PATANISHO: Ndugu wa toka nitoke wagombana vikali hewani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2018

Komentáře • 101

  • @charleskibiro9159
    @charleskibiro9159 Před 6 lety +15

    Wewe Ghost unacheka wakati huyu jamaa analia. Nikama unamchekelea nikama yeye nimjinga. Kunawakati wa kucheka na wakati wa kupeana pole.

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 Před rokem

    Gidi na Ghost thanks for taking us to kisiii🤣🤣🤣🤣🤣

  • @annymdg7647
    @annymdg7647 Před 6 lety +5

    Ugonjwa ni ugonjwa tumia akili ww km ndugu mkubwa aja kutenganisha familia yenu shida kama iko tatua nyinyi kwa nyinyi ama muite watu wa familia ety ndugu mkubwa bure kabisa

  • @lavenderlucy3444
    @lavenderlucy3444 Před 6 lety +3

    Jesus protect this family the family that prays together stay together

  • @aishaelias3867
    @aishaelias3867 Před 5 lety +2

    Hiyo shamba iuzwe kila mtu apewe share yake akatapikilie mbali

  • @njeshkaris8957
    @njeshkaris8957 Před 6 lety +1

    Omg mungu awakumbuke

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 Před 6 lety +2

    SELFCONTROL is needed here cool down hata mm nilikataa shamba ya home sababu jamaa wanaiuza nikiuliza naambiwa niheshimu wakubwa basi kwa hekma nilinyamaza coz mm sipendi stress but niliamua ni nunue kando nijenge niwaachie wauze chakushangaza zaidi wao ndio wako na watoto tena wanauza shamba sijui wanawapangia kuishi wapi siku zijazo same family zanye tunazaliwa nayo aky ni balaa tupu

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 Před 6 lety +1

    Aii jamani ni Mungu aingilie hii jamii
    I feel from a far

  • @emmandakala5469
    @emmandakala5469 Před 5 lety +1

    Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.

  • @maureenikambili6625
    @maureenikambili6625 Před 6 lety +1

    Forgive and forget ...alafu mwendelee kama ndugu wa familia moja 😢😢

  • @joyceakidiva9181
    @joyceakidiva9181 Před 6 lety +2

    ghost wakati mwingine achanga madharau ya kucheķa

  • @angelajohn8444
    @angelajohn8444 Před 6 lety +1

    Waaaah wakisii ni nn shida kweli si mwongee muelewane mnatuharibia jina

  • @wambuianne6847
    @wambuianne6847 Před 6 lety

    dunia simama nishuke may God give this men wisdom

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 Před 4 lety +1

    wakisii ni moto kama pilipili

  • @gracendungu5860
    @gracendungu5860 Před 6 lety +3

    Aki sijui kwa nn nyinyi mandugu mnafikiria na matter core 😡😡😡especially huyo mkubwa 😡😡nkt mtu akitaka shamba afanye kazi anunue yake,as a firstborn you are deputy parents, unafaa ukaishe your siblings chini

    • @mohammedhadijellyboy8753
      @mohammedhadijellyboy8753 Před 4 lety

      This is a Trivial matter coz it's a family affair which is supposed to be sorted out by a chief but not bringing it in air it's a shame

  • @mariyanegoodone172
    @mariyanegoodone172 Před 6 lety

    Mungu okowa iyo family naoma kuuwana umesimama

  • @jacklynebutichi1340
    @jacklynebutichi1340 Před 6 lety +2

    Kumbe Patanisho huwekwa hapa You Tube!!, ckujua, Mimi husikiliza every day!!!

