UNABII JUU YA TANZANIA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024

Komentáře • 208

  • @farajarogath196
    @farajarogath196 Před 4 lety +11

    Dah,unanifunua ufahamu wangu.ubarikiwe kwa Yesu.👂💖

  • @marthamwankenja8973
    @marthamwankenja8973 Před 3 lety +1

    Mungu azidi kukubariki mtumishi maneno yako yamegusa moyo wangu

  • @godianmande4920
    @godianmande4920 Před 4 lety +5

    Mwenye masikio na asikie, nakutuza Mungu kwa ajili ya Mtumishi wako Chief Apostle...am so blessed in Jesus mighty name.

  • @rayjay7017
    @rayjay7017 Před 4 lety +4

    Wow mmependeza sana ndani ya hizo jezi.. Natamani Kenya angalau siku moja tuvae ivo

  • @upendoibrahim5030
    @upendoibrahim5030 Před 4 lety +5

    Asante Mtumishi wa Mungu kwa kuliombea Taifa letu kwa Mungu, nimekuelewa vizuri sana, Mungu azidi kukutumia zaidi na zaidi katika kazi yake. Amen

  • @kelvinpaul7795
    @kelvinpaul7795 Před 2 lety

    Ubarikiwe baba mungu akuinue

  • @honestyminde5519
    @honestyminde5519 Před 4 lety +5

    Powerful Chief Apostle.
    Wisdom and Revelation of the highest level. Glory be to God of Major One.
    Indeed ni "WAKATI WA VIJANA".

  • @judymaghua2608
    @judymaghua2608 Před rokem

    How good you are in new gospel eye and ear of God is open today tomorrow looking listerning to Tanzanians me and you.let us pray

  • @zainaswalo7976
    @zainaswalo7976 Před 4 lety +1

    Mwenyezi Mungu akubariki kwamahubiri mazuri

  • @ufalmewamungukwawatuwotetv3714

    Be blessed Apostle Chief Mtalewa kwa mafundisho ya hali ya juu.nakufuata nikiwa Burundi- Bujumbura.
    Katika inchi yangu tunao watu watatu tu wenye ugonjwa wa Corona virus

    • @justinenjau1945
      @justinenjau1945 Před 4 lety +1

      Mtumishi wa Mungu na kanisa linakupenda na linaomba sana juu yako na nchi yenu kwa ujumla pia. Mungu akubariki

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 Před 3 lety +1

    Bwana Yesu Asifiwe
    Asante sana man Of God
    Ubarikiwe 🙌

  • @charlesjohn8877
    @charlesjohn8877 Před 4 lety +5

    Naliona taifa langu Tanzania kuwa taifa kubwa mno kwa kuwa Mungu ametuzawadia watumishi wa Mungu kama hawa

  • @elimupwele5610
    @elimupwele5610 Před 4 lety +1

    Very good a man of God always I'll pray for my Tanzania and my President thanks for awakening me

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 Před 4 lety +6

    Hata Kenya tutamuona mungu kwa jina layesu

  • @joycedaudi8765
    @joycedaudi8765 Před 3 lety

    Yesu tusaidie Tanzania

  • @thomasmwaruka8247
    @thomasmwaruka8247 Před 3 lety

    Mafundisho mazuri Mno..!
    I wish all of the World listen and understand these teaching well.
    God bless this servant of God Almighty...
    Amen..!

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 Před 4 lety +1

    Mungu anaongea na taifa kupitia watumishi wake
    Ashukuriwe Mungu wa mbinguni kwa kutupenda Tz

  • @enockbruno8566
    @enockbruno8566 Před 4 lety +5

    Man of God, you are Untachable, you are Unstopable, May God Gives you strength and His Angels to serve you!! 🙏

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 Před 3 lety

    mbariki Magufuli ee Mungu

  • @vickyalphonce4813
    @vickyalphonce4813 Před 4 lety

    Powerful mtumishi nabarikiwa sana na mafundisho yako mungu azidishe ulinzi wa kiuungu juu yako dhidi ya maaduai

