauza shamba sijui wanawapangia kuishi wapi siku zijazo same family zanye tunazaliwa nayo aky ni balaa tupu
Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.
Aki sijui kwa nn nyinyi mandugu mnafikiria na matter core 😡😡😡especially huyo mkubwa 😡😡nkt mtu akitaka shamba afanye kazi anunue yake,as a firstborn you are deputy parents, unafaa ukaishe your siblings chini
That family it needs deliverance...aki mtu unakata kuitwa ndugu na vile mimi hua natamani ningekua na ndugu(brother) damu yako ni damu yako upende usipende mambo za shamba zisiwakosanishe jamani..waaah! Mimi spendangi ugomvi lakini hii imefanya nmecheka tu sana ghaii!hii life ...hii familia inafaa maombi ....
Hi sijui nicheke ama nilie jamani. Hawa watu hawana adabu kabisa, sana sana huyo mkubwa ni mpumbavu sana. Watu wanatupiana maneno hewani hivi ni ungwana kweli
makubwa hayo mashamba imeua wengi mbona msing'angane mnunue shamba kila mtu yake,,mandugu jamani mligrow pamoja k shida na raha nn mbaya??enyewe ndugu n jirani msichana ndiye mgeni wa waxaxi
Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.siku hizi tunaishi kama familia moja tulikubali kusameana.
Wewe Ghost unacheka wakati huyu jamaa analia. Nikama unamchekelea nikama yeye nimjinga. Kunawakati wa kucheka na wakati wa kupeana pole.
Gidi na Ghost thanks for taking us to kisiii🤣🤣🤣🤣🤣
Ugonjwa ni ugonjwa tumia akili ww km ndugu mkubwa aja kutenganisha familia yenu shida kama iko tatua nyinyi kwa nyinyi ama muite watu wa familia ety ndugu mkubwa bure kabisa
Jesus protect this family the family that prays together stay together
Hiyo shamba iuzwe kila mtu apewe share yake akatapikilie mbali
Omg mungu awakumbuke
SELFCONTROL is needed here cool down hata mm nilikataa shamba ya home sababu jamaa wanaiuza nikiuliza naambiwa niheshimu wakubwa basi kwa hekma nilinyamaza coz mm sipendi stress but niliamua ni nunue kando nijenge niwaachie wauze chakushangaza zaidi wao ndio wako na watoto tena wanauza shamba sijui wanawapangia kuishi wapi siku zijazo same family zanye tunazaliwa nayo aky ni balaa tupu
Aii jamani ni Mungu aingilie hii jamii
I feel from a far
Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.
Forgive and forget ...alafu mwendelee kama ndugu wa familia moja 😢😢
ghost wakati mwingine achanga madharau ya kucheķa
Waaaah wakisii ni nn shida kweli si mwongee muelewane mnatuharibia jina
dunia simama nishuke may God give this men wisdom
wakisii ni moto kama pilipili
Aki sijui kwa nn nyinyi mandugu mnafikiria na matter core 😡😡😡especially huyo mkubwa 😡😡nkt mtu akitaka shamba afanye kazi anunue yake,as a firstborn you are deputy parents, unafaa ukaishe your siblings chini
This is a Trivial matter coz it's a family affair which is supposed to be sorted out by a chief but not bringing it in air it's a shame
Mungu okowa iyo family naoma kuuwana umesimama
Kumbe Patanisho huwekwa hapa You Tube!!, ckujua, Mimi husikiliza every day!!!
Njua ssa
Hayo ni mambo ya kinyumbani kaeni chini muongee woiyee 😓
Obedi!!! Ni yy mbaya atumia kifua cz he's first born,na hapo hakuna boma imeisha bt respect muhimu obedi hesimu mdogo wako
waaah, nomaa
😂😂😂😂😂😂😂😂hapo kwa mabati kumechemka sana wololo gidy kazi unayo leo
KAKA MKUBWA ANAELEKEA YUKO NA MAWAZO MAZUR LAKINI HUYU MDOGO ANAHAMAKI SANA KUWENI KAMA FARMILY
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆makubwa haya. Hiyo shamba wanipe 😂😂😂😂😂😂😂
Ukipewa unigawe
Hehe
Ghai aki wakisii ni vichwa ngumu kama bunda ya kiangazi
Waa! mambo ya ndoa aki
Waah
Hehehehe nani anaketiswa 😀😀😀 thii ukiumaga
Aki Ghost mengine sio ya kuchekwa
Lastborn analia😭😭
🤣🤣🤣🤣waaaah life uku inje
That family it needs deliverance...aki mtu unakata kuitwa ndugu na vile mimi hua natamani ningekua na ndugu(brother) damu yako ni damu yako upende usipende mambo za shamba zisiwakosanishe jamani..waaah! Mimi spendangi ugomvi lakini hii imefanya nmecheka tu sana ghaii!hii life ...hii familia inafaa maombi ....