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama Před 6 lety +1

    Hayo ni mambo ya kinyumbani kaeni chini muongee woiyee 😓

  • @naimkangi6027
    @naimkangi6027 Před 6 lety +1

    Obedi!!! Ni yy mbaya atumia kifua cz he's first born,na hapo hakuna boma imeisha bt respect muhimu obedi hesimu mdogo wako

  • @jamilaomar6396
    @jamilaomar6396 Před 6 lety

    waaah, nomaa

  • @Quilant749
    @Quilant749 Před 6 lety

    😂😂😂😂😂😂😂😂hapo kwa mabati kumechemka sana wololo gidy kazi unayo leo

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 Před 3 lety

    KAKA MKUBWA ANAELEKEA YUKO NA MAWAZO MAZUR LAKINI HUYU MDOGO ANAHAMAKI SANA KUWENI KAMA FARMILY

  • @madamboss348
    @madamboss348 Před 6 lety +4

    😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆makubwa haya. Hiyo shamba wanipe 😂😂😂😂😂😂😂

  • @linetgikenyi4613
    @linetgikenyi4613 Před 6 lety +1

    Ghai aki wakisii ni vichwa ngumu kama bunda ya kiangazi

  • @stecybeib8030
    @stecybeib8030 Před 6 lety

    Waa! mambo ya ndoa aki

  • @stevelampardouma7214
    @stevelampardouma7214 Před 6 lety

    Waah

  • @sweetiepie8321
    @sweetiepie8321 Před 6 lety

    Hehehehe nani anaketiswa 😀😀😀 thii ukiumaga

  • @user-ko4qk2qx2f
    @user-ko4qk2qx2f Před 6 lety +1

    Aki Ghost mengine sio ya kuchekwa

  • @MoMo-ir3ph
    @MoMo-ir3ph Před 2 lety

    Lastborn analia😭😭

  • @jshahshsh2383
    @jshahshsh2383 Před 3 lety

    🤣🤣🤣🤣waaaah life uku inje

  • @sharonokuyo7413
    @sharonokuyo7413 Před 6 lety

    That family it needs deliverance...aki mtu unakata kuitwa ndugu na vile mimi hua natamani ningekua na ndugu(brother) damu yako ni damu yako upende usipende mambo za shamba zisiwakosanishe jamani..waaah! Mimi spendangi ugomvi lakini hii imefanya nmecheka tu sana ghaii!hii life ...hii familia inafaa maombi ....

  • @lashymreal6555
    @lashymreal6555 Před 6 lety +2

    Nani alizaa hawa wapumbav wasio na hekima

  • @daltonmutsunga9571
    @daltonmutsunga9571 Před 6 lety +1

    Tatatata wolololo kuna hidden agenda hapo ,shida ni shamba na nikama mabb wanawatenganisha bure kabisa,

  • @prettybabygalmichelson6557

    Salaala..hawa mabrothers saa nani anaongea ukweli....Ngaaaiiii ati vitiso baridi...hio family ina faa maombi kali.

  • @v.a.m.2549
    @v.a.m.2549 Před 6 lety +1

    Mambo ya mashamba shida tubu

  • @joysorewitindi8542
    @joysorewitindi8542 Před 3 lety

    Pole uenda Hawa c madungu labda mmoja ni Yule anakuanga wa bodaboda amazing....

  • @edinaokhonga1255
    @edinaokhonga1255 Před 6 lety

    Hapa ni maombitu... maombi yata control kila kitu..

  • @mwimbimiheso5513
    @mwimbimiheso5513 Před 6 lety

    Hi sijui nicheke ama nilie jamani. Hawa watu hawana adabu kabisa, sana sana huyo mkubwa ni mpumbavu sana. Watu wanatupiana maneno hewani hivi ni ungwana kweli

  • @annnjogu972
    @annnjogu972 Před 6 lety

    Sauti ni same...ugofi

  • @symohsakani
    @symohsakani Před 6 lety

    Eeh! Hii ni kali.. lakini nimesoma kitu

  • @carolmamakebritney5266
    @carolmamakebritney5266 Před 6 lety +1

    Wapumbaaavu tu

  • @periswarish7022
    @periswarish7022 Před 6 lety

    Izi shida za mashaba kwa familiya ndooooooooo zimezidi hapo kazi ipo

  • @alisaalis9218
    @alisaalis9218 Před 6 lety

    Hawa watu ni kabila gani,Kweli mpaka wameshindwa kuelewana,Kila mtu n mgali nani ataskiza mwenzake