  • @nellumasomelu6900
    @nellumasomelu6900 Před 4 lety +4

    Wafutwe kazi wachawi wote, mashauri yao yashindweeeeeeee in Jesus name.
    Waitwe watumishi wa Bwana wasimame watafsiri ndoto

  • @magungufamily6220
    @magungufamily6220 Před 4 lety +4

    Amen apostle God bless you for powerful word

  • @1stladyafrica402
    @1stladyafrica402 Před 4 lety +2

    Aisee nimeelewa Sana.Napenda Mtumishi unavyochambua Biblia.Mungu Akubariki sana

  • @timothymuthaura1861
    @timothymuthaura1861 Před 4 lety +8

    May God continue giving you this revelation your great man of God.ningependa viongozi wetu wa Kenya waone hii neno wafungue macho na afrika zima kwa ujumla

  • @happynnko9370
    @happynnko9370 Před 4 lety

    Natiwa nguvu namuona Mungu namuona Mungu hallelujah Mungu akuinue zaidi zaidi mtumishi wa Mungu

  • @gracekwila5674
    @gracekwila5674 Před 4 lety +7

    Ufunuo ulionao ni wahali ya juu Sanaaa yany haupimiki...hakuana mtumishi ambaye amelichukua swala ambalo mheshimiwa RAIS ameliongea WEWE UMELICHUKULIA kiroho SANAA.... MUNGU AKUPIGANIE NA KILA MIPANGO MIBAYA INAYOPANGWA KWAJILI YAKO...KILA WANAPO PANGA WAKAKUTANE NA MUNGU UNAYEMTUMIKIA... AMEN

    • @deogratiasnzelani160
      @deogratiasnzelani160 Před 4 lety

      Chieaf ni mzuri na huyu anawashirika wamefunguka kurusha mahubiri haya si bure

  • @wanjikunjima477
    @wanjikunjima477 Před 3 lety +1

    Ooh sure we serve a living God, you’re truly a man of God the chosen one, much love from Dubai 🇰🇪

  • @alakomba6830
    @alakomba6830 Před 4 lety +2

    Nimempenda Sana Mtalemwa pamoja na mafundisho lakini kitendo cha yeye na watu wake kuvaa tishet za Tanzania kinaonyesha kupenda nchi yao.
    Proudly to be a Tanzanian

  • @heavenlema8664
    @heavenlema8664 Před 4 lety +13

    Nimekuelewa mtumishi ila ongea na wanawake kwenye makanisa yako muonekano wao hawanatofauti na wana wa ulimwengu huu .hizo nyele za bandia mekaps rangi za kucha nk waambie kana wanahaja ya kumuona Mungu wanatakiwa wabaki kama Mungu alivyowaumba natural

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 Před 4 lety

      Asante naona huko ni duniani tu si Kanisani na si wakati wa maombi hata vitambaa kichwani hakuna kabisa duu huyo Mungu wa fujo hayupo na hawezi kuwasikia

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 Před 4 lety +2

    Son of Major 1, I understand your point. God bless you man of God. Mungu aendelee kukufunulia. Watz tulioko huku tunahitaji sana maombi. Tunakupenda. Toka Seattle, Washington State.

  • @farajarogath196
    @farajarogath196 Před 4 lety +2

    Ata mm naamini nimajira yetu💖 kwa jina Yesu

  • @annastaziaramadhani2666
    @annastaziaramadhani2666 Před 4 lety +1

    Nakuelewa sana Mtumishi Mungu akubariki mno

  • @mwanaisha522
    @mwanaisha522 Před 4 lety +1

    Jaman maneno mazur lakin haoooo wanawake vichwa Waz fulana na suruali mola atakubali kweli hayoo maombi ila mungu atuondolee maradhi hy 🙏🙏🙏🙏

  • @bernicewangui338
    @bernicewangui338 Před 3 lety +1

    We will not dwell in the praises of Corona before Rapture...God bless you Man Of God

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela4916 Před 4 lety

    How lucky the Tanzanians are lucky to have a Prophet who can tell the hidden agenda of the Enemy. In Jesus Name they are defeated. We are Victorious.

