ALE_WÀNE_ Episode_11 ( Bondowood Movie)
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2024
- nakukaribisha kufwatilia mkasa huu
Ambao unaitwa ALE WÀNE "Kiruga"
tafsiri ya kiswahili ni"Ni wakwangu"
Toa maoni ,sambazia wengine Asante sana
Tufwatilie kwenye mitandao mingine kwa jina la
#RAJABU_MMEO_RAMSEY - Zábava
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu jamani 💯💯🙏♥️
Nikisema uyo dogo wangu anajuwa kazi muna bisha dogo unafurahisha sana
Maoni yangu hii ingelikuwa tu tafsiria moja kwa moja maan ni nzuri saaaan ❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊 ayo ni maoni tu#Rajabu
Moja kati ya mashabiki zangu ni wewe anna Yamba yamba sema jina lako singeni kwangu kama nakufahamu hivi
Ila hua nakushukuru sana maana kila kazi yangu sio Movie tu hata kazi yangu ya filming video hua nilazima udondoshe comments
Mimi si uzoefu wakujibu ma comments ila naonaga kima comments saana tu
Namba yangu +17165533489
Asante sana yani tuna subiri sana mmmm nawa penda sana
To be continued
Nipeni like zangu
Ka Roho kamefanya paaaaa,unajua kukata utatuuwa tunasubiri 12
Heeekoooo
Good ❤❤❤❤🎉🎉
Tuko pamoja
Bon mnatowa kamoja kamoja kwann jaman mnatuacha na maraha zote kwel
Movie nzuri🫶
Huyo kaka Henry ana juwa sana 😊
Jamani nasuburia EP 12 Kwa ham sn ❤❤❤yn msijawiii😅😅
Brother i give you salut bro
Nipe likes zangu kutok Michigan jamani
Good jobs ramsey
❤❤❤
#Harry yuko na kitu uyo usimpoteze anajuwa kaz kbs 🎉🎉🎉🎉
Heri apa
@@officialsdominikecomedy664 unajuwa ongera
Hiyo imeenda
Sehemu ya 12 msikawize san jamn
Next inatoka lini
bado tu😂😂
❤❤❤❤
😂movie moya matata hiyi❤
Good
❤❤❤🎉🎉🎉
Show show good job guys keep going on ❤✌️
Mbona mnatupiga hii niya Kumi ahu yakumi namoja kuii
Rajabu number 13 please
🎉🎉🎉🎉🎉TUSOMGE MBELE🎉
New video ❤❤😂
Mbona kafupi san Jaman msale
yani uyo kaka wared ndo wangu
Asante ndo kazi angu kuwapa raha
❤❤❤❤❤🎉
Nice😂😂
Nipeni like zangu ❤
We need 12 now
Mnamaliza vibaya bwana😂
Vp Msale Aja soma audio za rafiki yake ana dai gari
Jamani mbon hi movie ale wane Ni movie moj kalisan
RAJABU mungu anakuona haki 🤔🤔🤔
Movie ilikuwa naenda sehemu nzuri gafla tu inaisha 😂😂😂
Movie nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Achante chana jo🤣
🤣🤣🤣haki Wewe
Rajabu usimpoteze Yule kaka alie kuchukulia demu anakitu ndani yake kbs ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nimesha muona kwa mbali
❤❤❤❤❤❤♥️♥️
Mbn munatuacha ku raha hvy😢😂😂😂😂😂
Yoooo. Munaniweza Mnajuwa kuniacha mu labda fr dah seemu nzuri ya kusaála damn it 😂😂😂😂😂😂
Msale Aka kufa na pressure Aja tulia lingine limekuja
My favorite director RMR unaweza sana mwanangu naona kumi na mbili ndo utamu kunoga sasa , basi tunasubiri kumi na mbili fasta atutaki kutuchelesha
Jamani muwe mnatuambia siku ambayo mtakua mna achia movie nisiwe nakosa Amani kila siku naangalia mtandaoni
Saturday day au Sunday...!!
Patamu hapo 😂😂
Suzy iyo ndo kazi yangu kua furahisha
Vzr sana 😮😢❤
Tulikwabiaje ndo mwanamuke ndo atakujuwa tu movie tamu jamani ❤❤❤❤
Sina Coment yoyote zaidi ya Kuwapigia Makofiii👏👏👏🤝🤝🤝 mnajuwa mnacho kifanya @rmr
Jamani ni nzuri❤🎉🎉
uwezi towa moja tu
Mme nihachia utamu wa ajabu naomba itoke ata kesho
Jamani lini iyo tena
Wakwaza mimijamani nahomba lahikitano5
Msi kawie jmni ❤️
Hii mehenda
Unajua sana Ramsey ❤❤
🎉🎉🎉🎉
Wew Henry zabibu honger san
Umetuacha muutamu jaman tupe Next
Good job
Sema ukweli
Aise nime Penda sn 😂😂
Nice 🎉🎉🎉
Nice
Mkwe mkosa adabu na baba Zabibu wamesara kweli 😂😂🎉❤❤
Machokozi aya ee
Saf
Episodio 13 kifumbi kitawaka 😅😅😅😅 jamani
Ep ya 12 please
Tunaoumia ni sisi mashabiki kwa kucjelewa kupost video
🤣🤣🤣 Embeteeeeee
Eti nakupinga radi yaku juwa
❤❤❤🎉🎉
❤❤❤❤