#SILVERLANDS
Vložit
- čas přidán 2. 08. 2022
- Nanenane ni sikukuu ambayo inawahusu wakulima na wafugaji nchini Tanzania. Jina linatokana na kwamba inaadhimishwa kila mwaka tarehe 8 mwezi wa nane (Agosti).
Waziri wa Kilimo alitangaza kuwa kwa Mwaka 2022 maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane kitaifa yatafanyika mkoani Mbeya ambapo yatazinduliwa na Makamowa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango na siku ya kilele cha sikukuu hizo tarehe 8/8 kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mama Samia Suluhu Hassan.
Nane Nane Day on 8 August celebrates to recognize the important contribution of farmers to the national Tanzanian economy. Nane Nane means "eight eight" in Swahili, the national language of Tanzania (and of Tanganyika and Zanzibar, the two countries whose union created the United Republic of Tanzania in 1964).
Nane Nane also may refer to the Agricultural Exhibition, a one-week fair that takes place every year around this date [8/8] in varying locations of Tanzania. In the Nane Nane Agricultural Exhibition, farmers and other agricultural stakeholders (e.g., universities and research institutes, input suppliers or fertilizer producing industries) showcase new technologies, ideas, discoveries and alternative solutions concerning the agricultural sector. Nane Nane is a fair where government and private firms present their services and activities to the public.
Every year the national Nane Nane show takes place in different locations, for example in Ngongo, Lindi Region (2014), while there are also regional Nane Nane shows held in seven zones, namely in Arusha for Northern Zone; Eastern in Morogoro; Lake in Mwanza; Highlands in Mbeya; Southern in Lindi, Mtwara or Songea; Western in Tabora; and Central in Dodoma.
Arusha wakala yuko wp
Nomba za simu
Huku Zanzibar mna wakala wenu na kama yupo nitajie eneo nahitaji hao kuku wa sasso xr nipo Zanzibar
Hongereni silverland Tanzania Ltd. Naomba elimu hii ya kuku aina ya saso hasa kwenye hizo aina tatu mana wao ukinunua vifaranga wanajua tu ni saso. Mimi napendelea saso alieboreshwa kwenye utagaji
Samahani mkowapi nahitaji vifalanga
Nahitaji huduma ya vifaranga tafadhali naomba msaada
Hawa ni kweli hata mimi nawafuga wachache na wanakula kila kitu! Ni watamu na ni wakubwa kiukweli!
Unafugia wapi?
Naombeni namba zenu
Kwenye maboks hawaandik aina ya saso
Naitaji ao sasso xr
Njiwa
Sijapenda ndugu mtangazaji ulivyomuacha dada yetu bila ya kumuaga au kusema neno la mwisho😂
Habari za jumapili? Naomba kujua bei ya vifaranga 100.
Kuku wangu ni saso lkn hawatag vizuri ninunue chakula gani
Naomba namba za simu
Naomba namba tafadhali
Good explanation sister I get it.thank you.
Naitwa Aloyce nipo Nyakato Mwanza,mimi ni mfugaji mdogo sasa ninaweza je kupata Vifaranga wa Sasa XR?
Namba za simu .
kwa mawasiliano zaidi +255 766 192245
@@Voice_of_Agriculture hi
Nahitaji sasso silver jmn 500
Mnapatkana wp
Sawaaaa mrembo wa masoko, nataka hao sasoo
Mbona Hawa sasoo hawajibu txt tulioko mikoa ya Kanda ya ziwa tunafaidikaje na huduma zao?
Nasikia munatoa elimu je niko Lindi napataje elimu kwa vitendo
Unaweza kuwasiliana na kampuni ya silverlands kwa namba +255 766 192245
Mawakala wapewe elimu juu ya aina ya saso. Kama mtu anahitaji wa mayai au nyama achukue vifaranga kwa mahitaji ya soko lake.
Kabisa alafu unaenda kuchukua vifaranga wana majibu ya hovyo hatari hadi
Daeesala mnapatikana wapi??
Kampuni ya silverlands iko katika mikoa kadhaa, unaweza ukawasiliana nao
Nipo bunda mara nawezakpata vifaranga na vp kuhusu bei ya kifaranga
Matawi yenu Yako mikoa Gani?
Tafadhali Wasiliana na Silverlands moja kwa moja kuhusiana na matawi ya kampuni yao
Tunaomba namba
Tupeni namba basi
Good explanation sister I get it.thank you.