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 Před 4 lety

    Amen mtumishi nabarikiwa na mahubiri yako mungu akubariki

  • @joycemabarika584
    @joycemabarika584 Před 3 lety

    Barikiwa baba, Dubai

  • @qeenlema6955
    @qeenlema6955 Před 4 lety +1

    Nimekupenda bure...Mungu aendelee kuweka neno na hekima ya kupambanua mambo ya siri.Amen

  • @lylianmguhi6132
    @lylianmguhi6132 Před 4 lety +1

    Thank you my Apostle ....May God bless you and continue to use you in a great way!!!

  • @maryr4033
    @maryr4033 Před 4 lety +2

    Proud of you Apostle of Class. Son of the Soil. 👏👏👏👏

  • @kadzomasha8539
    @kadzomasha8539 Před 4 lety +6

    Mimi ni Kenya lakini mimi na kupenda sana

    • @justinenjau1945
      @justinenjau1945 Před 4 lety +1

      Mtumishi wa Mungu anakupenda pia na maombi yanayofanyika, si kwa Tanzania tu, Mtumishi na kanisa limeomba pia na kumsihi sana Mungu juu ya mataifa mengine na hata Kenya. Kenya pia tuna tawi la huduma yetu unaweza kupiga namba kwenye screen yako kwa maelezo zaidi +255767960901

  • @andrewdirangw2160
    @andrewdirangw2160 Před 3 lety

    Very brilliant

  • @harunichristopher104
    @harunichristopher104 Před 4 lety

    This is powerful Man of God.
    God bless you

  • @kerodiayimba6527
    @kerodiayimba6527 Před 4 lety +3

    YOU MADE A NEW FAITH IN ME. NIMEPATA HASIRA YA ROHO MTAKATIFU NASIKIA KUOMBA HAKIKA

  • @anniemartin6005
    @anniemartin6005 Před 4 lety

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazur

  • @sharondivine2088
    @sharondivine2088 Před 3 lety

    Naipenda Tanzania Nchi yangu kwa sababu naamini Mungu anatupenda ndio maana anawatumia watumishi wake kutufundisha ili tumwamini Mungu kupitia mafundisho, hongera mtumishi wa Mungu kwa kujitolea kutufundisha Neno la mungu

  • @gwamakaallen5110
    @gwamakaallen5110 Před 4 lety +1

    Asante YESU kwa mtumishi wako

  • @jamesdioniz3243
    @jamesdioniz3243 Před 4 lety

    Powerful revelation my Chief Apostle be blessed

  • @edithkovary5771
    @edithkovary5771 Před 3 lety

    Huyu mtumishi ana roho mungu. Chanjo Zina chip.Haya mambo yapo Sasa hivi. Watu wa mungu fungukeni macho ya kiroho.

  • @doscarmassaba9693
    @doscarmassaba9693 Před 4 lety

    Asante sana Apostle. Nimekuelewa sana. Kanisa la Mungu tuamke na kuomba.

  • @priscamasamu458
    @priscamasamu458 Před 4 lety +1

    Washindwe kwa jina la Yesu,, hizo chanjo waanzie kwao.

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 Před 3 lety

    Nataka nikureshe nyuma nikuambie neno moja shetani hajasahau nakuyafanya hayo kanisa litakuwa lipo sana ukitaka kujua litakuwepo kasome mathayo 24:29 -31
    Ufunuo 13:16 -17 kanisa litakuwepo wakati wa mateso kikombe watakinywea

  • @aulamongi2020
    @aulamongi2020 Před 4 lety

    The Man after my Heart .Chief Apostle

  • @paulinashantiwa5987
    @paulinashantiwa5987 Před 4 lety

    Hongera sana mtumishi wa Bwana

  • @abasisuma9152
    @abasisuma9152 Před 3 lety

    Usitumie jina la mungu kwa maslahi yako.You can fool people sometime But you can't fool them all the time.