Hi nayo Kidi Ni Tenganisho
Carolyne mind yours' plz and leave my comment .....
Mkisii ni mkisii tu na masira zake
Nani alizaa hawa wapumbav wasio na hekima
Tatatata wolololo kuna hidden agenda hapo ,shida ni shamba na nikama mabb wanawatenganisha bure kabisa,
Salaala..hawa mabrothers saa nani anaongea ukweli....Ngaaaiiii ati vitiso baridi...hio family ina faa maombi kali.
Mambo ya mashamba shida tubu
Pole uenda Hawa c madungu labda mmoja ni Yule anakuanga wa bodaboda amazing....
Hapa ni maombitu... maombi yata control kila kitu..
Hi sijui nicheke ama nilie jamani. Hawa watu hawana adabu kabisa, sana sana huyo mkubwa ni mpumbavu sana. Watu wanatupiana maneno hewani hivi ni ungwana kweli
Sauti ni same...ugofi
Eeh! Hii ni kali.. lakini nimesoma kitu
Wapumbaaavu tu
Izi shida za mashaba kwa familiya ndooooooooo zimezidi hapo kazi ipo
Hawa watu ni kabila gani,Kweli mpaka wameshindwa kuelewana,Kila mtu n mgali nani ataskiza mwenzake
Hii ya leo 30/8 waaaaaaah gidi ghost amecheka yake yote
makubwa hayo mashamba imeua wengi mbona msing'angane mnunue shamba kila mtu yake,,mandugu jamani mligrow pamoja k shida na raha nn mbaya??enyewe ndugu n jirani msichana ndiye mgeni wa waxaxi
Have peace please brother
😂😂😂hiyo ni tenganisho aki,,,sio lazima uridhi mali ya wazazi wako,tafuta yako uringe nayo
Hahaha
Waaa
Ebikone
@@MRPRODUCTIONS_254 tokumwa nabo ense ere igo
Ww mdogo unamambo mingi sana utakuja kutafuta bro yko kaeni chini muongee kama grownups
izi mashamba nazo
Eee jamani maboma zilibeba mambo wahhh.
walikua wanapatanishwa wanzishe ugomvi jaman
Mako mako mako mako wuuuuueeeeh....huku ni wapi?
Mnapatanishwa au mnazozana bure kabisa
Nakam kuskia poa
KwenDENI huko nyinyi wawili.
Afadhali kidongo na use na amani
Obed sauti yake ni kama ya Nyachio
Mashamba ya familia ni shida a jamani, tafuteni mali zenu
Toka nitoke????
Yea get away i get away
🤣🤣🤣🤣
Please brothers try to forget everything and understand each other
kisii men !ebikone who bewitched you?
😂😂😂😂😂 tigana na Abagusii kabisaa
@@MRPRODUCTIONS_254 assuming m not a kisii!# style up minto *
They have killed our good name
@@MRPRODUCTIONS_254 bosa kapisa gaki mbare kobeka on air
@@perrykemmy9045 hehehe
mm naogopanga wakisii buree 😈...sasa wanagogombana "soprano" inakuwa juu
Salaala mandugu hao
Mbona hujanijibu daa?
Nilikujibu kaka,pengine hukuiona,bt nilikwambia timboni stage ndio maskani,sokoni huwa umenipita
@@tinasanta4080 unamjua LEONARD MAMBO ule muimbaji
@@samueljr9105 namuju anaimba nyimbo za injili mwembamba hivi
@@tinasanta4080 hes my brother
ile uchawi ya kisii wajinga ushamba wa mwisho .shamba its 4by 4 coffin space endeni mkikauka !
Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.siku hizi tunaishi kama familia moja tulikubali kusameana.