  • @Jer74
    @Jer74 Před 6 lety

    Hii ya leo 30/8 waaaaaaah gidi ghost amecheka yake yote

  • @ayadddd6040
    @ayadddd6040 Před 6 lety

    makubwa hayo mashamba imeua wengi mbona msing'angane mnunue shamba kila mtu yake,,mandugu jamani mligrow pamoja k shida na raha nn mbaya??enyewe ndugu n jirani msichana ndiye mgeni wa waxaxi

  • @scholarnasy7906
    @scholarnasy7906 Před 6 lety

    Have peace please brother

  • @thirdborn6413
    @thirdborn6413 Před 6 lety +3

    😂😂😂hiyo ni tenganisho aki,,,sio lazima uridhi mali ya wazazi wako,tafuta yako uringe nayo

  • @violetkerubo5079
    @violetkerubo5079 Před 6 lety

    Waaa

  • @annmotor2737
    @annmotor2737 Před 6 lety

    Ww mdogo unamambo mingi sana utakuja kutafuta bro yko kaeni chini muongee kama grownups

  • @kenmusa3271
    @kenmusa3271 Před 6 lety

    izi mashamba nazo

  • @yvonnevihenda2332
    @yvonnevihenda2332 Před 6 lety

    Eee jamani maboma zilibeba mambo wahhh.

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 Před 6 lety

    walikua wanapatanishwa wanzishe ugomvi jaman

  • @agnesandalo6936
    @agnesandalo6936 Před 6 lety

    Mako mako mako mako wuuuuueeeeh....huku ni wapi?

  • @thomashezekiah3764
    @thomashezekiah3764 Před 6 lety

    Mnapatanishwa au mnazozana bure kabisa

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 Před 6 lety +1

    Nakam kuskia poa

  • @georgymahi149
    @georgymahi149 Před 5 lety

    KwenDENI huko nyinyi wawili.

  • @mercykhasiala
    @mercykhasiala Před 6 lety

    Afadhali kidongo na use na amani

  • @avlinmoloj4902
    @avlinmoloj4902 Před 6 lety

    Obed sauti yake ni kama ya Nyachio

  • @halimaomari7589
    @halimaomari7589 Před 4 lety

    Mashamba ya familia ni shida a jamani, tafuteni mali zenu

  • @aggycherry9400
    @aggycherry9400 Před 6 lety

    Toka nitoke????

  • @sharonokuyo7413
    @sharonokuyo7413 Před 6 lety

    🤣🤣🤣🤣

  • @esthernzisa6284
    @esthernzisa6284 Před 4 lety

    Please brothers try to forget everything and understand each other

  • @perrykemmy9045
    @perrykemmy9045 Před 6 lety

    kisii men !ebikone who bewitched you?

  • @moulinemoulinr9136
    @moulinemoulinr9136 Před 6 lety

    mm naogopanga wakisii buree 😈...sasa wanagogombana "soprano" inakuwa juu

  • @tinasanta4080
    @tinasanta4080 Před 6 lety +2

    Salaala mandugu hao

    • @samueljr9105
      @samueljr9105 Před 6 lety +2

      Mbona hujanijibu daa?

    • @tinasanta4080
      @tinasanta4080 Před 6 lety +1

      Nilikujibu kaka,pengine hukuiona,bt nilikwambia timboni stage ndio maskani,sokoni huwa umenipita

    • @samueljr9105
      @samueljr9105 Před 6 lety +2

      @@tinasanta4080 unamjua LEONARD MAMBO ule muimbaji

    • @tinasanta4080
      @tinasanta4080 Před 6 lety

      @@samueljr9105 namuju anaimba nyimbo za injili mwembamba hivi

    • @samueljr9105
      @samueljr9105 Před 6 lety

      @@tinasanta4080 hes my brother

  • @perrykemmy9045
    @perrykemmy9045 Před 6 lety +1

    ile uchawi ya kisii wajinga ushamba wa mwisho .shamba its 4by 4 coffin space endeni mkikauka !

  • @emmandakala5469
    @emmandakala5469 Před 5 lety +1

    Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.siku hizi tunaishi kama familia moja tulikubali kusameana.