  • @lucypaul6890
    @lucypaul6890 Před 4 lety +1

    Aise MTU waMungu nimefunguliwa sana kwa neno hili,amen

  • @zephaniajaphet8360
    @zephaniajaphet8360 Před 4 lety

    Mwana ume ninani maana siwakike wrote bans suluali mbingu yanani jamani

  • @habibonuur8094
    @habibonuur8094 Před 4 lety

    Ameeen Barikiwa sana Man Of God

  • @perfecttz2690
    @perfecttz2690 Před 4 lety +2

    Very logic and true

  • @gordgwivaha8276
    @gordgwivaha8276 Před 3 lety

    Glory to God.

  • @marypaul1948
    @marypaul1948 Před 4 lety

    nasubiri mwendelezo and may god lead you

  • @josephstei4341
    @josephstei4341 Před 4 lety

    Very logical and spiritual reasoning🙏

  • @aminyvonneyvonnamenaamenak7523

    Waaaauuuuu Mungu akupake zaidi

  • @neemahamisi4302
    @neemahamisi4302 Před 4 lety +1

    Jamani tuwe na masikio ya kuwasikiliza watumishi wa Mungu tuache udhehebu tuombe umoja kama Kanisa ili tuweze kumpinga yule mwovu umoja ni nguvu utengano ni udhaifu mwenyesikio na asikie nakubali mafundisho na malekezo yako chief apostle 10G+ wewe ndio Musa kwa sasa waitwao ni wengi wateule ni wachache God bles you

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 Před 4 lety +1

    Maneno haya ni sahihi Kama kweli tumedhamiria kukaa na kuomboleza, kutubu, kuomba kwa ajili Tanzania kitaifa. Bado kuna umaslahi(interest) za kidini na kimadhebehu utajitokeza kama hakuna uratibu sahihi katika kuliendea suala zima la kupigana vita kiroho dhidi ya nia mbaya ya kishetani kwa dunia, taifa letu na watu wake.
    Mungu ibariki Tanzania.

  • @gracesamson4339
    @gracesamson4339 Před 4 lety +1

    Wachawi wapigweeeeeeeee!!! Kwa damu ya YESU

  • @suzanenkambwe8494
    @suzanenkambwe8494 Před 4 lety

    Ubarikiwe sana

  • @kaboberdo227
    @kaboberdo227 Před 3 lety

    Na Mungu awa Confuse wale wafanya byashara ya corona na hiyo Covid yao ipotelee mibali nasi katita
    Jina la Yesu.

  • @josephclemencejoseph2134
    @josephclemencejoseph2134 Před 4 lety +7

    Nayapenda maubili yako kwasababu wawaubili ukweli na udini unaukita pembeni Amen

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 Před 4 lety

    Kweli kabisa mtumishi Mungu akubariki sana azidi kukutumia na kukupa maarifa mengi zaidi ili tupate kujifunza mengi sana kupiti mafundisho yako Mungu akutunze sana

  • @furahakonde6259
    @furahakonde6259 Před 4 lety

    Mungu akulinde akubariki

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula3785 Před 4 lety +4

    Tuiombee nchi yetu ya Tanzania na Raisi wetu mpendwa JPM.

  • @ashoopapa3595
    @ashoopapa3595 Před 4 lety +1

    Chief apostle tusaidie wakenya tunakuaminia.sisi tumefungiwa makanisa lakini waganga wanaendelea tu kweli wacheza piano tunaumia sana kenya

  • @barakachristianfellowshipm6336

    Ni kweli kabisa ubariklwe na azidi kufungua mlango yako ⛩️🌍🙏🚙

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 Před 3 lety

    Ubarikiwe mtumishi maaana. Unatufungua .akili bwanayesu atusaidiee

  • @masogangemasogange7835

    Amen man God be blessed ;for good message:

  • @epiphaniemugwaneza1259

    Mungu.wambinguni.akubaliki sana

  • @ulimbokamwaipaja8315
    @ulimbokamwaipaja8315 Před 4 lety +1

    God!bless Tanzania

  • @alfredomondi2412
    @alfredomondi2412 Před 4 lety

    The world should now that you're the chosen one by the Lord of lords,King of kings.GOD of HEAVENLY FATHER!Somebody bewitched me in 2012 .pretending that he was praying for me,since that time people are saying my deeds are like him.Man of GOD Pray for me.

  • @epiphaniemugwaneza1259

    Akulinde agutunze

  • @bonaneayamba9679
    @bonaneayamba9679 Před 4 lety

    Mungu azidi kukubariki saasana umenibariki kwa mahubiri mazuri

  • @happyobeth8599
    @happyobeth8599 Před 4 lety

    Ameeen mahubiri ni mazuri saaama mungu atusaidie

  • @mecktidisfuime6839
    @mecktidisfuime6839 Před 3 lety

    Happene to day

  • @Isack_Leo
    @Isack_Leo Před 4 lety +3

    Kaka mtalemwa umesema KWELI!
    Mimi sipigwi hiyo chanjo!

  • @amisiabili5853
    @amisiabili5853 Před 4 lety +1

    Wewe ni mtu mkuu na hakuna atakae kutisha wala kukuyumbisha umeitwa na Mungu na Mungu anampango nawe kwa jina la YESU

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 Před 3 lety

    Ni wakati wake wala hajaharakisha ww ndio unaona km kawahi lkn kila kitu kinakwenda kwa wakati make shetani anajua majira na nyakati

  • @jescakabyemela2483
    @jescakabyemela2483 Před 4 lety +1

    asante mwana wa Mungu, nikisikia mahubiri yako uwa najifunza kitu kikubwa, ubarikiwe. Asante kwa maono yote ila ukusanyaji na uzalishaji ni nakubaliana nawe
    Asante mwana wa Mungu

  • @upendochile1386
    @upendochile1386 Před 4 lety

    Asante mtumishi sema tupone baba

  • @merryloya4893
    @merryloya4893 Před 4 lety +1

    Ameen Hakika Wakristo tusilale tuwe macho kwa maombi

  • @eunicehezron3481
    @eunicehezron3481 Před 4 lety

    Amen kubwa

  • @beatricenicholausiwasa7601

    thank u mojar 1 for good advice

  • @misssharonerasmus
    @misssharonerasmus Před 4 lety +2

    Umenifungua Akiliiii. I THANK GOD FOR CALLING YOU AND YOU ACCEPTING THIS CALLING 🤲

  • @vickymahanga7734
    @vickymahanga7734 Před 3 lety

    Mungu tusaidie

  • @farajarogath196
    @farajarogath196 Před 4 lety

    Amina amina

  • @renatamanirakiza2068
    @renatamanirakiza2068 Před 4 lety

    Amen 🙏 amen 🙏🖐🤚👍

  • @studentagency2185
    @studentagency2185 Před 4 lety +1

    Amen amen Chief

    • @bulolebukombe3644
      @bulolebukombe3644 Před 4 lety

      Apostle Mtalemwa wewe ni mtumishi wa Mungu aliye hai wajinga wote wanaosema tufungiwe wajiuliza jirani zetu walipata nzige lakini kwetu hawakufika naomba wajiulize nini kilichozuia nzige hao wasifike Tanzania ? Toka wamejifungia maambuzkizi yanazidi kuongezeka na idadi ya vifo inaongezeka je bado hawaamini kuwa Tanzania Mungu kaipendelea ?

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 Před 4 lety

    Preach 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @aminamogan6547
    @aminamogan6547 Před 4 lety

    Nimekuelewa mtumishi

  • @barakawilliams3844
    @barakawilliams3844 Před 4 lety

    AMENI

  • @velimathias608
    @velimathias608 Před 4 lety

    Ameeen